Duh! MAGUFULI Apagawa na VIUNO Vya ASKARI - "Mnakata VIZURI Sana"

  Рет қаралды 774,815

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Duh! MAGUFULI Apagawa na VIUNO Vya ASKARI - "Mnakata VIZURI Sana"
Rais Dkt John Magufuli, leo Julai 15, amezindua makazi ya askari polisi wilayani Geita, mkoani Geita..
Hafla ya uzinduzi huo imehudhuriwa na Waziri mwenye dhamana ya Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, Mkuu wa jeshi la polisi, Simon Sirro, pamoja na mbunge wa Geita mjini, Constatine Kanyasu na Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Musukuma..
#JPM
Https://www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Category

Пікірлер: 204
@omariabuu633
@omariabuu633 5 жыл бұрын
Duhhh noma sana
@shmaiderkiborey5144
@shmaiderkiborey5144 3 жыл бұрын
Namkubali Sana huyu mwamba JPM
@michaelimbiru6739
@michaelimbiru6739 5 жыл бұрын
Kuiva ile mbaya, hapo sawa Mzee Magufuli, luvs from Kenya
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 5 жыл бұрын
Na Mzaha kidogo watu wanafurahi Lakini Ujumbe Umefika na Mambo yanaenda. Safi sana JPM
@ghulamjanmwipopo4925
@ghulamjanmwipopo4925 5 жыл бұрын
Rama Mtetu
@quenterthomas1746
@quenterthomas1746 5 жыл бұрын
Waaris
@fatmafa1896
@fatmafa1896 5 жыл бұрын
Hongera Sana Raisi kazi nzuri kweli
@rajabukamo2229
@rajabukamo2229 5 жыл бұрын
Cngulation prez daa katika watu muhim nchin ni walinda usalama na raia wake Asante polis wote
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 5 жыл бұрын
Ni BUNDUKI TU ndo inawazuia kukata ,nje ya hapo,Wanakata saanaa Hadi ule wa INAMA😁😁😁😁😁😁😁
@gwizamorgan328
@gwizamorgan328 5 жыл бұрын
Nampenda sana mzee wa hikma bwana Dr PM hata kama mimi sio mtz Mchagueni Huu Dr sio siri anaweza hana roho mbaya mbaya hata kidogo wa Tz mna bahati kwa kuwa na DR JPM
@adamumjomba82
@adamumjomba82 4 жыл бұрын
wewe unaongea nini sasa jpm ana mapungufu kama mtu yoyote yule , sio malaika ,anakosea Sana Na Ndio maana pakawekwa upinzani ,
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 жыл бұрын
Ahsante mh Rais kwa kuwaambia ukweli maaskari wetu.!
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 5 жыл бұрын
Wale wanao haribu vikao vya wapinzani je
@loishiyemollel8071
@loishiyemollel8071 5 жыл бұрын
Hongera msukuma ,siku sio nyingi utapata kile ulichoomwomba IGP
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 5 жыл бұрын
Acha ukabila Mbwa wewe
@deomkanula7983
@deomkanula7983 3 жыл бұрын
Unatukana mkuu wewe.?
@rehemamwanamajani3784
@rehemamwanamajani3784 4 жыл бұрын
Nice
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen amen. Mzee wetu unanipa raha sana . Mungu akubariki sana. Mungu ibariki Afrika yetu.Amen
@ekiintertrade4862
@ekiintertrade4862 5 жыл бұрын
Safi sana Mr President unasomeka sanaaaaaa!!
@charlesamon8873
@charlesamon8873 5 жыл бұрын
Maa asikal wanao onea raia niwengi Sana tembelea na huku utaona2
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen amen. Mzee wetu unanipa raha sana . Mungu akubariki sana. Mungu ibariki Afrika yetu.Amen.
@francesmgungile
@francesmgungile 3 жыл бұрын
Uncle magu
@allyking324
@allyking324 5 жыл бұрын
Huyu bodgad wa uncle hivi ana Cheka kweli
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 жыл бұрын
Hahaha
@sembojwamaterial8409
@sembojwamaterial8409 5 жыл бұрын
utasema kala mavi"😎
@fettylusogo7244
@fettylusogo7244 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@dechaggagirl6173
@dechaggagirl6173 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😁😁nakwambia mpk anaogopesha mwee
@chuwafrank1632
@chuwafrank1632 5 жыл бұрын
Ally King haaahaaa😂😂😂anacheka Ila anang"taga ulimi kisir siri
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 5 жыл бұрын
Daaaaah, rais bhana
@tabuselemani6869
@tabuselemani6869 5 жыл бұрын
hahahahahaha Rais wetu bana 💪💪💪💪💪💪💪
@dieudonnensengiyumva2511
@dieudonnensengiyumva2511 5 жыл бұрын
MH Mungu akulinde ndani ya uongozi wako! Tulibambikizwa kisi myaka ya awamu ya tatu na ya nne! Kwa awamu yako kuna mabadiliko!! Pongezi sana Mheshimiwa
@ibrahimwilliam6410
@ibrahimwilliam6410 5 жыл бұрын
Hadi raha
@akimmbwego797
@akimmbwego797 5 жыл бұрын
Penda sana JPM
@lilianngowo8316
@lilianngowo8316 4 жыл бұрын
heee
@abdallajuma6262
@abdallajuma6262 5 жыл бұрын
Uwakumbuke kwa neema mzee hali mbaya wapi ongezeko mzee baba mwaka wa nne huo
@princewill1444
@princewill1444 4 жыл бұрын
Noma sana
@alibell5246
@alibell5246 3 жыл бұрын
Dah jp leo umenichekesha dah
@jeftagumbala7697
@jeftagumbala7697 5 жыл бұрын
MUNGU Amlinde daima Amina
@ramosfally2318
@ramosfally2318 5 жыл бұрын
@sophianyarotso5098
@sophianyarotso5098 5 жыл бұрын
Kunoma sana 😃😃😃😃😃😃
@jairuschichete2938
@jairuschichete2938 3 жыл бұрын
HUYU ndiye magufuli 🔓🔓🔓 na mafunguo🔑🔑🔑
@alinaalina5044
@alinaalina5044 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jeftagumbala7697
@jeftagumbala7697 5 жыл бұрын
Huyo Jpm ni Rafiki wa Watanzania
@eliaslukumay1661
@eliaslukumay1661 4 жыл бұрын
Nakupenda Burr mtaniwangu
@silivanusfortunatusbambanz5216
@silivanusfortunatusbambanz5216 5 жыл бұрын
Jpm safi
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 5 жыл бұрын
kazi invur Sana jpm hapa kazi 2
@benjaminalfred5161
@benjaminalfred5161 5 жыл бұрын
Hahahahahahaha eti mmeiva mambo yote
@babaaskofu9814
@babaaskofu9814 5 жыл бұрын
Hatare huyu
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 жыл бұрын
Nimepita
@johnthomasi184
@johnthomasi184 4 жыл бұрын
Da
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 жыл бұрын
Muheshimiwa Rais Askari wengi wanatumia nguvu na kuonea watu ila wachache ndio wana utu
@danitarimo5013
@danitarimo5013 5 жыл бұрын
Safiiiii uncle
@seventhwilson153
@seventhwilson153 4 жыл бұрын
Noumaaa uncle. Unno
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 5 жыл бұрын
Maunoooo 😍😍😍😍😍😍
@mafhalimahlalbeyt5446
@mafhalimahlalbeyt5446 4 жыл бұрын
Mi namutaka askar wakike muzalikiwa wabukoba. Ajitambulishe apa. Awe ni single
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 5 жыл бұрын
😃🙋🙋
@mudimsangi6478
@mudimsangi6478 4 жыл бұрын
Mzee baba nakukubali sana kwa hotuba zako wala sisikitikii mb zangu
@pleasethank2962
@pleasethank2962 4 жыл бұрын
Singeli
@emmanuelmimbi2624
@emmanuelmimbi2624 3 жыл бұрын
Nao ni binadamu sio maraika
@shefaashefaa1930
@shefaashefaa1930 5 жыл бұрын
Haaaa hatari kweli
@dominicponsian4360
@dominicponsian4360 5 жыл бұрын
Up my President 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾💪🏾💪🏾💪🏾
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 3 жыл бұрын
😂😂😂😂Jamaa muhuni huyu
@esterfranktv7146
@esterfranktv7146 5 жыл бұрын
Nakupenda Rais wangu nakuombea
@mustaphermussa3327
@mustaphermussa3327 5 жыл бұрын
Jpm kz kz aina kulemba
@kamistanzania7817
@kamistanzania7817 4 жыл бұрын
Sefu dhsrifu smsdi Zanzibar
@jacquelinembanda
@jacquelinembanda 5 жыл бұрын
Hata Mm nakuwa polisi ili nafanye kz kwa msukuma ❤️❤️❤️❤️
@ugazosimba7581
@ugazosimba7581 4 жыл бұрын
Wasiliana na mimi
@emanuelshijangassa4761
@emanuelshijangassa4761 4 жыл бұрын
Hapo Vip
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 3 жыл бұрын
Mangufuri wanachekesha wazungushe vizuri
@abasamwame6583
@abasamwame6583 5 жыл бұрын
Kiuno bila mfupa SAA hatar sana hata mm nimefurahika Mzee
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 5 жыл бұрын
ahahahha mzee baba kaona viuno ahahahaha
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 4 жыл бұрын
Aka kazee bwana
@tabumussa9406
@tabumussa9406 4 жыл бұрын
aaahaaaaa unooooo
@nassrapatrickpatrick5545
@nassrapatrickpatrick5545 5 жыл бұрын
i love you
@rehemamhengi5050
@rehemamhengi5050 3 жыл бұрын
Mh
@tabumussa6705
@tabumussa6705 4 жыл бұрын
Kiuno kinakatika vizuri jeshi mpo juu
@kanchizofourshizo5195
@kanchizofourshizo5195 5 жыл бұрын
tena. viuno. kama vote. tena axmjime.
@yasenijuma5699
@yasenijuma5699 3 жыл бұрын
Makufuli kapinda asifia miuno 😅😅😅😅😅
@mikingamojuma4895
@mikingamojuma4895 5 жыл бұрын
kweli wameiva ktk mambo yote hahahahaaaaaaaaaaaaaa magufuri bana.
@kennedysinyangwe9549
@kennedysinyangwe9549 4 жыл бұрын
Nishida
@edwinedwin8140
@edwinedwin8140 4 жыл бұрын
Kweli baba uwatunze
@dicksonsheja251
@dicksonsheja251 5 жыл бұрын
Hahahaaaa shikamoo mkuu
@asifiwedeus4122
@asifiwedeus4122 5 жыл бұрын
Dickson Sheja Trafic hasa wanaonea mno km hawajuwi hari YA vyombo vya ki tz kukuandikia kubambikiza makosa
@adiliwasanga4521
@adiliwasanga4521 5 жыл бұрын
Askali wengiwao niwaonevu wachache sana ambao wanafanya kaz kiweredi
@georgerichard6951
@georgerichard6951 5 жыл бұрын
Hua ana chekaa vzuri
@CheMataka_official
@CheMataka_official 5 жыл бұрын
Uyo ndio jpm mtake msitake
@givenboniface2676
@givenboniface2676 5 жыл бұрын
pa1 sana magu
@violetmethod9433
@violetmethod9433 3 жыл бұрын
Picha ya Meri ya kutekwa
@stevenjackson5585
@stevenjackson5585 5 жыл бұрын
ee namna hiyo mjomba
@witedsteward4168
@witedsteward4168 5 жыл бұрын
Mbona sioni anayekatika hapo
@omaryommy404
@omaryommy404 5 жыл бұрын
Vaa miwani inawezekana unamatatzo ya macho
@neemalulonga5177
@neemalulonga5177 5 жыл бұрын
🤩
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 жыл бұрын
Hahhhha, ata wew uombe tu mh
@ericf.simkwayi2564
@ericf.simkwayi2564 5 жыл бұрын
Mheshimiwa kituo cha nungwi zanzibar asilimia kubwa wanafanya kazi tofauti na weledi, sisi ambao tunatokea Tanzania bara, hakuna pa kusemea pengine jicho lako litamulikwa na kumuweka mkuu wa kituo tokea Tanzania bara kama ikikuoendeza
@magaapowerf2320
@magaapowerf2320 3 жыл бұрын
Jjru
@kelvinmichae728
@kelvinmichae728 5 жыл бұрын
wala usipoteze muda wakuwataka askari wajpange kwaajli ya uchaguzi Hata sipotezi muda wangu kupiga kura
@isackmwaluko113
@isackmwaluko113 5 жыл бұрын
Cc ambao hatukutumbukiwa na wenye ajila mpya pamoja na tunayaona ya awamu ya tano yalivyonyooka..😂😂😂 kura zote kwa hapa kazi tu.😁😁😁😁😁😁kama ulitumbuliwa ndugu jirudi tu.
@nenolakristomaisha.5611
@nenolakristomaisha.5611 5 жыл бұрын
YAANI HILI LIJAMAA NA KULIBARI RAISI WETU SONGA MBELE TUMEPEWA NA BWANA RAIS nami naomba uendelea VIZURI HUKU UKIKAZA NAWE PIA KUMCHA MUNGU UKISIMAMIA MISINGI YA HAKI NA UKWELI WA KI-MUNGU
@franknyant51
@franknyant51 3 жыл бұрын
Uandishi wako unamdhalilisha mheshimiwa rais; jitafakari
@eshialabonita7736
@eshialabonita7736 5 жыл бұрын
Mhhh viuno tena
@hellenmgungus1979
@hellenmgungus1979 5 жыл бұрын
Yaani nimecheka
@pascalprince4408
@pascalprince4408 5 жыл бұрын
Katiiiikaaaaaaaeeeeeee
@abdullyabdallah868
@abdullyabdallah868 5 жыл бұрын
Hahahahahha wameiva mpaka kukata kiuno JPM bana
@glorysimon775
@glorysimon775 5 жыл бұрын
Mpaka viuno vimeiva
@manenosamuel343
@manenosamuel343 5 жыл бұрын
Hahaaaa a noma kwel
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 5 жыл бұрын
Kangi hoyeeeee!! viunooo hoyeee!! 🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@tanzaniayangu25
@tanzaniayangu25 5 жыл бұрын
Nawacheki tu kisha nasema hiiiiiiii!!!!
@cedrickmulamba1180
@cedrickmulamba1180 5 жыл бұрын
Ujumbe ume fika baba
@brownjumbe9
@brownjumbe9 5 жыл бұрын
Hahahaaa mewiva
@gemmstore
@gemmstore 5 жыл бұрын
Mizaha kama hij ni hatari sana kwa taifa
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 5 жыл бұрын
VIUNO HAHAHAHAHHA MAGU KWA UTANI BANA DAAAA HII KALI
@matangamwandu4606
@matangamwandu4606 4 жыл бұрын
Chelsea-wolve
@madamcolethaa641
@madamcolethaa641 5 жыл бұрын
Wasiojua kukata mauno kanyaga
@catherinejohn2067
@catherinejohn2067 5 жыл бұрын
Hahahahahhhhh
@superherotv1750
@superherotv1750 5 жыл бұрын
😂😂😂Ni hatarii
@nemachalesi8085
@nemachalesi8085 5 жыл бұрын
Super Hero Tv kwaya
@superherotv1750
@superherotv1750 5 жыл бұрын
@@nemachalesi8085 kwaya ya nn tenaa
@fikirinyangasi7973
@fikirinyangasi7973 5 жыл бұрын
Wachache sana
@adilinanduguze2464
@adilinanduguze2464 5 жыл бұрын
Sure
@amassikiangn620
@amassikiangn620 4 жыл бұрын
ITV habari
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 5 жыл бұрын
Duh hata ww umo
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 47 МЛН
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 44 МЛН
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"
4:56
Mtanzania Digital
Рет қаралды 1,8 МЛН
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 307 М.
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 7 МЛН
MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
25:04
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
7:05
SIMU. Tv
Рет қаралды 1 МЛН
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 47 МЛН