Kuna tofauti kubwa kati ya baba wa kweli na mwanaume wa kawaida tu. Unahitaji kuishi na baba na sio tu mwanaume wa kawaida. Ni vema uielewe tofauti ili ikusaidie na upate manufaa ya kuwa na baba wa kweli.
Пікірлер: 10
@karembo4955 Жыл бұрын
It's really true,,,,ju wanaume wengine wanajisahau sana na bibi akiamua Ku move on mwenyewe ndoadai kusamehew a
@mariamhassan5247 Жыл бұрын
Sana
@tabiamaheke Жыл бұрын
Nisawa kabisa
@abigaelmwadena2262 Жыл бұрын
Asante sana kaka kw SoMo zuri 👍 apo umsema kweli wako hivyo wanaume wasiku hiz💯✍️
@rev.musabalalarogersmusabalala Жыл бұрын
Ahsante Mauki
@adeccenter9193 Жыл бұрын
asanteeee
@gracejjanuary414 Жыл бұрын
Doctor.. i appreciate a lot 🙏 to be honest, Mungu akutunze ..