Dr. Chris Mauki: Mambo 8 ya kuwa makini kwa mchumba wako kabla ya kuoana. (Part 1)

  Рет қаралды 86,557

Chris Mauki

Chris Mauki

3 жыл бұрын

Ndoa nyingi leo zinapata tabu kwasabau watu walichemka vitu muhimu wakati wa uchumba, je unavijua vitu hivyo? Fuatana nami nikusaidie kuvijua kimoja baada ya kingine
#DrChrisMauki#Mchumba#Kuoana

Пікірлер: 148
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 3 жыл бұрын
Mungu akutunze Dr kwakweli hakika ningeyapata madini hayaa before dahhhhhh, Vijana nawasihi sanaaa msikurupukie maisha na Mahusiano hayaaaa ya kujuana Mjini, Chuoni Jamani chunguzaneni kwanza.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 2 жыл бұрын
Ndio Dr na ninakufatilia sanaa My Mentor 🙋🏻‍♀️🙋🏻‍♀️
@heavenlight5084
@heavenlight5084 3 жыл бұрын
Shikamoo mahusiano, MUNGU atusaidie sana mabinti
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@viulinemwachofi5641
@viulinemwachofi5641 2 жыл бұрын
Amen Dr kumbe wewe Ni mtumish wa Mungu barikiwa sanaa naomba unisaidie Niko na Jambo linanitatiza
@nsajigwamwambungu8863
@nsajigwamwambungu8863 Жыл бұрын
Kwa kweli kaka yangu Mungu akutunze daima kwa maana masomo unayoachilia kwa kweli haya masomo yananijenga na nazidi kuelimika zaidi
@alisburundi9657
@alisburundi9657 2 жыл бұрын
Asante sana mtumishiwa mungu
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 2 жыл бұрын
Barikiwa zaidi kaka Chris mauki
@evalinabenard743
@evalinabenard743 3 жыл бұрын
Nakuelew Sana dr
@hlimaabdullah9565
@hlimaabdullah9565 2 жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@ireengadiel4137
@ireengadiel4137 2 жыл бұрын
Asante mtumishi nijifunza n
@leahmungure6538
@leahmungure6538 Жыл бұрын
Mungu azidi kukutunza kwani umekuwa msaada mkubwa kwangu nafuatilia sana mafunzo yako You are blessed indeed 🙏🙌🌟😇
@zaitunialli1223
@zaitunialli1223 Жыл бұрын
Hongera sana doctor
@piusundisputed
@piusundisputed 2 жыл бұрын
Hongera Dr. napata maarifa Kila cikuu
@jovinakendi3207
@jovinakendi3207 2 жыл бұрын
God bless you Dr mafundisho Yako yamewatoa wengi shimoni.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@lydiamburia4113
@lydiamburia4113 Жыл бұрын
Thank you Daktari for putting it as it is. God Almighty bless you AMEN.
@yasintasamson6247
@yasintasamson6247 Жыл бұрын
MUNGU akbaliki Sana bro ,,somo zuri 💯 inatsaidia sana
@sarafinamagabe2437
@sarafinamagabe2437 3 жыл бұрын
Sema kweli mm nimeshindwa mahusiano yanaumiza mnoo
@seraphineally9739
@seraphineally9739 3 жыл бұрын
Pole sanaa wajna tupo wengi
@sarafinamagabe2437
@sarafinamagabe2437 3 жыл бұрын
@@seraphineally9739 asante Yaan himebidi nikae tuu nitulie huwenda hipo siku Mungu ataniletea anayenipenda kweli
@seraphineally9739
@seraphineally9739 3 жыл бұрын
@@sarafinamagabe2437 Mungu ni mwema alafu wakati wake ni sahihi ipo siku yetu tu hahaha
@saumuameer4816
@saumuameer4816 3 жыл бұрын
@@sarafinamagabe2437 tupo wengi dada nimefikia tamati🙌
@renfridaflorence4380
@renfridaflorence4380 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Tupo wengi usijari ipo siku Utampata wa kukupenda
@filbertroland2180
@filbertroland2180 3 жыл бұрын
Nice
@magdabenben7547
@magdabenben7547 3 жыл бұрын
somo zuri
@deogratiusmecky1320
@deogratiusmecky1320 2 жыл бұрын
Umenitengenezea njia. Respect for you
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@gracejjanuary414
@gracejjanuary414 Жыл бұрын
Seriously the early is better 👏👏
@emmaditrick3265
@emmaditrick3265 3 жыл бұрын
Good
@dianajoel5413
@dianajoel5413 2 жыл бұрын
Ubarikiwee kwa ujumbe mzurii unaotusaidia
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@jackycute2047
@jackycute2047 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho baba
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@user-vk3yz8gs1j
@user-vk3yz8gs1j Жыл бұрын
Ansante sanababa
@ceciliasadala6220
@ceciliasadala6220 3 жыл бұрын
Ahsante kaka,ubarikiwe sana.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
Amen asante sana
@aminalibondo7507
@aminalibondo7507 3 жыл бұрын
Shukran xn nimejifunza
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@bennieathuman9917
@bennieathuman9917 3 жыл бұрын
Yaaaaah balaaah Sana mahusiono
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw 3 жыл бұрын
Cio balaa no tatizo la kukurupuka tunakutana Mjini na kuvamiana bila kujuana ndio athari na faida zake hizi msikilize Dr Mauki utapona. Pole Bennie
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Hahaaaa Asante kaka
@upendosollomon8998
@upendosollomon8998 3 жыл бұрын
Da navutiwa na mafundisho yako dr balikiwa.🙏🙏
@zawadipeter7152
@zawadipeter7152 3 жыл бұрын
Ishi tu kaka angu MUNGU awabariki sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@nyawiranyaga9614
@nyawiranyaga9614 Жыл бұрын
Wueh, sisemi kitu mie...masomo makuu haya.🤗🇰🇪
@decacheru7065
@decacheru7065 2 жыл бұрын
Hongera kwa mafunzo
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@kulwamartin295
@kulwamartin295 3 жыл бұрын
Nakufatilia Dr.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@lilianlubanga4010
@lilianlubanga4010 2 жыл бұрын
Very interesting Topic.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@lightnesselia765
@lightnesselia765 3 жыл бұрын
Doctor Mung akutunze, Mung akukumbuke pia akupe maisha marefu ili kilichomo ndani yako tuendelee kukipata
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@geusalu2071
@geusalu2071 3 жыл бұрын
Chris mauki kwenye ndoa unasema kwel
@lovenesslovenessdevid4126
@lovenesslovenessdevid4126 3 жыл бұрын
Duuuu! Mungu atusaidie jmn
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 2 жыл бұрын
Asante Sana nmegundua channel hili leo wow umenisaidia sana maanake nmekaribia kusema yes i do Mungu nitangulie
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@jacklinejoseph4060
@jacklinejoseph4060 3 жыл бұрын
Amen..... Nimekuelewa
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
Nashkuru kwa kunielewa
@marrykyamba2590
@marrykyamba2590 3 жыл бұрын
Asant dkt natesekaa mm Ila nmekuelewaa
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Daaa Basi nmefanya kitu sahihi tumepishana MIAKA 5 doctor
@alexkishimbo482
@alexkishimbo482 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sawa sawa dr mauki.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@linetnazi8755
@linetnazi8755 3 жыл бұрын
asante
@najmahamiri6889
@najmahamiri6889 2 жыл бұрын
Dr barikiwa sawa hunapatikana wap
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Hapa Dar, Esaurp survey karibu na mlimani city 0713407182
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@najmahamiri6889
@najmahamiri6889 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 nipo dar ila hy sehemu sjawai fik naomba nikupgie unipe maelezo ya hudum
@najmahamiri6889
@najmahamiri6889 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 maan nahitj sana msaada wako
@axerkinota3510
@axerkinota3510 3 жыл бұрын
Blessings man of God
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 6 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana leo
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 2 жыл бұрын
😂😂😂eti acha umalaya
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 3 жыл бұрын
Kaka hilo somo kwa hiyo kanuni. ingefaa sana uwafundishe wasiooa kwa waliooa halifai
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ayubugeorge2168
@ayubugeorge2168 2 жыл бұрын
PART AKE IKO WAP SASA
@amonramothy6790
@amonramothy6790 2 жыл бұрын
Nafurahia sana kutazama na kufuatilia mafundisho yako..
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@amonramothy6790
@amonramothy6790 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 Amen Amen
@Thisislilian
@Thisislilian 3 жыл бұрын
What a lesson
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@marydaka2639
@marydaka2639 Жыл бұрын
😁😁
@omariochumu935
@omariochumu935 3 жыл бұрын
Barikiwa sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@roseallen7198
@roseallen7198 2 жыл бұрын
Huyo alipigiwa makofi nimempenda bure
@eunice3001
@eunice3001 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe Pasto mm EUNICE kadii Charo kutoka maneno ya kilifi country Kwa ssa niko Qatar ni Kwa utafurahia BT nko single mother niliachhwa na Mzee Wangu akaona mtu mwengine tokaniachane naye nimekaa 8years good c eti c,tongozwi lkn nko na hofu je? Naweza pata mume ambaye tulioana hata niacha? Ju Niko na 3kids ila maisha ya ukweke yamechosha je nifanye nn mpaka niondoe hofu hio?
@hamadmkopi5136
@hamadmkopi5136 3 жыл бұрын
Somo zuri, lakini masomo yako mengi yanawaona wanaume ndiyo wakosaji na ndiyo wanaoumiza wengine, hivi wanawake siyo waharibifu wa ndoa.
@barackleonardo7743
@barackleonardo7743 3 жыл бұрын
Wanawake ndo wateja wake, lakini ukiona titles zake unaweza kufikiri inahusu wote ila ukisikiliza mwanzo mwisho yeye ni wanawake tu ndo victims
@adelinamwakapesa408
@adelinamwakapesa408 3 жыл бұрын
Mm ninamchumba naweza nikamwambia nataka kukaa nae
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Je kuna uongo kwamba asilimia kubwa ya ndoa (ingawa sio zote) wanawake ndio victims? Kuna anayepingana na ukweli huu au unaamua tu kujitetea. Na.sio.kweli kwamba yote nifundishayo yanahusu wanawake.tu, bado kujafanya search yako vizuri kwenye mafundisho yangu. Kagua utanielewa
@EvodearVenance-im8sz
@EvodearVenance-im8sz Жыл бұрын
Msach vzr achagui Wala abagui mafunzo yake mazur sana
@wilsonlevayoni2361
@wilsonlevayoni2361 3 жыл бұрын
Tunaomba mwendelezo wa mafundisho haya ,imeishia B
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@hildathamid7741
@hildathamid7741 Жыл бұрын
Nilikua kwenye mahusiano mwaume simuelew hanitafut mpka nimtafute mie nami nkampotezea saiv nmeskia anataka kuowa kwengne
@christopherleonard5992
@christopherleonard5992 8 ай бұрын
𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒂𝒌𝒖𝒃𝒂𝒓𝒊𝒌𝒊
@liidiliidia8034
@liidiliidia8034 3 жыл бұрын
Nikamim
@aysherkhamis1803
@aysherkhamis1803 2 жыл бұрын
😂😂😂😂ukigusa tu unakufa washangaa anazimia
@agapejosceline7683
@agapejosceline7683 3 жыл бұрын
😂😂😂😂roho mtakatifu ame nionyesha,misemo ya wamchao mungu
@liannsambu7264
@liannsambu7264 3 жыл бұрын
Siwapendagi hao wanaojifanya ata hisia wanasingizia kuoteshwa washindwe
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@giftlisapita603
@giftlisapita603 3 жыл бұрын
hapo kwenye 16:39 jamani😂😂😂
@michaelmasanja5168
@michaelmasanja5168 3 жыл бұрын
Acha mambo ya umalaya... Hahahahaha
@danyrama8278
@danyrama8278 Жыл бұрын
Dk mauki nina mahusiano ambayo siyaelew yaenda mbele yanarudi nifanyaje maana nimevumilia sasa nahisi kuchoka
@happyvan6613
@happyvan6613 3 жыл бұрын
Unachelewa kiweka part two
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jessymalembeka6181
@jessymalembeka6181 3 жыл бұрын
HAHAHAHA HAFI ANAZIMIA,DUUUUUU,NIMECHEKAAAAA
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 3 жыл бұрын
Maneno yanagusa moyo haya
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@tatutza6465
@tatutza6465 2 жыл бұрын
Ubatikiwe
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@liliangasparliliangasparha5369
@liliangasparliliangasparha5369 2 жыл бұрын
Dr chris mimi nipo kweny mausiano ambayo siyaelwei kabisa kwa sababu tulikutana bar nilikuwa nafanya kaz sasa kaniambia anaitaji niache kaz hyo ili aniowe lakin kaniambia nikimzalia ndy atakuwa na siliazi na mimi na nimejalibu kusikiliza wew vipind vyako ndy vimenifumbua naitaji unishauli please
@asmahtamla4749
@asmahtamla4749 Жыл бұрын
Mh! Hana MAPENZI ya kweli huyo be careful dada
@user-dx4qp7sg4w
@user-dx4qp7sg4w 8 ай бұрын
Ukimxalia imekula kwako utakuwa Malay tu!!
@scholazakayo3593
@scholazakayo3593 3 жыл бұрын
DR huwa unafanyia wapi semina zako?
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jamilaboma9999
@jamilaboma9999 2 жыл бұрын
Ofisi zako zipo wap nam nahitaj kufika hapo kupata ushauri
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
@devothafrederick4352
@devothafrederick4352 3 жыл бұрын
Anataka kumkiss anasema acha mambo ya umalaya
@Bianca-vo6yg
@Bianca-vo6yg 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@danielkusyama8038
@danielkusyama8038 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu mie jamn polee
@merryluvanga8624
@merryluvanga8624 3 жыл бұрын
Nilikuwa mbli na mpenz wangu nimeludi nimegundua ananichiti Dr nifanye nni na anaonyesha kunipendasan na kunijari
@maj17tv32
@maj17tv32 3 жыл бұрын
Angekua Anakupenda asinge kuchit kutakua na tatizo hpo
@lizb2012
@lizb2012 3 жыл бұрын
Huyo hakufai
@catherineshayo656
@catherineshayo656 3 жыл бұрын
Daaaaah
@merryluvanga8624
@merryluvanga8624 3 жыл бұрын
Saw a nimehelewa sa nifanyeje dr MNA ashakuwa Mme wangu nifanye nn?
@hamzahussein4493
@hamzahussein4493 3 жыл бұрын
@@merryluvanga8624 mwanaume akicheat nje hafanyi kwa kuwa hakupendi, tumeumbiwa tamaa. Kama mlikuwa mbali ongea naye na umsamehe. Kama anakupenda na anatekeleza majukumu yake shukuru tu. Wanaume wasiocheat ni ngumu kumpata labda kama utaamua kuishi mwenyewe.
@upendosollomon8998
@upendosollomon8998 3 жыл бұрын
Da navutiwa na mafundisho yako dr balikiwa.🙏🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
asante sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
Asante sana kunifuatilia na kujifunza. Natumaini umesha subscribe channel hii. Kwa Ushauri tutafute kwa Namba 0713 407182
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 68 МЛН
Dr.Chris Mauki: Nguvu Ya Mahusiano Ya Chumbani
28:57
Chris Mauki
Рет қаралды 40 М.
MITIMINGI # 338 MAISHA HALISI YA NDOA UONEKANA BAADA YA MIAKA MI5 YA NDOA
18:50
Dr. Chris Mauki: Tabia 9 zitakazokuongezea ujasiri maishani
12:13
SAIKOLOJIA YA WIVU KWA WANAWAKE -  JOEL NANAUKA
18:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 57 М.
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН