Ujanja ujanja. Wa kiswahili huuwezi kumleltea ALLAH
@HemedSamsoniАй бұрын
Mwenyez mungu akupe maisha marefu ... ❤❤
@NicholasZulu-dj5jtАй бұрын
Dr sule pigakazi mu saidi yawatu malipo nka mungu wa ace fitina
@ShabaniAbdi-bn1gzАй бұрын
Mwamba wa kimataifa 👏💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@ole_larusai587Ай бұрын
Wapinza wa Dr.Sule wamepigwa na kitu kizito na Chenye ncha kali utosini.❤
@femidayahaya488226 күн бұрын
Wameyakanyaga😂😂😂😂
@mukhusinathuman6596Ай бұрын
Sule ni genius..👍
@Rooney118410 күн бұрын
[Sura ya 24] -{surat Al nur} 21. Enyi mlio amini! Msizifuate nyayo za Shet'ani. Na atakaye fuata nyayo za Shet'ani basi yeye huamrisha machafu na maovu. Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu na rehema yake juu yenu, asingeli takasika miongoni mwenu kabisa hata mmoja. Lakini Mwenyezi Mungu humtakasa amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua
@abdulhalim5950Ай бұрын
Hakuna aya wala hadithi , ni rai zake na akili zake. Usidanganye masufi. Alhamdulilah law kuufaham usalafy
@AbdullahNamachokole-gm3ubАй бұрын
Nakukubari sana dr sule kama unavy sema kwa ss atuone umuhimu wako ila ukifa ndip tutaona umuhimu wako ila nice sana
@CommonpАй бұрын
Mashaallah nimesikiliza mpaka mwisho ❤
@OmarMohamed-bs2hfАй бұрын
Safi sana dokta wewe unajuwa
@NassourJumaАй бұрын
Dr sule ni zaidi y genius..hongera sana
@nasrihussein4293Ай бұрын
Huyu dr sule anjua dini hajui kuhusu majini malaika ndiye wanaoshukuwa dua zetu kumpelekeya mwenyezi mungu
@AthumanMohamed-xq1qeАй бұрын
Dt ninakuewa sana
@Rooney118410 күн бұрын
119. Na hakika nitawapoteza na nitawatia matamanio, na nitawaamrisha, basi watakata masikio ya wanyama, na nitawaamrisha, basi watabadili aliyo umba Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumfanya Shet'ani kuwa ni mlinzi wake badala ya Mwenyezi Mungu, basi huyo amekhasiri khasara ya dhaahiri. 120. Anawaahidi na anawatia tamaa. Na Shet'ani hawaahidi ila udanganyifu 121. Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.
@user-oe2ty7ds4gАй бұрын
Siri ya Pepo na moto ni ya MUNGU,hivyo tusihukumu.
@Rooney118410 күн бұрын
[Sura ya 3 Quran]-{surat Al Nisai} 38. Na ambao hutoa mali yao kwa kuonyesha watu, wala hawamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho; na yule ambaye Shet'ani amekuwa ndiye rafiki yake, basi ana rafiki mbaya mno.
@HemedSamsoniАй бұрын
Sule akili nyingi
@khamisjuma7616Ай бұрын
ujinga tu unatumia akili badala ya dalili dini haijengwi kwa rai rai tu bali na mafundisho ya mtume muhammad SA,W
@majutojuma765428 күн бұрын
Kwaiyo wewe ulitaka atumie nn? Sasa akili tulipewa yanini kama sio kutafakari? Nyie wenye mtazamo huu ndio mnaotukwamisha.
@toufiqjaffary7991Ай бұрын
Umetoa darasa zuri sanaa doctor 🙏🙏🙏
@bilalabas9636Ай бұрын
Dah sheikh ww sio mtu wa kawaida Kila nikikuskiliza napata kitu kipya Allah akuhifadhi
@Rooney118410 күн бұрын
[Surat Al baqara] Aya ya 268. "Shet'ani anakutieni khofu ya ufakiri na anakuamrisheni mambo machafu. Na Mwenyezi Mungu anakuahidini msamaha na fadhila zitokazo kwake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa, Mwenye kujua" Aya ya 269. "Yeye humpa hikima amtakaye; na aliye pewa hikima bila ya shaka amepewa kheri nyingi. Na hawakumbuki ila wenye akili."
@ISMAILIbrahim-ys5vlАй бұрын
Nakuelewa sana she sule
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Iyo ya pete utambulisho tupe Dalili ustadh tuambieni kweny hadith na Quaran😢tine
@halimaa9367Ай бұрын
SubhanaALHA
@JoshuaSalimuАй бұрын
Waisilamu Takbiiir
@Rooney118410 күн бұрын
[Sura ya 6] -{ Surat Al An aam} 43. Kwa nini wasinyenyekee ilipo wafika adhabu yetu? Lakini nyoyo zao zilikuwa ngumu, na Shet'ani akawapambia waliyo kuwa wakiyafanya.
@sylvesternjgwila1055Ай бұрын
King sule
@user-mt4sd6cj5yАй бұрын
AsthakafiruAllah.
@Kizua417Ай бұрын
Mashaallaah
@OmarMohamed-bs2hfАй бұрын
Kinacho wasumbuwa hawa ni chonyo majini wanatumia ila uwatumie viziri wapo wanao tumia majini kwa kuangalia akhera na wapo wanao tibia majini kuangalia dunia sasa hivi vitu lazima wavitambue hao mashekhe uchara
@kasimuhamisi195Ай бұрын
Elimu kubwa, Akili nyingi
@salumsimai642Ай бұрын
Namuelewa sule Ila shida yake hatoi dalili anaongelea zaidi ufahamu wake na uislamu ulishatimia ss ni kufata tu Sasa unachokifanya onyesha ushahidi juuu ya uhalali huo kwa sababu tumeambiwa mkivutana ktk rudini ktk kitabu na sunna suala matumizi ya Pete na mvuto mbona geni kwa mitume na maswahaba
@majutojuma765428 күн бұрын
Nawewe toa dalili kwamba anachosema Sule sio kweli.
@user-go4ec5ex4mАй бұрын
Mm naamn mbo yapo dunian
@FathertruckerАй бұрын
Lakini dua ziko nyingi kwa nini tutumie majini na dua ziko za utajiti ama kinga
@user-bo1ew3xq6wАй бұрын
Kuna hili jambo pia kuombea maji dua kisha yakatumika kwa wagonjwa ama kumwaga sehemu ya biashara.kuna kutumia majani ya mkunazi kwa mambo tofauti na si tuu vipo vitu vingi hutumika kama madawa na watu hutegemea utenda kazi wake.na ili hali watu wanajua allah yupo.mimi naona kutokana na uelewa wangu hizi ni asbab.mfano allah ndie anae toa roho za watu lakini sababu za watu kufa ni nyingi.wengine ajali maradhi hapa inategemea ulipo fia nia yako nini?ndio maana ya jambo lako mwenye anae jua uhakika wako ni allah peke yake..
@FathertruckerАй бұрын
Twataka sunna na quruani
@mohamedothman5792Ай бұрын
Haya yote yanapelekea shirk, hayafai hata kama yana manufaa
@ahmadmadaai1357Ай бұрын
Kina shafi wanatoa fatwa wakati elimu hawana
@OmarMohamed-bs2hfАй бұрын
Ndio watu huwa wanaharibiwa nyota zao kwa hasadi na chonyo
Doctor twataka debate hapa ili tuelewe sulle vs shaff
@user-mt4sd6cj5yАй бұрын
Mandhaladhi yashfau indhauila biidhini,,,
@jituakilimali15Ай бұрын
Sasa Siri hiyo 😮naijua wewe tu na mwalimu wako yahaya hussein
@omarsultan8029Ай бұрын
Dr sulle .Rangi gani ya kito cha pete ni Inzuri kwa wanaume kuvaa ??
@nasrihussein4293Ай бұрын
Kunahitilafiaba lakini sule malaika sio jini malaika n DC iye wanatechukua dua sio jini
@FathertruckerАй бұрын
Majini wengine wanaishi kwenya minuyu pia
@bafaaabuuАй бұрын
Na kwa nn usiseme njia ulizo fanya juu ya hiyo Pete yenye mim ili uheshimike
@JoshuaSalimuАй бұрын
HAPA UKWELI TUTAUJUA SASA
@FathertruckerАй бұрын
Tufanyie matukio live na pete ya ajabu
@AyubuKalukulaАй бұрын
Tubu kwa Allah sule hakuna muongozo ulobora ila nikutoka kwa rasulillahi
@alhadajjmohammedsmith9042Ай бұрын
Sahihi. Mvuto uletwe Kwa Kutegemea Kitu/Kiumbe (Pete) badala ya Nguvu ya Mungu?! Huyo Yusuf na WA mfano wako Walikuwa na Mvuto kwa Kutumia Pete/Kiumbe?! Kumtegemea/Kushirikiana na Kiumbe au Kumfanya Mungu hawezi lazima ahusishwe na Kiumbe Hapo ndo Shida. Kweli Pete ni Pambo, Zinaongeza Nguvu/zinapunguza Nguvu kulingana Aina ya Pete na Madini yaliyomo ktk Pete, Jinsia ya Mtu (Me/Ke) na Kuvaa Pete pasi itikadi ya Msaada wa Mmajini Si Dhambi/Si Haramu. Laakin Kuitikadi Kutakuwa na Msaada wa Kijini badala ya Mungu/Kwa Kushirikiana na Mungu hapo ndo Ushirikina/Haramu sababu BinAdam hatuna Elimu ya Ghaiybu ya Kujuwa UchaMungu wa Jini Muislamu/Jini Mwema. Kinachokhofiwa ni Kuterezeshwa na Majini huweza Kujidanya Mwema/Muislamu kumbe Kafiri-Shaiytwan/Kafiri. Kama BinAdam tu Unamuona/unamjuwa laakin huwezi Juwa aloficha Nafsini/Moyoni (Sirini) mwake ndo utajuwa Siri ya Jini ambaye humwoni/haonekani na hata Ukimwita aje Uonane naye ana Kwa ana haji/hajitikezi Kwa Umbile lake halisi Bali hujibadilisha ndo atashindwa Kukurubuni/Kujibadili akudanganye yeye Mwema/Muislamu na kumbe ni Kafiri/Si Mwema Bali ni Shaiytwan/Ibilisi?!🙌 Sasa Kwanini ujitie ktk Mashaka Hali Mungu ameweka Njia nyingi zisizo na Mashaka?!🙌 Hapo Kutakuwa tu na Masharti Magumu na ya Siri ya Kishirikina/ya Kufuru baina yake/Mganga na Jini/Majini yatamuongoza pasina Kujuwa au Kuona Kufanya ya Haramu/Shirki na Kuitikadi/Kuamini ni Nguvu ya Kipaji Cha Mungu Kumbe Nguvu za Kichawi/Jini🙌 Mfano; Unaweza Kuoteshwa na Jini Usiku kwamba Uandike Aya ya Sura ya Qura'an ukailaze Makaburini/Jalalani Kwa Siku Kadhaa Kisha Uchanganye na Dawa/Vitu (Vyakula/Vinywaji) vya Halali tu ukadhani na Kuamini ni sahihi Si Dhambi/Si Haramu kumbe umeshafanya Haramu/Kuru Kuiweka/Kuilaza Qura'an Makaburini/Jalalani-Kwenye Najisi. Afu sio Lengo Kutibu/Kupona tu na Kama ndivyo basi hata Makahaba/Mashoga huwa na Maisha Mazuri Kwa Vipato vya Haramu. Wengi hujifanya/hudanganywa Kwa Kauli Utasikia; "unachotaka Kufanikiwa Kupona Ugonjwa/Kupata Mali tu, kwani Wewe Unauwa Mtu?!" Kwani Kahaba/Shoga anajuwa Mtu?! Kinachoangaliwa ni Njia/Utaratibu ulotumika/unayotumia Kuponya/Kutibu au Kupata Mali/Kuvuta Watu (Wateja) ni sahihi, amefundisha Mtume/Allah anaridhia?!
@danielkamau2987Ай бұрын
Tafathali toa adiko unayo sema..dio tunjifunze..
@tyronemofekeng7152Ай бұрын
Ila Harmonise ulimpeleka motoni
@user-do2id6pp4gАй бұрын
Kasahau
@user-mt4sd6cj5yАй бұрын
Unamsaidia mpaka mtu aliyeritadi ambaye hukumu yake unaijuwa.Innalililahi wainailahi Rajeun.walmushrikina fiinari jaharnama halidina fiha Abadan.
@abdullzahor3019Ай бұрын
Huku sule anapoelekea anapotea bila kujua nahii ndio shabaha ya ibilisi kwa masheikh km hawa huwapotezea bila wao kujua km wanapotea
@BenjathekingofficialtvАй бұрын
Shetani ana nguvu sana 😂
@OmarMohamed-bs2hfАй бұрын
Skia sule mm nipo pamoja na wewe mpaka dunia itamaliza
@khamisjuma7616Ай бұрын
ndo mana ndacha alikuchapa kwa hoja zake za kijinga yani ulikosa nguvu kwa vile wewe unamuamini sana jini kuliko mungu
@FathertruckerАй бұрын
Je jini akiitaji damu
@hemedbamja3197Ай бұрын
Kuwa na elimu ni kitu kingine,ishu ni elimu halali?jitahidi kutoa elimu huku ukisapoti na rejea ya Aya ktk Quran. Maana hata elimu ya uganga nayo ni elimu
@Chrisblaze-beatsАй бұрын
Doh!! UISLAM ni kua mchawi me sisemi utaenda motoni lakini kama kuna mtu amekuelewa basi ameuelewa uchawi na anaimuishi hata kama haufanyi
@rashidally849429 күн бұрын
Yani nyie wengine mna tia huruma mna msifu huyu ujahili wake wakati hizi hoja zake zote hazina asili katika dini hemu kwanza tusome Uislamu ndio mtajua kama ni mtu ambae amezama kwenye ushirikina mcheni Allah
@FathertruckerАй бұрын
Zitaje hixo sababu zako
@mwajumapetekwa1734Ай бұрын
Just
@mussakantumba9914Ай бұрын
Huyu jamaa hana Elimu ya dini ila anajifanya mjuaji na ndio maana hataki kukubali kuwa amekosea Kuuchanganya Uislamu na Ushirikina na Uchawi.
@myself412828 күн бұрын
Ardhi sio cement😂😂 na mtune akisali akiwa amevaa Viatu na hakuna aya alisema msivae viatu isipokuwa vikiwa vichafu Tatizo la sikuhizi dini imekuwa biashara mtu anajibwabwajia tu
@nasrihussein4293Ай бұрын
'vaa pete kwa mapambo tu
@user-mb3zq1jr1qАй бұрын
Naona hekima ikitumika
@saidinsenda954Ай бұрын
Ilo si shida elimu yako inaelewaka ila kwenye uislam aipo ingekua ipo kwenye uislam mtu angeifundisha apo naww uelewi sheikh ayo unayo eleza ayapo kwa dini ao tupe dalili kweny dini Quoran ao ata sunna tup dalili
@khamisjuma7616Ай бұрын
kuna jamaa hapa ananiambia dr kabadili gia angani pete sasa si mvuto wala makarama tena bali ni faida ktk mwili wa mwanadamu
@isihakaabdul1134Ай бұрын
Hakuna mpinzani wa Sule kuweni waelewa huyu kakosea Kuhusu majini na mapete 😢 asiambiwe ?? Mbona yy alimwambia harmonise alipokosea !! Huyu kakosea hataki tu kukubali
@paulmushi2428Ай бұрын
😅😅😅😅😅 Suleeeeeee toboa bhana Waislamu wabishi Uislamu na kutumia majini ni sawa kabisa hata Muhammad aliwatumia katika mapigano ya Badri 😅
@salehothman6144Ай бұрын
Uislamu upi unaruhusu kutumia majini na Muhammad yupi wee mwehu sana
Huyu mtu namchukia sana Hana ushekhe wowote mshirikina mmoja
@Putin331Ай бұрын
Unataka kufirwa sasa
@Rooney118410 күн бұрын
ألم أعهد إليكم يا بني آدم أن لا تعبدوا الشيطان إنه لكم عدو مبين * 50. Je! Sikuagana nanyi, enyi wanaadamu, kuwa msimuabudu Shet'ani? Hakika yeye ni adui dhaahiri kwenu
@al-miskrychannel47812 күн бұрын
Huyu mwamba ni mshirikina. Hafai kusikilizwq kabisa
@jesusislord9190Ай бұрын
Waislam wamejificha weee asaivi wanadhihilika
@BofuMlanziАй бұрын
Je ulipeana vipi mikataba na majini?
@nassorsharifu9837Ай бұрын
ukijifunza tauhid utaona kuwa Dr sule ni mshirikina.
@FarajiMapogoАй бұрын
Hiyo nguvu ya biashara kwenda kwa haraka kwanini ngivu hiyo isiitake kutoka kwa Allah badala yake kwajini?
@salumsimai642Ай бұрын
Shida ipo ktk matumizi uliyo yatoa na namna yakutumia hayo majini
@user-hv4px1dh4lАй бұрын
Waislam wote munatakiwa mfuge majini kama dk Sule/ muhamad mwenyewe alikuwa na majini
@rajuxcharityАй бұрын
Acha ushabik mandazi fata yakwenu uko
@1THEBRAINАй бұрын
Mbona harmonize ulimkufurisha bila ww kumsikiliza? Na ukasema ni wamotoni akifa ww ndio unaengawa pepo na moto acha ushirikini, huwezi sema eti, pete inaweza kukusaidia chochote huwezi tegemea pete
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
WANAWAKE MMESKIA UKO😊...MPUNGUZE KUVAA PLASTIKI.JAMANI HAYAONGEZI LOLOTE😊
@user-en8qs2yp2nАй бұрын
Dini sio kiswahili dini ni dalil
@ameeranassor1619Ай бұрын
Dr Sule Mwenyezi Mungu akubariki kwa kutupa elimu yako, nakufuatilia sana na najifunza mengi sana kutoka kwako. Huyu ndugu mtangazaji aendelee kujifunza, darsa nzuri ila haijapata mtangazaji au muulizaji mzuri
@jjtm164Ай бұрын
waislamu ni Washirikina wote
@Khmediy3241Ай бұрын
Wakristo mafreemason woteeee!
@rajuxcharityАй бұрын
Acha ushamba wa kristo ndo washirikina hadi uko Italy wanapo wapangia sheria hadi wamesha waletea ushoga
@jjtm164Ай бұрын
@@rajuxcharity Washirikina wanatumia (wanafuga majini) na majini hayakuli ugali chakula chake ni damu huoni hii
@Khmediy3241Ай бұрын
@@jjtm164 nyie majini yenu ya kifreemason yanakula wali au ndo makalio yenu
@user-mt4sd6cj5yАй бұрын
Uislamu is pure..acha ujinga.huyo Sule amepotea.na jini wake.
@hamzaforogoАй бұрын
Huyu sule nakwambieni kashadata huyu
@SalehAbdallah-zx2cqАй бұрын
hjmbiwa kuvaa pete ni dhmbi ww umkja kusema pete ina mvuto unawatumia majini ety kukultea mali ss hyo shirk usipotoshe wtu kwsb allah kshsm yy ndio kla ktu ndio wkuombw htk mshrika mna yy ndio mtoaj hkn upitie kwanan na je hlo panki lako unlokata si ni haram hyo kw kauli ya mtume s.a.w mbn ww unfny hvo kukata pank ss utatwambia nn ww watakaokufuata hao hao
@othmankassim3958Ай бұрын
Kama wewe ulipo mkufurisha hamonize bila ya kumuita
@isihakaabdul1134Ай бұрын
Yani ss tulikuwa tunampenda kwa ajili ya Allah kumbe yeye anajua tunampenda kwa sababu ya mipete yake inatuvuta!! Mambo ya ajabu kabisa,
@Annalisejg2urАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jjtm164Ай бұрын
Huyo mitume alifundisha mambo ya ovyo
@rajuxcharityАй бұрын
Na papa wenu huko Italy kawafundisha ushoga
@jjtm164Ай бұрын
@@rajuxcharity elimu za wakalidayo
@MOHDNASSOR-zv5cxАй бұрын
Mshirikina mkubwa , ALLAH atakuhukumu mchawi ww .Sule shetani WA kibinaadamu👎
@user-kg9fn1ph9dАй бұрын
wewe una kipimo kinachopima ushirikina?? au nyinyi ndo Wazee wakukalilishwa msikitini?
@papsmicrocreditcompanylimi1443Ай бұрын
Hahahaha kwamba anakipimo Cha ushirikina?? @@user-kg9fn1ph9d
@sharrifidris3422Ай бұрын
Toa dalili sio maneno mengi bila ushahidi.wengine wanasifu una akili nyingi ni kweli🥺lakini elimu hakuna viswahili vingi tu.mara biology,sayansi, spiritual life,mara tiba zote hizi ni janja tu.umehaibisha uislamu na uganga wako na mapete,majini bila elimu.nenda madrasa usome.shida ya kuitwa sheikh bila elimu ni shiiiiiiida.wasiona elimu wanaweza thani umesoma kweli kumbe ujanja tu.
@JoshuaSalimuАй бұрын
Uisilamu ndo huu sasa
@FathertruckerАй бұрын
Mbona maswaaaba hawakua Wakijua elimu hiyo ya pete ya mvuto ama bwana mtume salla lau ally wassalam