No video

Dr. Chris Mauki: Sababu 5 kwanini mnagombana hovyo

  Рет қаралды 124,944

Chris Mauki

Chris Mauki

Күн бұрын

Hivi unajua kuna wapenzi wengi sana hujikuta wanagombana sana na hawajui kwanini wanagombana hivyo. Kila mmoja anamwona mwenzake ndio tatizo. Hali hiyo ikiendelea mnaweza kujikuta mnaachana. Hizi hapa SABABU 5 ZA KWANINI MNAGOMBANA HOVYO, Jifunzeni ili mbadilike#Sababu5#Kugombana#Hovyo

Пікірлер: 222
@WitnessHassan-gy3rz
@WitnessHassan-gy3rz Ай бұрын
Dr mauki ubarikiwe kwa kutufunza na kuweka akili mpya ndani ya vichwa vya watu wengi tunapitia mengi katika yote unayofundisha lakini tunapona sana ubarikiwe
@esterjohn871
@esterjohn871 2 жыл бұрын
Asante San doctor nimekuelewa San mungu Akubariki San mausiano yangu yanachangamoto San mi kila cku Ni MTU wa kulia tu
@user-cf8re1vm7o
@user-cf8re1vm7o Жыл бұрын
Nimejifunza tena mm nimegunduwa ninatabia mbaya lakini Sasa nimeacha kuanzia Leo nimejifunza kabisaa ahsantee mauki kwa somo lako zuriii
@baluhyaandrew1564
@baluhyaandrew1564 Жыл бұрын
1) Mawasiliano mabovu 2) Kukosekana uelewa 3) Kutokuwepo uelewano 4) UBINAFSI 5) Tabia ya kudhania NB: Tusifanye hayo
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya Жыл бұрын
Safi Sana
@geraldshundi9452
@geraldshundi9452 10 ай бұрын
Nimependa najua hii mada sio ya hapa Mimi na mchumba wangu tuko mbali geographically Love languages yake Ni physical touch na mahusiano yetu Yana mda wa mwezi mmoja tangu tuwe mbali ananiambia hayuko happy kwasababu there is no physical touch as a way to be Happy Nifanyaje
@bonifacebeatrice3981
@bonifacebeatrice3981 9 ай бұрын
Nisahihi kabisa ,ila kweli Mungu aturehemu 🙏❤️
@apostlepaulstudent7111
@apostlepaulstudent7111 2 жыл бұрын
This is one of the Best video katika video ambazo Dr nimekutana nazo..hakika hii Nita I play mpaka iwe scratches, plan yangu ni kuwa bora na makini kwenye mahusiano yangu. Kweli mahusiano yanajengwa hayajijengi kama wengi tunavyodhani. Maarifa, vitendo, uvumilivu ndio dawa ya kusonga mbele na kufanikiwa kwenye hili eneo
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@peterkessy7461
@peterkessy7461 2 жыл бұрын
Doctor hili ni kweli kabisa mm ni muhanga wa hilo halafu mm ndy mwenye hizo tabia
@user-hn5mc1vp2r
@user-hn5mc1vp2r 5 ай бұрын
Dah dokta mungu akupe maono zaidi mimi nimekua mwanamke wakutengeneza nyumba isiyotengenezeka. Watu wengine niwagumu kuwaweka sawa.nimeamini wengine ndivyowalivyo kwenye koo zao
@user-mb1wc2um2i
@user-mb1wc2um2i 13 күн бұрын
Asante Sana Father
@magrethmwambu3637
@magrethmwambu3637 Жыл бұрын
Dr ubarikiwe sanaaa nimekuelewa vzr,ila wanaume wengi ni pasua kichwa Mungu atusaidie wamama tulio kwenye ndoa jamani.
@NuruChande
@NuruChande Ай бұрын
Amiin
@shitalnayi2580
@shitalnayi2580 2 жыл бұрын
Very inspiring videos. Thanks. Please do more on communication between two people living together or husband and wife and listening to gossip would break relationship
@julianalameck9045
@julianalameck9045 2 жыл бұрын
Hii inatugusa moja kwa moja wanawake, aisee asante sana Dr Mungu akubariki nimejikuta nabadilika kwa mafunzo yako namsaada wa Mungu, kwasasa ni furaha tu maana namuelewa
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@emelensianmalugu8673
@emelensianmalugu8673 Жыл бұрын
Amina Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri
@MOTecnology
@MOTecnology 2 жыл бұрын
Uko sahihi Brother. Mimi ndie nilikuwa muhanga wa hizi tabia zote ulizotaja hapo. Shukran sana NITABADILIKA
@danielmlwafu4380
@danielmlwafu4380 5 ай бұрын
🎉Doctor 🎉mauiki ❤
@ME-qe8ui
@ME-qe8ui 2 ай бұрын
Pole sana jaribu kumchunguza nakumuuliza Mungu mwana mkeatakiwi kuwa ivyo bali anatakiwa kukuombea lakini akikufumania iyo ni tiketi
@victoriabulambo2029
@victoriabulambo2029 2 жыл бұрын
Asante sana Mtumishi wa mungu, umenigusa mimi moja kwa moja,,,,, 😱 😱
@lightforafricatv3122
@lightforafricatv3122 Жыл бұрын
Napenda unavyofundisha Dr Chris
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya Жыл бұрын
Chris unafundisha vizuri. Nawapenda wote wewe na mke wako Miriam. Mbarikiwe Sana Sana kwakweli
@queenmakere2849
@queenmakere2849 2 жыл бұрын
Asanteee kwa somo zuri nimejifunza kitu ndio maana magomvi yanatokea sana sana
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Shukran kaka mauki kwakutupatia elimu bora
@giftamulike8650
@giftamulike8650 2 жыл бұрын
Dokta Nina kuelewa aisee ahsanteee sana dokta
@otiliangombale3548
@otiliangombale3548 Жыл бұрын
Teacher i love your topc so yanabadirisha maisha yangu GOD bleas you
@elizabethmgimba454
@elizabethmgimba454 6 ай бұрын
Amen Mungu wa mbinguni akubariki
@theresiamartin3008
@theresiamartin3008 2 жыл бұрын
Asante sana Dr saivi nimebadilika sana na mume wangu ananifurahia nilikuwa na vimaneno mimi jmn
@Suzy19-qh3nh
@Suzy19-qh3nh 8 ай бұрын
Stopic hoi imenifungu akili thaks
@user-xk3hd6xf3e
@user-xk3hd6xf3e Жыл бұрын
Ahasante Dr Chris's mimpka hpa tumeishagombana
@rahmamasagati4218
@rahmamasagati4218 2 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@JapharyKininki-oe3kk
@JapharyKininki-oe3kk Жыл бұрын
Asante kwa Somo zuri me mwenyewe ni muhanga wa jambo Hilo
@sufoorembo5925
@sufoorembo5925 2 жыл бұрын
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique
@abigaelmwadena2262
@abigaelmwadena2262 Жыл бұрын
Asante sana apo umipa elemu xx nnimejua hongora dctr
@kelvinsakey2540
@kelvinsakey2540 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana chris mauki 👏🏾
@thomasferdinand8769
@thomasferdinand8769 2 жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri mzuri
@elijahthadeus2745
@elijahthadeus2745 7 ай бұрын
Nashukuru sana Mwl. Kwa masomo mazuri unayotupa Mungu wa mbinguni akubaliki sana
@jacobkilimba748
@jacobkilimba748 2 жыл бұрын
Asante Sana Doctor Nimejifunza Mambo Mengi Sana Ubarikiwe Sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@cindyfrancis2722
@cindyfrancis2722 2 жыл бұрын
Doctor ninashida sana namsaada waushauri ninamgogoro mkubwa kwenye mahusiano yangu nanimjazito pls dokta
@christinachazy8644
@christinachazy8644 Жыл бұрын
Ubarikiwe San Docter nikipata mahusiano mapya nitaishiii na ivi vitu
@jacklinenoballa8946
@jacklinenoballa8946 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo hili ambalo limekuwa ni mimi umeniongelea hadi natafuta plani B sasa
@MegaNasri-bv7tc
@MegaNasri-bv7tc 3 ай бұрын
Thank you sir
@senedapaul9264
@senedapaul9264 2 жыл бұрын
Thanks nabarikiwa Sana na mafundisho yako
@ElzaberthKazoba
@ElzaberthKazoba 5 күн бұрын
Kweli iro somo lime nigsa sana mm nampenzi wangu tnagombana ovyo
@user-pz4np8vy3j
@user-pz4np8vy3j Жыл бұрын
Barikiwa sana kwa somo zuri.
@estherkalenge1689
@estherkalenge1689 2 жыл бұрын
Barikiwa Dr. Chris unanifanya napiga hatua
@hellenwanjiru3145
@hellenwanjiru3145 11 ай бұрын
Umeningusa sana
@mwinjumakombo958
@mwinjumakombo958 6 ай бұрын
yan kwenye ndoa yangu tunagombana Sana mke wangu ananiambia kuwa Mimi Malaya na wakati hiyo tabia Sina kabisa unazani hiyo ni dalili gan nikichelewa kidogo tunagombana yaan ugomvi ndan ya nyumba Kila ikipita mwez sababusababu zinakua nyingi Sana
@fortunesanka5341
@fortunesanka5341 2 жыл бұрын
Thank you 🙏
@annachuwa3432
@annachuwa3432 2 жыл бұрын
Asante sana kaka mauki
@gracemutalungu
@gracemutalungu Жыл бұрын
You are ablessing in Dr
@lulubandawe6284
@lulubandawe6284 2 жыл бұрын
Congratulations Dr mauki your the solver to us heart breakers
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya Жыл бұрын
Indeed he teaches very well
@nassirkhalfan3166
@nassirkhalfan3166 2 жыл бұрын
Perfect💯
@marykomba2171
@marykomba2171 2 жыл бұрын
Yaaani ni kweli kbs.....be blessed
@JACKSONMAKUBO-ne7lv
@JACKSONMAKUBO-ne7lv Жыл бұрын
nasemakutoka moyonimwangu hakunaulijo kisema ambajo sijawahi kukumbana najo katika ndowayangu nimepitiya mengisana shidanyingi sana nikiyanza kusimuliya utaniyoneyahuluma kweli achatu
@dancansaka5004
@dancansaka5004 2 жыл бұрын
Kazi mzuri brother
@user-sn8ne4is8x
@user-sn8ne4is8x 14 күн бұрын
Kweli kabisa na Mimi ico kitu kinanifikiaga ten nasisi tunagombana na Mme wang san
@RoseMbwawa
@RoseMbwawa 2 ай бұрын
Ahsant kwa somo🙏
@salometemba5225
@salometemba5225 2 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka Nimejifunza sana
@salimzumamangale9843
@salimzumamangale9843 2 жыл бұрын
Thanks somo zuri sana
@user-ut9xt6mo2u
@user-ut9xt6mo2u 2 ай бұрын
Somo zuri sana mm nina mpenzi wangu ambaye hataki kunielewa hususan upande wa fedha ety akoradhi nikope ili yeye anunue nguo mpya za sikukukuu
@rhodasaid3262
@rhodasaid3262 2 жыл бұрын
Nakuelewa sana Dr. Sijuti kuwa mwanafamilia ya chanel hii , kiukweli unanibadilisha kila ninapo angalia kila unachokifundisha. BWANA akutunze!!
@OnieriSimion
@OnieriSimion 23 күн бұрын
Docta nimekuelewa
@mwendelwaaline1444
@mwendelwaaline1444 2 жыл бұрын
Kweli iyi somo inanigusa sana tena sana. Mimi na mpenzi wangu tunagombana sana tena zaidi kila siku. Akuna uaminifu kati yetu.
@raphaelyesaya188
@raphaelyesaya188 2 жыл бұрын
Kaka sio wew Tu Mim mpaka saiz mda huu nime itwa na balozi uku
@AngellasimonkivuyoSimon-of4xs
@AngellasimonkivuyoSimon-of4xs Жыл бұрын
Kufny nn kwabalozi
@361NEWS
@361NEWS Жыл бұрын
@@AngellasimonkivuyoSimon-of4xs😂😂😂😂😂😂😂
@ameria2332
@ameria2332 Жыл бұрын
😂😂😂MUNGU nisamehe yasinikute ,pole jaman😢
@aishadulla7364
@aishadulla7364 Жыл бұрын
@@raphaelyesaya188 🤣🤣🤣
@user-lq4rn8qp4x
@user-lq4rn8qp4x 6 ай бұрын
Nimekuelewa sana
@williumgeorge3888
@williumgeorge3888 2 жыл бұрын
The best lesson 🙏
@_.princesslinah
@_.princesslinah Жыл бұрын
Daaah uwelewaa nimejifunzaa 🥺
@Evarinfaustin
@Evarinfaustin 29 күн бұрын
Dr,Mungu akubariki me nina mume wangu tumezaa nae lakin hatujafunga ndoa lakin kuna kipindi tunagombana hadi inabidi niondoke nirudi nyumban ili kupunguza hasira lakini kuna mda yani tunaongea vizuri hadi naona raha nifanyaje na sijui huwa inakuwa shida ni nn
@glorykalunga4849
@glorykalunga4849 2 жыл бұрын
Ahasante kwa ushaur mzur Kaka
@user-xk3hd6xf3e
@user-xk3hd6xf3e Жыл бұрын
Hongera
@MohamediAthumani-ge1bq
@MohamediAthumani-ge1bq 10 ай бұрын
Mm Nina mpenz wangu Kila 2kikutana mm nayeye haniangaliii uson ata dakka m1 yn ananiona aibu sn tn zaid ya sn yn
@FredooCulture-zl9ou
@FredooCulture-zl9ou 7 ай бұрын
Kwel Dr unajua
@kekekelly1299
@kekekelly1299 2 жыл бұрын
Asant San Dr Chris 🙏
@giftmndeme6415
@giftmndeme6415 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza Dr.Chris🙏
@cymone6159
@cymone6159 9 ай бұрын
Umeniongelea mimi maana hata sasahivi siko sawa na mke wangu ahsante kwa mafunzo nitakaa chini kujifunza ili tuishi vyema
@UwezoAbeli
@UwezoAbeli Ай бұрын
😢😢 🙌🏻
@anastazianindi4184
@anastazianindi4184 10 ай бұрын
Nimepata somo kubwa
@directormwanguku
@directormwanguku 2 жыл бұрын
That's true
@raphaelyesaya188
@raphaelyesaya188 2 жыл бұрын
Blessing
@haulekanuth5393
@haulekanuth5393 Жыл бұрын
Inanigusa sana Dr
@eunicesimion4890
@eunicesimion4890 2 жыл бұрын
Doctor mimi nna shda moja nliwahi kua kwenye mahusiano mda mrefu badae nikaja nikaachana na mpenzi wangu. Cku izi nikipata mtu hata kama ananijali vp yani najikuta nmesha mpotezea tu yani ata sielewi kwanni
@ashaidd2912
@ashaidd2912 Жыл бұрын
Kweli kabisa huyo ni mm lkn maisha ndo yanafanya hivyo ndugu watu tunaokutana na balaa
@abedijunior4369
@abedijunior4369 Жыл бұрын
Duu Asante kaka kwa ushaul wako
@ArtstjamdiiAgamabigboy
@ArtstjamdiiAgamabigboy 8 ай бұрын
Broo bigi up sana broo wahaya sina hamu nao malaya wakubwa
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 5 ай бұрын
Umalaya ni Tabia Ya Mtu kila Sehem wapo wanao kuwa hiv
@MariaJoseph-be3zt
@MariaJoseph-be3zt Жыл бұрын
How do I deal with a cheating husband
@danielmlwafu4380
@danielmlwafu4380 5 ай бұрын
Aisee 😮🎉❤
@fahidashishi255
@fahidashishi255 2 ай бұрын
Mimi na mpenz wangu tunagombana sana na mim ndie chanzo na yeye uchukua atua kunifukuza kwake ikisha sijui kwa nini ila maray sana
@sufoorembo5925
@sufoorembo5925 2 жыл бұрын
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique🇲🇿
@Valdo.Suleiman
@Valdo.Suleiman 2 жыл бұрын
Uko zawapi sufo,me niko pemba
@sufoorembo5925
@sufoorembo5925 2 жыл бұрын
Palma
@neemashirima6121
@neemashirima6121 2 жыл бұрын
Mafunzo mazuri barikiwa San.
@emiliakilambo4879
@emiliakilambo4879 2 жыл бұрын
Asante Sana kwa somo zuri, naomba namba ya what's up Nina Mambo mengi ya kuomba ushauri.
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 5 ай бұрын
Sante jamn sisi tukiwa maliza wiki tumuombee Mungu yaan mwez hauishi Ugomvi usio na sababu mtu anatoka na Maneno hko anakuja kuuliza ukijib kosa ni ugomvi
@bintimchasa8557
@bintimchasa8557 2 жыл бұрын
Asante sana imenikusa mazima
@user-ct6cf4pb2y
@user-ct6cf4pb2y 7 ай бұрын
Samahani Dr,m na mume wng tumekuwa tukigombanana mume wng na kila tukigombana amekuwa akiniambia kila mtu afanye yake na amekuwa akinitelekeza na kwenda kuishi na rafiki yake lakini na anarudi tena nampokea
@janethisack735
@janethisack735 2 жыл бұрын
Asante
@user-kp6ju3pb9l
@user-kp6ju3pb9l Жыл бұрын
Wakati mwingine mtu anakua na ubabe uliopitiliza l hate sana😢
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Mbona kwangu aifunguki
@QueenMunisi-x6z
@QueenMunisi-x6z Ай бұрын
Nimejifunza mengi kwako mungu akupe maisha mrfu nafatilia san video zako lakin bado najikuta nang'ang'ania penzi fake sijui nashida gan nampenda mtu ambae hana mda na mimi namtumia txt hanijibu anajibu akijisikia na nikimwambia hiyo tabia sipendi anaomba msamh lakin bado anarudia kile kile usk .naomb nisaidie kaka nijitoe uku nashindwa
@WitnessHassan-gy3rz
@WitnessHassan-gy3rz Ай бұрын
Kuna shida hapo kuna kidudu mtu yupo hapo i akili yake imetekwa sehemu nyingine uwe na jicho la 3 Mahusiano fake
@agnessmhokole8600
@agnessmhokole8600 2 ай бұрын
Sisi ni wanandoa , lakini Mumewangu amezaa Zambia na mwanamke mwingine nifanyaje mwalim
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Criss mauki is the best 😅
@LoyceLoyce-fu9pc
@LoyceLoyce-fu9pc Ай бұрын
Eeh jamani me mpenz wang akiongeà nisipomuelewà ananitukanà kabisà jamani 😭😭😭😭me nimeamuà tyu nimuache coz anielekez kwalughà nzuuuuriiiiii but anàongeà kiukali duuuh me siwezi😭😭😭
@CikeTanzania
@CikeTanzania Ай бұрын
Pole sana ana tatizo sehem sio bure.
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 2 жыл бұрын
Mimi nagombana Sana hovyo,,,namke wangu
@UbatuHeri
@UbatuHeri 2 ай бұрын
Kweli hizi dalili za kugombana zaidi Mara kwa Mara zikiwepo dawa gani inaweza kutumiwa ili magomvi yaishe n'a kurudi kwenye hali ya kawaida ?
@KUZENZATV
@KUZENZATV 11 ай бұрын
Nasumbuliwa sana na mapenzi yan pak moyo unauma coz baby wangu anao weng
@user-oh5iu6jx2j
@user-oh5iu6jx2j 6 ай бұрын
Anza upya
@angelomary5542
@angelomary5542 2 ай бұрын
Nikweli hata Mimi na mpenzi wangu tunagombana kila mara na ukiangalia hakuna sababu ya msingi sijui mpaka sasa nifanyeje 😢
@user-ey2df6tz4s
@user-ey2df6tz4s 4 ай бұрын
I wish I listened to you sooner before I got into this fake marriage I would hav made a better decision,ata hivo naomba ushauri wako maanake tuko na watoto watatu sai lakn ndoa haina ladha wala amani 😢
@BongeBig-c2b
@BongeBig-c2b Ай бұрын
Nimelewa Sana apa kwenye ubinafsi
@jakiluluu1307
@jakiluluu1307 2 жыл бұрын
Kweli kabsa
@faithmaiseli609
@faithmaiseli609 Жыл бұрын
Aise mimi nampigia simu mara nyingi sana mume wangu maana ni mtu wa safari sana,lakini yeye anachuna kimyaa!nikichoka kupiga nayeye hapigi,nikaamua kutafuta company ya marafiki tu kwaajili ya mawasiliano maana nilipolalamika alilalamika zaidi naamua kunyamaza
@MagoriMonge-op1jr
@MagoriMonge-op1jr 10 ай бұрын
Fact
Dr. Chris Mauki: Dalili 6 za Penzi linaloegemea Upande Mmoja
12:16
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 8 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 5 МЛН
Dr. Chris Mauki: Dalili 5 kwamba upo kwenye mahusiano feki
31:04
Chris Mauki
Рет қаралды 462 М.
SABABU 3 ZA MWANAMKE KUKUACHA
12:56
Mbeki TV
Рет қаралды 35 М.
UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA
9:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 205 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII
31:50
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 569 М.
DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA
8:33
Joel Nanauka
Рет қаралды 132 М.
CHRIS MAUKI- UKITAKA KUFANIKIWA MTUNZE MKEO (FULL VIDEO)
36:54
Tacmen Group
Рет қаралды 67 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 8 МЛН