Ndoa nyingi leo zinapata tabu kwasabau watu walichemka vitu muhimu wakati wa uchumba, je unavijua vitu hivyo? Fuatana nami nikusaidie kuvijua kimoja baada ya kingine #DrChrisMauki#Mchumba#Kuoana
Пікірлер: 148
@Maggie-yx8pw3 жыл бұрын
Mungu akutunze Dr kwakweli hakika ningeyapata madini hayaa before dahhhhhh, Vijana nawasihi sanaaa msikurupukie maisha na Mahusiano hayaaaa ya kujuana Mjini, Chuoni Jamani chunguzaneni kwanza.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@Maggie-yx8pw2 жыл бұрын
Ndio Dr na ninakufatilia sanaa My Mentor 🙋🏻♀️🙋🏻♀️
@heavenlight50843 жыл бұрын
Shikamoo mahusiano, MUNGU atusaidie sana mabinti
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@viulinemwachofi56412 жыл бұрын
Amen Dr kumbe wewe Ni mtumish wa Mungu barikiwa sanaa naomba unisaidie Niko na Jambo linanitatiza
@nsajigwamwambungu8863 Жыл бұрын
Kwa kweli kaka yangu Mungu akutunze daima kwa maana masomo unayoachilia kwa kweli haya masomo yananijenga na nazidi kuelimika zaidi
@alisburundi96572 жыл бұрын
Asante sana mtumishiwa mungu
@shukranjulius95262 жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka Chris mauki
@evalinabenard7433 жыл бұрын
Nakuelew Sana dr
@hlimaabdullah95652 жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@ireengadiel41372 жыл бұрын
Asante mtumishi nijifunza n
@leahmungure6538 Жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza kwani umekuwa msaada mkubwa kwangu nafuatilia sana mafunzo yako You are blessed indeed 🙏🙌🌟😇
@zaitunialli1223 Жыл бұрын
Hongera sana doctor
@piusundisputed2 жыл бұрын
Hongera Dr. napata maarifa Kila cikuu
@jovinakendi32072 жыл бұрын
God bless you Dr mafundisho Yako yamewatoa wengi shimoni.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@lydiamburia4113 Жыл бұрын
Thank you Daktari for putting it as it is. God Almighty bless you AMEN.
@yasintasamson6247 Жыл бұрын
MUNGU akbaliki Sana bro ,,somo zuri 💯 inatsaidia sana
@sarafinamagabe24373 жыл бұрын
Sema kweli mm nimeshindwa mahusiano yanaumiza mnoo
@seraphineally97393 жыл бұрын
Pole sanaa wajna tupo wengi
@sarafinamagabe24373 жыл бұрын
@@seraphineally9739 asante Yaan himebidi nikae tuu nitulie huwenda hipo siku Mungu ataniletea anayenipenda kweli
@seraphineally97393 жыл бұрын
@@sarafinamagabe2437 Mungu ni mwema alafu wakati wake ni sahihi ipo siku yetu tu hahaha
@saumuameer48163 жыл бұрын
@@sarafinamagabe2437 tupo wengi dada nimefikia tamati🙌
@renfridaflorence43803 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Tupo wengi usijari ipo siku Utampata wa kukupenda
@filbertroland21803 жыл бұрын
Nice
@magdabenben75473 жыл бұрын
somo zuri
@deogratiusmecky13202 жыл бұрын
Umenitengenezea njia. Respect for you
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@gracejjanuary414 Жыл бұрын
Seriously the early is better 👏👏
@emmaditrick32653 жыл бұрын
Good
@dianajoel54132 жыл бұрын
Ubarikiwee kwa ujumbe mzurii unaotusaidia
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@jackycute20473 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho baba
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@user-vk3yz8gs1j Жыл бұрын
Ansante sanababa
@ceciliasadala62203 жыл бұрын
Ahsante kaka,ubarikiwe sana.
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Amen asante sana
@aminalibondo75073 жыл бұрын
Shukran xn nimejifunza
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@bennieathuman99173 жыл бұрын
Yaaaaah balaaah Sana mahusiono
@Maggie-yx8pw3 жыл бұрын
Cio balaa no tatizo la kukurupuka tunakutana Mjini na kuvamiana bila kujuana ndio athari na faida zake hizi msikilize Dr Mauki utapona. Pole Bennie
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Hahaaaa Asante kaka
@upendosollomon89983 жыл бұрын
Da navutiwa na mafundisho yako dr balikiwa.🙏🙏
@zawadipeter71523 жыл бұрын
Ishi tu kaka angu MUNGU awabariki sana
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@nyawiranyaga9614 Жыл бұрын
Wueh, sisemi kitu mie...masomo makuu haya.🤗🇰🇪
@decacheru70652 жыл бұрын
Hongera kwa mafunzo
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@kulwamartin2953 жыл бұрын
Nakufatilia Dr.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@lilianlubanga40102 жыл бұрын
Very interesting Topic.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@lightnesselia7653 жыл бұрын
Doctor Mung akutunze, Mung akukumbuke pia akupe maisha marefu ili kilichomo ndani yako tuendelee kukipata
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@geusalu20713 жыл бұрын
Chris mauki kwenye ndoa unasema kwel
@lovenesslovenessdevid41263 жыл бұрын
Duuuu! Mungu atusaidie jmn
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Asante Sana nmegundua channel hili leo wow umenisaidia sana maanake nmekaribia kusema yes i do Mungu nitangulie
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@jacklinejoseph40603 жыл бұрын
Amen..... Nimekuelewa
@ChrisMauki13 жыл бұрын
Nashkuru kwa kunielewa
@marrykyamba25903 жыл бұрын
Asant dkt natesekaa mm Ila nmekuelewaa
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
Daaa Basi nmefanya kitu sahihi tumepishana MIAKA 5 doctor
@alexkishimbo4823 жыл бұрын
Nimekuelewa sawa sawa dr mauki.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@linetnazi87553 жыл бұрын
asante
@najmahamiri68892 жыл бұрын
Dr barikiwa sawa hunapatikana wap
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Hapa Dar, Esaurp survey karibu na mlimani city 0713407182
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@najmahamiri68892 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 nipo dar ila hy sehemu sjawai fik naomba nikupgie unipe maelezo ya hudum
@najmahamiri68892 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 maan nahitj sana msaada wako
@axerkinota35103 жыл бұрын
Blessings man of God
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@nancyfamilysharesmoments76346 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana leo
@maryamconstantine22322 жыл бұрын
😂😂😂eti acha umalaya
@plumbingtanzaniaplumber75703 жыл бұрын
Kaka hilo somo kwa hiyo kanuni. ingefaa sana uwafundishe wasiooa kwa waliooa halifai
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ayubugeorge21682 жыл бұрын
PART AKE IKO WAP SASA
@amonramothy67902 жыл бұрын
Nafurahia sana kutazama na kufuatilia mafundisho yako..
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@amonramothy67902 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 Amen Amen
@Thisislilian3 жыл бұрын
What a lesson
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@marydaka2639 Жыл бұрын
😁😁
@omariochumu9353 жыл бұрын
Barikiwa sana
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@roseallen71982 жыл бұрын
Huyo alipigiwa makofi nimempenda bure
@eunice3001 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe Pasto mm EUNICE kadii Charo kutoka maneno ya kilifi country Kwa ssa niko Qatar ni Kwa utafurahia BT nko single mother niliachhwa na Mzee Wangu akaona mtu mwengine tokaniachane naye nimekaa 8years good c eti c,tongozwi lkn nko na hofu je? Naweza pata mume ambaye tulioana hata niacha? Ju Niko na 3kids ila maisha ya ukweke yamechosha je nifanye nn mpaka niondoe hofu hio?
@hamadmkopi51363 жыл бұрын
Somo zuri, lakini masomo yako mengi yanawaona wanaume ndiyo wakosaji na ndiyo wanaoumiza wengine, hivi wanawake siyo waharibifu wa ndoa.
@barackleonardo77433 жыл бұрын
Wanawake ndo wateja wake, lakini ukiona titles zake unaweza kufikiri inahusu wote ila ukisikiliza mwanzo mwisho yeye ni wanawake tu ndo victims
@adelinamwakapesa4083 жыл бұрын
Mm ninamchumba naweza nikamwambia nataka kukaa nae
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Je kuna uongo kwamba asilimia kubwa ya ndoa (ingawa sio zote) wanawake ndio victims? Kuna anayepingana na ukweli huu au unaamua tu kujitetea. Na.sio.kweli kwamba yote nifundishayo yanahusu wanawake.tu, bado kujafanya search yako vizuri kwenye mafundisho yangu. Kagua utanielewa
@EvodearVenance-im8sz Жыл бұрын
Msach vzr achagui Wala abagui mafunzo yake mazur sana
@wilsonlevayoni23613 жыл бұрын
Tunaomba mwendelezo wa mafundisho haya ,imeishia B
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
😂😂😂😂roho mtakatifu ame nionyesha,misemo ya wamchao mungu
@liannsambu72643 жыл бұрын
Siwapendagi hao wanaojifanya ata hisia wanasingizia kuoteshwa washindwe
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@giftlisapita6033 жыл бұрын
hapo kwenye 16:39 jamani😂😂😂
@michaelmasanja51683 жыл бұрын
Acha mambo ya umalaya... Hahahahaha
@danyrama8278 Жыл бұрын
Dk mauki nina mahusiano ambayo siyaelew yaenda mbele yanarudi nifanyaje maana nimevumilia sasa nahisi kuchoka
@happyvan66133 жыл бұрын
Unachelewa kiweka part two
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jessymalembeka61813 жыл бұрын
HAHAHAHA HAFI ANAZIMIA,DUUUUUU,NIMECHEKAAAAA
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@restutamjuni47393 жыл бұрын
Maneno yanagusa moyo haya
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@tatutza64652 жыл бұрын
Ubatikiwe
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@liliangasparliliangasparha53692 жыл бұрын
Dr chris mimi nipo kweny mausiano ambayo siyaelwei kabisa kwa sababu tulikutana bar nilikuwa nafanya kaz sasa kaniambia anaitaji niache kaz hyo ili aniowe lakin kaniambia nikimzalia ndy atakuwa na siliazi na mimi na nimejalibu kusikiliza wew vipind vyako ndy vimenifumbua naitaji unishauli please
@asmahtamla4749 Жыл бұрын
Mh! Hana MAPENZI ya kweli huyo be careful dada
@user-dx4qp7sg4w8 ай бұрын
Ukimxalia imekula kwako utakuwa Malay tu!!
@scholazakayo35933 жыл бұрын
DR huwa unafanyia wapi semina zako?
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jamilaboma99992 жыл бұрын
Ofisi zako zipo wap nam nahitaj kufika hapo kupata ushauri
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@devothafrederick43523 жыл бұрын
Anataka kumkiss anasema acha mambo ya umalaya
@Bianca-vo6yg3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@danielkusyama80382 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu mie jamn polee
@merryluvanga86243 жыл бұрын
Nilikuwa mbli na mpenz wangu nimeludi nimegundua ananichiti Dr nifanye nni na anaonyesha kunipendasan na kunijari
@maj17tv323 жыл бұрын
Angekua Anakupenda asinge kuchit kutakua na tatizo hpo
@lizb20123 жыл бұрын
Huyo hakufai
@catherineshayo6563 жыл бұрын
Daaaaah
@merryluvanga86243 жыл бұрын
Saw a nimehelewa sa nifanyeje dr MNA ashakuwa Mme wangu nifanye nn?
@hamzahussein44933 жыл бұрын
@@merryluvanga8624 mwanaume akicheat nje hafanyi kwa kuwa hakupendi, tumeumbiwa tamaa. Kama mlikuwa mbali ongea naye na umsamehe. Kama anakupenda na anatekeleza majukumu yake shukuru tu. Wanaume wasiocheat ni ngumu kumpata labda kama utaamua kuishi mwenyewe.
@upendosollomon89983 жыл бұрын
Da navutiwa na mafundisho yako dr balikiwa.🙏🙏
@ChrisMauki13 жыл бұрын
asante sana
@ChrisMauki12 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182