Dr. Chris Mauki: Mambo matano (5) ambayo hupaswi kumwambia mkeo

  Рет қаралды 144,937

Chris Mauki

Chris Mauki

4 жыл бұрын

Umewahi kujiuliza kwanini kuna baadhi ya maneno ukiyasema mbele ya mkeo anapaniki sana na mnagombana? Angalia video hii nikupe sababu.
#DrChrisMauki#Mahusiano#Videos

Пікірлер: 225
@elishangomele9937
@elishangomele9937 4 жыл бұрын
Vitu vyote ulivyoviongea Dr mauki huwa sivipendi kuviongea mbele za mke wangu kabisa na spendi kabisa kumuzalau
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Ni kweli nimekuwa muhanga wa kuambiwa hayo,Asante mungu akubariki kwa mafundisho haya,
@allenkeneth8493
@allenkeneth8493 2 жыл бұрын
Asante mwalimu sababu somo nimelielewa Na naweza vipi kurudisha furaha tena katika mahusiano yangu
@lameckmoran1343
@lameckmoran1343 4 жыл бұрын
Umeniongezea maalifa. Mungu akubariki
@siwemandila4148
@siwemandila4148 3 жыл бұрын
Asante sana Dr,unaongea kweli.
@kaanaelmbise3535
@kaanaelmbise3535 4 жыл бұрын
Dr.! Nimekuelewa sana.
@nativeinfotv9620
@nativeinfotv9620 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 3 жыл бұрын
ASANTE DR.WENGI WETU TUNAPITIA HAYO..NAJUA SIKU MOJA WATABADILIKA.
@fatimanoh2575
@fatimanoh2575 4 жыл бұрын
Tanx doc
@joycemanyilizu4945
@joycemanyilizu4945 3 жыл бұрын
Asante kwa darasa Dr
@Alexandartemba-hv2gd
@Alexandartemba-hv2gd 7 ай бұрын
nimeipenda hii nimejifunza sana doctar
@mecksonwilson2962
@mecksonwilson2962 4 жыл бұрын
Genius xn chris mauki
@rehemaibrahim8758
@rehemaibrahim8758 2 жыл бұрын
Yn unayosema 2nayapitia yn nakuombea kwa mungu akupe afya njema dr mungu akubariki sana
@DaveHumphrey2514
@DaveHumphrey2514 4 жыл бұрын
02:27 NDIO POINT YA KWANZA INAANZA, you welcome.
@accountinauzwa2225
@accountinauzwa2225 4 жыл бұрын
umetisha
@emmanuelzao
@emmanuelzao 4 жыл бұрын
Ahsante sana👍🏼
@marylucas6957
@marylucas6957 4 жыл бұрын
Asante Sana
@felixmhando7071
@felixmhando7071 3 жыл бұрын
Safi mzee baba
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 4 жыл бұрын
barikiwa dr
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 жыл бұрын
God bless you br...
@gideonboss5079
@gideonboss5079 4 жыл бұрын
Great! Sir ..nimeelewa Dr.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@asiliyetuafrika9542
@asiliyetuafrika9542 3 жыл бұрын
Ahsante sana mkuu
@cliffkingi
@cliffkingi 4 жыл бұрын
Hi...iko sawa kabisaaa
@israelilunde9618
@israelilunde9618 4 жыл бұрын
Uko Sahihi Dr Chris Mauki
@israelimunuo3538
@israelimunuo3538 4 жыл бұрын
Mafunzo mazuri sana ya ndoa barikiwa @Dr Chris Mauki!👏👏👏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@uredydbl2594
@uredydbl2594 2 жыл бұрын
barikiwa sana najifunza
@chakuboyofficial9720
@chakuboyofficial9720 4 жыл бұрын
Asante sanaaa kwaelimu yako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jumalyanga1691
@jumalyanga1691 4 жыл бұрын
Excellenty superb .
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Yaani ni kweli kabisa wanaongeaga hivi wanaume mimi niliondoka kabisa was over mpaka leo
@mwanaidluswaguti8773
@mwanaidluswaguti8773 3 жыл бұрын
Asante kaka
@sylvestermtweve2895
@sylvestermtweve2895 4 жыл бұрын
Hello good message lakini maneno ya kiingereza umezindisha mno..kwani si wote wanaokusikiliza wanajua kiingereza.
@carmelinawabosha5384
@carmelinawabosha5384 2 жыл бұрын
Well said doctor
@danielshemi1177
@danielshemi1177 4 жыл бұрын
thanks very much doctor Chris for your teaching s.
@bandolatztrump2470
@bandolatztrump2470 4 жыл бұрын
Ahsante Dr.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@oscarmosha383
@oscarmosha383 4 жыл бұрын
Ina maelezo mengi zaidi sikusikilizi una mega Sana mb
@julinhojoao3450
@julinhojoao3450 Жыл бұрын
Sana Dr upo sahihi
@simonmakoye5754
@simonmakoye5754 4 жыл бұрын
Kweli bhna Mambo hayo yapo
@emmaurassa2251
@emmaurassa2251 2 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana doctar maana hiyo ilikuwa fimbo ya kunichapia kutoka kwa mume wangu lkn tuliisha achana umeyataja nikaumia sana, ila ubarikiwe kwa mafundisho yako mazuri
@husnaahmed490
@husnaahmed490 3 жыл бұрын
Swadakta Umetowa mada mzuri asante
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@fahimaali4886
@fahimaali4886 4 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@jesusismyeverything1630
@jesusismyeverything1630 4 жыл бұрын
Asante sana sana
@festuschunya7067
@festuschunya7067 4 жыл бұрын
Dr Chris wanawake pia huwa sababu ya kuambiwa..mfano yeye ndio anayoyafanya hayo kwako..mfano anaona ameolewa na wewe basi we taipu yake...sio handsome..kuliko x wake..basi hata mali uliyonayo kawaida sana ye kaona vidume Wenye pesa mjini..anakwambie x wake anampa pesa kufika wewe..sasa kwa haya utaacha kumwambia madhaifu yake...most women are selfish wasichopenda kufanyiwa ndio wanafanya kwa patnaz wao...dr Mauki..
@belindamadata7862
@belindamadata7862 4 жыл бұрын
4sure
@annamushi4587
@annamushi4587 4 жыл бұрын
DUH
@nsiandeshoo244
@nsiandeshoo244 2 жыл бұрын
Sio wote, wewe mzungumzie huyo wa kwako. Not all women are doing same thing
@nicholouskabambo2688
@nicholouskabambo2688 4 жыл бұрын
Brother, life is like a coin with two sides, moja ya udhaifu wetu tunapenda kuzoeshana na kufundishana mambo mazuri. Kama ndivyo shauri makabrashi yote yanayoeleza mambo ya nyuma yaani historia ifutwe. Tupende kusikia na kupokea hata yaliyo machungu na yenye kuumiza.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@saumuabdallah198
@saumuabdallah198 Жыл бұрын
tembea humo humo unatuguxa xn❤💯💯
@fatmasule1175
@fatmasule1175 4 жыл бұрын
Yaan ww utasema Kama unakaa na mm nyumba moja Kama umemsoma mume wangu tabia zake yupo Ivo ivo
@elihurumalukumay3242
@elihurumalukumay3242 4 жыл бұрын
Ww huna akil
@swalhinajuma4149
@swalhinajuma4149 4 жыл бұрын
Tunapitia changamoto kubwa sana kuvumilia mapungufu yao ndani lkn huwa hawajali wanajiona wako sawa kwa kila jambo lkn IPO siku mungu ataonesha kila kitu hadharani
@rosenaadolfu99
@rosenaadolfu99 4 жыл бұрын
@@swalhinajuma4149 aise rafiki yangu uko sahihi kabisa tumwachie Mungu tu
@magrethhaulee9998
@magrethhaulee9998 4 жыл бұрын
kweli wanaume wanadhalau sana jamani
@kuhaniushindi962
@kuhaniushindi962 4 жыл бұрын
Kuna jibu la tatizo lako huyu dr anaongea kama mwanadam ila kunakazi ya kufanya
@bimkubwakheri469
@bimkubwakheri469 4 жыл бұрын
Nice
@castroonesmo2311
@castroonesmo2311 4 жыл бұрын
Wana wake wa Sasa huwajui broo ebu kasome tena
@barackjoshua6712
@barackjoshua6712 4 жыл бұрын
Dr. Asante sana maneno yako ni LULU. kuna watu huku ni WAVIVU wa akili. Wanataka unapo anza kuzungumza tu Uanze na Points .No .kuzungumza ni FANI na kuna taratibu zake . Dr Go ahead uko vizuri
@maloshamagulyati34
@maloshamagulyati34 4 жыл бұрын
Good
@mswahilikitchentz
@mswahilikitchentz 4 жыл бұрын
Blessed Dr
@selinamboga2370
@selinamboga2370 4 жыл бұрын
Na kama anayafanya yote hayo si mara moja wala mbili je ana upendo wa dhati kwako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Amina
@michaelsylvestre8475
@michaelsylvestre8475 4 жыл бұрын
Shida wanapenda kusifiwa mno wanachosha brother.
@gracekezilahabi1372
@gracekezilahabi1372 4 жыл бұрын
Babaa ako angechoshwa na mama ako ungekiwepo wewe
@halimahalima1984
@halimahalima1984 4 жыл бұрын
Docta nakukubali mimi sipendi kabisaaa ukinambiya mimi ivo namapenzi yanakwisha
@belindamadata7862
@belindamadata7862 4 жыл бұрын
Sasa utaolewa na wangapi? Mme na mke kila mmoja anatakiwa ajue mwenza wake anapenda nn na hapendi,ukishajua hilo hupati shida tena.
@luciasoko9354
@luciasoko9354 2 жыл бұрын
Yaan kaka hapa nilipo ungeniona nahisi umejiambia Mimi kabisa yaan mpenzi wangu hayo mambo kila siku ananiambia yaan naumia moyoni sana yakejel,ya dharau mpaka naishiwa pozi jaman naumia halafu nampenda mpaka mda mwingine hamu nae sina ananitukania hadi kwetu kwamba nimelelewa maisha ya uswahilini, nikimuuliza kitu ananiambia Mimi mshambenga yaan mpashukuna aide ni mambo mengi kwakweli yaan naumia jaman sijui jifanyeje yaan naumia kwelikweli si masihara
@rizikihassan5051
@rizikihassan5051 3 жыл бұрын
Kweli wangu anapenda kunifananisha na x wake
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 4 жыл бұрын
Jaman nenda straight to the point
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@iviejustified8109
@iviejustified8109 4 жыл бұрын
Jesus is my reference In life... Jesus didn't came here to rip people off... Unfortunately most of thee Earthlings rip people off systematically suggesting things that you ain't do a thing about it... #HellNo
@DaveHumphrey2514
@DaveHumphrey2514 4 жыл бұрын
JUST GO.... DIVORCE IS OK, HATA MBELE YA MUNGU... People should know, "tolerance of torture is self harm"
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@medinovjr9639
@medinovjr9639 4 жыл бұрын
Word
@rukkyshabani9500
@rukkyshabani9500 Жыл бұрын
That's true doctor
@afrieagle8314
@afrieagle8314 3 жыл бұрын
“‘Kula nyama hizoo kwa baba ako havipo hivoo😂😂😂😂😂’”
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 3 жыл бұрын
You are true...
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@malakitz7304
@malakitz7304 4 жыл бұрын
Nimekuelewa na nimejifunza sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@samxongwambiye4217
@samxongwambiye4217 4 жыл бұрын
Hiohaitakiwii kwa woteeee2.
@wileshirima8116
@wileshirima8116 2 жыл бұрын
doctor nimekuelewa sana madundisho yako
@rachelchelango941
@rachelchelango941 4 жыл бұрын
Daaaaah kama unaniona
@ashantiasha6798
@ashantiasha6798 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@getrudemoshiro2581
@getrudemoshiro2581 4 жыл бұрын
Congratulation brother
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@prackcidesserendekhasiala4190
@prackcidesserendekhasiala4190 4 жыл бұрын
👌👏🏻👏🏻👏🏻
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@mwendelwaaline1444
@mwendelwaaline1444 3 жыл бұрын
Vraiment j'adore vos vidéos, que Dieu vous bénisse
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@marcomrikaria9581
@marcomrikaria9581 4 жыл бұрын
Be brief
@janethseba8795
@janethseba8795 3 жыл бұрын
Wengine tumeambiwa maneno yote hayo na kwakurudiwa sana
@michaelemanuel3132
@michaelemanuel3132 2 жыл бұрын
Axante Docta umenisaidia xana nimepona mimi binafsi
@hureemmunir8112
@hureemmunir8112 3 жыл бұрын
Umeongea yote ya kweli doctor.
@agnessndanguzi2700
@agnessndanguzi2700 4 жыл бұрын
Na mimi ni mchanga,ubarikiwe
@DaveHumphrey2514
@DaveHumphrey2514 4 жыл бұрын
Sadly, WANAWAKE NDIO WENGI WANAOANGALIA HII, while hii video inatakiwa iwe somo kwa wanaume/wavulana wengi kuliko wanawake.
@eliezerhokororo1749
@eliezerhokororo1749 4 жыл бұрын
Mbona tupo
@user-hz3jx7wu4p
@user-hz3jx7wu4p 8 ай бұрын
ni kweli iminitokeya
@lydiabuyungu5117
@lydiabuyungu5117 4 жыл бұрын
Okay
@mbwanaali4251
@mbwanaali4251 4 жыл бұрын
Uliyosema ni kweli doc lkn kuna upande wa pili kuhusu anayeambiwa maneno hayo au anayesifiwa na jinsi atakavyoyapokea, kila jambo linahitaji knowledge ya utambuzi wa thamani ya kila neno/sifa, coz baadhi ya nyakati ukimsifu mtu awe mke/mume inaweza kua ndio chanzo cha yeye kuanza kua na kibri/jeuri kwa kudhani kwamba yeye ni muhimu zaidi kwenye maisha yako na kwamba kumbe ulibahatisha tu kumpata ila kwa level ya sifa ulizompa alideserve kua na mtu kuliko wewe nalo likawa tatizo jingine pia! (Just looking out on the other side of the coin) au unaonaje khs hilo Doc?
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@abasshatibu2394
@abasshatibu2394 4 жыл бұрын
Hivi Kama mwanamke ..... unampenda .... Unampa kile Anacho taka yaani unaenda kazini huku ukiwa unawaza kwamba mm naumia kwasababu family yangu ishi vizur Alaf unalud nyumbani mkeo hana Hata Time na ww unamkuta yy Anacheza na mwanae tu kwende tendo la ndoa __ yaani usimguse nahata Kama Akikupa mpaka Akusimange hii ikoje mkuu
@josephmanyama435
@josephmanyama435 4 жыл бұрын
Point man
@yohanageorgekika2240
@yohanageorgekika2240 4 жыл бұрын
Nc
@ayubumambya7722
@ayubumambya7722 2 жыл бұрын
Umenifundisha sana mkubwa
@israelimunuo3538
@israelimunuo3538 4 жыл бұрын
Mambo 5 ambayo hupaswi kumwambia mke wako! Mkuu hapa nakusaluti! Nimerudia Mara mbili mbili duh! 👊
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@davidlucas4673
@davidlucas4673 3 жыл бұрын
Nimekuelewa baba
@MikaeliIbrahimu
@MikaeliIbrahimu 2 ай бұрын
Tuko pamoja kaka
@robartifabiani6572
@robartifabiani6572 4 жыл бұрын
NimekuelewA
@belindamadata7862
@belindamadata7862 4 жыл бұрын
Dr.your right, Kwangu mimi naamini ili muishi kwa amani bila misuko suko. 1.mme na mke lazima uje tabia ya mwenza wako 2.mme na mke jitahidi sana kumjua mwenza wako anapenda nn na hapendi nn na kwa wakati gani,maake usilazimishe kitu fulani ambacho mwenzio unaona kwa muda huo hayupo sawa,Kwan ukilazimisha ndio yanafuata ambayo Dr.umeyasema hapo. 3.hata wanawake wana hizo tabia pia za kubeza waume zao,mf:- utasikia baba fulani kajenga nyumba nzuri au kanunua gari jingine sisi tunatembeaga tu kwa miguu... 4.wanawake nao wajue maneno ya kuongea na wenza wao muda gani na kwa wakati gani. Asante
@fadhilisawe434
@fadhilisawe434 4 жыл бұрын
asante sana
@motwashmotex3783
@motwashmotex3783 4 жыл бұрын
YOTE HAYA ALIOONGEA DKT. UKIONA HAYAJAKUINGIA AKILINI. USIOE WALA KUOLEWA BAKI SINGLE.
@selemanishabani6843
@selemanishabani6843 4 жыл бұрын
Wewe Kama unaelewana na mkeo mtulize,wengine tushabembeleza tukalea ,tukaliwaza ,lakini Leo ni mafala , ,,,,mitandao bwana
@joelnyanja7234
@joelnyanja7234 4 жыл бұрын
Hahaaaaaaa...daaaaa....pole bro
@regnathomasi4236
@regnathomasi4236 4 жыл бұрын
Hahahahahaha umetisha
@adammbarouk4379
@adammbarouk4379 4 жыл бұрын
Jaribu kuangalia upande wa pili-silaha hizi hizi hutumika pale mwanaume anaposhuka kimaisha(km kupoteza kazi au biashara)huonekana mjinga kuliko mtu yoyote dunian..mwanaume anapewa stress na ndipo stroke na visukar vinapoaanzia mara kwa heri
@eliezerhokororo1749
@eliezerhokororo1749 4 жыл бұрын
Uko sahihi
@ellymaz2187
@ellymaz2187 4 жыл бұрын
Wanapendelewa wanawake kila siku. Wanaume tunaachwa tujifie. Na sisi katika kutetea uhai wetu tunafanya lolote tunaloweza.
@festolukumay1217
@festolukumay1217 4 жыл бұрын
kweli
@hellenjohaness9127
@hellenjohaness9127 2 жыл бұрын
Hakuna ata kipengere kimoja ambacho mume wangu hajawahi kukifanya kwangu
@bettykarisa9975
@bettykarisa9975 4 жыл бұрын
Wanaume wengi hupenda kutumia haya mambo 5 wanapogombana.Hope wameelimika
@luhanyamipawantobi6888
@luhanyamipawantobi6888 4 жыл бұрын
Hata mmeo hupaswi kumwambia haya..
@costerdmwanyula1706
@costerdmwanyula1706 4 жыл бұрын
Weeeeeeeeee
@joshuamweta6551
@joshuamweta6551 4 жыл бұрын
Nmechokaaa
@kavoomshana5928
@kavoomshana5928 4 жыл бұрын
Dk criss umenigusa na ni kweli nilishafanya hayo kwa mke wangu na mwisho wa siku aliondoka ila bado nafanya jitihada za kumrudisha tafadhali naomba pia unisaidia nitakupata vip nimezaa nae watoto wawili.
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Uache tabia mbaya
@jennylunsinde9770
@jennylunsinde9770 Жыл бұрын
Doctor mimi naishi na mwanaume kama huyu miaka 6 nipo nae kwenye doa ila jogoo waki hapa du mtungi ila bando tuu nipo naomba unishauli nifanyaje doctor
@josephlawrence1145
@josephlawrence1145 4 жыл бұрын
Lakini doctor hii sio tu kwa wanaume hata wanawake pia wanapaswa kuzingatia haya,
@rispathequeen
@rispathequeen 4 жыл бұрын
Hii yote nilipitia asante dactari
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@danielfelician6839
@danielfelician6839 Жыл бұрын
Dr nipo kwenye msogo wamawazo baada ya kutendwa,hana muda na mm tena nifanyeje?
@amriseleman9395
@amriseleman9395 3 жыл бұрын
Mbona wao wanatusema kila siku? Wanawake wanawasema wanaume vibaya tena kila siku?
@zainabuhamisi412
@zainabuhamisi412 4 жыл бұрын
Dk umenigusa sana tena sana nimeriasana
@francismwimbe6750
@francismwimbe6750 4 жыл бұрын
Poleee sana Zainabu. Nimejiskia kuumia kuisoma meseji yako!
@franshyera8970
@franshyera8970 4 жыл бұрын
Pole sanaaaa.
@AishaAly-pg3sn
@AishaAly-pg3sn 11 ай бұрын
Habari unapatikana wapi Dk naomba namba
@lydiabuyungu5117
@lydiabuyungu5117 4 жыл бұрын
What is the difference btn 1st point 4th ?
@Ishengoma1
@Ishengoma1 4 жыл бұрын
Zimejirudia rudia , au zina mfanano, tofuati ni context and expressions .
@rosemaryngowo2327
@rosemaryngowo2327 4 жыл бұрын
Hamna
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 4 жыл бұрын
Dunia ya Sasa ukimlea mwanamke kama yai Ndio inaonekana utammiliki....!.....Ndugu zangu kuna Watu wamebembeleza ‘ wamelea’ wamehudumia’ tena mke nje na ndani ‘ ..!...Lkn wamedondokea PUA ‘ Yaani ndugu kama Uko Poa katika ndoa yako shukuru MUNGU....mwanamke mridhishe kila nyanja ‘ Lkn siku anaweza akamuonea huruma mteja muokota MAKOPO akampa...!...au umemnunulia gari Lkn akamtamani mtu na BAISKELI yake akampa..!....hahahaa..! Tatizo MAPENZI hayana FORMULA ni maneno maneno mengi tu ya MITANDAONI..! ila Ahsante dokitori mauki umewasilisha Kwa Asilimia kadhaa kuwasaidia wapenzi kuchunga ndimi zao...!....ITAWASAIDIA
@victorchampion1513
@victorchampion1513 4 жыл бұрын
mi mwenyew ni mvulana, lkn nikiambiwa haya maneno mabovu nakasirika sana😣😣
@shalamwanayusuph8008
@shalamwanayusuph8008 4 жыл бұрын
🤐🤐😭😭😭
@ndaziharuna4820
@ndaziharuna4820 4 жыл бұрын
Sasa ushasema mbna
Dr. Chris Mauki: Mbinu 6 za kudumisha mahusiano ya chumbani
9:55
Mambo Matano (5) Yanayopoteza Hamasa Ya Kufanikiwa Kwenye Maisha.
10:05
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 21 МЛН
Makosa saba (7) ya kuepuka kwenye mahusiano yako
12:24
Chris Mauki
Рет қаралды 99 М.
Tizama na kusikiliza mbinu za kuwa tajiri
18:28
Kyunga Tv Online
Рет қаралды 49 М.