DUDU BAYA AFICHUA MAZITO YA DIAMOND NA P DIDY,NAWAONEA HURUMA SANA

  Рет қаралды 294,981

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер
@omarsakwa-zs2zy
@omarsakwa-zs2zy 4 ай бұрын
Congrats 🇬🇷 dudu baya.watching from Greece santorine
@DottoLwambo
@DottoLwambo 4 ай бұрын
Fact broo dudu baya mungu akuongoze na kulinde zidi ya maadui love so much best
@FabianJumaGalula
@FabianJumaGalula 4 ай бұрын
Eee mwenyezi Mungu mupe maisha marefu dudu baya
@richardmlimila5384
@richardmlimila5384 4 ай бұрын
Acha tamaa pambana na lizika ktk angle yako maana dunia iko kiganjani mwa shetani adi pale BWANA YESU atakapo rudi tena nice speech
@kevinbrown1900
@kevinbrown1900 4 ай бұрын
This gentleman spoke the facts 👌👌
@HusnaX-u6q
@HusnaX-u6q 4 ай бұрын
Uyu baba umeongea point sana mungu akupe afya njema siku zote ❤❤❤
@esthermwaibasa4778
@esthermwaibasa4778 4 ай бұрын
Kaka Dudu Baya Mungu akubarki sana sana kwa ,Mungu amekupa neema kubwa sana ya kuona mambo yanayoendelea ulimwengu wa giza,Yesu yu karibu kurudi kwa sasa hivi kidogo Mungu alichokupa ridhika nacho acha kutamani mafanikio ya watu hujui wamepataje hizo pesa,wengi ni kwa njia za kishetani ,Wanadamu tukubali kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yetu tupone kwenda jehanamu,Mungu akubarki Dudu Baya siku zote unaongea hekima tu
@hafswamwinyi4163
@hafswamwinyi4163 4 ай бұрын
Dudu Baya hapo ume sema kweli iko kitu sibure na kuaminiya dudu Baya 😂😂😂👍👍
@jimmycn7078
@jimmycn7078 4 ай бұрын
Burundi tunalizika na ulocal wetu😄😄 big up to our Big Fizzo
@davidmotuka6452
@davidmotuka6452 4 ай бұрын
Konki! Konki! Konki! Master ...my all time icon..mungu akupe maisha marefu bro.
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 4 ай бұрын
Asante dudu baya naunga mjini mkono mwombe Mungu akupe kazi yakufanya una Jambo la Mungu kwa dunia hii kwa sasa
@ManaseMoleli
@ManaseMoleli 4 ай бұрын
uyu baba ana mafunzo mazuri sana na anaonekana ana hofu ya Mungu
@patrickekal268
@patrickekal268 4 ай бұрын
Mwambie Dudu Baya wakenya twampenda Sana...He is smart and his comments are always enlightening.
@AbasiMataka
@AbasiMataka 4 ай бұрын
Nakukubali miaka 100000 my brother upo sahihi sana Jah akulinde
@tatankakoroba48
@tatankakoroba48 4 ай бұрын
Dudu baya huwa anaongea kama mzaha ila ana point nzuri sana
@JAHSEED001
@JAHSEED001 Ай бұрын
Dudu baya i salute you waongea point fungua kanisa amen sure pastor mamba kama waugana na mimi weka like
@tabithakitundu8736
@tabithakitundu8736 4 ай бұрын
Dudu baya Jesus loves you. Karibu tumtumikie pamoja
@emillyzeeh1173
@emillyzeeh1173 3 ай бұрын
Wachting form germany 🇩🇪 🇪🇺
@mrben227
@mrben227 4 ай бұрын
Brother dudu baya sio mnafiki kabisa .ishi maisha marefu kaka
@AbdillahSalimu
@AbdillahSalimu 4 ай бұрын
Ila dudu baya mimi huwa na mkubali kwasaab huwa ana nyoosha mistar hapindi ameongea fact bila chenga sio mnafiki😂😂
@AbubakarHassanHamad
@AbubakarHassanHamad 4 ай бұрын
Konk,konk...konk master ......unaakili nyingi sana !mungu akutie nguvu na uendelee kuwashtua vijana katika jamii
@diegondayishimiye
@diegondayishimiye 4 ай бұрын
Yesu kristo akupe mwisho mwema kwasababu unaongea kweli mimi niko burundi tunakupenda sana
@piusmusigula3512
@piusmusigula3512 4 ай бұрын
Dudu baya, unaonaje ukageukia utumishi kwa MUNGU. Una kitu fulani, unaweza kumtumikia MUNGU,
@tabithakitundu8736
@tabithakitundu8736 4 ай бұрын
Kweli kabisa
@mosesmponeja6854
@mosesmponeja6854 4 ай бұрын
Kabisaa
@bavonnyaulingo4188
@bavonnyaulingo4188 4 ай бұрын
Huyu jamaa alikua anasomea upadre sema mambo ya dunia yakachukua nafac
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 4 ай бұрын
Genius and free to speak
@8791david
@8791david 4 ай бұрын
Ukitaka aharibike, aanze kujiita "mtumishi wa Mungu"; alivyo hivyo ni mtumishi tayari. Sio mpaka awe na swaga zileee
@AgnesShonga
@AgnesShonga 4 ай бұрын
Nani anaungana na mimi dudubaya awe mchungaji ? Like
@RichWise671
@RichWise671 4 ай бұрын
Wamifugo gan ama ww 😂😂😂
@BesaiTimotheo
@BesaiTimotheo 4 ай бұрын
mimi hapa
@mlimbamakunja5315
@mlimbamakunja5315 4 ай бұрын
❤❤
@Raphaeldaudi-q7m
@Raphaeldaudi-q7m 4 ай бұрын
Yani unamsaliti Mwenyezi Mungu kwasababu ya simu, noma
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 3 ай бұрын
Huhitaji kuwa mtumishi kurlewa au kutamka maneno Kama hayo ya kimungu. Unahitaji tu kubadilika kuwa mwelewa,mkweli, mwadilifu na kuamua kuishi Kama mungu alivyoagiza tuishi…..simple and clear
@meckalex4648
@meckalex4648 4 ай бұрын
Kong master unanifurahisha sana 😂😂😂😂
@MwanamkasiAliMwinyi-y9n
@MwanamkasiAliMwinyi-y9n 4 ай бұрын
Wallah humpenda sana huyu dudu baya hafichi kitu 😂😂😂😂Wala haogopi
@evancengatunga4834
@evancengatunga4834 4 ай бұрын
Dudu baya, nimekukubali,unaongea kwa kuielimisha jamii ,,so good dudubaya.
@254tesoboy5
@254tesoboy5 4 ай бұрын
Napenda uyu jamaa anakuanga straight to the point. Nampenda sana
@filyakusimsigwa5006
@filyakusimsigwa5006 4 ай бұрын
Dudu baya ni mwalimu mzuri sana katika jamii anauelewa na IQ kubwa
@Kwazulu1
@Kwazulu1 4 ай бұрын
Dudu baya your the best. Motivation speaker for younger generation (GEZ). Keep it up
@Kwazulu1
@Kwazulu1 4 ай бұрын
Kwa hiyo huyo P Did ni pepo likemewe kwa jina la Yesu wa Nazareth.
@EmmaShirima-gm8vz
@EmmaShirima-gm8vz 4 ай бұрын
​@@Kwazulu1😢
@ChikuRashid-yg3jp
@ChikuRashid-yg3jp 4 ай бұрын
Mh wewe mbona mraibu
@zzeby2043
@zzeby2043 4 ай бұрын
TRUE, Nilishawahi kuwaambia watu kuwa Dudu baya ana IQ kubwa
@estevaojacintomuome5253
@estevaojacintomuome5253 4 ай бұрын
Leo mi wa 4 from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@fleynassorali-dp9hw
@fleynassorali-dp9hw 4 ай бұрын
Vp Mozambique hawajapigwa miti?
@maulidimpili698
@maulidimpili698 4 ай бұрын
Kuna kitu nataka nikuulize kama upo Mozambique
@blaiseiranzi7313
@blaiseiranzi7313 4 ай бұрын
Brother Dudu Baya Anaongeleya Ukweli ,Naisha USA I can prove what he is saying.
@KafrogyPep
@KafrogyPep 4 ай бұрын
🙌🏿🙌🏿🙌🏿🔥🔥🔥👊🏿👊🏿👊🏿 Living Legend.. Kama hutamuelewa Mamba.. Baby Oil inakuhusu
@liesmaandy7587
@liesmaandy7587 4 ай бұрын
😂😂😂
@RashidWashe-rj5vy
@RashidWashe-rj5vy 4 ай бұрын
Dudu baya big ups 💪 👏 brother that is great talk 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@YusuphJulius-e2m
@YusuphJulius-e2m 4 ай бұрын
😂😂😂 Mamba haraaa mimi namwamini mamba ❤
@richardkalamake2854
@richardkalamake2854 4 ай бұрын
DUDU BAYA awe mtumishi😂😂😂😂
@robinilomo2887
@robinilomo2887 4 ай бұрын
Huyu jamaa kawa na akili sana siku izi Kudos to Dudubaya
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂acha wapigwe miti malimbukeni wakubwa hao😂😂😂😂
@FernandinyoPogba
@FernandinyoPogba 4 ай бұрын
Shauri nzuri kwa wana muziki wetu wa African
@joelsilambien418
@joelsilambien418 4 ай бұрын
Haya ni maubiri Tosha Asante bro
@yassinMungere
@yassinMungere 4 ай бұрын
Dudu baya ameongea maneno mazito sana sana saluti kwako
@VitaMatata
@VitaMatata 4 ай бұрын
Upo good sana Mzee umejaa hekima
@HurumaeldaudMakala
@HurumaeldaudMakala 4 ай бұрын
Nakubali konkiii masterrrr... ❤❤❤❤❤
@DeodatusPhabian
@DeodatusPhabian 4 ай бұрын
Mungu akupe neema ya kumtumikia. Ndani yako kunakitu cha maana. Ungana na wachugaji wa kweli ufanye kazi ya mungu.
@GraysonRusseta
@GraysonRusseta 4 ай бұрын
Nimekuelewa Mungu naona anakutumia sio bule ubarikiwe sana
@ramilmungaboy9683
@ramilmungaboy9683 4 ай бұрын
Wow ireally like hes conversation he deserve ❤
@ChanceBosco-p8m
@ChanceBosco-p8m 4 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka umeongeya neno nzur sana🙏🙏🙏😭😭😭
@ClementJonh-g5u
@ClementJonh-g5u 4 ай бұрын
Napendaga interviews za Dudu maana utaanza kucheka mwanzo ady mwisho😂😂😂
@RebeccaMuhimba
@RebeccaMuhimba 4 ай бұрын
😂😂😂😂 we siuache mimi apa kuna shoga angu ka mgusaaaaa kabisaa
@AmiryMuhanji-b8l
@AmiryMuhanji-b8l 4 ай бұрын
Ulaya Wana roho mbaya sana mara 1000 upige Dili na mchina,ila sio wazungu...mchina kwanza ni mwizi ukitulia nae mnapiga pesa,Mimi walinitajirisha sana pindi madubwi yanaingia nchini,wazungu sio kwanza WANAHTAJI wakutumie kwa manufaa yao na si upate wewe..niliwah kumsaidia mmarekani mmoja alitapeliwa nusu billion nikimpa mdada kuishi Bure kwenye gest yangu,alipoondoka aliwah kunikopesha pesa kma million 5 weee ikawa yamoto,alisahaau kma aliishi mwaka kwenye gest yangu,nilipoona makelele mengi nikamwambia hunidai umelipa deni lako la kulala Bure gest,wasenge sana hawa jamaa
@lweyendelabenito
@lweyendelabenito 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana bro i really appreciate you❤
@suleimansultan3333
@suleimansultan3333 4 ай бұрын
Dudu baya anaonekana muhuni lakini kumbe sivyo anazungumza mambo ya msingi
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 4 ай бұрын
Ndio maana namshukuru Sanaa BWANA YESU KRISTO kwakuniokoa nikiwa hivi amenifundisha mengi Sana nikweli dunia iko kwashetani, Yesu Kristo ameniokoa namemgi,karibuni Sana kwa YESU KRISTO,yohana 3:16
@BEQUINHOVYAKEMUENEVYAKEM-qd8il
@BEQUINHOVYAKEMUENEVYAKEM-qd8il 4 ай бұрын
SAWASAWA 🤓🤓🤓🤓🇲🇿🇲🇿
@YWCTRADES
@YWCTRADES 4 ай бұрын
uje kwa kupoa wee namsikiliza dudu umejawa na upako😂😂 yeye ameshiriki disko kibao ajasema aliyoyafanya huko ushaanza namshukuru Bwana Yesu
@lweyendelabenito
@lweyendelabenito 4 ай бұрын
Amen
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 4 ай бұрын
Hakika umenena,"TAMAA NI MBAYA SANA ",big up Dudu baya/oil chafu !!!!
@HabebaAli-be6ks
@HabebaAli-be6ks 4 ай бұрын
Kaka yangu Dudu baya nakupenda sana 😂😂😅
@sist813
@sist813 4 ай бұрын
Jamaa kaongea kama mzazi🎉💥👍
@MwajabuAlly-o1r
@MwajabuAlly-o1r 4 ай бұрын
Dudu baya🎉🎉🎉🎉 ❤❤ hiii imeendaa
@AllyLameck-i9x
@AllyLameck-i9x 4 ай бұрын
Kabisa anaebisha msenge pombet ukiona mtu anakuandama kukununulia ujiandae kufiwa sembuse maisha wanafilwa vizuriii kataatu.
@joesydney3646
@joesydney3646 4 ай бұрын
Noted thanks 😊
@petersonnjue1693
@petersonnjue1693 4 ай бұрын
Wakenya tunakupenda zaidi,imba wimbo moja kuja Kenya tutakusapoti
@josephsaid3338
@josephsaid3338 4 ай бұрын
Dudu nimekuelewa sana.... MUNGU Akubariki sana kwa kukumbusha jamii juu ya matukio ya siku za mwisho. Barikiwa sana
@josiacharles2778
@josiacharles2778 4 ай бұрын
Uyu jamaa akawe ata mchungaji, nimempenda sana uyu ndo anajua usanii👏👏👏
@PstSisco
@PstSisco 3 ай бұрын
Point sana mtumishi.karibu ktk utumishi wa mbingu.umutumikie mungu.kwa umli uliyonao sasa njoo kwa yesu na hiyo huduma.
@JonathanIrankunda-i2u
@JonathanIrankunda-i2u 4 ай бұрын
Dudu baya legend 😊
@lynnmkumbo5727
@lynnmkumbo5727 4 ай бұрын
Uko vizur una kitu MUNGU kaweka ndani yako.
@Adonkamotci
@Adonkamotci 4 ай бұрын
Na kubari sana Braza Dudu Baya Wachane Ukweli👏👏👏
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 4 ай бұрын
Is very smart man.. Kama wakimwelewa
@martinhipolitichuwa366
@martinhipolitichuwa366 4 ай бұрын
Asante sana Dudu Baya. Huo ndio ukweli halisia wa wasanii wa Tz, waache tamaa, wataolewa na wanaume wenzao kwa tamaa zao
@sultanrajabu8369
@sultanrajabu8369 4 ай бұрын
This is great Description of what life is...
@husseinmboje1449
@husseinmboje1449 4 ай бұрын
swiz beat anajua ndo maana alikataa piap.diddy ana power sana ktk grammer award music so ili uzipate lazima diddy akule
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh 4 ай бұрын
Mungu atabaki kuwa mungu tuu....
@furahachuma9039
@furahachuma9039 4 ай бұрын
Kumbe kazagamuliwa 😂😂😂, ingekuwa ni Harmonize ndio tungewajua akina Baba levo na Juma Lokole.
@AboubakarNkurunziza-k5l
@AboubakarNkurunziza-k5l 4 ай бұрын
Mapema sana emekumbana na mwamba wanyankindo kupitiliza
@EuniceJ.Mathias
@EuniceJ.Mathias 4 ай бұрын
Basi nilikuwa naumia mbona watoto wadogo wanahela wanaendesha gar kumbe ndo wanafanyaga hivyo duh
@TeophilBuilding
@TeophilBuilding 4 ай бұрын
Pole ishia hapo hapo kuumizw na mafanikio yao wanafirwa sanaaa
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 4 ай бұрын
😂😂😂😂 mie sijawahi kutamani maisha ya mtu kabisa maana watu mpaka wanajiuza ili watoke
@kayalaonlinetv
@kayalaonlinetv 4 ай бұрын
@@paskaziasholla7471 kabisa usije tamani vya watu kabisa aisee ✔
@RebeccaMuhimba
@RebeccaMuhimba 4 ай бұрын
​@@paskaziasholla7471 ha😂😂😂😂 nimecheka sana
@MrA24G
@MrA24G 4 ай бұрын
Vijana sasa hiviii wanatabia chafu tamaa zimewajaa.Mimi ndio maana mambo yao siyataki.Tulieni.
@saidijuma2920
@saidijuma2920 4 ай бұрын
Smart interview 👏👏
@saidmatola8015
@saidmatola8015 4 ай бұрын
Wametoma kwenye familia masikini. Wengi wao wamepakuliwa......
@JakoboShisho
@JakoboShisho 4 ай бұрын
Mwenyez mungu akujalie maisha malef unahofu ya mungu
@wemacs
@wemacs 4 ай бұрын
Huyu jamaa very smart sana, watu wanamchukulia pia lkn ni mtu na nusu
@EmmanuelKamala-wy1ot
@EmmanuelKamala-wy1ot 4 ай бұрын
Dudu baya mwingine umeongea maneno ya kimungu barikiwa sana
@alvictdan564
@alvictdan564 4 ай бұрын
This man speaks alot of sense
@GodfingerCha
@GodfingerCha 4 ай бұрын
Dudu umeongea p uyo jamaa n kuma 2 sis km wabishi atujawah kumkubali at kidogi mond ni kuma mmoja2 choko km machoko wengine big up dudu
@abbassalum6824
@abbassalum6824 4 ай бұрын
Konki Konki Konki Mastar uko vzr san bratha kwel hiii nchi ipo kiganjani mwako👊
@evanccast6228
@evanccast6228 4 ай бұрын
Dudu baya unakitu kikubwa nakutabiria @ cast madude utakuwa mtumishi Mungu akujalie umri mrefu 🙏🙏
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 4 ай бұрын
Unang'ang'ana kufanya "collabo" na Ricky Ross utapigwa miti😂😂😂😂... Dudu baya senge sana
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 4 ай бұрын
Yani wale sijui kama wamepona wamegongwa
@Abbellll001
@Abbellll001 4 ай бұрын
Anasema ukweli😂😂😂😂 huyu jamaa namkubali sana
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 4 ай бұрын
​@@rukiaiddyyahaya9506😂
@abbas.h.saydy.3991
@abbas.h.saydy.3991 4 ай бұрын
Sketi vazi la wanawake tu. 😅😮😢😂
@badrudindaud1087
@badrudindaud1087 4 ай бұрын
Mr Konki master namfagilia sana hapendagi Kuhepa au ku zungusha maneno hapana yeye anagonga straight
@soccerupdates5
@soccerupdates5 4 ай бұрын
Dudu Baya ameongea Point Sana Mungu ambariki Sana🙏
@chaulas-n8z
@chaulas-n8z 4 ай бұрын
Dude baya mungu akuweke
@Artist-my9zx
@Artist-my9zx 4 ай бұрын
Dudu baya hapendagi ujinga ndio maana kampigaga hata mr nice, heshima kwako legend
@roselynealima3618
@roselynealima3618 4 ай бұрын
I love his thinking ❤
@NICOMORDECAI
@NICOMORDECAI 4 ай бұрын
Noma
@alimwadima254
@alimwadima254 4 ай бұрын
90% ya maneno ya Dudu Baya na Chidi Benzi ni Ukweli mtupu...Naomba baada ya konki master Mtafuteni Chidi Wana habari
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 3 ай бұрын
Kila mtu anajua maana ya kumtumikia mungu na kumtumikia Shetani…..swala ni kuchagua. Yeye hapo anatukumbusha tu. Tusijitoe ufahamu. Tamaa ya pesa za dezo inatuponza na tunajua kuwa tunamuudhi mungu
@Hashim-p4d
@Hashim-p4d 4 ай бұрын
Alhamdhulillah yarabi 🤲
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 4 ай бұрын
Ndo maana Biblia inasema hivi, mpingeni shetani naye atawakimbia Yakobo 4:7-8. Afu ikasema hivi, mkaribieni Mungu naye atawakaribia, itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi na kulisafisha mioyo yenu enyi wenye nia mbili. Wapendwa, dunia ukiambiwa imeharibika bac ujue ndo hivo imeshaharibika mbaya mbovu. Turudi kwa Bwana Yesu kwa roho na kweli ili tuokoke. Amen. Bwana Yesu Kristo asifiwe. Samahani ni Imani yangu. Naomba mtu asinielewe vibaya. Amen.
@janemumbua4683
@janemumbua4683 4 ай бұрын
On your side and that's true God bless you kwa huo ufahamu ulionao na wenye kuelewa waelewe ❤
@sylvestermhojaaron9659
@sylvestermhojaaron9659 4 ай бұрын
Uko sawa kabisa mtu wa Mungu
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 4 ай бұрын
@@sylvestermhojaaron9659 amen
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 4 ай бұрын
@@janemumbua4683 ahsante
@elvischumba7389
@elvischumba7389 4 ай бұрын
Amen brother 🙏
@dashuu2352
@dashuu2352 4 ай бұрын
Anaongea point
@IbrahimShelimo
@IbrahimShelimo Ай бұрын
Yani unaongea point zuri sana tufundishe jamii ili wajue nakusapoti sana toa sili na uzi fichue zote uwambie jamii
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 4 ай бұрын
Mond sket yy anataka kua tajr namba 1 diamond 💎 lmbuken mkubwa wa Africa mashark
@mwajumamande8477
@mwajumamande8477 4 ай бұрын
Dudu una point sana,,ila kuhs wasanii wa uganda,rwanda kutoenda marekani ni wao tu....ila wasanii wa tz wakishindana kwenda marekani mi naoana ni vzr na ushindani utakuwa mkubwa tz ila wawe makini tu huko waendako
@PeterMJanga
@PeterMJanga 2 ай бұрын
Nakuombea sana kwa Mungu YESU AKUOKOWE uokoke na ulelewe na mch. wa kweli na si hawa mitume na manabii unaojichanganya nao ili upate kuukulia wokovu wa kweli usimame naamini Mungu ana haja kubwa sana na wewe kukutumia kama chombo chake akutengeneze ili uwe nuru kwa watu kupitia wewe waokolewe wengi na shetani aaibishwe KWA JINA LA YESU KRISTO
@daudysanga8492
@daudysanga8492 4 ай бұрын
Dudu baya bana😂😂😂😂utapigwa miti😅😅
@HudhaimaJoseph
@HudhaimaJoseph 4 ай бұрын
Umeonge vizuri mashaallah
@abbassalum6824
@abbassalum6824 4 ай бұрын
😀😀😂🤣🤣🤣 Mwandishi Muoga huyu anaogop kuisha
@SauliMakundi
@SauliMakundi 21 күн бұрын
Uko sawa mkuu. Maisha marefu kwako mkuu
HUU NDIO UKWELI WA KESI YA P DIDY, DUDU BAYA AFICHUA MAZITO
16:20
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
MAPYA, MWIJAKU AFICHUA UCHAFU WOTE, DIAMOND NA P DIDY, KALIWA
10:05
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН