DR.MANYAUNYAU ,WAUMINI WA MCHUNGAJI WA BUZA ,WENGI NI WAISLAMU INASIKITISHA SANA..
Пікірлер: 116
@user-ct3tu6bo8j12 күн бұрын
Brandi gani hio wewe acha kuchafua viongozi wa dini ww kwa kutafta kiki na kutangaza uchawi wako huo ili watu wakuamini.... kweli wapo wengine wanakua niwachawi ila ww acha huo ujinga mungu mwenyewe amekataza uchawi
@user-mw5xs2wx8n17 күн бұрын
Uneongea fact sana kaka alo na masikio atasikia
@bakariyusuph-uf7nc18 күн бұрын
Hao sio waisilamu na wakienda huko wanaenda kama wanavyoenda kwa mganga
@prochesernest543917 күн бұрын
Kiboko ya wachawi amekualibia uchawi wako kazi unayo umejiita mchawi kijana mdogo hachana na hiyo kazi njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone
@K-go1qj13 күн бұрын
Kiboko kaharibu biashara za wengi wakiwemo Sharif majini
@prochesernest543913 күн бұрын
@@K-go1qj majini ni ndungu zao waislamu majini ni waislamu wanajua
@OmanOman-lq9jj5 күн бұрын
Nyiye. Matapeli nyiye. Wanganga tena matapeli. Wakubwa Sana nyiyr
@user-tx6nz4up5h17 күн бұрын
Hapo uliposema kuwa kama kweli Yesu alikufa hapo umekosea sana mana kuruani haikubali bali biblia imeandwa alikufa, nakubaliana na wewe kuwa manabii wa uongo wametokea na wanaibia wengi lakini Bwana wetu Yesu Kristo alikufa akazikwa na siku ya tatu alifufuka kwa ajili ya dhambi zetu 1kor 15:1-4
@madinajamada918018 күн бұрын
Umelewka kaka ❤
@K-go1qj13 күн бұрын
Yesu Kristo ndie kiboko ya wachawi kama hautaki kutapeliwa
@OmAn-jw4jt16 күн бұрын
Utakuwa umefanya vizuri sana kaka maana watu wengi wanapotea kwa sababu ya tamaa zao
@meshackthomas134117 күн бұрын
Mungu anatosha nabii wake niyesu hao wengine Mungu atawazibitsha. Kwa matendo maana Mungu wakwel hategemei nguvu za ziada katka jambo lake but anahitaji imani au nafisi iliyosafi👉🙏
@GraceWilliam-d1wКүн бұрын
Daah!!! Kweli yesu kiboko leo manyaunyau umeubiri injili daaah!
@user-fm4dk1ox3t17 күн бұрын
Manyau nyau ki ukweli umeongea ni ukweli wengi ni ndugu zetu wa Islam kwa kweli mwisho wa dunia
@EdwardMatiyashi18 күн бұрын
Na kukubali sana 🧌🧌🧌🧌
@t.jsaidia204717 күн бұрын
Tunakupenda ukija Ujerumani tutakufuta. Hasante ❤
@HanifaOman-oo4pl5 күн бұрын
Mganga ni Mungutu. Hakuna mwingine nyiewote mnaabudu majini wakikuambienimfanyekitu kibaya mnafanya Mungu awalaaniwote wa shilikina
@fathiyahmuzney736717 күн бұрын
Tena huyo kiboko ya wachawi tapel tena mwizi mkubwa yan anawaambia waumin wake kua kawazid mpk dhambi we huogopi😂😂 lkn hao waumin wake huwaambii kitu yan ishatekwa ufahamu ipo km mizombi
@user-yj5es1jw8c17 күн бұрын
Asante sana mdogo angu
@user-wo2ny4bk4v15 күн бұрын
Hongera kaka dema watu wapone
@HanifaOman-oo4pl5 күн бұрын
Wengi sasahivi wachungaji Fillmasson
@ruthhamisi290217 күн бұрын
Kumekucha,tutaona na kusikia mengi kwakweli yesu anarudi,tugeukee yesu anatupenda sote
@prochesernest543917 күн бұрын
Kumbe Yesu unamjua Safi Sana huyo ni kiboko ya wachawi Yesu kristo WA Nazareth
@ramadhanwilbard819617 күн бұрын
Kiboko wa wachawi?Mbona alishindwa kujikinga asiuwawe na Wahuni wa Kiyahudi?
@prochesernest543917 күн бұрын
@@ramadhanwilbard8196 Soma huyo Allah yupo motoni anaomba kunusuriwa 47:7 usikose kusoma kwaiyo anwaomba nyie waislamu WA kibinadamu na waislamu WA kijini mapepo wachafu mashetani mliomuamini mkamunusuru mwenyezi mungu wenu kazi mnayo waislamu mnapotea mkiona hivihivi
@user-tt1nm9xs4n17 күн бұрын
@@ramadhanwilbard8196wapi?
@GraceWilliam-d1wКүн бұрын
Umeongea ukweli lakini
@ainessfoya446314 күн бұрын
Hongera
@twaibumikidadi737718 күн бұрын
Umeongea ukweli kanisani hakuna mıjuuza n uchawı tu
@PaulRuben-eu5nh10 күн бұрын
Kwali manyau
@alinebaby906418 күн бұрын
Kweli kbs kaka👍
@bahatisalum350910 күн бұрын
Unazingua Mzee. KAZI za uganga Siku Hizi Haziko Fresh .
@AvityNjau-tz8gq14 күн бұрын
Umeongea point dr manyaunyau
@LevinaModesti3 күн бұрын
Nasema hivi ufalme mmoja hauwezi kufitiniana Kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu wa kweli mnapoteza muda kumjadil mti wenye matunda ndiyo unaopigwa mawe mbona nyie waganga hauwezi kufanya hayo.
@K-go1qj13 күн бұрын
Dr upo nje
@user-yh8ny1nf3f17 күн бұрын
Vita ni kubwa sana sasaivi
@salmauae226117 күн бұрын
Sema sema manyau nyau nyau
@user-wb1th3gn3k10 күн бұрын
YESU YU KARIBU KUJA ,ATAKUJA KUCHAMBUA NGANO NA MAGUGU, WATEULE WA BWANA ZIDISHENI KUJITAKASA
@judithhermann23312 күн бұрын
Nataka kusema tu kuwa SHETANI HAWEZI AKAMTOA SHETANI MWENZAKE.
Hao unao waita waislam. Siyowaislam kama unajiona ww muislam kanisani.unafata nini akienda atajijua mwenyewe moto ni wake. Akifa. Aliitwahuko kanisani sijajipeleka mwenyewe.
@salmauae226117 күн бұрын
Kabisa huyo mchungaji anafukuza mtu kanisani eti toka jenga kanisa lako kweli😢
@AdamJonas-sx4mi6 күн бұрын
Unaipenda Tanzania nawakati munayaharibu maisha ya baadhi ya wa Tanzania acha woga wewe kikinuka Tanzania unakimbilia Nchi zingine mbona hutulii hapa ulipuliwe.
@HalimaRamadhani-w8l2 күн бұрын
Wee mweu wewe umerogwa Nini.wewe ndio mpuuzi na mshilikina mchawi mkubwa kiboko atakuangusha fruuuuuuu
@JosephKulwa-rc7en17 күн бұрын
Kuhusu wachungaji na mashehe nimekuelewa sikuhiz wanatafuta hela tu sio mungu
@user-cg2tj9qz8h15 күн бұрын
Mimi namukuumia mungu sisemi neno
@meshackthomas134117 күн бұрын
Mungu wa kweli yupo nyie tajaneni tu. Huku mkijua mamulaka yake hayapungui Wala kupunguzwa. Nakiumbe yoyote popote; haikuwezekana na haitowezekana 🙏
@AdamJonas-sx4mi6 күн бұрын
Ko umekubali kwamba was isalaam Wana majini maana umesema nawewe umezaliwa nayo ko majini yanatoana yenyewe kwa yenyewe? Eti mkristo mwenye akili akafanye mudaharo na wewe we unamajini na mizimu ya kuzimu pigwa KIBOKO CHA WACHAWI hukohuko usije ukafia kwenye mikono ya watu. Tufungwe bure .
waongooo hapo hakuna mıujıza ni uongoo tı umesema ukweli wajinga ndıo waliwao wataliwa mpka wakome umesema kitu point sana!!!!!!
@user-wi8og3sv4j18 күн бұрын
Kama kweli amechukua dawa ya mazingaombwe kwako siuloki tu paswedi za ilimazingaombwe yasifanyike?
@HalimaRamadhani-w8l2 күн бұрын
Sasa wewe manyaunyau unateseka ukiwa wapi saizi acha kimsema sema uyo mtumishi wa mungu kama kiboko ya wachawi.manyaunyau sisi tushachoka na uganga wenu buana
@hildpaul782312 күн бұрын
Mie mkristo naungana na wewe mnabii matapeli wengi sana
@OmanOman-lq9jj5 күн бұрын
Kazi zaunganga. Siku hizi. Hakuna. Bwana. Usitudanganye wewe. Achana. Na hao.
@HalimaRamadhani-w8l2 күн бұрын
Umeona eeeh uyo manyau ameshakuja kutapeli watu kule tabata na kuwanyoa watu ovyoo ovyoo tu na akuna ulichosaidia majini watu wanayafuga mtaani ovyoo ovyoo tu
@mariamibrahim654416 күн бұрын
Umezidiwa kete
@SamwelJoseph-yk3cw6 сағат бұрын
Tapeli mkubwa, kamanda gwajima aliwahi kuku challenge ulikimbia vibaya mno, hadi sim yake ukamkatia tapeli mkubwa wewe, kwanza okoka la sivyo utakufa katika ushetani wako na Jehanam ina kusubili.
@HalimaRamadhani-w8l2 күн бұрын
Sasa unakataa Nini kiboko kujiita kiboko ya wachawi? Kumbe wewe unatangaza biashara Yako sisi saizi tumeshituka na nyie waganga bola tuende kwa mapasta wetu
@isayacharles285017 күн бұрын
Manyau sasa unaweza kujifunza sheria za mungu kupitia bible 😄
@tinertv13828 күн бұрын
Kamfuate siuna nguvu uone kiboko ya wachawi nini utaonyeshwa
@user-wi8og3sv4j5 күн бұрын
Mganga wakienyeji sio mtu
@HoseaMbilinyi-do4iu16 күн бұрын
Nyesu nijia iendayo uzimani
@edwardpeter856916 күн бұрын
huyu aliwahi kuja buguruni mahakama ya mwanzo tukampa huduma nilikuwa simjui mama mmoja akamuita Manyaunyau mzee wa pamba
@isayacharles285017 күн бұрын
Manyau hapo unasema kweli, yesu alisema siku za mwisho watatokea manabii wa uongo watatumia jinalangu kama kivuli cha kujificha na kufanya maajabu yao, ili wawapoteze watu 🤔
Uko mbioni kuokoka huna mwendo tunakuhesabia siku mfate huyo.kiboko ya wachawi ukauone huouchawi alionao. , Zakayo alishangaa miujiza ya yesu akamfata. Bado zam yako. Njoo kwa yesu
@zaidiissa371417 күн бұрын
Kwani kuokoka Nini na yesu ninani maana tunavyojua kuokoka nimpaka ufe uhukumiwe sasa ukisha hukumiwa kwenda peponi hapo sasa ndio unasema umeokoka lakini hapa Duniani ukisema umeokoka basiujue unajidanganyatu
@user-um7kj5kf6p17 күн бұрын
@@zaidiissa3714 Soma kitabu cha.injili ya yesukitakusaidia kujua yesu ni Nani na kuokoka Nini maana usipomjua yesu wewe sichochote. Yohana 3 16. Yohana 1:12 Yohana. Yohana. 14.:6. Yohana. 17:..1: . 6. Yohana. 14 13:. 14
@jonasdaniel102518 күн бұрын
Wewe muongo tu,, unataka umalufu kwendaaaa!! Naona umeamua kuhama nchi,,huna uwezo wa kuwataja mbweha wewe,, jaribu kuwataja tuone
@user-yd3cj5xs1z17 күн бұрын
Tumbo joto
@barakabusima17 күн бұрын
Tulia wewe yawezekana ni mmoja wao😂
@elijahchegere497417 күн бұрын
Dr manyaunyau usimguse wala usimseme kiboko ya wachawi unaweza ukauliwa
@user-tt1nm9xs4n17 күн бұрын
Kiboko wachawi atakuua
@jonasdaniel102518 күн бұрын
Biashara yako imeanza potezwa kwishaaaaa
@rayisadesigns264617 күн бұрын
Lakini yupo America hapo?!
@user-yd3cj5xs1z17 күн бұрын
Shindaneni kipesa na DK
@user-sj3wf5vz7l17 күн бұрын
Acha waislamu waende huko maana mashehe mmeshindwa kutatua matatizo ya wengi. Uchawi uchawi tu agent wa shetani
@Maalim_Samatta11 күн бұрын
Wewe boya hujielewi, mimi mwenyewe ni shekh na hao wachungaji baadhi wanakuja kwangu kuchukuwa maji ya dua na mafuta. Mabwege nyie mnaliwa tu huko makanisani kwenu
@HanifaOman-oo4pl5 күн бұрын
Nikweli kabisa@@Maalim_Samatta
@SamwelJoseph-yk3cw6 сағат бұрын
Nenda uko gwajima alikupigia sim ili akuchallenge ulimkimbia kweli kweli,,,, mjumbe wa shetani duniani. Okoka
@wellemawancogere693217 күн бұрын
Waambiehao wanatumia dawa za kienyeji kununulia kutendauganga siomiujiza.