Hivi unajua kwamba hata wanaume nao wanapenda kusifiwa? Je huwa unamsifia Mume wako, au unadhani ni wewe tu ndiye unastahili kusifiwa na kupongezwa? Haya hapa maeneo 6 ya kumsifia na kumpongeza Mume wako. Jaribu uone matokeo yake
Пікірлер: 80
@Maggie-yx8pw Жыл бұрын
Kaka Chris Mauki Mungu akutunze na alibariki Tumbo lililokuzaa. 🙌🙏🙏🙏
@NimaNima-dh6zz5 ай бұрын
Chris mauki ni mmoja tu mwenye kutupa maneno ya hekima ktk mahusiano ubarikiwe sana salute ❤
@irennyamanda7465 Жыл бұрын
Kwakweli mie huwa nakuombea Mungu azidi kukutunza Dr Chris, maana huwa unafundisha mafundisho katika uhalisia na yamekuwa yakinipa maarifa kila iitwayo leo, Asante sana.
@mouzahal-alawi6474 Жыл бұрын
Dr.Chriss wewe Mkombozi..Ahsante sn..Love from Oman🇴🇲❤️
@Neema-fh1wp Жыл бұрын
Najilaumu sana kutokuona haya masomo mapema ,ila bado cjachelewa na yanitoe mahali sasa
@Franciamuro Жыл бұрын
Jamanii uko vizuri kaka yangu unagusa penyewe..mungu akutumie vile apendwvyo
@lazaronaata2249 Жыл бұрын
Nilihisi mpweke. Lakn nimepata message nzuri Mungu anisaidie
@penithaarchard Жыл бұрын
Asante Dr.chris Mauki Kwa kutupa mawazo mazuri ya kuijenga ndoa be blessed my dr.
@fatumajoliemwange7982 Жыл бұрын
Asante saaaana Dr. Ubarikiwe.lakini mimi niko naitaji bok yako kwa ruhuga ya English niko Sweden 🇸🇪
@FransiscaAdrew Жыл бұрын
Asante Sana ubarikiwe umenifahamisha nilivyokuwa sivijui
@VeronicaThomas-pb1cp11 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mafundisho mazuriii
@HamidakomboKombo-xs2ju2 ай бұрын
asante sana nimekuelewa .nimejifunza kwelikweli, ila wangu mimi hajali wazazi wangu😢😢😢
@asmashabani203227 күн бұрын
Pole kipenz
@hamidasira4543 Жыл бұрын
Asante unanifanya niwe imara kila siku
@heavenlight5084 Жыл бұрын
Asante kaka Chris but inakuaje pale mnavyoshauriana kufanya jambo,anaitika kua it's ok ntafanya,halafu huoni likifanyika
@claramrosso2566 Жыл бұрын
Asante dor.Chris Mauki
@PendoMwarja-gu9ii Жыл бұрын
Mungu akupe kila kilicho chako
@LianNdossy-zl9or Жыл бұрын
Asant sana Dr najifunza San vitu vingi kutoka Kwako
@aishankundwanabake8750 Жыл бұрын
Asante saana docta Chris unatufunza hamna wakupinga
@lydiahnafula180 Жыл бұрын
Learning..nikipata mtu hivi,basi
@lizzybethmayengoh Жыл бұрын
Thanks for good advise
@bernadinatemba7493 Жыл бұрын
Ahsante sana Dr🙏🏻
@REGINANDUNGURU-xl7nm Жыл бұрын
Asante doctor
@munaali7862 Жыл бұрын
HongeraSanaKwaManenoYakoMazuri
@AmeenaTanzania Жыл бұрын
Nakukubali sana uko sahii
@fatmahaji7661 Жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo
@PaulinaJue Жыл бұрын
Nashujkuru sana Dr umenierimisha
@gracemgimwa4775 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@jessicamasepo8320 Жыл бұрын
Shukrani
@nanceaidan6622 Жыл бұрын
Asante kwa somo
@veronicaexavery784 Жыл бұрын
Yanii huyu kaka anafanya nakuwa mpya kila siku kwenye mahusiano yangu hata kelele nimeacha jamani😂😂😂
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
😅😅hongra sana
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe. Ameen
@drvidah7030 Жыл бұрын
Umpe zawadi sasa😂😂😂😂
@happyemanuel2070 Жыл бұрын
Mim pia amenijenga aisee
@joyce55727 Жыл бұрын
😁😁
@Dorothyzawadikalume9 ай бұрын
Asante
@favor_is_my_name Жыл бұрын
🙏🙏 barikiwa sana mtumishi
@ImanMarasi8 ай бұрын
Hii nikweli japo mwanadamu kumuridhisha nikazi San ila ataikitokea akakuacha hiyo neno yako iliyokua na Mwambie itamugarimu san 🙏🙏🙏
@pendo80823 ай бұрын
Point
@geraldmwangira.4978 Жыл бұрын
Yaan haya mafunzo yanabadilisha kwa kweli.
@rithamlacha5403 Жыл бұрын
Be blessed.
@eunicesimion4890 Жыл бұрын
Ivi doctor Chris... eeeh aya bwana
@amneally41352 ай бұрын
Santeee
@piusnyamari77263 ай бұрын
It's❤❤😊 2:51
@dayana5513story Жыл бұрын
Thank God nayajua yote haya my future husband where are you
@alicenice1711 Жыл бұрын
Aa kwanza leo nipeni like zangu😂
@HaniyaKisingo Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi🎉
@jazzymkalitv5535 Жыл бұрын
Na kama hafanyi chochote kile zaidi ya sex, utamsifiaje? Pesa zote zatumwa kwa mahawara zake halafu zangu mie ni za familia? Utasifia nini hapo?
@fatmahaji7661 Жыл бұрын
😂🤣🤣utamsifia kwa iyo iyo sex
@drvidah7030 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 uyo ni mmama sasa
@christinajisena2634 Жыл бұрын
Na chakula anakuta mezani? Mm hakuti kwa kweli, nusamehewe tu
@Aminajuma-q1y3 ай бұрын
Yani yeye kazi yake hapo ni sex tu uwiiiiiii Mimi siwez kwanza sipiki kabisa alaf aje Sasa aulize chakula mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhh hehehehe
@adelinaamosi943725 күн бұрын
Yan nguvu ya kusifia hta huipatii??
@HeenaArtist-zay2 ай бұрын
💯❤️
@noursuleiman18832 ай бұрын
🎉
@SarafinaNaftali-lw2gk Жыл бұрын
Kweli
@GodsonJoel-n5l10 ай бұрын
Asant daras linanfunza
@SarahMussa-d5s Жыл бұрын
Nimeamini mwanaum apendi kulalamika ila Kwa sasa nimeacha kelele napendwa sio pw
@NasrahMoses8 ай бұрын
Duuh Yan mi ndo nilikua na kelele
@adelinaamosi943725 күн бұрын
Kumbe kulalamika ni kelelee
@FarhiaSwai Жыл бұрын
🙏🙏
@munaali7862 Жыл бұрын
MonaAli
@Manka-g5y Жыл бұрын
Naomba kujua wale wanaume wa 50% 50% yani nusu kwa nusu huyu sasa unamweheshimu au tuheshimiane tu