DR. SULLE | MTO NILE ASILI YAKE NI PEPONI | HII NDIO MIUJIZA ALLAH ( S.W ) AMEIWEKA KATIKA MTO NILE

  Рет қаралды 236,977

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Күн бұрын

DR. SULLE | MTO NILE ASILI YAKE NI PEPONI | HII NDIO MIUJIZA ALLAH ( S.W ) AMEIWEKA KATIKA MTO NILE
Masjid_Mtoro_Online_Tv #DrSulle

Пікірлер: 459
@willydusenge9263
@willydusenge9263 2 жыл бұрын
Mtoo Nile ( Fleuve Nil ) inaanziya Burundi sehem ya Bururi - Rutovu hata leo ukienda utapakuta chemechemu yamaji kama zam zam najinsi walipajengeya mi nimuislam kutoka Burundi na nakupenda saaana Docta Sule ila apo kosoa inshaAllah na Allah akujaz kheri
@ponsianangonyani6610
@ponsianangonyani6610 2 жыл бұрын
Asante kwa somo nimelifurahia
@hamissiali4121
@hamissiali4121 3 жыл бұрын
Sh,Allah akujaze kheri kwa kufikisha ila kwa kukumbushana tu mto Nile unaanzia Burundi ndiyo kunapatikana source of Nile which is located in Bururi Province in south-western Burundi.Jazaakah llaukheir
@mbarakachipota5047
@mbarakachipota5047 3 жыл бұрын
Burundi tena mzee mbona hakuna kitabu cha historia kinachosema hivyo nduguuuu
@hamissiali4121
@hamissiali4121 3 жыл бұрын
@@mbarakachipota5047 Ni kweli hakuna kitabu kutokana na research ya kwanza ni kweli inaonyesha ni Uganda but hii ya pili wameificha na ndiyo ya kweli
@hamissiali4121
@hamissiali4121 3 жыл бұрын
@@mbarakachipota5047 In addition to Egypt, the Nile runs through or along the border of 10 other African countries, namely, Burundi, Tanzania, Rwanda, the Democratic Republic of the Congo, Kenya, Uganda, Sudan, Ethiopia, and South Sudan. Its three main tributaries are the White Nile, the Blue Nile, and the Atbara.Feb 22, 2019
@afric01
@afric01 3 жыл бұрын
Aslm alkm ww... Popote pale pepo ilipo anzia na ilipo ishia. Allah atujaalie Kati ya vipenzi vyake na atujaalie pepo firdaus kila muislam. Jazakallahu kheir Sheikh.
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 жыл бұрын
باركم الله فيكم Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
@othmanmohammedhabibu7822
@othmanmohammedhabibu7822 3 жыл бұрын
MashaaAllah ARRAHMAAN akuhifadhi akuongozi Marika haki
@husseinhousni8943
@husseinhousni8943 3 жыл бұрын
Burundi ndipo source ya mto nile unaanzia
@desanta.017
@desanta.017 3 жыл бұрын
Mto nile unaanzia Burundi🇧🇮🇧🇮
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 3 жыл бұрын
Bhang
@ruwagwede4161
@ruwagwede4161 3 жыл бұрын
Asante kwa kutufahamisha
@khadijakhamis5604
@khadijakhamis5604 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuhifadhi na ajalie mema na afya hapa dunian na upate mwisho mwema na akujalie elim maishaa llah tabaraka rahman
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Ili aendelee kuwadanganya na kupotosha
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Mashaallah Allah anatupenda na ss tumpende.
@salumsimai2728
@salumsimai2728 2 жыл бұрын
Mashallah Allah is greater
@hassanmakame
@hassanmakame 3 жыл бұрын
Jamaa muongo sana, amazing ana wafuasi wa kumpatiliza...😃
@VincentMwiti-s4p
@VincentMwiti-s4p 5 ай бұрын
Kweli kabisa ,
@umojatunzwetv
@umojatunzwetv 3 жыл бұрын
Umedanganya mto Nile inanzia Burundi Rutovu🇧🇮
@Mrtop-we7co
@Mrtop-we7co 3 жыл бұрын
Hahaha ndo nimeshangaa eti mto Nile unaanzia UGANDA kkkk NILE source yake ni nchini BURUNDI (RUTOVU) mkoani BURURI kkkkk
@parestinachizi5496
@parestinachizi5496 3 жыл бұрын
Mto nail anapafananisha na pepon yy kaenda lin
@ibrahimsengo6765
@ibrahimsengo6765 3 жыл бұрын
Kwa mujibu wako huo
@Mrtop-we7co
@Mrtop-we7co 3 жыл бұрын
@@ibrahimsengo6765 kataa ukubali ndo hivo
@MubarakaKambale
@MubarakaKambale 4 ай бұрын
Since when?
@winfridamwamban1078
@winfridamwamban1078 3 жыл бұрын
Asante sana shehe
@linturenatus3549
@linturenatus3549 Жыл бұрын
Shehee nimekupata Sana asante
@mashakabundala9955
@mashakabundala9955 3 жыл бұрын
Dr sule wewe ni rafiki yangu mimi na kataa unaanzia burundi tena chem chem ndogo mpaka unakaa mto kagera unapita katikati ya ziwa victoria
@sadantashavu293
@sadantashavu293 3 жыл бұрын
Kweli kabisa, tulisoma ivo katina geography. Na chemchem ya mto Nile inapatikana Rutovu na ni maji machache sana
@ibrahimjoel195
@ibrahimjoel195 3 жыл бұрын
Nikweli kabisa chanzo ni burundi kabisa
@alimwanyumba8439
@alimwanyumba8439 3 жыл бұрын
Maajabu ya Allah.. mwenye hekma na taaluma
@raysamiya3760
@raysamiya3760 3 жыл бұрын
Mashaa Allah Tabarka Allah Mungu n mkubwa
@ngokaomary5123
@ngokaomary5123 3 жыл бұрын
MashaaAllah tabarakallah
@allimsafari4896
@allimsafari4896 3 жыл бұрын
Kuna ushahidi wa aya au hadithi shekh? Kama upo hebu tupe faida
@khamisomary3428
@khamisomary3428 3 жыл бұрын
,
@thehunter5920
@thehunter5920 2 жыл бұрын
Akikupa ushahidi, uniambie
@abbaimran4122
@abbaimran4122 3 жыл бұрын
Masha Allah
@safariscbsi7356
@safariscbsi7356 3 жыл бұрын
Urefu wa mji waJinja ni futi elfu3950 toka mraba wa bahari ilhali Cairo ni futi 75 tu toka mraba wa bahari. Hapo naomba nnatofautiana na Shehe, lakini kwa heshma na taadhima.🙏🏾🙏🏾
@minahadi2190
@minahadi2190 3 жыл бұрын
MashaAllah tabarakAllah
@jarvissalmon3115
@jarvissalmon3115 3 жыл бұрын
Dah aisee
@stimastimma5468
@stimastimma5468 3 жыл бұрын
Wacha uongo the highest city above sea level in Africa is Addis Ababa 2355,Mbaye in Tanzania is at 1700m above sea level while cairo in Egypt is only 23m above sea level. Hapo umetundanganya. Zire miji ziko juu zaindi Africa ni Addis Ababa na asmara in Eritrea!!!
@smadon5638
@smadon5638 2 жыл бұрын
As a County Tanzania is the highest on sea level in Africa,as a city is Addis Ababa,but remember River Nile is going upstream from Lake Victoria as the miracle itself.
@khamismchahaji7028
@khamismchahaji7028 3 жыл бұрын
Assalaamu Alaykum. Mto Nile Asili yake ni Peponi. Kwa kigezo gani........?
@emmanuelgastine9826
@emmanuelgastine9826 3 жыл бұрын
Sure huwa nakukubali sana kaka
@sekibibibatume7401
@sekibibibatume7401 3 жыл бұрын
You're right
@twahamohamad272
@twahamohamad272 3 жыл бұрын
Subhanallah,,acha kupotosha ummah
@MunaMuna-tn3go
@MunaMuna-tn3go 2 жыл бұрын
Kapotoshaje ummah apo nieleweshe
@mrmosestheperfect8166
@mrmosestheperfect8166 3 жыл бұрын
Mashaallah
@samuelkariukimwangi355
@samuelkariukimwangi355 3 жыл бұрын
Je, Uganda ni peponi??
@fredysimwanza3608
@fredysimwanza3608 3 жыл бұрын
Nakukubali sulle
@MakilhassanNdikumana
@MakilhassanNdikumana 3 ай бұрын
Shekh Nil kii story unaanzia Burundi
@issasuleiman1248
@issasuleiman1248 3 жыл бұрын
Subhanallah
@salimocassim6431
@salimocassim6431 3 жыл бұрын
Mashallaah
@kabuletepierre7506
@kabuletepierre7506 2 жыл бұрын
Matatizo ya elimu. Please rudi shuleni.
@migahuzoalbanjr3037
@migahuzoalbanjr3037 6 ай бұрын
Apn sio kwel mto Nil una'anzia Burundi sehemu inaitwa Rutovu
@gaelnshimirimana9880
@gaelnshimirimana9880 3 жыл бұрын
Source ya mto Nile ni Burundi - Bururi - Rutovu
@aristidisamba1573
@aristidisamba1573 3 жыл бұрын
Dah Aise we sheikh acha kutudanganya mchana kweupe yaani hapo xaxa hata moto wa chekechea atakucheka xaxa.
@abdunnasser9580
@abdunnasser9580 3 жыл бұрын
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh Duh Ndugu zangu tusi vamie mic kwakuwatangazia watu mambo tusio na elimu nayo mambo na mito kutokea pepuni ushahidi gani sasa nile kutikea peponi jamani mbilona tunaongea vingine asili ya mto nile nihapo burundi jamani mbona mnakwenda kinyume
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
Ndo maana wakristo hamtupati huko😁😁😁😁
@ismailally3170
@ismailally3170 3 жыл бұрын
Huyo jamaa inafaa akamatwe kabisa
@saidkhery9011
@saidkhery9011 3 жыл бұрын
@@ismailally3170 kinacho changanya hapo ni tafsiri ya neno'peponi'. Kwan peponi ni mbinguni au ni hapa hapa duniani? Wengi hawajui wapi peponi.
@ZaidAKissinza
@ZaidAKissinza Ай бұрын
Mto Nile hauanzii Uganda Sheikh acha kuongopa. Hapo Jinja mto unapita tu unaelekea Sudan napo Sudan mto unafanya pacha, pacha moja inaitwa blue na pàcha nyingine inaitwa white
@MubarakaKambale
@MubarakaKambale 4 ай бұрын
U can Google the source of River Nile,Not Burundi!!!
@الفقيرإلىعفوربهالقدير
@الفقيرإلىعفوربهالقدير 3 жыл бұрын
Allahu Akbar
@abuubilal2646
@abuubilal2646 3 жыл бұрын
tunaomba dalili kutoka kwenye quran na hadith kuthibitisha madai yako shekhe
@kakasteve7117
@kakasteve7117 3 жыл бұрын
Hakuna ushaid wa hivyo. Hayo ni mawazo yake tu
@mjsteven3297
@mjsteven3297 3 жыл бұрын
Huyo Kwanza muongo, maana MTO nile, unatoka nchini Burundi, unapita kàtikati ya ziwa Tanganyika...inapitiliza hadi misli. Hafu huyo mjamaa nae aseme yake, kama anaambia wenye hawakwenda shule. The source of Nile River, is Burundi.
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 3 жыл бұрын
@@mjsteven3297 Sasa mbona wewe muongo kumzidi, Mto Nile wapinawapi na ziwa Tanganyika?
@mjsteven3297
@mjsteven3297 3 жыл бұрын
Uliza walosoma, watakusimulia.
@beccaally5625
@beccaally5625 3 жыл бұрын
Hapo uko sawa sheikh sipingi kitu mimi
@babumuba1287
@babumuba1287 3 жыл бұрын
SHUKRANI kwa darasa zuri,Ila SHEIKH ungetofautisha kati ya R na L, mfano Liver Nile au River Nile?
@mutumutu4981
@mutumutu4981 3 жыл бұрын
Ewe ndugu yangu sule acha kupotoxha watu na kuwafunza watu kito usicho kijuwa, Mito yote inayo izunguka Edeni ipo Afrika,ata chanzo cha mto nile umeposha umma, kusikia umesikia lakini ausikii kwa sababu umejiweka katika kiburi kwa kujifanya kujuwa angali ujui chochote, baxi nakusihi ndugu yangu acha kupotosha umma .
@fundileani1007
@fundileani1007 3 жыл бұрын
Masha Allah Nice video
@salmamukeshimana6720
@salmamukeshimana6720 3 жыл бұрын
SubhannAllah
@fundibakari4729
@fundibakari4729 7 ай бұрын
Msimtukane shekhe ,ebu ingiieni kwenye vitabu na source nyingine za elimu kwanza ndo mrudi kutukana.....
@JamallyHMlela
@JamallyHMlela 3 жыл бұрын
Nyie mnaosema mto Nile chanzo chake ni Burundi hebu ingiieni utube na msearch mtaona anayosema shekh
@blueeyes5952
@blueeyes5952 3 жыл бұрын
Burundi 🤣🤣🤣🤣🤣
@aishawangui6635
@aishawangui6635 3 жыл бұрын
Ukitaka kujua kitu hu search KZbin una enda Google ..
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 3 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Mash Allah
@ramadhanimohdvi9180
@ramadhanimohdvi9180 Жыл бұрын
Hujmbo
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
@@ramadhanimohdvi9180 sijambo alhamdulilah... 🙏
@djpacifik
@djpacifik 3 жыл бұрын
Wewe ni muongo, jinja ni juu kushinda Cairo that is, the altitude at jinja is 1204m and Cairo only 23m
@jeanpierrepoutou9105
@jeanpierrepoutou9105 3 жыл бұрын
Sheikh source ya river nile inaanziya burundi please fanya utafiti tena
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
Ndomaana tunawaambiaga mashehe wenu wengi hawa hawasomi wala kufanya utafiki na kujiridhisha. Maneno mengi tu na ujuaji mwingi lkn research hakuna. Tukumbuke tu " NO RESEARCH DETAILS NO RIGHT TO SPEAK"
@dumelatembo6802
@dumelatembo6802 3 жыл бұрын
source ni UGANDA SEHEMU INAYOITWA JINJA WE MPUUZI.
@mohamedjuma7206
@mohamedjuma7206 3 жыл бұрын
Nakutambua Sana DK sulle lkn unahitaji Sana kuijua vizuri geography Kabla ya kuongea vitu vinavyohusiana na geography. Kuna miji Mingi ambayo iko zaidi ya usawa WA bahati kuliko hiyo miji uliyoitaja ya mbaya na Cairo. Isitoshe Jinja unapoanzia mto ni juu zaidi kuliko Cairo. Mto Nile hushuka mlima haupandi mlima Kama ulivyosema
@muhamedabass4861
@muhamedabass4861 3 жыл бұрын
Doctor tunaamini pepo ipo mbinguni je connection ya Nile river na mbinguni ikowapi?
@husseinsaid8021
@husseinsaid8021 3 жыл бұрын
Kama kweli wewe Ni muislam kasome habari ya ISRA NA MIHRAJI hizi Ni habari za bwana Mtume Muhammad peace be upon him
@Yjhuuuuhjjj
@Yjhuuuuhjjj 3 жыл бұрын
Wewe bado
@rashidkhalifa35
@rashidkhalifa35 3 жыл бұрын
Hii ni imani ya pepe yko maana hta mbingu nazo zitakufa ardhi pia itaondoka siku ya kiyama hakutakua Na mbingu yawaje useme pepo ipo mbinguni?
@تقواللهحسنالاخلقة
@تقواللهحسنالاخلقة 3 жыл бұрын
@@husseinsaid8021 kaka sio kweli
@leilacat4976
@leilacat4976 3 жыл бұрын
Subhana Allah
@ramadhanimohdvi9180
@ramadhanimohdvi9180 Жыл бұрын
Hujmbo
@nicholausmasese6337
@nicholausmasese6337 3 жыл бұрын
DUH IMEANDIKWA KUWA MTAACHA KWELI NA KUFUATA HADITHI
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 3 жыл бұрын
Allahu Akbar!
@fruitfulmpanduji2494
@fruitfulmpanduji2494 3 жыл бұрын
Mmmh umedanga nya MTO Nile hata ukitoka mwanza kwenda ukerewe lazima tupite MTO Nile ..sasa hapo ni Jinja pia ??
@geraldlumanyika723
@geraldlumanyika723 3 жыл бұрын
mto nile unanzia Uganda
@alfredmapile5784
@alfredmapile5784 3 жыл бұрын
Shehe, mto Nile unaanzia Burundi shehe
@justerkitandala8914
@justerkitandala8914 3 жыл бұрын
Mto Nile chanzo chake Kiko Uganda. Mimi nilishikwa huko.
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@sifankubana1697
@sifankubana1697 3 жыл бұрын
Madhaala
@festusmwongela8592
@festusmwongela8592 3 жыл бұрын
Kutoka Uganda kuelekea Egypt haimaanishi ni kupanda mlima, No,No.No.water can flow from any direction ta other direction with the help of gravitational force.
@allyabdulrahman1793
@allyabdulrahman1793 3 жыл бұрын
Wacha kukarir darasan ww
@davidwafula4107
@davidwafula4107 3 жыл бұрын
Ubunifu was Hali ya juu
@nyangeathumani5508
@nyangeathumani5508 3 жыл бұрын
Amesahau white na blue Nile
@rajabubojoo9467
@rajabubojoo9467 3 жыл бұрын
Waislam takbir
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 3 жыл бұрын
Takibiriiiiiiiiiii, Allah aqibaru
@eshasalim5496
@eshasalim5496 3 жыл бұрын
Allahu Akbar
@allimsafari4896
@allimsafari4896 3 жыл бұрын
Taqbira ya nini sasa hapo wakati hujapewa aya wala hadithi yoyote, ukosefu wa elimu mbaya
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 жыл бұрын
Kwaivo nikifuata Mto Pharati na mto Naili ntafika peponi???
@omarmwabege
@omarmwabege 3 жыл бұрын
Hhhhh
@buyoyasubira9444
@buyoyasubira9444 3 жыл бұрын
Mtto Nile chimbuko lake ni Burundi apo ukisema Uganda umekosea
@akidashekue163
@akidashekue163 3 жыл бұрын
Ukifika pale maeneo ya Rusumo wilaya ya Ngara kuna mito miwili inakutana ya Kagera kutokea Rwanda na Ruvubu kutokea Burundi na kutengeneza mto mmoja unaoitwa mto Kagera kuelekea ziwa victoria upande wa uganda
@simonlulenga7062
@simonlulenga7062 3 жыл бұрын
Sule, kusoma kote huko unaishia kudanganya wenzako?
@kakasteve7117
@kakasteve7117 3 жыл бұрын
Ipo tofauti kati ya mtu aliyeelimika na msomi. Sulley ni msomi. Lkn hana Elimu. Hajaeleimika
@usajiliusajili6511
@usajiliusajili6511 3 жыл бұрын
Shehe umekosa ya kufundisha??
@princemilambo7110
@princemilambo7110 3 жыл бұрын
Prince
@mahmoudsaidsakrani4373
@mahmoudsaidsakrani4373 3 жыл бұрын
Allahu Akbaaar
@africancolorstv1472
@africancolorstv1472 3 жыл бұрын
Shekh shule ndogo maji yanapanda mlima vizur kwa process inaitwa river rejuvenation
@haidarsalum9228
@haidarsalum9228 3 жыл бұрын
Si kweli.. Hunaushahidi wa unachokisema..
@تقواللهحسنالاخلقة
@تقواللهحسنالاخلقة 3 жыл бұрын
Inna lillahi wa Inna ilaihi raajiuun Sheikh mche mola wako.
@mhinahalfan2694
@mhinahalfan2694 3 жыл бұрын
Kwa kuwa wewe ni muislam usiseme Inalillah wainailaih rajiuun kwa kauli hii kuwa mto nile asili yake ni peponi. Nakushauri upitie maelezo ya Abu Huraira kutoka kwa Mtume Muhamad yaliyoko kwenye sahih Muslim 2839. Insha Allah utapata ufafanuzi.
@kadirdhulfiqaar7820
@kadirdhulfiqaar7820 3 жыл бұрын
Kasome uko hlf nd ujisemeee tu
@sulimanmasoud9337
@sulimanmasoud9337 3 жыл бұрын
Dr Sule kakupeni mukhtar ulipoanzia nakuku onesha nema alizotujaali Subhana wataaALLah. Unatakujua zaidi soma usiwekama hao. walokuja waka discovered kitikilo kulokuwepo. Usikasirike.
@samwelmwinyi1893
@samwelmwinyi1893 3 жыл бұрын
Nimekulewa Dr. Sulle! Kujua uelewa wa wengne pitia COMMENTS utajua!
@bonphasehamiss1369
@bonphasehamiss1369 3 жыл бұрын
Vp
@huseniikaji378
@huseniikaji378 3 жыл бұрын
Nakupata.vilivyo.sheķhe.wangu
@mgasathedon1579
@mgasathedon1579 3 жыл бұрын
We muongo kabsa
@kennix6457
@kennix6457 3 жыл бұрын
Muongo sana uyu
@asuasu658
@asuasu658 3 жыл бұрын
Mansha allah tabarak allah
@tryphonraphael1646
@tryphonraphael1646 3 жыл бұрын
Mashallah nn na wew umeamin
@tryphonraphael1646
@tryphonraphael1646 3 жыл бұрын
Mashallah nn na wew umeamin
@mbarakachipota5047
@mbarakachipota5047 3 жыл бұрын
@@tryphonraphael1646 wewe mbona unaamini kuwa yesu ni mungu na ukilisto ni dini ikiwa sio kweli kuwa ukilisto dini tulia ndugu muache mtu aamini anachokiamin
@KhalidKhalid-zt1bc
@KhalidKhalid-zt1bc 3 жыл бұрын
sheikh unazungumza uzushi , toa dalili kwa unayoyasema. Maana tunaambiwa pepo hakuna jicho la binaadamu ilowahi kuiona au sikio kusikia . Na hamna kitu chochote duniani kinachofanana na vitu vya peponi zaidi ya majina tu
@kimutaiboit8516
@kimutaiboit8516 3 жыл бұрын
These are signs for people who have knowledge.
@eshyndibalema1529
@eshyndibalema1529 Жыл бұрын
Mto nile unaanzia Burundi tena maji madogo sana ni kijito yanajikusanya mpaka karagwe Tz yanaingia kaka mpaka lake Victoria yanakatisha ziwa hayachanganyikani mpaka Uganda yanapandisha mpaka Misri na katikati yanajigawa kuna blue nile usipotoshe watu tafadhali na Geography iko hivyo, Mwenyezi Mungu yupo ila usemavyo sivyo unachanganya mambo
@tilitv8487
@tilitv8487 3 жыл бұрын
mmmh japo sijasoma sana geograph ila kwa hili bado hujanishawishi
@safarisafari7388
@safarisafari7388 2 жыл бұрын
Mimi hapa sina nijualo yani elimu sina mkitaka mnidanganye namkitaka nipeni ukweli mimi ntakubali tu
@Burange666
@Burange666 3 жыл бұрын
Dr Sulle ni kweli mungu yupo tunaamini lakini hii kuhusu mto nile bado hujatufahamisha kwa urefu tukafahamu vizuri na sisi ili tukiulizwa tupate jibu sahihi kuwa mto nile unaanzia uganda mpaka misri au peponi lakini umeeleza kuwa umeanzia uganda mpaka misri, tufahamishe vizuri kuhusu peponi ili tupate kufahamu shukraan sana naomba jibu.
@kibikirasaidi6681
@kibikirasaidi6681 3 жыл бұрын
Tungepata ku simu yake tungemwambiya vizuri ni Burundi chanzo cha moto nile
@amranindizeye948
@amranindizeye948 3 жыл бұрын
@@kibikirasaidi6681 Apa SHEIKH kachemusha, mto Nil umeazia Burundi sehemu kunapoitwa Rutovu
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
Kama hakuna maajabu yaliyofanyika huko kwenu wandugu MSIFORCE NDUGU ZETU NJOENI TUMIENI MAAJABU YA YESU KRISTO muendeleee kumuita ISSA na maajabu yake aliyofanya. Kuliko kudanganya umma kwa jina LA Mungu ni dhambi aisee. Welcome to Jesus where the real miracle are found🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥
@crescentvscross1132
@crescentvscross1132 3 жыл бұрын
Yesu Ana maajabu gani neno lake limeshindwa hata kuunganisha watu Wanao muamini
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
@@crescentvscross1132 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Pole sanaaaaa ingekuwa Hana miujiza yake na Yesu mwenyewe Hana nguvu mngemtaja mara 25 kwenye Quran ???? Mama yake MARIAM ndio mwanamke pekeee aliyetajwa kwa jina lake "MARIAM" pekeeeeeee Na mmemtaja mara 34 kwenye Quran wakati mwanzo wa Qur'an mpka mwisho mtume wenu mumemtaja mara 4 tu. Unawezaje kubeza jina LA Yesu🤔🤔🤔🤔🤔 KARIBU KWA YESU UPATE KUWA HURU VIFUNGO VYAKO VIFUNGULIWE.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🌹🌹🌹🌹
@crescentvscross1132
@crescentvscross1132 3 жыл бұрын
Sasa umekuja vizuri wakati unatuita kwa yesu unamaanisha tumuache muumba tuje tuambudu kiumbe. Pili hujui mambo ya dini maajabu ya mto Nile ni miujiza ya muumba sawa na muujiza wa muumba kumuumba yesu na kuzaliwa bila baba nisawa na Musa kupasua bahari hii yote ni miujiza ya muumba mbingu ni nchi. Sababu ya yesu kutajwa sana katika Quran ni kwakuwa walifuatana na Muhammed ktk kutumwa kwao na Mungu wao kama injili ya yesu inavyo mtaja Musa. Sababu ya pili yesu ni nabii pekee alie feli katika kueleweka kwa wengi miongoni mwa watu wake. Quran inasema siku hio ya hukumu yesu ataulizwa uliwaambia watu wewe ni Mungu lkn yeye atasema hakusema na shahidi ni Mungu kwani Mungu anajua yote kwahio kutajwa mara nyingi sio chakuzingatia bali katajwa kwa sababu gani ndo jambo lamsingi usishangile kutajwa kwa yesu Quran inaeleweka tofauti na bibilia usishangilie kwajwa mara nyingi ( shetani pia katajwa). Yesu ni muislam na waislam wanamsubi na akija hatatuangusha bali nyinyi atawaambia siwajui mtokako. Maana ni makristo wa uongo na manabii wa uongo nao 24.24 matayo watendao ishara kubwa na maajabu ili wapate kuwapoteza watu. Labda unasema tumuache yesu tuwe warumi kama nyie. Imani ya kirumi ndo imewateka lkn yesu mnamtajatu wala hamumjui na hamumfuati Hebu soma warumi 1. 7......kisha njoo kivingine kama mtu anae jitambua
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
@@crescentvscross1132 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 imepenyaaaaaaaaa rafiki Hivi kama biblia imesema kutatokea manabii wa Uongo je sikwamba nawakweli wapo? Kama kuna baba wa Uongo basi na Wakweli hawezi kukosa, xo hicho sio kigezo!!!!!! Kiufupi MTO Nile ulishaumbwa na Mungu na Sio miujizaaa Eti chanzo chake ni peponi😆😆😆😆😆😆😆😆 Pole Sana Dada najua jazba imekupandaaa kwa kuwa unaminyana na Ukweli😢😢😢😢 Muamini YESU NJOO KWAKE Hayo ya kuambiwa atakuja kuwakana waliomfuata ni story zakusadikika zilizoandikwaaa baada ya Kristo kupaaaa ambazo ziliandikwa miaka 600 baada ya Ukristo. YESU NDIO NJIA YA KWELI NA UZIMA DADA YANGU NJOOO KWAKE. NENO LAKE NI KWELI NA LITAKUWEKA HURU🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
@@crescentvscross1132 SIKU UTAKAYO MPOKEA YESU KAMA BWANA NA MWOKOZI WAKO AMANI UTAKAYOKUWA NAYO HUTOWEZA KUILEZEAAAA. AMIN NAKWAMBIA🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@eleasemugo5371
@eleasemugo5371 3 жыл бұрын
Blue Nile and Somali I don't think so..... Blue Nile origin lake tana Ethiopian highlands
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 3 жыл бұрын
Allah aqibaru
@omarhafidh8884
@omarhafidh8884 3 жыл бұрын
Diamond platinum new songs
@bravokingtz9073
@bravokingtz9073 3 жыл бұрын
Allah akbar
@bibiliyaumucyowisininzira8671
@bibiliyaumucyowisininzira8671 3 жыл бұрын
Mto umeanziya Rda na Burundi ukaenda Uganda
@justerkitandala8914
@justerkitandala8914 3 жыл бұрын
Chanzo chake Kiko Uganda Ninja
@sadih5333
@sadih5333 3 жыл бұрын
Ni Livers au Rivers, hadi kwenye English bado Lashidi ,Lamazani , badilikeni.
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Mtihani Wallah
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Daaaa
@shaykhmulabasalehlulat4909
@shaykhmulabasalehlulat4909 7 ай бұрын
Kwa kweli mnatukanisha Uislamu kwa kunasibisha ujinga wenu na uislamu. Pepo iko wapi? Mto vipi asili yake Peponi??? Ushahidi uko wap??? Kisha unasema altitude ya Cairo iko juu??? Wakati ni takriban 23m kutoka usawa wa bahari. Flow ya mto Nile inafuata mkondo na fizikia ya kawaida kabisa . Maji yanatoka high altitude kuelekea low altitude.
@kwaleboy6064
@kwaleboy6064 3 жыл бұрын
Napenda sana science unavyoichambua
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
😪😪😪😪
@freduallughano2301
@freduallughano2301 3 жыл бұрын
@@SAM_163 😂😂😂watu wanadanganywa waziwazi!
@SAM_163
@SAM_163 3 жыл бұрын
@@freduallughano2301 Huyuuuu Dr. Sule na uongooooo huuuuu ndo Ameshakuwaaa Mwl wakoooooo😀😀😀😀😀😀😀😀
@geoffreysoloshija1909
@geoffreysoloshija1909 3 жыл бұрын
Acha uongo mzee
@esatumedia562
@esatumedia562 3 жыл бұрын
Hata hio picture ninyi umeweka ni ya Amazon Nile inchini Brazil
@QasammaMachibya
@QasammaMachibya 4 ай бұрын
unaanzia burundi kisha unapita rulenge ngara kisha rusumo ngara,na kitengure karagwe.kyaka nakisha unakwenda kukatiza ziwavictoria kuelekea sudan, ambapo huzaa mikondomiwili(mapacha)bluu nile na whiter nile ,unamanufaa sehemuzagezira sudan,unakwenda mpaka misiri dr sule.hili.dahihisha
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 22 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 74 МЛН
Epic Reflex Game vs MrBeast Crew 🙈😱
00:32
Celine Dept
Рет қаралды 11 МЛН
🔴LIVE :DR.SULLE MWANADAMU WA KWANZA ALIKUA MWEUSI SIYO MWEUPE/HISTORIA
59:53
MIUJIZA YA WADUDU HAWA  // SHEIKH IZUDINI ALAWY
35:36
arkas online tv
Рет қаралды 45 М.
DR. SULLE | HII NDIO HEKMA YA ALLAH KUMPELEKA NABII MUSSA KULELEWA NA FIRAUNI |
28:07
DR. SULLE | HUWEZI KUINGIA PEPONI KWA SHORTCUT | LAZIMA UFATE UTARATIBU HUU
16:14
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 342 М.
DR. SULLE | KWA NINI KIFO CHA MSALABANI NI KIFO CHA LAANA?
41:20
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 105 М.
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 22 МЛН