No video

Makosa saba (7) ya kuepuka kwenye mahusiano yako

  Рет қаралды 99,697

Chris Mauki

Chris Mauki

Күн бұрын

Je umeshawahi kujiuliza kwanini mnagombana mara kwa mara na mpenzi wako? Yapo makosa ambayo mmoja wenu au wote mnayafanya bila kufahamu athari yake kwenye mahusiano yenu, Haya hapa makosa 7 ya kuepuka kwenye mahusiano yako
#DrChrisMauki#Mahusiano#Makosa

Пікірлер: 171
@user-nx7vz3cs6b
@user-nx7vz3cs6b 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana najifunza mengi sana toka kwako
@AlvicSnow
@AlvicSnow Ай бұрын
Nafurahi sana ,maana Mungu amekuinua kwa ajili ya Darasa la Mahusiano kwa ajili yetu
@citegetsealine5704
@citegetsealine5704 3 жыл бұрын
Nilejifunza mengi sana kupitiya mafunzo yako docta Chris Mauki Mungu akupe umri mrefu
@levinavenance1200
@levinavenance1200 Ай бұрын
1.Kutaka kua wa Kwanzaa kwenye kila kitu 2.tabia ya lawama 3.kukana kua tatizo lipo 4.kutafuta majibu kwingine na sio kwako 5.usifocus kuangalia tatizo la mwenzio Bali angalia kwako unamchango gani kwenye Hilo tatizo 6.si vitu vyote utasaidiwa kusolve na watu mzungumze nyie 7.tabia ya kuweka kinyongo utataka kulipiza kisasi 8.mpenzi mmoja kutokupenda maendeleo ya mwenzio 9.maisha yasiyokua na jipya
@ziadaambanjaula8900
@ziadaambanjaula8900 9 ай бұрын
❤ ahsant saaana Dr .kwa mafunzo yako mazur naendelea kujifunza kutoka kwako
@jellynesssemu9406
@jellynesssemu9406 2 жыл бұрын
Asante sana Dr. Kwa mafunzo mazur. Mwenyezi Mungu akubaliki 🙏🙏🙏
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 4 жыл бұрын
Dr. Chris mauki anaongea point kwa kweli ubarikiwe
@hellenkombe8835
@hellenkombe8835 4 жыл бұрын
Asante kwa kuendelea kutufungua. Mungu akubariki
@magrethrk3125
@magrethrk3125 2 жыл бұрын
Mwanafunzi wa channel hii.very educative
@namsifuwadeya497
@namsifuwadeya497 Жыл бұрын
Sahihi kabisa kaka Chris's,tena hili la kutokufurahia na kukwamishwa ktk mambo ya maendeleo ni kikwazo sana ba inakera sana
@lucypeter5321
@lucypeter5321 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana doctor big up Sana kaka
@magrethdicson8577
@magrethdicson8577 4 жыл бұрын
Asante kwa kunifungua maana kuna mambo yamenigusa
@janethaule4281
@janethaule4281 4 жыл бұрын
Mm naona pia jinsi tunavyoongea na wenzi wetu au lugha ambazo tunatumia inaweza kuwa one of the great source ya kufanya mtu hasibadirike
@berthamassawe6207
@berthamassawe6207 Жыл бұрын
Asante sana dr umeponya maisha yang .nimejifunza mengi sana toka nimekujua.
@saumukaniki2244
@saumukaniki2244 4 жыл бұрын
Asante san kwa mafunzo mazuri
@joshuamweta6551
@joshuamweta6551 4 жыл бұрын
Daah mapenzi magumu sana kama hampendani ila mapenzi matam na mepesi sana kama mnapendana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@zoainamuscat6835
@zoainamuscat6835 4 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 Daaah Mungu azidi kukulinda uzidi kutupa somo kipo kitu na jifuza sana aseeee 🙏🙏
@samwelngassa4941
@samwelngassa4941 4 жыл бұрын
HILO LA KUPENDANA NDO KILA KITU HAYA MENGINE NI NYONGEZA TU
@cyrilfrancis5326
@cyrilfrancis5326 Жыл бұрын
Blessed sana
@evafrancis6382
@evafrancis6382 4 жыл бұрын
Aisee father unatarget mulemule🙏🙏❤❤
@josephongeri4762
@josephongeri4762 Жыл бұрын
I like this charnel
@JaphethLGabby
@JaphethLGabby 4 жыл бұрын
Asante sana kaka umenibariki sana
@ishabbe4489
@ishabbe4489 4 жыл бұрын
Shukran barikiw dr
@janetdaniely7945
@janetdaniely7945 2 жыл бұрын
Asant sana Dr kwasomo nitarifanyia Kaz🙏🙏
@halimahalima1984
@halimahalima1984 4 жыл бұрын
Mungu akubarki
@lilianraynertarimo9650
@lilianraynertarimo9650 2 жыл бұрын
Asante sana hakika tunafaidi madini yako
@viviankaaya7630
@viviankaaya7630 3 жыл бұрын
God bless you
@abdallamwawughanga9007
@abdallamwawughanga9007 3 жыл бұрын
Dr Chris..nilikua nauliza...ikiwa uko kwa mahusiano na mpenz wako,kisha mpenz wako awe napikiwa na jirani wa kiume ni makosa,(2)je unaweza ukawa na namba za ex wako ikiwa uko na mpenz mwengne.(3) ni haki mpenz wako Kuintertain msg za wanaumme ukimuliza anasema ni rafiki zake?
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 жыл бұрын
God be with you
@judithmwambe4767
@judithmwambe4767 4 жыл бұрын
Ahsante sana Dr Mauki
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
Duuu asante Dr.Mauki
@nathanpius5997
@nathanpius5997 Жыл бұрын
I understand you are concept
@frankamosi5963
@frankamosi5963 4 жыл бұрын
nimeipenda hii channel
@agnessmoyo4949
@agnessmoyo4949 2 жыл бұрын
Asante kaka chris
@kalalatongora6680
@kalalatongora6680 2 жыл бұрын
Asante saana dr
@filipejoaonhama6791
@filipejoaonhama6791 Жыл бұрын
Asante 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@neemacharles7044
@neemacharles7044 3 жыл бұрын
Kweli kabisa nimeipenda hii charnel
@winfridasteven4560
@winfridasteven4560 2 жыл бұрын
God bless you.
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 4 жыл бұрын
Bless you..
@episawaki1281
@episawaki1281 4 жыл бұрын
Asante snaaa,unazidi kunibadilisha kila nikiona video zakooo🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Nashkuru sana
@janethtobius6173
@janethtobius6173 3 жыл бұрын
Dokta uko vzur sana
@anthonymusyoka7930
@anthonymusyoka7930 3 жыл бұрын
So interesting,you are really a nice teacher
@mwajumajuma4461
@mwajumajuma4461 3 жыл бұрын
Thanks so much brother
@tausihasheem5051
@tausihasheem5051 4 жыл бұрын
Dcr asnt nmepona kbsaa yaan unaongea fct....Be blessed u
@emmanueljacob1301
@emmanueljacob1301 2 жыл бұрын
SoMo zuri mwalim
@sabylaby
@sabylaby 3 жыл бұрын
You are great
@fatumaselemanidadampambana1403
@fatumaselemanidadampambana1403 3 жыл бұрын
Asante sana kaka
@deborapeter9653
@deborapeter9653 3 жыл бұрын
Asante Dr.
@emmyminah1261
@emmyminah1261 2 жыл бұрын
Asante 🙏🙏🙏
@annapumba1695
@annapumba1695 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@alghamsalim3952
@alghamsalim3952 2 жыл бұрын
Ameen
@sandrakomba8362
@sandrakomba8362 4 жыл бұрын
Asante Doctor
@issamuzamilu5222
@issamuzamilu5222 3 жыл бұрын
niceness doctor
@upendoadolf4570
@upendoadolf4570 4 жыл бұрын
Be blessed Dr. Chris
@machemkojohn9611
@machemkojohn9611 3 жыл бұрын
It's good
@winfridagama2042
@winfridagama2042 4 жыл бұрын
Kwa kweli nitakufuatilia upo vzr baba tena sanasana.
@norakaaya9166
@norakaaya9166 4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana dk
@christermelaka5689
@christermelaka5689 4 жыл бұрын
Asante sana dr,nimejifunza mambo mengi sana ambayo nilikuwa siyajui,namba 6 imenigusa,ex-husband alikuwa hapendi mimi nijishughulishe na biashara wakati yeye hakuwa mtunzaji wa familia,ubarikiwe sana dr
@winfidahingasian8311
@winfidahingasian8311 2 жыл бұрын
Ansante Dr umenitoa mahali ukaniweka mahali
@nicintijedenize1095
@nicintijedenize1095 4 жыл бұрын
Asante sana
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 4 жыл бұрын
Thanks so much Dr. I appreciate you 👊👊👍
@veeJesus
@veeJesus 4 жыл бұрын
Very helpful
@doricepetro45
@doricepetro45 3 жыл бұрын
Niceeee
@mercimerci7334
@mercimerci7334 4 жыл бұрын
Kuwa wakwanza nivizu kwamana ukiwa wakanza unaweza kuwakumbusha wengine tusiwe na kinyongo asante Mungu unaniwezesha kushameheya ata kabura Mutu kuniomba musamaha na yesu pia arisema baba wasamehe hawajuwi waritendaho tutie mbere mungu wetu .
@idrissaaugustin1604
@idrissaaugustin1604 Жыл бұрын
Dah! Bro nafatiliaga sana vipindi vyako lakini mm sijui kwanini sikaaga Na mahusiano ata ni mpende vip lkn yatavunjika tu.
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Жыл бұрын
Tupo wengii..yani hta nikupende vp lkn ukijaribu kuniunzi kwa makusudi nakuacha uende.
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Жыл бұрын
Aaah
@anithamsoke2329
@anithamsoke2329 4 жыл бұрын
Nakuhelewa sn Mtumishi
@allyadam7001
@allyadam7001 4 жыл бұрын
Nikweli kabisa kaka
@sophiakimena4126
@sophiakimena4126 4 жыл бұрын
Thanks Dr
@leoniammasi6634
@leoniammasi6634 2 жыл бұрын
Nakushuku sana dr. Hapo kwenye no1$2
@evefesto1985
@evefesto1985 4 жыл бұрын
Be blessed dr
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 4 жыл бұрын
Shukran Mr
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Karibu sana Mariam
@janethkilaza1387
@janethkilaza1387 4 жыл бұрын
Chris mauki naomba no zako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
@@janethkilaza1387 0713407182
@aishamaulidi4679
@aishamaulidi4679 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mafundisho ni mazur sana
@doricayohana3533
@doricayohana3533 3 жыл бұрын
Dah! Mengine yananihus mm mung akusaidie uzid ku2fndsha
@YasintaJames-kz2vj
@YasintaJames-kz2vj Ай бұрын
Hat mm pia lakin mm Niko na mpezi wangu kila nikijaribu kujitahindi kumubandiriaha habadiriki utanisaindiaje kaka mm nampend San na siko tayari kbc kuachana naye
@fatimanoh2575
@fatimanoh2575 4 жыл бұрын
Haha...wacha nicheke doc,you hav touched my heart,hapo kwenye mafanikio lolz!nilitaka kujenga and he was a weird of every step that i was taking.ilikua issue and it's end up him divorces me.God nipe hitaji la moyo wangu
@fatimanoh2575
@fatimanoh2575 4 жыл бұрын
Awared*****
@lovenessdiva3370
@lovenessdiva3370 4 жыл бұрын
😊
@DaveHumphrey2514
@DaveHumphrey2514 4 жыл бұрын
Hongera kwa divorce.
@fatimanoh2575
@fatimanoh2575 4 жыл бұрын
@@DaveHumphrey2514 ok
@joramnunu1449
@joramnunu1449 4 жыл бұрын
Mambo
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 3 жыл бұрын
🙏🙏❤️
@elizabethleonard470
@elizabethleonard470 4 жыл бұрын
Vizuri xana axante kutufundisha
@annamarandu9393
@annamarandu9393 4 жыл бұрын
Nice
@agnethageorge1554
@agnethageorge1554 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@samirasaid6948
@samirasaid6948 3 жыл бұрын
Hamujambo mm naomba nitakupata vpi kwa prvt ninayamuhimu kwa nasaha yetu SS wanawake asante
@rahmahamisi7604
@rahmahamisi7604 4 жыл бұрын
Namba sita hiyo daaaah
@lucyhenry1062
@lucyhenry1062 4 жыл бұрын
Wanaume ndo naonaga mnazo sana hzo
@emmanuelgidion2653
@emmanuelgidion2653 4 жыл бұрын
nimesikia vizur kutembelea Chanel hii nimejifunza mengi sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Jisikie huru wakati wowote
@elphasjastin3594
@elphasjastin3594 4 жыл бұрын
Naomba namba zako jaman Me namatatizo mengi kwel
@lovenessdiva3370
@lovenessdiva3370 4 жыл бұрын
🧡
@gilliansimon8517
@gilliansimon8517 2 жыл бұрын
My grammar
@lucyhenry1062
@lucyhenry1062 4 жыл бұрын
Kwanye kukana hapo me kwakwel napotezea sna kwasasa mtu unamkuta anakanaaa na ugomv juu.
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 4 жыл бұрын
😂😂😂🤩
@norbypoltv
@norbypoltv 3 жыл бұрын
Nashukuru kwa ushauri wako..pia wanaweza jifunza haya kaka kuhusu mahusiano👇👇 kzbin.info/www/bejne/mXSqfoZ_oreWnpI
@violetmmbando1510
@violetmmbando1510 4 жыл бұрын
Naomba unisaidie Dr kuna kitu natamani sana kuelewa unaposema kuzungumza na mwenzako hasa kuzungumza maana yake nini je ni ku discuss mambo au maana yake hasa nini. MAZUNGUMZO KATI YAKO NA MWENZAKO
@hamisa3447
@hamisa3447 3 жыл бұрын
Mie ndugu nilivyoelewa yaan kama kuna jambo alijakaa vizuri au ata mazuri kaeni nyie wawili Kwanzaa ili mueleweshani kuliko kukimbilia kwa watu kabla nyie wenyewe amjakaa na kulizungumzia ilo jambo
@bandolatztrump2470
@bandolatztrump2470 4 жыл бұрын
Naaam
@DaveHumphrey2514
@DaveHumphrey2514 4 жыл бұрын
NARCISSISM NDIO TATIZO PEKEE.... Ni utoto na ujinga uliopitiliza, ila pia ni malezi, peaceful and tender relationship feels boring kwa wale waliozoea au kukuzwa kwenye dramatic na toxix relationship. Kuna ushindani mwingi... Yani hamna amani.... Watu needs to wake up and heal their children trauma!
@happyhaule5865
@happyhaule5865 Жыл бұрын
Mwingine badala ya kutatua tatizo, anakujibu maneno ya kuku umiza
@mariammsiilwa5023
@mariammsiilwa5023 4 жыл бұрын
Mung akubarik San kwa funzo hil
@rithamsele8275
@rithamsele8275 4 жыл бұрын
Akhsantee nitajirekebisha
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 Жыл бұрын
ndiyo mwanamke niliyenae kiukweli nimechoka kabisa, bora nimuache
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 жыл бұрын
Asante san ila bado nipo single
@joramnunu1449
@joramnunu1449 4 жыл бұрын
Khadija Mambo
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 жыл бұрын
@@joramnunu1449 powa
@joramnunu1449
@joramnunu1449 4 жыл бұрын
@@khdijaahmed8458 nisave e-mail
@joramnunu1449
@joramnunu1449 4 жыл бұрын
AU PHONE number
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 жыл бұрын
@@joramnunu1449 mmmhh
@rehemabakali494
@rehemabakali494 4 жыл бұрын
Hii namba 6 hii kweli huu ni uchawi km kweli kuna mtu apendi
@thomaskapande8618
@thomaskapande8618 8 ай бұрын
Shangwe
@user-nt8nn1ky2k
@user-nt8nn1ky2k 2 ай бұрын
Akik umeongea vizuli na nimeamini manen yako akika nina jifunza san nakua jasili kwenye mausiano
@dorisjessy5960
@dorisjessy5960 4 жыл бұрын
Ur so amazing I wish u could talk to my hubby
@elibarikikateman5846
@elibarikikateman5846 4 жыл бұрын
c ndo umkaribishe asubscribe sasa
@dorisjessy5960
@dorisjessy5960 4 жыл бұрын
Aah wapi hapendi kusikiliza
@elibarikikateman5846
@elibarikikateman5846 4 жыл бұрын
yaaan kuna vitu n vizur sana kwa ustaw wa mahusiano mtu anaposikia anajfunza pakubwa sana yaan penz unakuta linastaw tu na kufurahia maisha
@elibarikikateman5846
@elibarikikateman5846 4 жыл бұрын
na toka nianze kumfuatilia chriss nmejifunza vitu ving sana, kiufup namkubali sana
@amanikavuna4381
@amanikavuna4381 3 жыл бұрын
Naitaji musahada na mimi matatizo hayo yanamusibu kipenzichangu ilaningelipata what's App namba basi ingelikuwa vizuri
@vincentmtana2521
@vincentmtana2521 4 жыл бұрын
No.6..anayefanya hvyo km si mchawi tumuite nani.
@rebeccamgunga.8147
@rebeccamgunga.8147 2 жыл бұрын
kaka umeongea kweli
@rehemabakali494
@rehemabakali494 4 жыл бұрын
Ila hii namba sita hii mm imenifanya adi sasa atuelewani na mchumba angu natamani adi kuvunja uchumba sasa
@DaveHumphrey2514
@DaveHumphrey2514 4 жыл бұрын
3, gaslighting
@kerryhoza6173
@kerryhoza6173 4 жыл бұрын
Namba 7...!!
Makosa kumi (10) wanawake ufanya katika ndoa
13:33
Chris Mauki
Рет қаралды 249 М.
LIFE WISDOM : KWA NINI WANAKUCHUKULIA POA - JOEL NANAUKA
13:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 35 М.
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 42 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 46 МЛН
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
Ik Heb Aardbeien Gemaakt Van Kip🍓🐔😋
00:41
Cool Tool SHORTS Netherlands
Рет қаралды 9 МЛН
MAMBO 10 YA KUKUSAIDIA KUSHINDA TATIZO LOLOTE LILE
29:50
Success Path Network
Рет қаралды 52 М.
DALILI NA TIBA ZA MTU MWENYE MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
9:26
MASOMO YA KARNE
Рет қаралды 13 М.
SIFA TATU (3) ZA MUME | DEO SUKAMBI
55:00
Deo Sukambi
Рет қаралды 46 М.
Mambo Matano (5) Yanayopoteza Hamasa Ya Kufanikiwa Kwenye Maisha.
10:05
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 42 МЛН