No video

Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni

  Рет қаралды 1,038,102

SIMU. Tv

SIMU. Tv

Күн бұрын

Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.

Пікірлер: 292
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 6 ай бұрын
Tulioiona 2024 gonga like
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 6 ай бұрын
Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤
@personpeter2221
@personpeter2221 5 ай бұрын
Mrith wa bwege je umemwona??
@makimbiliotvtv2644
@makimbiliotvtv2644 7 жыл бұрын
Big Up lisu mungu akupe afya njema
@chiefkaitaba8293
@chiefkaitaba8293 Жыл бұрын
I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii. #Lissu Baba Laooo
@MadeliTV
@MadeliTV 5 ай бұрын
Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa
@twayibmood7319
@twayibmood7319 4 жыл бұрын
Sheria imezidiwa na tundu lissu Jamaa hatar uy7
@ken-ul2jg
@ken-ul2jg 8 ай бұрын
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
@liberatimasawe9520
@liberatimasawe9520 8 жыл бұрын
lisu uko vizuri baba
@victormollel3246
@victormollel3246 6 жыл бұрын
Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,
@trgphonegeorge3832
@trgphonegeorge3832 6 жыл бұрын
Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!
@adenjordan3659
@adenjordan3659 3 жыл бұрын
InstaBlaster.
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Жыл бұрын
Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu
@frankkabombo8439
@frankkabombo8439 8 жыл бұрын
fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu
@sadikisalumu5253
@sadikisalumu5253 5 жыл бұрын
kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe
@kelvinmbena4562
@kelvinmbena4562 7 жыл бұрын
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Жыл бұрын
Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Жыл бұрын
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
@eliamkamba6899
@eliamkamba6899 3 жыл бұрын
Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa
@lawsofsucces5784
@lawsofsucces5784 7 жыл бұрын
Lisu ana material mengi sana kichwani kwake
@marcomachiya9849
@marcomachiya9849 4 жыл бұрын
laws of Succes
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 Жыл бұрын
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
@ernestmatimba9964
@ernestmatimba9964 2 жыл бұрын
Mungu akulinde Mwamba. We love you brother
@yohanaswalo4716
@yohanaswalo4716 6 ай бұрын
Nimemkumbuka Kwa kweli
@ernestmwanalinze2612
@ernestmwanalinze2612 4 жыл бұрын
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 2 жыл бұрын
@@kpetres2872 kilaza wew
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Жыл бұрын
Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm
@ismailyusuf3543
@ismailyusuf3543 Жыл бұрын
2023 still watching him 🤣
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Жыл бұрын
Zaidi ya 1,000
@abdulrahimmohamed7066
@abdulrahimmohamed7066 3 жыл бұрын
he was too good for bunge la tanzania
@shimmysima1311
@shimmysima1311 8 жыл бұрын
lissu heshima yako.
@muhusinibakari7045
@muhusinibakari7045 5 жыл бұрын
Hio nihazina yataifa
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
Mungu akubariki risu ukoveeeem
@danielsinkamba3719
@danielsinkamba3719 5 жыл бұрын
Lisu mungu akubarik akupe nguvu
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Жыл бұрын
Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo
@williamkirway4620
@williamkirway4620 3 жыл бұрын
Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa
@victormollel3246
@victormollel3246 6 жыл бұрын
Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,
@allahisone6386
@allahisone6386 4 жыл бұрын
😆😆
@khalifaali9229
@khalifaali9229 3 жыл бұрын
CCM hamna kitu
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 3 жыл бұрын
Ni zaidi ya 2000
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 Жыл бұрын
Mwamba wangu. MH.Lissu Rais wng wa Moyo.
@petermwasipu1778
@petermwasipu1778 8 жыл бұрын
Safi Sana Lisu
@sharifuamuri4638
@sharifuamuri4638 Жыл бұрын
Mwamba wangu lissu nakukubali saana
@ashirafubesta1018
@ashirafubesta1018 Жыл бұрын
Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 6 ай бұрын
Hapindashagi
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 2 жыл бұрын
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
@greenmedia002
@greenmedia002 2 жыл бұрын
Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd Жыл бұрын
AMINA
@emmiliananasri7726
@emmiliananasri7726 3 жыл бұрын
Lisu wew ni mtu muhim sana
@sharifunchimbi785
@sharifunchimbi785 4 жыл бұрын
Hivi tumbuatumbua lisu alishauli
@datiusgabriel8277
@datiusgabriel8277 8 жыл бұрын
Lisu kiboko Yao
@murithiramires9058
@murithiramires9058 2 күн бұрын
Lissu ni Rais mtarajiwa mwaka ujao 2025
@issaibuni5747
@issaibuni5747 7 жыл бұрын
good lisu
@xaveryngonyani-nb1nx
@xaveryngonyani-nb1nx Жыл бұрын
Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete
@abdallahyasin6829
@abdallahyasin6829 4 жыл бұрын
Lissu for life
@htmmusic9240
@htmmusic9240 7 жыл бұрын
safi brother.
@betramkapinga795
@betramkapinga795 8 жыл бұрын
Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo
@bugdadiajm8270
@bugdadiajm8270 7 жыл бұрын
KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU
@user-ws6dq3vq7t
@user-ws6dq3vq7t Жыл бұрын
😅😅 nakuelewa xana mze bb
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 3 жыл бұрын
Lissu ever brave, competent, not lying
@nyaunyau3247
@nyaunyau3247 Жыл бұрын
LISSU
@othumanmassanja1472
@othumanmassanja1472 8 жыл бұрын
Lissu we nisheeeda
@dotomadaraka4620
@dotomadaraka4620 4 жыл бұрын
Otuba za king msukuma
@msemakwelimdhalendo7782
@msemakwelimdhalendo7782 4 жыл бұрын
"Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 жыл бұрын
Ulikuwa wapiiii ww
@mragahpallangyo6261
@mragahpallangyo6261 4 жыл бұрын
Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa
@innocentnkya2770
@innocentnkya2770 8 жыл бұрын
lisu safi sana,..
@mosesmpeta3241
@mosesmpeta3241 8 жыл бұрын
kichwa
@beberurafiki1273
@beberurafiki1273 2 жыл бұрын
Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.
@lucasgasper5235
@lucasgasper5235 5 жыл бұрын
Tundulisu anafaa kuwa Rais
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 2 жыл бұрын
Lisu forever ♥
@paulothomas7270
@paulothomas7270 8 жыл бұрын
ukawa oyeeeeeeee power
@sadickgugud2556
@sadickgugud2556 7 жыл бұрын
saf sana
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 3 жыл бұрын
Liiisuuuuuuuuuuuuu!
@mooking7913
@mooking7913 6 жыл бұрын
Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.
@festussichula8866
@festussichula8866 5 жыл бұрын
katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu
@markomoter3190
@markomoter3190 9 жыл бұрын
mrithi wa fedrick wa walema
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 жыл бұрын
Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.
@abdillahichicha8035
@abdillahichicha8035 6 жыл бұрын
Big up Lisu
@hajinyange4522
@hajinyange4522 7 жыл бұрын
safi lisu
@olendumbekiseya4583
@olendumbekiseya4583 Жыл бұрын
Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 жыл бұрын
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
@liontvonline951
@liontvonline951 5 жыл бұрын
ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema
@isaali9630
@isaali9630 7 жыл бұрын
hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .
@liberatimasawe9520
@liberatimasawe9520 8 жыл бұрын
maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha
@emmanuelyusto6240
@emmanuelyusto6240 7 жыл бұрын
kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda
@kassimnasseb4845
@kassimnasseb4845 4 жыл бұрын
Genus!!!
@victormollel3246
@victormollel3246 6 жыл бұрын
Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,
@manyakuulaompondelo4419
@manyakuulaompondelo4419 Жыл бұрын
Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge
@FrankFrankmapanacom-eh1xy
@FrankFrankmapanacom-eh1xy Жыл бұрын
mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰
@emmanuelngadaya1412
@emmanuelngadaya1412 8 жыл бұрын
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 2 жыл бұрын
😆😆😆
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui
@emmiliananasri7726
@emmiliananasri7726 3 жыл бұрын
Lisu oyeeee
@anoldstephano6301
@anoldstephano6301 Жыл бұрын
God bless lisu for ever and never
@sharifuamuri4638
@sharifuamuri4638 Жыл бұрын
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
@dostovan5142
@dostovan5142 Жыл бұрын
Lisu is the best parliamentarian
@tecnof1232
@tecnof1232 5 жыл бұрын
Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!
@francissalamba8112
@francissalamba8112 7 жыл бұрын
sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana
@calebcaleb3193
@calebcaleb3193 Жыл бұрын
Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm
@yusuphraphael6142
@yusuphraphael6142 Жыл бұрын
Hakika Mungu alikuleta LISSU UTUKOMBOE JAPO MBWA SISI TUMESHUPAZA SHINGO NA KUKUONA UNAMANENO MENGI BILA KUJALI FACT ZAKO
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 жыл бұрын
Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano
@deogratiousmchau8162
@deogratiousmchau8162 7 жыл бұрын
Lisu hatari
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 2 жыл бұрын
Huyu Lisu ni msomi mzuri na hoja zake waga zina mashiko ila hana nidhamu Tangu zamani ana maneno ya shombo sana
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd Жыл бұрын
Nizamu ya kuibia hera maana ambao wanaonekana wako kimya ndio wanafuja pesa za nchi
@allyally6529
@allyally6529 7 жыл бұрын
lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa
@user-nd2ps3ik4z
@user-nd2ps3ik4z Жыл бұрын
Uyu mukweli anafakuwa lais
@emmanuelngollej6415
@emmanuelngollej6415 6 жыл бұрын
yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi
@abisaiamos1245
@abisaiamos1245 6 жыл бұрын
Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Жыл бұрын
Lisu uwezi pigiwa makofi hapo wote waoga
@clementcharles5687
@clementcharles5687 9 жыл бұрын
tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni
@sniperbogo6210
@sniperbogo6210 3 жыл бұрын
Huyu spika wa bunge alikua vema sana sio kama ndugai mbunge wa upinzani anaongea yeye anasimama kujibu kwa kejer simpend ndugai hatar
@carolsalvii281
@carolsalvii281 2 жыл бұрын
Sio wewe tu Ndg yangu! Watu wengi walikuwa wammeshamchoka ndugai
@philimonambilikile6645
@philimonambilikile6645 2 жыл бұрын
Big up lisu
@GachumaMwita
@GachumaMwita 7 ай бұрын
sasa hv ukianzia mwenyekit wa mtaa anatokea c.c.m diwani c.c.m mbunge c.c.m rais c.c.m nchi gani ya mfumo huo inskosa maana ya kuanzishwa kwa vyama vingi vya siasa rais nyerere alisema maendeleo ya nchi yasipoletwa chama yataletwa na mtu leo hii tunaikumbuka siku ya nyerere day kwakuongezeana mshahara mkulima kumuongeza bei ya pamba wala hamkumbuki huu ni ujinga
@hamisiizadini3938
@hamisiizadini3938 Жыл бұрын
That's why he survived the killing,murdering,and assassination mission of the chato king.
@MelkizedekUrio-xl1jp
@MelkizedekUrio-xl1jp 2 ай бұрын
Hili ndilo bunge
@melkiorimunisi5765
@melkiorimunisi5765 3 ай бұрын
Kichwaaaaaaa
@erickmarcokabete5389
@erickmarcokabete5389 7 жыл бұрын
Lisu ukovizuri kwa uongozi.
@ayendamethusela3310
@ayendamethusela3310 Жыл бұрын
Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!
@neybenson7881
@neybenson7881 4 жыл бұрын
Lisu tunakusubiri urudi dah
@saidybhokey5744
@saidybhokey5744 Жыл бұрын
uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana
@eliusponde8564
@eliusponde8564 Жыл бұрын
Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr
@nak3477
@nak3477 3 жыл бұрын
Mwenyekiti akikuwa mtulivu
@simonfundi3609
@simonfundi3609 4 жыл бұрын
My president
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,5 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 105 МЛН
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 12 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 21 МЛН
BAJETI KUU 2017/18:Tundu Lissu amgusa JK
7:49
Mwananchi Digital
Рет қаралды 119 М.
Lissu alivyogoma kutoka Mahakamani ili asikamatwe na Polisi Dodoma
11:07
Tundu Lissu- ccm ni Fashist
8:22
el battawy
Рет қаралды 67 М.
Kamati ya Maridhiano Six:Mhe Tundu Lissu April 16 2014
10:45
Kamati Ya Maridhiano
Рет қаралды 246 М.
Tundu Lissu Kaliwasha Tena Bungeni
7:46
Global TV Online
Рет қаралды 96 М.
🔴DAKIKA 45 NA MH.TUNDU LISSU, 26 AGOSTI, 2024
59:46
ITV Tanzania
Рет қаралды 38 М.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 305 М.
Mabishano ya Zitto na Chenge juu ya matangazo ya TBC bungeni
9:31
JamiiForums
Рет қаралды 1,3 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,5 МЛН