Huyu kaka mkubwa Dudu Baya kila nionapo anapohojiwa na vyombo vya habari lazima nimsikilize cwez kumpita anaongea point tupu❤❤❤❤❤❤❤❤
@jacksonjamesndyabawe4715 ай бұрын
Hipo siku watakuhelewa wewe
@jastinmkoba5 ай бұрын
Ata mimi aisee😂
@TonyMasterogАй бұрын
😂😂😂Uhakika
@CastoryKapinga-nb7ht5 ай бұрын
Mwambaa anajielewa ABARIKIWE SANA na Bwana YESU KRISTO
@wilsonjonas54815 ай бұрын
Huyu dudu angekuwa msemaj wa vijana Tz wangejifunza mengi sana
@mohammedkidody56185 ай бұрын
Nakukubali sana dudu baya❤🎉
@wowo15465 ай бұрын
kweli kabisa ❤ nime kukubali sana konki
@user-jl6py8jn7u5 ай бұрын
Dudu you are real u talk you're self
@joshuamugala2655 ай бұрын
Mungu akubaliki sana mtumishi
@fredyjeremia70745 ай бұрын
HuYU JAMAA NI MTU WA DINI HAKIKA.Anamwamini Alla! Ubarikiwe sana broo.
@kazimilyvoice75 ай бұрын
Dudu Baya Nakukubali bro Asante kwa ushauli mzuri ❤
@beriahdesilva4915 ай бұрын
Am from Kenya... Dudu Baya unahitaji kukua mhubirii 😊🙌💪
@hamissomary68695 ай бұрын
Braza nakkubali sanaa"tamgu enzi za nakupenda mpnz song"ongera
@juliusdonard9335 ай бұрын
😂😂😂😂 napenda speech za huyu jamaaa
@LionofthetribeofJudah-hn2xh5 ай бұрын
Amen..God bless you brother....
@raimondnduwi5 ай бұрын
Dudu Baya, you are very smart and understandable about Freemason. Please keep faith in God dont believe in Fremason and l am sure God will bless in anyways. You are a guy too
@SospeterRevocatus5 ай бұрын
Amina YESU KRISTO akusaidie
@Direct-00005 ай бұрын
hilo jengo la posta dudu hilo lillikuwapo muda mrefu sana, kabla ya benjamin ya mkapa madarakani,hata vikao vya bunge vilisha wahi kufanyika humu kwenye jengo lao freemason, freemason imeeanza kupata umaarufu zaidi baada ya social media kuingia kwenye jamii, hao walikuwapo miaka mingi
@AsdDsa-fi5qk5 ай бұрын
Duh
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Kipind cha bunge liliitwa jina hilo kwani?
@obviousmphande86215 ай бұрын
Kaka Dudu baya,ni samehe kaka nilikua nakuona kama huna akili, kumbe wewe ni noma sana .unaufahamu wa Hali ya juu. Mungu aendele kukulinda.
@greykafnar48275 ай бұрын
Amen
@robertnkaragano2985 ай бұрын
You're Real bro! Keep it up man! God bless you all the time
@eliaspeter40175 ай бұрын
Konki master aka Dudu BAYA, brother unaongea facts sema masikio ya wengi hayapendi ukwl.
@rodahjuma69205 ай бұрын
Umenena ukweli Kaka usiwe na tamaa shetani ashindwe
@Lanihsarumu5 ай бұрын
😂😂😂 Ni kweli Kaka tamaa mbaya
@seifmnongane27065 ай бұрын
Mungu azidi kukusimamia brother uzidi kuwa na misimamo iliyo impala.
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Dudu kweli wewe ni mwamba ,toka unamtia mista nice makonde jukwaa nilijua unamwonea kumbe ulikua unampa disprini kwasababu ulimwona kabisa huyu ni mjinga shetani mpenda dezo,hata leo mkenda amajifanya anavihela vya kichawi siku akijichanganya mvimbishe tena pamoja na vipesa vyake
@jumajuma66125 ай бұрын
Unataka aende jela tena
@johnmeshack44315 ай бұрын
Mwamba dudu baya nakukubali sana mwamba ❤❤❤
@AziziMapunda-vt4nv5 ай бұрын
Usiogope kusema ukweli mahana usiposema ukweli mungu atakudai vizuri mwenye masikio nahasikie
@user-dz3rl1ki6u5 ай бұрын
Safi Sana mbaba Mungu wa mbingu na nchi akutunze sana
@DenisPiter-pn2gj5 ай бұрын
I am the dudu nimekuelewa vzr sana port funguka
@BakariChinowa5 ай бұрын
nakukubali sana konki una hof ya mungu❤❤❤❤
@YasiniMahomba-mx6ux5 ай бұрын
Mungu atuokoe na ilo
@fadimoommeta5 ай бұрын
Dudu baya ni Mtu muhimu sana
@SamwelJoseph-yk3cwАй бұрын
Duh, hakika BWANA MUNGU amejisazia mabaki yake hapa duniani. Ambayo yataubeba utukufu wake katika siku za mwisho.
@fredyjeremia70745 ай бұрын
Broo DUDUBAYA Naamini sana story zako,,umefika Hadi STARIKE Ndugu yangu;!? Duh!! Mbali sana.
@kasimuhamidu84675 ай бұрын
Tumtumikie yesu
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Yesu tena
@MariannaJoseph-uv2sp5 ай бұрын
Dah mzee mwezangu nakubali safi sana❤❤❤❤❤❤❤ waache wadogo zako wkageuzwe wanawake huko frimason 😂😂😂😂😂😂😂❤ bgp sana kaka mkubwa.sema usisahau kumuombea Agata muegea kaka.like you brother ❤❤❤❤👍
@TediMussa5 ай бұрын
Ila dudu mbaya umenifurahisha sana 😂😂😂😂😂
@beatricekagali10485 ай бұрын
Amina Mungu akupiganie.
@emmanuelkululetela57775 ай бұрын
Dudu zuri big up Sana , tupo pamoja mkubwa
@saidimnyani33305 ай бұрын
Mtani humung'unyi maneno big up sana
@ZachariaNgesse-el1ge5 ай бұрын
Huyu ni nima safi xn
@user-gm7zu7pl9f5 ай бұрын
Nakuelewa sanakaka
@kibaruman36245 ай бұрын
We love u so much Dudu baya from Rwanda
@joshuamugala2655 ай бұрын
Waambie baba yangu
@GodenBMDaniel5 ай бұрын
Pamoja sana dudu baya
@Bambagatz5 ай бұрын
😂😂😂😂Akamwambia Toka na ujinga wako Hii Kali sana Mzee Godfrey
@TerezinhacasimirouloleKh-he9og5 ай бұрын
Seja louvado o nosso senhor Jesus Cristo ❤🙏🙏Dudu
@festokivuyo71215 ай бұрын
Kwa macho utamukumu lkn ana kitu anasema
@AminaMkude-p4xАй бұрын
Nakukubali sana kaka
@jacksonjamesndyabawe4715 ай бұрын
Hipo, siku watakuhelewa ndugu yangu
@valenakomba76865 ай бұрын
SAFI SANAA MDOGO WANGU DUDU BAYA. HUO NI UAMUZI WA BUSARA SANA. MUNGU AKUBARIKI NA AKUSIMAMIE.
@dullahtechtz34225 ай бұрын
Nakubali sana dudubaya
@avitusmichael55 ай бұрын
Konki nakukubali sana
@user-gx8bo7cr4q5 ай бұрын
Safi sana kaka
@bossej12125 ай бұрын
Watu wa matangazo za kibiashara, tukiskiza Dudu Baya mngoje amalize alafu mweke matangazo zenyu za kibiashara.
@hamidudigogo58635 ай бұрын
Yupo sana jamaa vijana matajiri achaneni na pesa za kichawi nimaisha ya presha kama ilivyo pesa za kausha DAMU
@clarencekhayira98765 ай бұрын
Mimi nko Nairobi 🇰🇪 ila itoshe kusema wasukuma ni magenius + Magufuli
@kilogreekachananawatuwasio40545 ай бұрын
RESPECT MWAMBA WANGU TUNAYAONA MPAKA UKU UGALIBUNI 🙏
@stanastana31995 ай бұрын
Konki master 🙌
@user-eo9zu5go1w5 ай бұрын
Dudu baya uwa na kufuatilia xna tena xna kalibia kila cku napnda nifatilie speech zako ,big hp
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Ukweli mchungu
@tinnahagustinolyelu42475 ай бұрын
Nondo hizo kaka ishi bila masharti baba aka❤🎉 mauwa yako
@jumajuma66125 ай бұрын
Dudu on the points
@AngelRimoy4 ай бұрын
Mi nawapenda wasukuma bhana❤
@Elecovid5 ай бұрын
Yesu atakuokoa
@jackstanley80294 ай бұрын
Mungu akuongezee miaka mingi
@user-pj1eu1yw4c5 ай бұрын
Hongera kwa kujielewa ngosha
@nahyialetomia92845 ай бұрын
Mr Nice hana chochote hapa 🇰🇪
@Kassa-fl3yh5 ай бұрын
Mungu akulinde dudu baya.
@saidmohammed50035 ай бұрын
❤❤❤ Dudu sikuzote unatoa point tu...
@dollarmedia77305 ай бұрын
Nakupenda bure dudu baya
@user-gb5rt4ce2p2 ай бұрын
Dudu baya Wewe ni mwamba
@matatamwaipopo-rp4vz5 ай бұрын
Safi sana nakukubali dudu baya
@romanusnjovu68455 ай бұрын
Konki master
@fadimoommeta5 ай бұрын
Pat two iko wap
@ElishaTapuka4 ай бұрын
Mungu akulinda kabisa isaya 45-20
@yustinpilla5 ай бұрын
😂😂😂Leo mtu mhim ee sawa ngoja inyeshe tujue panapo vuja
@youngtomuller-vh2pu5 ай бұрын
Tamos juntos big ❤❤❤
@chescochaula89644 ай бұрын
Hapo Mimi ninachokiona ni kukatisha vijana tamaa ya kumtafuta mbona mnawasema Sana wakinga Mimi naona umaskini unawasumbua ndiyo maana muda wote kuwasema wakinga tafuta hela siyo kufurahia umasikini Ili usisemwe na mara nyingi maskini ni kuwachukia matajiri
@Rich-wo5 ай бұрын
Ur the best
@charlesmalwana37395 ай бұрын
Bro me nakuelewa sana,
@user-ez7lk3it5s5 ай бұрын
Safi nimateso.jehanam.itawatafuna
@user-by2tq4wc8i5 ай бұрын
Kavaa sweta lakn anafuta jasho dudu vp mamba
@materazziti90885 ай бұрын
Tamaa mbaya
@Bboy-ek8vn5 ай бұрын
Mungu akubariki 3konk ma*
@HusseinJumaa-my6dc5 ай бұрын
Dude baya
@user-ip2we5uc7n5 ай бұрын
Unaakili Sana Brother
@AmanMoria5 ай бұрын
Umetisha kaka 😂😂😂😂
@JosephMasanja-wm5hb5 ай бұрын
SAWA KAKA NJIAULIOCHAGUA NISAHIHI
@Mr.Richard6A20 күн бұрын
😂unatisha bana
@nurdinngalo-hj1ow4 ай бұрын
Kweli kabisa hakika
@ZachariaNgesse-el1ge5 ай бұрын
Safi xn kk
@aligermano36155 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Dudu nakukubari
@NeemaMmeli5 ай бұрын
Uko vizuri sana
@NaomiMakori5 ай бұрын
Kitogo kitutoshe
@kaundasutikaunda77695 ай бұрын
DUDU HIZI MEDIA ZINAKUHOJI ZIWE ZINAKULIPA MAANA WW UMEBARIKIWE SANA KUONGEA VIZURI KUWA NA CONTENT NA WATU TUNAPENDA SANA KUKUSIKILIZA. WW NI ASSET SI DHANI KAMA UNAJUA ILO?
@user-vz5gv3lo5f5 ай бұрын
Dudu baya kumbe ni msukuma ,sikutegemea kwamba ni muerewe kiasi hicho
@warakawayohana28965 ай бұрын
Wasukuma wanaakili sana
@user-lt1bi5nr1x5 ай бұрын
Wasukuma wanaakili nyingi. Humuoni mbunge mpina. Mjomba magu. Kishimba. Na wengine wengi tu. Mke wangu!