HUU NDIO UKWELI WA KESI YA P DIDY, DUDU BAYA AFICHUA MAZITO

  Рет қаралды 54,123

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 67
@EstherJerald-tc6ct
@EstherJerald-tc6ct 3 ай бұрын
Daaa shetani ni mjinga kweli Kumbe baada ya kukutumikisha anakukimbia heee kwa mtu mwenye ufahamu ni muda wa kutubu na kurudi kwa Mungu , Uliyenieelewa naomba like jamani.
@kajembeathman
@kajembeathman 4 ай бұрын
Safi sana dudu muelimishaji jamii conk master oil chafu.
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 4 ай бұрын
Huyu jamaa siku zote huwa anazungumza ukweli. Mungu kweli huipiga kofi faida isiyohalali na imeandikwa kwenye Ezekiel 22:13 "Basi, tazama, nimeipigia kofi hiyo faida uliyopata kwa njia isiyo haki, na hiyo damu yako iliyokuwa kati yako."
@MussaMabula-w2n
@MussaMabula-w2n 4 ай бұрын
Mzee uko saw. Nimekuelew
@mwinyiswaleh8388
@mwinyiswaleh8388 4 ай бұрын
Jina lenyewe la studio yake linasema kilakitu.hukusikia yule alienda kwa DIDDY na Diamond alisema situdio yake kuna kitanda chamasaji.
@geeva99
@geeva99 4 ай бұрын
Dudu leo katuibia 😂😂😂 uncle wa taifa
@jobuish
@jobuish 4 ай бұрын
Crang mark alikuaaa handsomeee ?? Falaaa wewe
@AliceNiyongere
@AliceNiyongere 4 ай бұрын
Mi nimwanamke wa kirundi nampendaga sana Duda baya
@JenaniKilipamwambo
@JenaniKilipamwambo 4 ай бұрын
Good Mamba
@jeremyjeyme3184
@jeremyjeyme3184 4 ай бұрын
Dudu kaongea point sana hakuna cha bure lazma uiname upigwe kuni😅
@MaikoRashku
@MaikoRashku 4 ай бұрын
Asante kaka, ila hapo kwa diamond umekosea, diamond hakukimbia
@AmisamauridNgagada
@AmisamauridNgagada 4 ай бұрын
Kaka mkubwa nakukubari xana endelea kutusanua😂
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc 4 ай бұрын
Nikweli kabisa konk ukijifanya unataka uwe msanii namba moja kila siku hutaki kuwa legendary lazima upididiwe tyuuu!!!!!! Konk upo right kabisa tamaa nikitu kibaya sn....
@RaphaelMecky
@RaphaelMecky 4 ай бұрын
Nafikiri dudubaya karibu kuingia kwenye kua Mtumishi wa Mungu maana naona Maongezi yako yamejaa kumsifu Mungu safi kwa hilo
@kevinbrown1900
@kevinbrown1900 4 ай бұрын
Fact
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 4 ай бұрын
Si lazima uwe mtumishi ndiyo uishi kimungu hapana…..kila mtu anatakiwa kubadilika na kuishi Kama mungu anavyotaka au anavyoagiza tuishi.
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 4 ай бұрын
Dah kweli shetani hubalika hadi kua maraika we dudu ndo ukua ivo😅
@BONGOHOODTV
@BONGOHOODTV 3 ай бұрын
Dudu baya na pdidi wp na wp😂😂
@sittandaki2135
@sittandaki2135 4 ай бұрын
Wewe mwandishi acha maswali ya hivoo 😂😂😂😂😂😂
@nicholauspeter9454
@nicholauspeter9454 4 ай бұрын
nampenda sana huyu kaka
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 4 ай бұрын
Dudubaya❤❤
@CragPierre
@CragPierre 4 ай бұрын
Dudu baya ! Piga injili. Muache PD apige hela kwa akili yake kubwa.
@johnnanachi2275
@johnnanachi2275 4 ай бұрын
Konki Master
@hamiduhamdun1858
@hamiduhamdun1858 4 ай бұрын
Mase tunamjua
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 4 ай бұрын
Pdidy ni mtu mmbaya sana😢😢😢kajua kuwaharbu watu
@LupatuMathew
@LupatuMathew 4 ай бұрын
Dudu wewe mtu wa point unajielewa mwamba
@amrash9179
@amrash9179 4 ай бұрын
Kweli neno la mungu ni mwanga wa ulimwengu,dudu baya amekua mchungaji naona hpa kwa anavyoongea
@AsanteMsafiri-v7h
@AsanteMsafiri-v7h 4 ай бұрын
Grisi ndo kila kitu
@EliasKasomi-db4io
@EliasKasomi-db4io 4 ай бұрын
Nchi hii tumetekwa na kiki xana mpk tuje tujitoa xio leo
@AishafuzAbdou
@AishafuzAbdou 4 ай бұрын
You are so rit oncle. i S !!!
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 4 ай бұрын
Wamuulie mbali huko
@Ruu974
@Ruu974 4 ай бұрын
Ukimuona mwanamume ana vaa vikuku na vipuli mchunguze kwa jicho la tatu
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@Ngoona
@Ngoona 4 ай бұрын
P Diddy
@kijitamfyomi5598
@kijitamfyomi5598 4 ай бұрын
Mtangazaji bwana dudu baya kasema he is a bad guy We unasema kasema ba girl
@JohnsonDeeX
@JohnsonDeeX 4 ай бұрын
Mtangazaji boya hasikii
@GufgChgy
@GufgChgy 4 ай бұрын
😂😂😂
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 3 ай бұрын
Au anasikia, ila hafahamuu? 😂
@MtiloMsilanga
@MtiloMsilanga 4 ай бұрын
Wasitudaganye
@jayman7865
@jayman7865 4 ай бұрын
Mhuu huyu jamaa sasa naona sifa kila seckta yupo
@luisojr3480
@luisojr3480 4 ай бұрын
Huyo Mase aliamuaga kuondoka kabisa alipotoka bad boys record chini ya Didy
@TBSMusic1
@TBSMusic1 4 ай бұрын
Big
@mckobatz5861
@mckobatz5861 4 ай бұрын
"Huu ndio ukweli wa kesi ya p Diddy dudu baya ni FBI, mwanasheria wa kesi husika au ndio hakimu aliyethibitisha pasipo shaka? Au naye ni miongoni mwa waathirika na matendo ya Diddy? Andikeni heading zinazomake sense
@mohamedmatola5949
@mohamedmatola5949 4 ай бұрын
Yani watu wanaumia dudu baya kuongea ukweli wabongo tuna shobo na marekani mwisho mnaliwa mboga 😂
@FrankGasper-eq2ui
@FrankGasper-eq2ui 4 ай бұрын
Huo Ni uongo bhana
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 4 ай бұрын
Uongo nini. Au na wewe una p didywa nini
@haematites_Fx
@haematites_Fx 4 ай бұрын
sio kifo cha tupac tu hadi cha Michael Jackson
@FredMbai
@FredMbai 4 ай бұрын
Mzee wa party diddy
@DorisZephania-ci8ym
@DorisZephania-ci8ym 4 ай бұрын
Ni Mungu amekutumia kunena haya na siyo wewe
@CragPierre
@CragPierre 4 ай бұрын
Tusiongelee mtu kuinamishwa ! Huyo MTU ana uzuri Gani jamaa. PD ana jeuri ya kumuinamisha msichana yoyote yule mzuri hapa duniani. Kitu rahini. Jiulize kwani ni hao wanaotajwa kwenye mitandao. Guys ! PD is extra genius and is making money
@tunumwakingwe6781
@tunumwakingwe6781 4 ай бұрын
Wandishi habali acha kumtumia vibaya dudubaya huyo nikioyoyo ya jamii
@mdl6463
@mdl6463 4 ай бұрын
😂😂😂
@hamisially-c4x
@hamisially-c4x 4 ай бұрын
Dudubaya alimuona lini p dd
@jackmabirangacharles9398
@jackmabirangacharles9398 4 ай бұрын
Ndugu yangu. Dudu Zuri wewe ulifeli Maisha Acha Wivu sasa hivi unateseka hata Nyumba huna kwahiyo usiseme wenzako
@HamidaMkwizu
@HamidaMkwizu 4 ай бұрын
Bora afeli maisha kuliko kuwin maisha ya p did 😅
@DeodatusRenatus
@DeodatusRenatus 4 ай бұрын
Anachokisema konki ni kweli asilimia 100 , kama bado uko mbali na Dunia huwez elewa. Mm pind nnafanya Sanaa, apa apa Tanzania nilipelekwa Kwa boss mmoja akaniahaidi kunisain na kunipa nyumba y kuish , nilivyorud kesho yake kariakoo kwake , sharit alilonipa niliacha Sanaa siku hiyo hiyo . WALA sitokuja kusahau mpaka nnaingia kaburin ulikuwa mwez wa3 mwaka 2018
@silasmwamburi9284
@silasmwamburi9284 4 ай бұрын
Nani kakwambia alifeli mshamba wewe Dudu baya anamiliki nyumba yake mwenyewe
@khadijawakio6261
@khadijawakio6261 4 ай бұрын
⁠hauna hasara, umeokoa maisha yako
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 4 ай бұрын
Bora ya teja kuliko kuwa mrembo wa P didy
@ElishaKawia
@ElishaKawia 4 ай бұрын
Dudu baya alimuonea wapi did acheni uongo
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 ай бұрын
Wacha kujaji kwani pdidi ni mungu? Komaa akili badala ya kukomaa mwili
@josiahnaftaeli7862
@josiahnaftaeli7862 4 ай бұрын
Utakuwa hukusoma wewe,kwani Hitler ulimuona wewe?
@LilianBitwale
@LilianBitwale 4 ай бұрын
We nae kama Fara, Kwan huyo pididy NI Mungu mpaka watu wasimuone? Au anakipi cha kutosha mpaka watu wasimuone kheeeee we nae
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 4 ай бұрын
Akina p didy wapo we ngi tu kama utaki kazi utawapata tu
@AbdulMichael-x5c
@AbdulMichael-x5c 4 ай бұрын
Kwan ye nan si Kuma kama ww
@TonyMasterog
@TonyMasterog 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:36
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 51 МЛН
Don’t try this trick with a Squid Game Soldier 😉 #squidgame
00:15
Andrey Grechka
Рет қаралды 178 МЛН
DUDU BAYA: Kimenirudia Mwenyewe! / MTOTO wangu Mvuta Bangi
20:43
PROPHET IPM AMWAGA  UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA
24:57