Umewahi kujiuliza kwanini kuna baadhi ya maneno ukiyasema mbele ya mkeo anapaniki sana na mnagombana? Angalia video hii nikupe sababu. #DrChrisMauki#Mahusiano#Videos
Пікірлер: 225
@elishangomele99374 жыл бұрын
Vitu vyote ulivyoviongea Dr mauki huwa sivipendi kuviongea mbele za mke wangu kabisa na spendi kabisa kumuzalau
@happynescostat74202 жыл бұрын
Ni kweli nimekuwa muhanga wa kuambiwa hayo,Asante mungu akubariki kwa mafundisho haya,
@allenkeneth84932 жыл бұрын
Asante mwalimu sababu somo nimelielewa Na naweza vipi kurudisha furaha tena katika mahusiano yangu
@lameckmoran13434 жыл бұрын
Umeniongezea maalifa. Mungu akubariki
@siwemandila41483 жыл бұрын
Asante sana Dr,unaongea kweli.
@kaanaelmbise35354 жыл бұрын
Dr.! Nimekuelewa sana.
@nativeinfotv96203 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@lydiamichael55093 жыл бұрын
ASANTE DR.WENGI WETU TUNAPITIA HAYO..NAJUA SIKU MOJA WATABADILIKA.
@fatimanoh25754 жыл бұрын
Tanx doc
@joycemanyilizu49453 жыл бұрын
Asante kwa darasa Dr
@Alexandartemba-hv2gd7 ай бұрын
nimeipenda hii nimejifunza sana doctar
@mecksonwilson29624 жыл бұрын
Genius xn chris mauki
@rehemaibrahim87582 жыл бұрын
Yn unayosema 2nayapitia yn nakuombea kwa mungu akupe afya njema dr mungu akubariki sana
@DaveHumphrey25144 жыл бұрын
02:27 NDIO POINT YA KWANZA INAANZA, you welcome.
@accountinauzwa22254 жыл бұрын
umetisha
@emmanuelzao4 жыл бұрын
Ahsante sana👍🏼
@marylucas69574 жыл бұрын
Asante Sana
@felixmhando70713 жыл бұрын
Safi mzee baba
@goodlucktemu31494 жыл бұрын
barikiwa dr
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
God bless you br...
@gideonboss50794 жыл бұрын
Great! Sir ..nimeelewa Dr.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@asiliyetuafrika95423 жыл бұрын
Ahsante sana mkuu
@cliffkingi4 жыл бұрын
Hi...iko sawa kabisaaa
@israelilunde96184 жыл бұрын
Uko Sahihi Dr Chris Mauki
@israelimunuo35384 жыл бұрын
Mafunzo mazuri sana ya ndoa barikiwa @Dr Chris Mauki!👏👏👏
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@uredydbl25942 жыл бұрын
barikiwa sana najifunza
@chakuboyofficial97204 жыл бұрын
Asante sanaaa kwaelimu yako
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jumalyanga16914 жыл бұрын
Excellenty superb .
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@salmaluhombero84663 жыл бұрын
Yaani ni kweli kabisa wanaongeaga hivi wanaume mimi niliondoka kabisa was over mpaka leo
@mwanaidluswaguti87733 жыл бұрын
Asante kaka
@sylvestermtweve28954 жыл бұрын
Hello good message lakini maneno ya kiingereza umezindisha mno..kwani si wote wanaokusikiliza wanajua kiingereza.
@carmelinawabosha53842 жыл бұрын
Well said doctor
@danielshemi11774 жыл бұрын
thanks very much doctor Chris for your teaching s.
@bandolatztrump24704 жыл бұрын
Ahsante Dr.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@oscarmosha3834 жыл бұрын
Ina maelezo mengi zaidi sikusikilizi una mega Sana mb
@julinhojoao3450 Жыл бұрын
Sana Dr upo sahihi
@simonmakoye57544 жыл бұрын
Kweli bhna Mambo hayo yapo
@emmaurassa22512 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana doctar maana hiyo ilikuwa fimbo ya kunichapia kutoka kwa mume wangu lkn tuliisha achana umeyataja nikaumia sana, ila ubarikiwe kwa mafundisho yako mazuri
@husnaahmed4903 жыл бұрын
Swadakta Umetowa mada mzuri asante
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@fahimaali48864 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana
@jesusismyeverything16304 жыл бұрын
Asante sana sana
@festuschunya70674 жыл бұрын
Dr Chris wanawake pia huwa sababu ya kuambiwa..mfano yeye ndio anayoyafanya hayo kwako..mfano anaona ameolewa na wewe basi we taipu yake...sio handsome..kuliko x wake..basi hata mali uliyonayo kawaida sana ye kaona vidume Wenye pesa mjini..anakwambie x wake anampa pesa kufika wewe..sasa kwa haya utaacha kumwambia madhaifu yake...most women are selfish wasichopenda kufanyiwa ndio wanafanya kwa patnaz wao...dr Mauki..
@belindamadata78624 жыл бұрын
4sure
@annamushi45874 жыл бұрын
DUH
@nsiandeshoo2442 жыл бұрын
Sio wote, wewe mzungumzie huyo wa kwako. Not all women are doing same thing
@nicholouskabambo26884 жыл бұрын
Brother, life is like a coin with two sides, moja ya udhaifu wetu tunapenda kuzoeshana na kufundishana mambo mazuri. Kama ndivyo shauri makabrashi yote yanayoeleza mambo ya nyuma yaani historia ifutwe. Tupende kusikia na kupokea hata yaliyo machungu na yenye kuumiza.
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@saumuabdallah198 Жыл бұрын
tembea humo humo unatuguxa xn❤💯💯
@fatmasule11754 жыл бұрын
Yaan ww utasema Kama unakaa na mm nyumba moja Kama umemsoma mume wangu tabia zake yupo Ivo ivo
@elihurumalukumay32424 жыл бұрын
Ww huna akil
@swalhinajuma41494 жыл бұрын
Tunapitia changamoto kubwa sana kuvumilia mapungufu yao ndani lkn huwa hawajali wanajiona wako sawa kwa kila jambo lkn IPO siku mungu ataonesha kila kitu hadharani
@rosenaadolfu994 жыл бұрын
@@swalhinajuma4149 aise rafiki yangu uko sahihi kabisa tumwachie Mungu tu
@magrethhaulee99984 жыл бұрын
kweli wanaume wanadhalau sana jamani
@kuhaniushindi9624 жыл бұрын
Kuna jibu la tatizo lako huyu dr anaongea kama mwanadam ila kunakazi ya kufanya
@bimkubwakheri4694 жыл бұрын
Nice
@castroonesmo23114 жыл бұрын
Wana wake wa Sasa huwajui broo ebu kasome tena
@barackjoshua67124 жыл бұрын
Dr. Asante sana maneno yako ni LULU. kuna watu huku ni WAVIVU wa akili. Wanataka unapo anza kuzungumza tu Uanze na Points .No .kuzungumza ni FANI na kuna taratibu zake . Dr Go ahead uko vizuri
@maloshamagulyati344 жыл бұрын
Good
@mswahilikitchentz4 жыл бұрын
Blessed Dr
@selinamboga23704 жыл бұрын
Na kama anayafanya yote hayo si mara moja wala mbili je ana upendo wa dhati kwako
@ChrisMauki14 жыл бұрын
Amina
@michaelsylvestre84754 жыл бұрын
Shida wanapenda kusifiwa mno wanachosha brother.
@gracekezilahabi13724 жыл бұрын
Babaa ako angechoshwa na mama ako ungekiwepo wewe
@halimahalima19844 жыл бұрын
Docta nakukubali mimi sipendi kabisaaa ukinambiya mimi ivo namapenzi yanakwisha
@belindamadata78624 жыл бұрын
Sasa utaolewa na wangapi? Mme na mke kila mmoja anatakiwa ajue mwenza wake anapenda nn na hapendi,ukishajua hilo hupati shida tena.
@luciasoko93542 жыл бұрын
Yaan kaka hapa nilipo ungeniona nahisi umejiambia Mimi kabisa yaan mpenzi wangu hayo mambo kila siku ananiambia yaan naumia moyoni sana yakejel,ya dharau mpaka naishiwa pozi jaman naumia halafu nampenda mpaka mda mwingine hamu nae sina ananitukania hadi kwetu kwamba nimelelewa maisha ya uswahilini, nikimuuliza kitu ananiambia Mimi mshambenga yaan mpashukuna aide ni mambo mengi kwakweli yaan naumia jaman sijui jifanyeje yaan naumia kwelikweli si masihara
@rizikihassan50513 жыл бұрын
Kweli wangu anapenda kunifananisha na x wake
@adamdaudi61914 жыл бұрын
Jaman nenda straight to the point
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@iviejustified81094 жыл бұрын
Jesus is my reference In life... Jesus didn't came here to rip people off... Unfortunately most of thee Earthlings rip people off systematically suggesting things that you ain't do a thing about it... #HellNo
@DaveHumphrey25144 жыл бұрын
JUST GO.... DIVORCE IS OK, HATA MBELE YA MUNGU... People should know, "tolerance of torture is self harm"
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@medinovjr96394 жыл бұрын
Word
@rukkyshabani9500 Жыл бұрын
That's true doctor
@afrieagle83143 жыл бұрын
“‘Kula nyama hizoo kwa baba ako havipo hivoo😂😂😂😂😂’”
@fhyubhhh28813 жыл бұрын
You are true...
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@malakitz73044 жыл бұрын
Nimekuelewa na nimejifunza sana
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@samxongwambiye42174 жыл бұрын
Hiohaitakiwii kwa woteeee2.
@wileshirima81162 жыл бұрын
doctor nimekuelewa sana madundisho yako
@rachelchelango9414 жыл бұрын
Daaaaah kama unaniona
@ashantiasha67982 жыл бұрын
Kweli kabisa
@getrudemoshiro25814 жыл бұрын
Congratulation brother
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@prackcidesserendekhasiala41904 жыл бұрын
👌👏🏻👏🏻👏🏻
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@mwendelwaaline14443 жыл бұрын
Vraiment j'adore vos vidéos, que Dieu vous bénisse
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@marcomrikaria95814 жыл бұрын
Be brief
@janethseba87953 жыл бұрын
Wengine tumeambiwa maneno yote hayo na kwakurudiwa sana
@michaelemanuel31322 жыл бұрын
Axante Docta umenisaidia xana nimepona mimi binafsi
@hureemmunir81123 жыл бұрын
Umeongea yote ya kweli doctor.
@agnessndanguzi27004 жыл бұрын
Na mimi ni mchanga,ubarikiwe
@DaveHumphrey25144 жыл бұрын
Sadly, WANAWAKE NDIO WENGI WANAOANGALIA HII, while hii video inatakiwa iwe somo kwa wanaume/wavulana wengi kuliko wanawake.
@eliezerhokororo17494 жыл бұрын
Mbona tupo
@user-hz3jx7wu4p8 ай бұрын
ni kweli iminitokeya
@lydiabuyungu51174 жыл бұрын
Okay
@mbwanaali42514 жыл бұрын
Uliyosema ni kweli doc lkn kuna upande wa pili kuhusu anayeambiwa maneno hayo au anayesifiwa na jinsi atakavyoyapokea, kila jambo linahitaji knowledge ya utambuzi wa thamani ya kila neno/sifa, coz baadhi ya nyakati ukimsifu mtu awe mke/mume inaweza kua ndio chanzo cha yeye kuanza kua na kibri/jeuri kwa kudhani kwamba yeye ni muhimu zaidi kwenye maisha yako na kwamba kumbe ulibahatisha tu kumpata ila kwa level ya sifa ulizompa alideserve kua na mtu kuliko wewe nalo likawa tatizo jingine pia! (Just looking out on the other side of the coin) au unaonaje khs hilo Doc?
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@abasshatibu23944 жыл бұрын
Hivi Kama mwanamke ..... unampenda .... Unampa kile Anacho taka yaani unaenda kazini huku ukiwa unawaza kwamba mm naumia kwasababu family yangu ishi vizur Alaf unalud nyumbani mkeo hana Hata Time na ww unamkuta yy Anacheza na mwanae tu kwende tendo la ndoa __ yaani usimguse nahata Kama Akikupa mpaka Akusimange hii ikoje mkuu
@josephmanyama4354 жыл бұрын
Point man
@yohanageorgekika22404 жыл бұрын
Nc
@ayubumambya77222 жыл бұрын
Umenifundisha sana mkubwa
@israelimunuo35384 жыл бұрын
Mambo 5 ambayo hupaswi kumwambia mke wako! Mkuu hapa nakusaluti! Nimerudia Mara mbili mbili duh! 👊
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@davidlucas46733 жыл бұрын
Nimekuelewa baba
@MikaeliIbrahimu2 ай бұрын
Tuko pamoja kaka
@robartifabiani65724 жыл бұрын
NimekuelewA
@belindamadata78624 жыл бұрын
Dr.your right, Kwangu mimi naamini ili muishi kwa amani bila misuko suko. 1.mme na mke lazima uje tabia ya mwenza wako 2.mme na mke jitahidi sana kumjua mwenza wako anapenda nn na hapendi nn na kwa wakati gani,maake usilazimishe kitu fulani ambacho mwenzio unaona kwa muda huo hayupo sawa,Kwan ukilazimisha ndio yanafuata ambayo Dr.umeyasema hapo. 3.hata wanawake wana hizo tabia pia za kubeza waume zao,mf:- utasikia baba fulani kajenga nyumba nzuri au kanunua gari jingine sisi tunatembeaga tu kwa miguu... 4.wanawake nao wajue maneno ya kuongea na wenza wao muda gani na kwa wakati gani. Asante
@fadhilisawe4344 жыл бұрын
asante sana
@motwashmotex37834 жыл бұрын
YOTE HAYA ALIOONGEA DKT. UKIONA HAYAJAKUINGIA AKILINI. USIOE WALA KUOLEWA BAKI SINGLE.
@selemanishabani68434 жыл бұрын
Wewe Kama unaelewana na mkeo mtulize,wengine tushabembeleza tukalea ,tukaliwaza ,lakini Leo ni mafala , ,,,,mitandao bwana
@joelnyanja72344 жыл бұрын
Hahaaaaaaa...daaaaa....pole bro
@regnathomasi42364 жыл бұрын
Hahahahahaha umetisha
@adammbarouk43794 жыл бұрын
Jaribu kuangalia upande wa pili-silaha hizi hizi hutumika pale mwanaume anaposhuka kimaisha(km kupoteza kazi au biashara)huonekana mjinga kuliko mtu yoyote dunian..mwanaume anapewa stress na ndipo stroke na visukar vinapoaanzia mara kwa heri
@eliezerhokororo17494 жыл бұрын
Uko sahihi
@ellymaz21874 жыл бұрын
Wanapendelewa wanawake kila siku. Wanaume tunaachwa tujifie. Na sisi katika kutetea uhai wetu tunafanya lolote tunaloweza.
@festolukumay12174 жыл бұрын
kweli
@hellenjohaness91272 жыл бұрын
Hakuna ata kipengere kimoja ambacho mume wangu hajawahi kukifanya kwangu
@bettykarisa99754 жыл бұрын
Wanaume wengi hupenda kutumia haya mambo 5 wanapogombana.Hope wameelimika
@luhanyamipawantobi68884 жыл бұрын
Hata mmeo hupaswi kumwambia haya..
@costerdmwanyula17064 жыл бұрын
Weeeeeeeeee
@joshuamweta65514 жыл бұрын
Nmechokaaa
@kavoomshana59284 жыл бұрын
Dk criss umenigusa na ni kweli nilishafanya hayo kwa mke wangu na mwisho wa siku aliondoka ila bado nafanya jitihada za kumrudisha tafadhali naomba pia unisaidia nitakupata vip nimezaa nae watoto wawili.
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
Uache tabia mbaya
@jennylunsinde9770 Жыл бұрын
Doctor mimi naishi na mwanaume kama huyu miaka 6 nipo nae kwenye doa ila jogoo waki hapa du mtungi ila bando tuu nipo naomba unishauli nifanyaje doctor
@josephlawrence11454 жыл бұрын
Lakini doctor hii sio tu kwa wanaume hata wanawake pia wanapaswa kuzingatia haya,
@rispathequeen4 жыл бұрын
Hii yote nilipitia asante dactari
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@danielfelician6839 Жыл бұрын
Dr nipo kwenye msogo wamawazo baada ya kutendwa,hana muda na mm tena nifanyeje?
@amriseleman93953 жыл бұрын
Mbona wao wanatusema kila siku? Wanawake wanawasema wanaume vibaya tena kila siku?
@zainabuhamisi4124 жыл бұрын
Dk umenigusa sana tena sana nimeriasana
@francismwimbe67504 жыл бұрын
Poleee sana Zainabu. Nimejiskia kuumia kuisoma meseji yako!
@franshyera89704 жыл бұрын
Pole sanaaaa.
@AishaAly-pg3sn11 ай бұрын
Habari unapatikana wapi Dk naomba namba
@lydiabuyungu51174 жыл бұрын
What is the difference btn 1st point 4th ?
@Ishengoma14 жыл бұрын
Zimejirudia rudia , au zina mfanano, tofuati ni context and expressions .
@rosemaryngowo23274 жыл бұрын
Hamna
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@ismailyusuph7404 жыл бұрын
Dunia ya Sasa ukimlea mwanamke kama yai Ndio inaonekana utammiliki....!.....Ndugu zangu kuna Watu wamebembeleza ‘ wamelea’ wamehudumia’ tena mke nje na ndani ‘ ..!...Lkn wamedondokea PUA ‘ Yaani ndugu kama Uko Poa katika ndoa yako shukuru MUNGU....mwanamke mridhishe kila nyanja ‘ Lkn siku anaweza akamuonea huruma mteja muokota MAKOPO akampa...!...au umemnunulia gari Lkn akamtamani mtu na BAISKELI yake akampa..!....hahahaa..! Tatizo MAPENZI hayana FORMULA ni maneno maneno mengi tu ya MITANDAONI..! ila Ahsante dokitori mauki umewasilisha Kwa Asilimia kadhaa kuwasaidia wapenzi kuchunga ndimi zao...!....ITAWASAIDIA
@victorchampion15134 жыл бұрын
mi mwenyew ni mvulana, lkn nikiambiwa haya maneno mabovu nakasirika sana😣😣