Wengi wamechemka kwenye mapenzi na ndoa baada ya kufanya maamuzi kama vipofu kisa tu penzi lilikuwa limenoga sana wakashindwa kuona vema. Nakusaidia usikosee kama wengine. Nifuatilie
Пікірлер: 185
@Bernadette-wn4mq23 күн бұрын
Asante sana ubarikiwe sana kweli 🎉
@olivanooraladin5436 Жыл бұрын
Hiyo ya mwisho inamuhusu mtu Asante Sana mauki kwakuniongezea experience
@azizakunubwa6902 Жыл бұрын
Asante Sana daktari hakika umekuwa na mchango mkubwa Sana katika Maisha yangu nimekuwa nikijifunza mengi Sana kutoka kwako hakika nami nitakuwa Bora na nitakuwa na mahusiano Bora na ndoa iliyobora Mungu akutunze na kukulinda kwa ajili yetu sote. Nakupenda Sana
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Mungu akubaliki Dr kwa ushauri wako Yani niliye kuwa nae kabadilika sana Niko buys mara maisha magumu nimeamua kumove imebaki Salam tu
@mackilinapatrick4717 Жыл бұрын
Namba nne niyamtu wangu kabisa na nashindwa kumuacha lkn nikweli najua lazma kunamtu anampa mda wake lkn kumuacha nashndw ,,,,,asanteh doctor tajtaid mana ni miaka miwil sasa lkn mimi ndo napambania sana penzi hili kuonana me niombe,,, kumtafuta mimi ndo nimtafute ye nimara chache sana dah nimevumilia izo tabia zake miaka miwili nw lkn abadiliki
@estabit5630 Жыл бұрын
Tunafanan na ivyo ivyo
@tasokwamichael2433 Жыл бұрын
Tunadanganywa wengi Mapenzi haya
@AnnerSon-cl9vn20 күн бұрын
Hanampango na wewe,mwache taratbu huku upo naye,hakupendi hata na atakuacha tu hata ipite miaka 6
@noelkaguo7367 күн бұрын
Daaaaah! Pole Ila daaaah!
@noelkaguo7367 күн бұрын
Kusema ukwel doctor @chris kuna watu asili yao kubadilika ningumu
@TiffFatma-lw5mf6 ай бұрын
Ahsante kaka nimejifunza jambo... Mungu akuzidishie
@JacksonSimoni-j3x8 күн бұрын
Asante sana
@ButoyiRukiya3 ай бұрын
Mungu akubariki Doctor hakika umenifunguwa akili yangu niliishi hayo maisha saaana.
@winnieakarro539811 ай бұрын
Asante dr ndio yananikuta Asante kwa kunifungua
@gloriakawago6223 Жыл бұрын
Haya maisha unaweza dhan kuna mtu amepewa historia ya mahusiano yako, kumbe wala nashukuru niliaamua mwenyewe kuwa huru God bless you Mauki
@user-hn5mc1vp2r5 ай бұрын
Yaani mungu amlinde huyu kaka jamani anamaono na m beba maono hafi lazima yaonekane mbona kama umeingia kwa uhalisia wa maisha magumu wanayoishi watu kwenye ndoa zao? Duh mungu akulinde sana❤❤❤❤
@cheka480 Жыл бұрын
Mungu akubariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana Dr.
@KhadimHydar-si5nt5 ай бұрын
Yaaani kama unaniongelea Dr Chris Shukran sana
@ChimamiMaryam3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Maana najifunza mambo fulani kutoka kwako
@Betty8642 ай бұрын
Asante sana doctor kwa ushaur mzur
@user-ur3wh5fn3o Жыл бұрын
Asante san ..Mungu akubariki
@ELIZAKipasisi-wo2qd11 ай бұрын
Congratulate to you Dr good job ✌️
@catherinenasambu5366 Жыл бұрын
Thnk boss b blssd for th great msge I hav learned
@seraphineniyonzima962 Жыл бұрын
Asante saaana mungu akubariki mpendwa
@youthssuccesstv3162 Жыл бұрын
1.usinidanganye atabadilika 2.wivu mkubwa ndio kunipenda 3.kukutenga baadhi ya watu 4.busy sanaaa
@ExcitedColourfulShirt-tr7dr5 ай бұрын
Shukrani sana Dr.Chriss
@user-kf5fy5pe9z5 ай бұрын
Yote hayo nimeyapitia lakin mpk sasa moyo ushakufa ngazi,,,naomba uzungumze je na hii tabia ya mtu kugombana anakushikia silaha ,, badae anakwambia alikuwa anakutishia tu ni Zaid ya mara Moja sasa nimeamua kumove on kwaz dah,,😢😢😢
@eunicemwalsumo2166 Жыл бұрын
Powerful sms be blessed
@Medical1018 ай бұрын
Excellent topic
@user-my2yi1rp6t11 ай бұрын
Be blessed kwa kutuelimisha
@user-kf5fy5pe9z5 ай бұрын
Najuta kuchelewa kukufahamu doctor mauki dah,, nahitaji ushauri sana Mimi moyo ushakufa ngazi😢😢
@JosephineJacob-zo8sq2 ай бұрын
Naelewa hii doctor
@HildaTindwa4 ай бұрын
Thanks dady
@rebeccasamsom5616 Жыл бұрын
Asante sana Dr nimejifunza kitu hapo
@zawadithomas1008 Жыл бұрын
be blessed pastor
@happynescostat7420 Жыл бұрын
Kweli ndugu Mauki🙏niliolewa na mwanaume mwenyevtabia za kupiga na kudharau wanawake nilidhani Upo cku atabadilika,ajawai kubadilika ndo amekuwa mbaya zaidi na amenitelekeza na watot 2 na tayari kazoa mwingine,
@SelineBhokeseline-go5eu11 ай бұрын
ukweli kabisaa,I agree with you 🙏🙏
@user-yh3im3gm9b Жыл бұрын
Asante kwa mawaitha ❤❤
@user-mw2ym5vp1p6 ай бұрын
Asante brother
@JacklinaJeremaya-jb3zw Жыл бұрын
Duh mungu anisaidie mm
@evemeeshow. Жыл бұрын
That was my previous relationship...and I thank God mahali niko sai......I professie to God all 3 steps of relationship 🙏 inshallah ❤
@aishadotto3640 Жыл бұрын
Nimeipenda hii 😭❤ asante sana my brother
@mamajj2040 Жыл бұрын
Bora nilikimbia mapemaaa, barikiwa sana,
@user-jf8gn3gz8u Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@GraceMichael-ze2oc Жыл бұрын
Nashukuru sana 🙏
@SwaumusaidKilua10 ай бұрын
Duu kakaumegusa sana maishayangu namumewangu tunavyo ishi nihivyo
@Jasminemilima-lo9ep Жыл бұрын
❤god bless u
@margaretmalandi3711 ай бұрын
Well said
@nuruyaufunuoministry Жыл бұрын
Asante Chris
@julias.mungai880711 ай бұрын
Ubarikiwe umenifundisha kitu
@yusufomosh5093 Жыл бұрын
Fact sir hii imeshawah tokea kwa life yangu
@violethroth9076 Жыл бұрын
Thank u
@happinessgaspha-iz7ct Жыл бұрын
Asante baba
@hggvg9809 Жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaaaa
@shangazizaynyenzi3121 Жыл бұрын
Kweli kabisa hz point zote ni sahihi
@nulovepyaar215 Жыл бұрын
Nakupataje we baba nitoe madukuduku yangu
@gracemasawe7646 Жыл бұрын
Yaan doctor Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu umeniponya tena Sana kuna topic yako uliirusha inasema dalili za mahusiano feki ki ukweli nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalikuwa yakiniumiza sana baada ya zile dalii ulizozitaja mtu nilokuwa naye kwenye mahusiano alikuwa nazo nimejitoa baada ya kunifundisha asante Sana baba kwan umeniponya na sasa niko huru Mungu akupe miaka ya furaha na amani uishi miaka 120 uone wana wa watoto wako
@losaleennjikho7902 Жыл бұрын
Asante
@subiraadam2322 Жыл бұрын
Powerful mind 🙏🙏
@SidiAm-wn4vb Жыл бұрын
Very true doctor
@chrissg4026 Жыл бұрын
Nakubaliana na wewe 100%
@AgnesjaneskephaJaneskeph-os7fu Жыл бұрын
Amina mtumishi namba mbili umenielimisha Sana kwa sababu itakuwa Siri yangu😭😭
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Somo zuri
@MonikaJuma-n8b21 күн бұрын
Duuh,dr hyo ya 2 na3 inamuhusu mtu wang ila nashukur Mungu nili move on mapema
@anethjoseph355 Жыл бұрын
Dalili ya pili na ya tatu jmn khaaaa Namshukuru Mungu dada angu ametoka kwenye hiyo ndoa
@DosianaLulakuze-bv7fg6 ай бұрын
Nakuelewa Mauki nakuelewa kaka
@RukiyaButoyi-sk5nm Жыл бұрын
Kweli kabisa
@clintonaward7580 Жыл бұрын
Wewe jamaa Sina neno juu yako ila Mungu akuzidishie sana unanigusa sana mmi
@peacemulokozi773 Жыл бұрын
Yaani hizi tabia za ex husband nashukuru sipo tena huku . Na maisha yanaenda.
@neema2822 Жыл бұрын
😢Asante
@sharonjanery983 Жыл бұрын
Tabia za ex bwanangu hizo😭😭😭
@veronicamahende3718 Жыл бұрын
Daaaaaaah brooooo
@munirakhalidikimaya4267 Жыл бұрын
Kabisa umeongea point
@user-th3th6qb2e6 ай бұрын
Ipo haja ya kusililiza wanasaikolojia kabla ya ndoa😢😢 sasa nivumilie tu mada zako sasa zanigusa kati tayari nimeingia kwenye ndoa😢😢😢😢😢
@Lily-xw6hg7 ай бұрын
Aante sana
@priscardanier8264 Жыл бұрын
Hizo ndo tabia za mme wngu mtalajiwa Ila ngja nijiongeze mapema
@neemashirima6121 Жыл бұрын
Hakika yote ni ukweli mtupu unaongea ,Mungu akuzidishie maarifa zaidi uzidi kutulea baba .
@pascalfranci8399 Жыл бұрын
Tunashukuru ku mafundisho my pasta but hata kama unamupenda usidanganywe hakiwa mulevi hama mushipuko hama mwinzi nibigumu yeye kubadilika je kitu ambayo auvumiliye mu uchumba je mu ndoa unaweza kuyavumiliya kwasababu yote inaziyaka mu uchumba namahana ya upendo ni nini nini kwasababu upendo inavumiliya inasamehe haijivune haisabu mabaya etc
@eliasmajambomwinyihaji13352 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@makamgimba579510 ай бұрын
Nimekuelewa kaka
@theresiamwacha7845 Жыл бұрын
Da nimeumia Sana yaani Kaka umeongea ukweli mtupu nimejiona nimechelewa kukufwatilia
@user-fv1mj5rz8u5 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@jessicamasepo8320 Жыл бұрын
Jamani Dr Mauki ubarikiwe, nimechoka ghafla niliye nae ana yote uliyoyazungumza
@annamushi1057 Жыл бұрын
Aisee huyu ni wangu
@ShabaniKateva11 ай бұрын
Somo lako zuri San Yan
@catherinesabuni3453 Жыл бұрын
Kweli
@judithnjunwa6668 Жыл бұрын
Hahahah kwenye Figo na bandama,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
@user-rf5zf2xc9h Жыл бұрын
Naam kwel 😢😢😢😢
@AgnessFredАй бұрын
Docta naomba no yak nikchek make 1,,4 yote umezungumzia mim tayal nipo kwene ndoa au naitaj ushaul
@harosicharo2736 Жыл бұрын
Hapo ni kweli kabsa ex wangu alikua na hiyo tabia hta kwa mmake hataki nikae nae😢😢
@halimahbwelele694 Жыл бұрын
👌👌👌
@getrudecharles88697 ай бұрын
Hii ipo kwa mwanaume wangu😢😢😢 kabisaaa
@winnieakarro5398 Жыл бұрын
Kaka kris mimi nakutafuta Nina shida sana
@habibanassoro5732 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 Asante sana Dr Chris nmekuelewa vzr
@priscalukumay194 Жыл бұрын
🙏🙏
@KhalidAshjaie-cz7vg8 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@suzancharles6163 Жыл бұрын
Mhuuuuu ya mwisho imegota vzr
@rehemaselemani9159 Жыл бұрын
Dr. Chriss je kama huyo mtu wakati mimi namjali anakua yupo bize halafu nikikaa kimya na yeye anakuja anajali kabisa kama hakuna kilichotokea hiyo inakuaje na anafanya hivo sio mara moja ata ukimwambia
@user-dr6ix2sz3b4 ай бұрын
Kwel De iyonikwel kbs mwanaume wangu iko naizo tabia
@naomidaudi171811 ай бұрын
adi kichwa kinaniuma maumivu sana moyo wangu umechomwachomwa yote napitia kwa mchumba wangu natunaishi wote na nishazaa
@user-gy8ld1zf5v11 ай бұрын
Kama umeniona jaman
@edinaabiudi2382 Жыл бұрын
Hizo tatu tuziache ila hiyo ya nne 🤭ndo penyew hapo nilijua kabisa doctor asante
@HawaUtegele4 ай бұрын
Asant dokta maut nilichelew kujua kpnd chak akik mm cna tena moy wa kpnd
@florencefaida1495Ай бұрын
Kabisa nmeshaurika katatika ushauri wako doctor
@user-ku3ie5xn8z9 ай бұрын
Jamàn mm nàchoka kabsa maañà huo ubz ndo wimbo ninaoimbiwa
@winfridamwigilwa2107 Жыл бұрын
Aisee hiyo ya mwisho
@NaomiBahat-bz6ri5 ай бұрын
Yani yote ayo uriyo yasema yananihusu kabisa
@ummkolthumkoalthum3271 Жыл бұрын
Ukweli usiopingika
@antidiusalex7389 Жыл бұрын
Very true thanks 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@jojo-qj3fk Жыл бұрын
Ubarikiwe
@AgnessFredАй бұрын
Kama vile ndoa yang unaichungulia ga hatak niwe namawasiliano na ndugu zang wal malafk