Dudu Baya huwa unasema ukweli kabisa!! Nakukubali na huwa nafuatilia interview zako!!
@IdrisaAbdallah-pf4mwАй бұрын
Interview ya dudu baya siku zote n nondo tupu balaa namuelewaga sana point zake bro angu
@eddiemohamed9003Ай бұрын
DUDU BAYA KONKI KONKI MASTER💪💪💪👏👏👏😁🤣
@sportsnewjs4330Ай бұрын
DUDU BAYA Kwakweli huwa unaongea ukweli kabisa 👏👏👏
@JosefuSwaiАй бұрын
Mbona yake ajasema kama yeye mkweli anayekaa chimba unye
@eddiemohamed9003Ай бұрын
NI UKWELI JAPO UKWELI UNAUMA NA KUPINGWA NA WENGI👏👏👏👊
@awadhally1052Ай бұрын
Kwel kabisa
@jkifutu7936Ай бұрын
Jamaa msema kweli
@awadhally1052Ай бұрын
Kwel kabisaa
@tomsijohniАй бұрын
Very nice point ☝️ wadangaji ndo kazi yao kubwa 😂
@SilasNdaisabha-gx8joАй бұрын
Hv mambaa hauogopi kwel daah nakubali sana
@fahadfaraj6474Ай бұрын
Amuogope nani sasa wakati ye sio chawa chawa ndo waoga kujikomba komba ili walipiwe kodi za nyumba na wanunuliwe magari Maisha ya uoga uoga
@wadudi2741Ай бұрын
Daaaah aisee umesema ukweli
@besteva499Ай бұрын
mwiri wako umeanza kurudi kimya kimya dudubaya
@user-el7ut2qk4eАй бұрын
In fact ❤
@tobiaspaul9203Ай бұрын
Nani kaskia mbwa mwenye fangasi
@charlesbenard641523 күн бұрын
😂😂😂
@nahyialetomia9284Ай бұрын
Msema kweli
@saxannjo6173Ай бұрын
GENIOUS
@juliusdonard933Ай бұрын
Vzurrrii kak upo vzur
@emmanuelcharles4600Ай бұрын
Magu Usiiguse kwa Ushamba taja sehem zingine km zipo! Japo Unasema Ukweli
@luchinguawadh3647Ай бұрын
Magu si kwao
@shannarsaidSwahiliАй бұрын
Kweli kabisa
@kijitamfyomi5598Ай бұрын
Ngoja kina dada wakusikie halafu wakusute
@humbleshoalАй бұрын
Hawathubutu kwa kua wanaambiwa ukweli
@piterasifa3757Ай бұрын
Kweli bana kuna dada alikuja chunya akapewa range na tajiri karud dar sio kujisifu kule et mpambanaji
@OmanOman-bx5duАй бұрын
🎉🎉🎉
@KasminaCreationАй бұрын
Jibu « ww ni kipofu ao ni kiziwi😅😅😅 »
@Kobe_254Ай бұрын
Siri ya msanii ikianikwa huwa wanasikia kujificha ndani ya maji ya mtungi-- hapo ni kweli, fake life ya wasanii wengi ni udangaji tu!
@jacksonmsendo3478Ай бұрын
Fact
@user-pl6bx9rc7gАй бұрын
Konki oyeeeeee
@HamzaHeriАй бұрын
ACHA GUGU WEWE UMEKWISHA POTEA BADILIKA
@JamesMoses-jd1yqАй бұрын
Mkweli hawezi kapendwa
@barakakevela245Ай бұрын
HILI MWAMBA HUWA LINAONGEA UKWELI
@OmariJuma-su6fzАй бұрын
Niko ujerumany nakwakweli dudu baya ukweli mtupu wasani wananjaha kabisa wasanii wakike nimalayatu tunawaho wakiwamitandao wakihomba pesa
@husseinkonz5192Ай бұрын
Jiwe kizan kwel umepigaje
@shukranisibale1739Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@tobiaspaul9203Ай бұрын
Wachane
@user-pl6bx9rc7gАй бұрын
Babu kubwa
@JosefuSwaiАй бұрын
Kaka watu hatuwezi kufanana hata upate mabilioni kama huwezi kujiongoza feza lazima iishe ndio maana Huwa matajiri sio wengi na hata wewe uwezi kuwa kama sugu so unajidai unajua sana kumbe boya tu
@JosefuSwaiАй бұрын
Hujui lolote mropokaji wa taifa wewe kaokote Kuni ukapike gasi imeisha hata mke kakushinda kumuongoza manake wewe ni muhini tu akili mdogo hata MTU mmoja huwezi kumuongoza Sasa unaongea Nini kama limelogwa