Dr. Chris Mauki: Maswali matano ya kujiuliza kabla ya kuamua kuachana

  Рет қаралды 85,185

Chris Mauki

Chris Mauki

2 жыл бұрын

Wapenzi wengi sana wame wahi kuamua kuachana lakini baadaye wakajikuta badala ya kutatua tatizo wameongeza shida, kwa sababu tu hawakupata muda wa kujiuliza mambo ya msingi sana kabla ya kuachana kwao. Je unajua ni mambo gani hayo? Nifuatilie.
#DrChrisMauki#KablaYa#Kuachana

Пікірлер: 265
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 2 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu kwaajili ya Dr. mauki.... Kusudi la Mungu lizidi kuimarika katika maisha yako... Mungu akutunze sana na uzao wako kaka Chris Mauki
@levinavenance1200
@levinavenance1200 4 күн бұрын
Maswali kabla ya kuachana 1.kuna uhalisia au ni hisia kama hisia badae utashindwa kuendelea 2.je nipo tayari nipo tayari kuishi bila yeye 3.nitapoteza nn nikiruhusu kuachana nae 4.naweza kupata alie bora zaidi 5.je kuna chochote cha mm kujirekebisha
@user-ej2zj9re1m
@user-ej2zj9re1m 5 ай бұрын
for real kuna namna napata ujasiri ss wa kuamua baada ya kusikiliza hii content, thank u
@user-ux3wi5xh6h
@user-ux3wi5xh6h 9 ай бұрын
Thanks dr. MAUKI..
@rosemarystanny1270
@rosemarystanny1270 Жыл бұрын
Asante kwa somo,Mungu akubariki
@hassanshemkoe5679
@hassanshemkoe5679 2 жыл бұрын
Shukrani sana dokta
@isackmachiyanshoka6754
@isackmachiyanshoka6754 Жыл бұрын
Really fact stated, be blessed Dr.
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 Жыл бұрын
Mungu akuweke sana Chris mauki
@samkaskakongesaja-boy7837
@samkaskakongesaja-boy7837 2 жыл бұрын
Très sage mon frère que Dieu vous bénisse abondamment.🙏🇨🇩
@MsombaAlpha
@MsombaAlpha 2 жыл бұрын
Thanks a lot man of GOD🙏
@theresialubuva9437
@theresialubuva9437 2 жыл бұрын
Dr.Chris Mauki asante sana🙏🙏🙏
@kimwagamwadali7026
@kimwagamwadali7026 2 жыл бұрын
kazi mzuri ndugu ubarikiwe
@albertraphael5172
@albertraphael5172 Жыл бұрын
Dr nashukuru kwa ushauli wko mungu akubariki sana
@juliawnjeri5913
@juliawnjeri5913 2 жыл бұрын
Kazi nzuri ahki...
@happyfaniaikamika5695
@happyfaniaikamika5695 Жыл бұрын
Asante sana Dr ubalikiwe
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 2 жыл бұрын
Hili somo linagusa mnooo. Aksante sana Dr.
@user-vx9nj2sy6x
@user-vx9nj2sy6x 11 ай бұрын
Barikiwa sana
@zainabukuku3878
@zainabukuku3878 8 ай бұрын
Ahsante sana DR
@gladnessrwegalurila3843
@gladnessrwegalurila3843 Жыл бұрын
Asante kwa funzo zuri. Nimekuelewa sana
@ceciliahangu2598
@ceciliahangu2598 2 жыл бұрын
Kaka uko vizuri kwa mafundisho yako
@janethurio2453
@janethurio2453 Жыл бұрын
Barikiwa Sana, nimekosa kk.
@NZAMUYEJoseph
@NZAMUYEJoseph 2 күн бұрын
Wao amaizing soma lile la kuzitekq akili za mpenzi wako limenibadilshqqq
@ammt1522
@ammt1522 Жыл бұрын
Asante kwa somo hili
@beathagurthi4432
@beathagurthi4432 Жыл бұрын
Upo vzr doctor thanks alot
@domitilabarnabas2843
@domitilabarnabas2843 2 жыл бұрын
Brother upo vizuri sana
@ismailmutisya1079
@ismailmutisya1079 8 ай бұрын
Somo nzuri sana, Shukran kaka
@NellypearsonMadeje
@NellypearsonMadeje 2 ай бұрын
Mungu akutunze sana D Chris mungu akupe maisha marefu sana 🙏❤️❤️❤️
@gloriamkude7172
@gloriamkude7172 Жыл бұрын
Sounds is great whaooooo
@bibisungura2448
@bibisungura2448 2 жыл бұрын
Amina dr umeniponya
@user-zh2lj7vr3h
@user-zh2lj7vr3h 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana Dr pia god bless akupe maisha marefu kwasababu unafanya vizuri sana kuelimisha sisi tusojua🙏🙏
@sophiamatiku5686
@sophiamatiku5686 9 ай бұрын
Mungu akubariki kaka
@blasidafussy1364
@blasidafussy1364 Жыл бұрын
Umenifunza Ving sana bro Chris Mauki
@gracemutayoba4958
@gracemutayoba4958 Жыл бұрын
Thanks brother for a good lesson, imenipa nguvu sana
@neemadad9843
@neemadad9843 2 жыл бұрын
Asante sana
@SuperTervin
@SuperTervin 2 жыл бұрын
Asante sana kaka nimejifunza kitu
@user-lu5if4gt2m
@user-lu5if4gt2m Жыл бұрын
Hakika Dr ninakushukur sana topics zako ni nzuri sana, hongera sana!!!!
@dorissmrosso7420
@dorissmrosso7420 2 жыл бұрын
Asante baba mungu akubariki ,ninamaumivu ya kutosha ila kwa SoMo lako nipata nimepata majibu .
@bensonjohn5400
@bensonjohn5400 2 жыл бұрын
Umesomeka Kaka👍
@annamussa185
@annamussa185 Ай бұрын
Yani kuna mtu namuacha leo baada ya hii video,thank you so much Mauki
@annajulius9940
@annajulius9940 14 күн бұрын
Jinaaaa😂😂😂😂
@rossikirossiki6518
@rossikirossiki6518 2 жыл бұрын
Very Smart
@mariamandrea-ht4wn
@mariamandrea-ht4wn Жыл бұрын
Asante sana kaka nimejifunza kitu hapa.
@christinamanota6618
@christinamanota6618 Жыл бұрын
Asante kwa somo
@MaryDaniel-dj1hv
@MaryDaniel-dj1hv 9 ай бұрын
Dr its my first time to learn with you I real enjoy your lesson and I am about to stand and fight for my family be blessed
@officialvinjunga5682
@officialvinjunga5682 Жыл бұрын
Dr.mauki masomo yako ninayaelewa na kuyapenda Kwan bado ni kujana mdogo na mwenye safar ndefu katika maisha maisha niliyonayo sas samahan naomba urafiki na ukaribu wak hata wa kimawasiliano yako ili kupata mtindo mzur wa kimaisha katik safar yang kipnd cha uhai wang Naomba hvy kam hutojal pia naamin ww n mtu muhm na rafik bora ktk maisha ya vijana weng 🙏🙏🙏🙏😔
@mwangabulakeneth5044
@mwangabulakeneth5044 2 жыл бұрын
Thankx
@alexkornelio5560
@alexkornelio5560 Жыл бұрын
Nimekuelewa kaka angu mungu akutunze,
@user-lr3px6ph6q
@user-lr3px6ph6q 2 ай бұрын
Nimekuelewa asante
@SalomePriscus-wr5qm
@SalomePriscus-wr5qm 4 ай бұрын
Nmejifunz sanaaaaa❤❤❤❤
@MatingaTZ
@MatingaTZ Жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana ndugu yangu
@zawadipeter7152
@zawadipeter7152 Жыл бұрын
Nilitaka kuzama asante MUNGU akubariki umeniokoa mapema doctor
@ahmedially3198
@ahmedially3198 Жыл бұрын
Salute kwako bro
@emmanuelpius7418
@emmanuelpius7418 Жыл бұрын
Nashukuru
@DetteBernadette
@DetteBernadette 2 ай бұрын
Baba yangu mungu akulinde sana
@FedinaMahenge-pc9er
@FedinaMahenge-pc9er Жыл бұрын
Asante
@mrishoidd9763
@mrishoidd9763 9 ай бұрын
Umenitia moyo Dr
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 2 жыл бұрын
Asante kwa elimu. Mungu akubariki.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@mercylinekerubo6425
@mercylinekerubo6425 Жыл бұрын
Very very true
@justblackcode
@justblackcode 2 жыл бұрын
Thanks... always building me both emotionally and mentally, God bless you Dr.
@neemashirima6121
@neemashirima6121 2 жыл бұрын
Yaaani nilikuwa kwenye process lakini kupitia SoMo nimejifunza na sitaondoka tena Asante baba
@user-ku8lh7wl8v
@user-ku8lh7wl8v 4 ай бұрын
tangu nilipoanza kufatilia huyu Leo tu nime enjoy San hii channel alafu nimeumia San niliachanaka nampenzi bila sababu ila leo hii najuta had sina ata hamu yakuingia ku mausiano 😭🙏Asante San kwa Ushauri Dr muki 🙏🙏
@user-pz4np8vy3j
@user-pz4np8vy3j 11 ай бұрын
Amina
@salimzumamangale9843
@salimzumamangale9843 2 жыл бұрын
Kweli kabisa Dr shukran sana kwa somo lako zuri
@FatumaKaposo
@FatumaKaposo Жыл бұрын
Shukrani Dr alitaka nimuache mtu lkn kuishi bila yeye sitoweza nimeshapata jibu
@rosejordan5391
@rosejordan5391 2 жыл бұрын
Kazi nzuri Dr,mungu akubariki sana uzidi kutuletea masomo mazuri
@alexmathias1608
@alexmathias1608 2 жыл бұрын
Nimekubar mkuu
@amarislam1589
@amarislam1589 2 жыл бұрын
Somo zuri sanaa asante
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@sekelakasole4923
@sekelakasole4923 2 жыл бұрын
Najifunza mengi sana kupitia ww mengi mno uishi sana Kaka barikiwa
@ellylyatuu3936
@ellylyatuu3936 2 жыл бұрын
Kabisa doctor
@wenceslausmassawe6848
@wenceslausmassawe6848 2 жыл бұрын
Umenisusa sana dr mm hii hali inantokea mnoo
@SalomePriscus-wr5qm
@SalomePriscus-wr5qm 4 ай бұрын
Jmn ubarikiwe sana 😢😢😢😢😢
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
Asante sana kwa maswali haya God bless you
@asanathharuna6819
@asanathharuna6819 2 жыл бұрын
Thank you doctor,,,be blessed tunaokota chochote mola akubleee🤲🤲🤣🤣🤣🤣
@harithwhite589
@harithwhite589 2 ай бұрын
Nalipata somo hili ikiwa kwangu ishakuwa "too late" masikini mimi
@PeterKulwa2024
@PeterKulwa2024 Жыл бұрын
Love U
@anithamsoke2329
@anithamsoke2329 2 жыл бұрын
Asante an Dr. kukuona inagharimu bei gani kwa ushauri wa kisaikologia?
@YunisMinassshayo-pi5pq
@YunisMinassshayo-pi5pq 11 ай бұрын
Kweli kabisa Hana umuhimu wowote kwangu
@suzanneullimboka-hp2hz
@suzanneullimboka-hp2hz Жыл бұрын
Nimeelewa
@briannyerere5519
@briannyerere5519 10 ай бұрын
Brother nimepona ktk hili mungu akulinde sanaaaah
@NeemaStephanomjengi-xq4dg
@NeemaStephanomjengi-xq4dg Жыл бұрын
Nimebarikiea Saudi na kipengele cha kujirekebisha,maana naamini mi pia sio Malika Nina mapungufu yangu ,barikiea zaidi Dr
@angelanimahubiripiaushuhud5151
@angelanimahubiripiaushuhud5151 2 жыл бұрын
Jambo na ninashukuru kwa somo zuri.
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Inachosha kujipendekeza
@ladyjox920
@ladyjox920 2 жыл бұрын
Thank you Dr. Chris, kweli umesave mahusiano yangu. Leo nilishapanga mizigo yangu iliniachane na mwenzangu lakini somo lako hili limenifanya nibadili maamuzi
@user-fg6lu8hd3c
@user-fg6lu8hd3c 2 жыл бұрын
On waiting Dr chhris
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks 0
@nuratihbraimu9054
@nuratihbraimu9054 2 жыл бұрын
Vizur sana
@muslimakassim4320
@muslimakassim4320 2 жыл бұрын
Masha allah shukran may allah bless u more dr u doing great job 😍💯👏👍🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@user-iw9rs1sw3t
@user-iw9rs1sw3t 11 ай бұрын
​@@ChrisMauki1kaka munguakubariki saana naomba unisaidie ushauli nakimaombipia kunamtu nampenda saana lakini nimemzidi umli miaka 14 lakini nampenda nufanyeje? Kaka NIFANYEJE
@naomimaanya1983
@naomimaanya1983 2 жыл бұрын
🙏🙏
@gracemwaitenda9956
@gracemwaitenda9956 2 жыл бұрын
Amen nimeelewa sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@happyhaule5865
@happyhaule5865 Жыл бұрын
Balikiwa Sana nimejifunza sifikilii tena
@user-oh7mf7mm2d
@user-oh7mf7mm2d 11 ай бұрын
Hii topic kama umeniandalia mm ubatikiwe sana
@nasrajamaldin5505
@nasrajamaldin5505 2 жыл бұрын
Duh
@charleslyuki691
@charleslyuki691 8 күн бұрын
Ukijishusha mateso yanazidi
@scholasticamathias9224
@scholasticamathias9224 2 жыл бұрын
Perfect blessed in abundance uishi saana jmn duh🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@sethrudovick5593
@sethrudovick5593 Жыл бұрын
Asahnte sana kaka
@mariumpeter6147
@mariumpeter6147 2 жыл бұрын
Nasubiri somo kwa shauku sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Tayari mbona, kula nondo • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@marympango9247
@marympango9247 2 жыл бұрын
Yan mda huu nilikua nafikiria kuondoka katka ndoa doctor...naingia youtube nakutana na hii kitu..........daah!!! Kuna vitu umevisema duuh...ahsantee.sana.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@Salwasalim-xs8cx
@Salwasalim-xs8cx Жыл бұрын
Mim nmemuacha abadilike je npo sahihi
@OmaryNusu
@OmaryNusu 22 күн бұрын
Asnte cna kaka
@marianapatrick5993
@marianapatrick5993 2 жыл бұрын
Dr Nina mme wangu A nafanya kazi oman, toka ameondoka mawasiliano yanakuaga ya shida Sana kila nikimpigia anasema subir kidogo naumia Sana aliipata likizo a kaja Tanzania, amebadilika Sana hata tendo la ndoa hafanyi kama zaman,, Hana hamu na mimi kabisa, Dr ni fanyeje, tumezaa watoto wawili
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 2 жыл бұрын
Kasha Pata uko oman Dada siku izi wanaoa ukouko kimyakimya walishapata kubali kutoka ubalozin niko Oman nayaona Dada pole sana
@user-ig5gc7my5h
@user-ig5gc7my5h 8 ай бұрын
Somo nzuri dk but naomba kuuliza swali private
@nadinnmugisha5168
@nadinnmugisha5168 2 жыл бұрын
Asante sana Dr unaujenga moyo wange
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@EstaMwakasala
@EstaMwakasala 11 күн бұрын
Duu!!! Unasema jamani 😢dockt da!! Uyu mwanaume anatamaa mno
@tabiamaheke
@tabiamaheke Жыл бұрын
Dr mm kila ninachohisi kupoteza bado haoni! Ndo anachukua udhaifu wangu wa hofu ya kupoteza kama fimbo ya kunipigia!
@janenkhwazi2457
@janenkhwazi2457 2 жыл бұрын
Nikweli Dr Chris Mauki....somo nzuri....kwakweli inachukuwaga mda sana kuwamuwa kuwachana namtu ambaye unampenda....mawazo yakuwachana na mpenzi wangu yalikuwepo before I gave birth to 2 kids with him.....nilivyo zaa mwanangu wapiri ndipo mawazo yalitimiya
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Dr. Chris Mauki: Sababu 5 kwanini mnagombana hovyo
11:45
Chris Mauki
Рет қаралды 119 М.
Dr. Chris Mauki : Hakikisheni Mmeyazungumza Haya Kabla Ya Kuoana
11:10
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 22 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 39 МЛН
SABABU 3 ZA MWANAMKE KUKUACHA
12:56
Mbeki TV
Рет қаралды 32 М.
MCHUNGAJI HANANJA,KALIZUA#MCHUNGAJI MGOGO#BONGOMOVIES
0:55
SERASH PRO
Рет қаралды 3,5 М.
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 62 М.
JINSI YA KUPAMBANA NA MATATIZO MAGUMU  PART TWO || PASTOR GEORGE MUKABWA || 05-05-2023
1:16:21
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 7 М.