Mapenzi ya wengi sana yame haribiwa na hata kufa sababu ya wivu uliopindukia. Nakuuliza, je mpenzi wako ana wivu sana? Je wivu huo unakusumbua? Basi mambo haya matano yatakusaidia. #ChrisMauki#Wivu#Wamapenzi
Пікірлер: 42
@saraphinajosephaty27232 жыл бұрын
Mafundisho yako yamenifundish mambo ya msingi sana ktk mahusiano yangu kupitia mafundisho haya nimetambua mwanaume asiye na upendo wa kweli na asiye na upendo wa kweli
@naneca37562 жыл бұрын
Kaka Ona,mi nina wivu hadi najiogopa jmn,nateseka sana!.
@user-hy1mu2xl9h9 ай бұрын
Pole
@RukiyaButoyi-sk5nm Жыл бұрын
Tunashkru saana D.Cris umenifunza mengii saana Mungu akubariki kabisa unatowa mafunzo mazuri saana
@elizabethelisaria67302 жыл бұрын
Chris! Mzima Dr? Naona unatibu na ndoa. Hongera mdg wangu
@julianalameck90452 жыл бұрын
Asante Sana kaka, Ubarikiwe Sana, nimejifunza mengi kuhusiana na namna yakupambana na wivu wa mtu wangu
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
Kiukweli MMI nna wivu Sana na n mtata na pia nna ghadhabu kubwa huwa sipendagi kbca kupoteza muda yaan nataman hii kitu niipunguze kwa mke Wang sijui nifanyaje ili ipungue huwa nawaza Sana maana mke wang n mpole sana
@salmaathuman91562 жыл бұрын
Nilikutana na mwanaume wa hovyo anakuonea wivu halafu huduma yeyote Ile hatoi yeye anataka Bure tu nikamwachilia mbali stupid ahsante kwa mafundisho bigup bro
@neemafrenk89662 жыл бұрын
Kwer dada mi ninae anawivu atar Sana anipi nachotaka nipige chini
@tawalazephuline49502 жыл бұрын
Hili ni somo kubwa sana katika mahusiano si katika mahusiano bali hata katika ndoa maana hamna amani palipo na wivu ulivyopitiliza. Nitaliangalia hili somo kila mara lipate kuwa msaada kwangu leo na kesho
@juliawnjeri59132 жыл бұрын
Mavunzoo yako imenifundisha mambo mengi sana...🙏👏🤝
@leylasaimour94882 жыл бұрын
Dah mi mpenzi wang wivu kazid yeye akiw ayup akikuon online bc ni shida kuna muda mpk nakasirikag yn ana wivu mpk ss kapitiliza ht km tunaongea kwa njia y simu isiingie sms yn hapo hapo anawek wivu ss cjui ana nipenda sana au ni hurka yake na shindwa kumuelew ananipag mawazo sana ht ukichelew kujib sms yan hiyo inakuwa kesi kwk. Nashindw kuelew mimi
@aliciarugangira86052 жыл бұрын
🙆🤦🤦
@glodynkondo98002 жыл бұрын
Asante sana 🙏 mimi nina wivu kwasababu nakupenda mke wangu
@makokakinyaha3567 Жыл бұрын
Wakwangu ni all weather Kwa kweli🤔🙌
@shantemikulu51672 жыл бұрын
asante sana kwa mafundisho yako
@isabelmwansasu90162 жыл бұрын
Mbona siion ii
@عبدالعزيزعبداللهالفغم2 жыл бұрын
😓😓😓inanisikitisha Sanaa hii topic 😢😢😢😢ilaaa mapenzi bhana
@amainahtwaha3111 Жыл бұрын
very interest
@user-rl1ut3jw7n Жыл бұрын
Mimi nko na mpenzi na tunapendana lkn hua ANASEMA hatawahi olewa ..nimechanganyikiwa
@mildredkanaizah61412 жыл бұрын
Ujumbe wako naupata vizuri zaidi
@adamlikungila34352 жыл бұрын
Ivi kama kwa sis maboda boda mpez akikuaambia xaa kumi na mbili ulud??
@valeriachipeta7742 жыл бұрын
Yaan mpenz wng mm Ana wivu lakn umepitiliza. Hata nikitoka nae siongei hata na rfk zake nikiongea nao tu anakasirika. Mm mwenyew nina wivu sana na huwa naumia sana Sema mm sio msemaji. Ila mpenz wng mm hata marafk wote wa kiume nilikua nao zaman wengne maclassmate nilishawapoteza wote. Hata sielew inakuwaje
@nellymichael2782 Жыл бұрын
Ahsatee kwa somo
@restphillipo17962 жыл бұрын
Naomba unitumie namba zako
@kamathimagretgm69522 жыл бұрын
Gd Lesson
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Nice
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mimi aliambiwa maneno ya uongo kuwa na mwingine akaniuliza nikamwanbia sio lakin akawa bado haamin analalamika kuusu hilo na badaye akaja kukata mawasiliano na mimi
@chalofurniture98602 жыл бұрын
Namba 5 nimeipata sana kaka
@jenifaally96202 жыл бұрын
Leo umegusa penyewe kws kweli
@hawahawa95042 жыл бұрын
Anao
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Kuna mwanaume alishawai kuniikunuta eti kisa napita kwao usiku akiniuliza kwanini nimechelewa kuludi anaona simpi majibu mazur nilikuwa simtaki lakin alikuwa ananifuatilia nikienda kwa bibi nikichelewa kuludi magar shida anaisi vingine siiku akanipiga nikakasika nikamwambia unanipiga utazan umeniowa rafik yangi akasema vick unapendwa paka unapigwa
@valeriachipeta7742 жыл бұрын
Yaan huyo unaemuelezea ndio wa kwangu yuko hvohvo sema mm siambiwi niandike tu kwenye karates. Yaan Bby wng mm jaman hapana kwa kweli n mtihan
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Mimi yule sio wakati wote wivu uliibuka badaye
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Haha ndo na mimi nilishangaa hivyo nilijuliza hivyo huu wivu umeanza lini.da mada nzur kweli
@VickKulekana-si1ib10 ай бұрын
Du uyo mtu uwo wivu wake tena ulizidi
@tatukarata60722 жыл бұрын
Na km hana wivu hat
@zahraali48732 жыл бұрын
Naomba no yako please
@frankanatory68012 жыл бұрын
🙏💪🥇🥇💪💪💪
@nailatkatanga53422 жыл бұрын
Hivi Kama Hana wivu na ww ,je huyo anamapenz ya kweli na ww