Shukraaan hakika nimejifunza hapaaa somo zuri sanaa ahsante sanaa dr.mauki
@MARIAMARIA-j3r8 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu
@ChrissmartinPaul-j5l Жыл бұрын
Thanks Doctor
@rebekajohn94712 жыл бұрын
Asante doctor chris
@jamesobedy39402 жыл бұрын
Mapenzi ni bahati nasibu jamani tukubali kushindwa na kushinda 😭
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
mapenzi ni mchezo ambao auereweki😢mm nimeshakataa tamaa kabisaa na mapenzi kila siku nimekua mtu wa kuumizwa tu😊nimechoka na nimekata tamaa
@salmasaid71122 жыл бұрын
Usikatee tamaaa kwani watu hawalingani 💪kua na nguvu nyengine ili uwe imara zaid
@rhodasaid32622 жыл бұрын
Katika kila kitu kinachogusa maisha, changamoto ni lazima yaani haziepukiki na hakuna dhambi kubwa kuliko zote kama kukata tamaa, Omba upate uwezo wa kustahmili kila hali isiyo ya kawaida kwako utashinda mpendwa, Asante!!
@uwinezaleillah9951 Жыл бұрын
Duuuh poleee saaan yn hako kamcgezo me nilishag achana nako maan kanachosh saan😂😂😂
@BettyAlex-m9z11 ай бұрын
Mmmh Yan ukishagundua unasilitiwa n sumu moyon
@saraphinasahani5104 Жыл бұрын
😊
@BeibyAziza11 ай бұрын
Mimi nasikiliza nakupitia coment😅😅
@gracemasubo94259 ай бұрын
Naomb namba yako
@asteriashios18525 ай бұрын
Angalia hapo namba yake anapoongea Kuna muda inapita