Mm nilisha badilisha kazi na sasa ni dalali kweli nafurahia hii kazi mpyaa napata kipato kizuri nafanya kwa muda wangu kiukweli sina stress tena ,awali nilikuwa fundi tu wa simu nilikuwa nateseka san na madeni ,now im happy ubarikiwe sana joel
@khadijajuma71423 жыл бұрын
Daaah hii mm kabisaaa,dalili zote ninazoo, najipanga niache hii kazi maana Duuhh kuna mda mwili, akili, nafsi vyote vinachoka ukianza kuamka tu kuelekea job
@josephboniface75063 жыл бұрын
Sina Dalili hata# moja kwa Sasa ila hiyo hali ilikuwa inanitokea kipindi nilichokuwa nafanyakazi Mwanzo#ya kuajiriwa but now nimejiajiri na Enjoy my Job# but all in all kaka Joel..Una Maono.Makubwa Sana.🙏
@elidadaudngunagu71162 жыл бұрын
Mwalimu ninakufuatilia sana mafundisho yako kweli yamenijengea uweo fulani na nimegundua kuwa Mimi ninaweza kufaiti maisha kwa kujiamini
@tradewithtony3 жыл бұрын
Kaka Joel hapo kwenye special skills umeongea inanihusu kabisa 🙂
@rafaelmwanyila61343 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mwalimu,nilishawahi militia sababu ya kwanza na iliniumiza kwa mda mrefu sana.
@castosanga78063 жыл бұрын
Thanks brother I understand wht we say
@janenkhwazi24573 жыл бұрын
I quitted kazi in 2019 due to above the reasons you've mentioned..... God bless you...wish you happy new year .
@swalhaomar1623 жыл бұрын
Asante Bwana Joel kwa mafundisho
@mariamayoob87343 жыл бұрын
Asante Bro Joel
@Winner_Maggie883 жыл бұрын
Aksante sana kwa somo zur yapo yalionigusa moja kwa moja
@awamkhalid55713 жыл бұрын
Saf sana bro joel maendeleo ya binadam hayawez kupatikan mpak afurahie anachokfanya
@franknachimbinya76883 жыл бұрын
Nashukuru mungu hayo kwangu hayajatokea nipo effective
@diabyboy51624 ай бұрын
Dalili zote ulizotaja ndo nazopitia sasa😢😢😢😢😢😢
@edgardeus243 жыл бұрын
Dalili zote zimenipata natayari nimesha acha
@plustzafromusic49083 жыл бұрын
Dalili zote hizo ninazo yani...tatzo hii bongo uache kazi kupata kazi ingine ni mtihani kwa kwel nafanya ili nipate pesa tuu lkn cna amani kabisa
@danielnjowoka94123 жыл бұрын
Kaz gn🥺
@rafaelmwanyila61343 жыл бұрын
Mwalimu sababu ya nne imenibariki sana
@sidemlulu31013 жыл бұрын
Ukweli mtupu
@venturebown69833 жыл бұрын
Fact Bro.Nanauka
@fasahaproductstv6383 жыл бұрын
Kipimo unacho2shajihisha na kutufunza mungu pekee nd anae na ataekulipa hkun yyt atakulipa na kukutoshelez malpo yako
@gracekagoma32317 ай бұрын
🎉
@daviikiperuskiperus2052 Жыл бұрын
Like your advice bro
@charlesfaida15153 жыл бұрын
Asante Sana my life coach be blessed 🙏
@thobiaskapinga15743 жыл бұрын
Hakika dalili zote ninazo .mi muajiriwa wa benk nipo kama officer tu .ila nataman san kubadili kazi hii
@gwasaonlinetv87633 жыл бұрын
Mimi passion yangu ni uandishi wa habari na utangazaji.... Ndo kinachoimba kila mara moyoni mwangu... Nifanyejeee kuishi ndoto yangu
@frankmtei30173 жыл бұрын
Chukua hatua kuanza kufanya kile unachotakiwa kufanya ili uweze kuiishi ndoto yako
@Philipoyassiry3 жыл бұрын
Yaan kaka Joel hamna dalil nisioKuanayo. Ila sasa inapofikia hatua ya kubalisha kazi najikuta nashidwa kutoka nilipo.yaan Idea
@frankmtei30173 жыл бұрын
Pole
@Philipoyassiry3 жыл бұрын
@@frankmtei3017 Yaan changamot bro
@frankmtei30173 жыл бұрын
@@Philipoyassiry chukua hatua hakuna lisilowezekana, yote nanawezekana kwa imani
@Philipoyassiry3 жыл бұрын
@@frankmtei3017 🙏🙏
@frankmtei30173 жыл бұрын
@@Philipoyassiry p1
@idrisasalumu22623 жыл бұрын
Thnkx broo
@christinamushi22733 жыл бұрын
Kwakuendelea kukusikilizaaa Mimi ni bilionea ajayeeee najivunia kwa kukusikilizaaa
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
Thank you Sir
@davierobert55633 жыл бұрын
Umenifumbua macho sana sasa kama sina mtaji namie nimeajikiwa ila sipend kabisa ajira yangu nifanyeje nahitaji saana biashara
@mosalum36573 жыл бұрын
thank bro
@EmmanuelCharles-mn8yv Жыл бұрын
Somo limenigusa san kaka dalili zote Niko nazo changamoto kubwa ni vitisho kutoka kwa boss
@yustaackson60873 жыл бұрын
Namba 2 kwangu ndy changamot kubwa yaan nachoka kupita maelezo, najikuta nipo kazin lkn yaan akili haisomi, kiufupi nimeichoka hii kazi nahitaj kuajili mwenyewe.
@frankmtei30173 жыл бұрын
Chukua hatua inawezekana
@omanmaliyooman56783 жыл бұрын
🤲
@tarsisiamwalongo68198 ай бұрын
Uliyosema nikweli kabisa kaka angu. Sasa mimi huwa nawaza nikiacha kazi nitaishije ,maana hiyo ndio inayonifanya niishi. Japo inanikosea amani mda wote nahofu nayo
@gwasaonlinetv87633 жыл бұрын
Kumbe ndo maana sina mood kabisa na kazi niliyonayo maana nowdaysss nadoji sana kazini, nikiamuka nawaza sana kweli.... Nimezielewa dalili mweee kumbe kwa dalili hizi natakiwa kuuiacha hii kazi nifanyeje mwl joel
@annahaule74283 жыл бұрын
Aisee yan km ulikaa na mim tukaongea vile,mada hii imenigusa kabsaa kwa 100%
@alexdamian79963 жыл бұрын
E book zako ulizotoa punguzo wakat wa sikukuu zmekuwa na changamoto ya kupewa mrejesho baada ya malipo kukamilika
@westmanmoses5413 жыл бұрын
Good
@khamismachemba4020 Жыл бұрын
Nimetafuta Ili SoMo na dalili zote ninazo...
@inothyloserian49123 жыл бұрын
hiyo ya kwanza n mm kabisa tatizo kweny kubadilisha ss
@frankmtei30173 жыл бұрын
Inawezekana kubadilisha, chukua hatua
@HassanHassan-si2rt3 жыл бұрын
DUH! Dalili zoote nne (4) zimethibiti kwangu.
@frankmtei30173 жыл бұрын
Chukua hatua
@muckymvungi44662 жыл бұрын
Vip kuhusu kulalamikiwa na wazazi na familia kwa ujumla juu ya hiyo kazi, je inaweza ikawa ni miongoni mwa sababu au inafanana na sababu ya kwanza katika sababu ulizozitaja?
@godsontemba48353 жыл бұрын
Dalili zot hizo ninazo ila tatizo linakuja pal unapoacha kaz ni ngum sana kupat kazi
@hamisilaini96883 жыл бұрын
Dalili na 1 na4 hizo ndo sana kwenye kichwa changu.unanishauri vipi?
@edwardsilayo3 жыл бұрын
See me at the top.
@onesmosanga84083 жыл бұрын
SEE YOU AT THE TOP
@omanmaliyooman56783 жыл бұрын
Shukurani kaka
@godwinmkoma73296 ай бұрын
Kaka mi hizo dalili zote ninazo zote yani
@bushirikwizombe6533 жыл бұрын
Zote ziko
@frankmtei30173 жыл бұрын
Fanya kitu
@nasmafarmsltd91463 жыл бұрын
Kitu mkataba Jàmàñ ila hivi vitu vyote cuz ukisema unaambiwa rudisha gharamah zote ukiangaliq hzo gharamah ñ mtaj wa mààñà cjui visa passport gharama za hospital unaona bas tuu Ngoja nimalzie mkataba hÀťà ķàmà umebakia mwez unaona ni miaka 10000000000000000000000000000000000 juzi nimetoka kutundikiwa drips na çjùì naumwa ññ kumbe yote ñapitia haya YÀARB
@Sammhela3 жыл бұрын
Kazi njema br Mambo ma3 yanayoendesha maisha ya mtu. 👇🏿👇🏿gusa link👇🏿👇🏿 kzbin.info/www/bejne/a5amgIijf9VsqLs Natamani sana utumie dakika mbili uangalie hii video fupi. Naamini hutojutia