Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 160
@mohdyussah8253 ай бұрын
🇦🇪Welcome sana Muheshimiwa Msingwa huku ndio nyumbani sasa CCM OYEE 🎉🎉🇹🇿💚💚💚
@safiaothman51753 ай бұрын
Hoyeeee
@IntayoberanaSaidi3 ай бұрын
@@safiaothman5175PPP🏐🏐❤
@emmanuelymganga57372 ай бұрын
kwendraaa rambaramba. MBOWE kamanda wangu pamoja mpaka kifo
@medicalamon9083 ай бұрын
Duuh kwakweli wananchi muelewe kuwa viongozi hawa hawapo kwaajili ya wananchi muhimu kwao ni madaraka.Msigwa hapo nyuma ameikosoa sana CCM leo CCM imekuwa nzuri Duuh SAFARI ya Mbinguni ni ngumu sana.Msigwa Umefanya niichukie sana SIASA kwa Sura mbili zako ulizozionyesha.
@fatimahants15263 ай бұрын
Huyu mwamba yuko Imara ila hakuwa sehem stahki...karibu nyumbani ❤❤❤❤
@isayakihongile49213 ай бұрын
Ili aibe vizuri maana sera zenu ni wizi wa mali za umma
@fatimahants15263 ай бұрын
@@isayakihongile4921 usihukum pasina uhakika
@helencyprian87453 ай бұрын
Msigwa umejishushia sana heshima
@marcokaroje89803 ай бұрын
Uchaguzi umekaribia wenye akili ndogo akina Msigwa wameshanunuliwa CCM OYEEtutashinda kwa kishindo mpaka karne sita
@mohamedisaidi3 ай бұрын
Njaa tu
@emmanuelymganga57372 ай бұрын
kama kuna rambaramba walio bakia katika Chama cha democracy wamfate rambaramba mwenzao mapema
@helencyprian87453 ай бұрын
Ni kawaida yenu kumsema mbowe, chadema itaendelea mbele pasipo ww
@SizaAdolph3 ай бұрын
Hapo ni wale wanaotak mbowe atoke chama kife
@isayakihongile49213 ай бұрын
Tupo na mbowe hadi kifo kimkute wanataka wapewe wao uenyekiti wakiuze chama
@emanuelgavile35033 ай бұрын
Safi sanaa
@khalekichambo11313 ай бұрын
Kuna wanasiasa kama malaya ndio huyu sasa
@lucykristensen71453 ай бұрын
Karibu sana nyumbani Msigwa. Umefanya uamuzi sahihi na busara. CCM daima. Mama Samia Safi kabisa. Mitano kwa Mama Samia.
@jazzjeff84313 ай бұрын
Hatimae jongwe aka sugu kamkimbiza msigwa chadema baada ya kumgalagaza kwenye uchaguzi wa kanda.....dah siasa unafiki Sana na njaa haina nishani
@ymohammed9632 ай бұрын
Nyerere alishasema ....kama Malaya Malaya hivi
@ymohammed9632 ай бұрын
😮Msaliti .....kama hajafaaaa chadema. ccm atafaa....akitoka ccm ataisema tena kwa chama kingine msiwamini sana
@akimAkimuWA-m3t3 ай бұрын
Yaan mungu amemwambia achungekondoo lakiniyeye ameacha ameenda kwenyevisiasa
@saimonimzopola43553 ай бұрын
Mimi sina chama ila ni mpenzi wa chama fulani.lakini nimesikitika mchungaji wewe ni mnafiki juzi ulienda singida ukatudanganya.wewe hufai kukosa cheo .mbeya .ndo yamekushinda?
@iddyissa81103 ай бұрын
Hakika uyu bwana atausikute biblia aijui
@FikiriniMwaluko2 ай бұрын
Je kanisani kwako waumini utawafundisha somo la kushinda majalibu au utawaambia yakizidi sana yakimbie
@rashidomar27713 ай бұрын
Kwa maoni yangu hii inaonyesha wazi kushindwa kwa mifumo hii ya kisiasa,,ipo haja ya wananchi kutafakari mfumo mwengine wa kutafuta maendeleo yao,,hawa wanasiasa wanatafuta tu maslahi yao binafsi,,si kwa ajili ya wananchi,,ki msingi ni watu waongo wanaotafuta riziki kwa kuuza maneno kwa kupitia migongo ya watu,,,
@davidkawesa35943 ай бұрын
Unataja Mungu pumbavu taja Miungu yako Mungu fundi siku utasema mnafiki
@AthumanDauda3 ай бұрын
Nilijua tu msigwa kwamba ipo siku ataingia ccm
@ezekielmwadomba46753 ай бұрын
DAAH!!!! HIZI SIASA JAMANI NDOMAANA MIMI SINAGA CHAMA ATAKAE SHINDA ME NDO HUYOHUYO ATAKUWA RAIS WANGU 🙄🤔 FULSTOP!!!
@RamadhaniMsagati3 ай бұрын
Pole yako
@HelmanSolomon3 ай бұрын
kaka yangu msigwa, ilitakiwa uwashukulu sana chadema, ndio waliokupa ubunge, vyama vingapi ulikuwepo, mbona hawajakupa ubunge, chadema wamekupa Leo Tena wamekuwa wabaya, usitukane utokako, kaka ujuwe kesho pia utawatukana CCM, Aya yetu macho
@PlantUrgentProcess3 ай бұрын
😂 unafiki mbaya sana jmn ! Njaa hii daaa😅
@judicalosika76423 ай бұрын
,😳😳😳😳😳
@benardsamizi-qo4yp3 ай бұрын
Hufai KABISA KUKOSA WANA MBEYA WAMEKUGALAGAZA ASUBUHI.
@isayakihongile49213 ай бұрын
Siyo kiongozi mwandamizi wala mwenyekiti wa kanda chadema alishaikosa hiyo nafasi ipo na sugu
@Kassim-c3i3 ай бұрын
Mbona mnamsema sana mbowe au kwa sababu wananchi wanamuamini? Mbowe ni kiongozi lmara lazima takataka kama huyu warudi kwenye uchafu wao ndipo upinzani utastawi zaidi
@exaverysimon10643 ай бұрын
SAF SANA MSIGWA UMEWAFUNGULIA MLANGO WENGINE KARIB CCM 😂😂😂 HII NDO CCM NNAYO IJUA😅😅😅 HAD UCHAGUZ KITAKUWA KIMEELEWWKA
@mathewungani97243 ай бұрын
Kiungo Mshambuliaji, Peter Msigwa....
@LyemeMohamed3 ай бұрын
Ungeacha vyote ukamrejea Mungu nigeona kweli;lakini umehama Chadema na kwenda CCM kufuata kula tu.wewe ni msaliti na. Hunai uzale do.
Yeye aende kupiga ela uyo hafai mtajuta nyie ccm uyo mtajuta na si mchungaji uyo
@sifaelmophat10213 ай бұрын
Mchungaji kakurupuka sana
@MashakaMagesa3 ай бұрын
Kiungo mpya umemtambulisha leo kama vile wananchi tunavyotarajia kumtambulisha kiungo mpya Chama ndani ya Jangwani
@ladislausshirima8633 ай бұрын
Mm namshangaa huyu ni mchungaji? Hata siipendi siasa
@TajewuoMoseka3 ай бұрын
Njaa tu
@BellaMtalika3 ай бұрын
Mmmmh hii sio sawa ilibid ake bench miez sita ndio ajiunge
@kasiankillo69493 ай бұрын
Ccm wajanjaaaa, wanaweza kumpa kiasi chochote anachotaka ili aseme ayo, sio kosa lake njaaa, wanainchi bakini na mawazo yenu, msimfuate msigwa
@generosennko83433 ай бұрын
Ni roho nyingine ilimwingia huyu mtu. Ni vitu flani alitamani kuvipata. Kaona dawa ni kuingia ccm. Huyu hata kanisani hafai kumbe. You cant be trusted. Sori 4 u.
@kasiankillo69493 ай бұрын
Msigwa kaishiwa ufai ata ujumbe wa nyumba 10, ongea yako sio ya chama ata ulivyokuwa chadema uliisema ccm. Kama leo u avyoisema chadema tapeli mkubwa we. Njaa mbaya
@paschalboniface-hb4lh3 ай бұрын
Uyu mwamba tamaa sishamshusha eshima kabisa sikutegemea kwasasa wabunge .wapo kimasilahi wanatafuta pesa si kutumikia wananchi pumbavu
@bakarimkwizu43353 ай бұрын
Msigwa utafika mbali una kitu
@BarakaMwakalinga-sn5sp3 ай бұрын
Umekuwa mweusi balaa
@BarakaShabani-o1q3 ай бұрын
Maneno ya mwl nyerere nilikuwa siyaelewi Sasa nayaelewa kumbe wanasiasa wenye tabia za kimalaya wapo
@kasiankillo69493 ай бұрын
Hawa ndio wanazitia doa ata dini anaitwa mchungaji mchungaji gani anabadilika badilika
@johnmwawa28383 ай бұрын
Hivi huu ni mchungaji wa kanisa gani
@SamwelMdamanyi3 ай бұрын
Ulipokua chadema hukuyaona hayo ulipokosa uwenyekiti ndio ukayagundua unaelekaje Kwa wanaokusikia?
@SamwelMdamanyi3 ай бұрын
Ungejiuzuru Kisha ukayasema hayo usemayo tungekuelewa uwe mkweli una kundi kubwa la kondoo nyumba yako ukiwapoteza utaulizwa na Mungu
@nurumussa91073 ай бұрын
Hii inaonyesha waziwazi kiasi gani hatuna viongozi waliopo Kwa maslahi ya watanzania na hakuna wapinzani hapo ila Kuna wenye njaa, Yani msigwa alivoahindwa na sugu kahama na chama inaonyesha kwamba hata huko ccm akiteuliwa kusimama kukiwakilisha chama akashindwa yupo tayari kuwepo vita ilimradi yeye atangazwe. Viongozi wa hivi hamna asiekubali kushindwa si mshindani
@maase20233 ай бұрын
Kuchukua wanasiasa wa kizamani ni sawa na kusoma gazeti jioni tu
@hildandumbalo58273 ай бұрын
Du mch. Unahangaika pole yako
@idatonymassawe3 ай бұрын
Njaaa ni mbaya sanaaa.😢
@TallTallmysha3 ай бұрын
DAH UMEJIHARIBIA SANA AISE DAH
@wartv7303 ай бұрын
Yeye ni mamluki
@SizaAdolph3 ай бұрын
Ndio maan walisem watu fulani wamenunuliwa,
@salahhddindasuvic64473 ай бұрын
❤
@funnuelmwalukasa45063 ай бұрын
Alichelewa sana ilitakiwa ajiunge kipindi Cha magufuli pindi alivyomtoa Gerrezani mwaka ule mnakumbuka wahenga
@JaneWalter-m7l3 ай бұрын
Rais samira usijeukamteuwa popote huyu balaa, kafuata cheo huko angesema angungua kanisa tungemuelewa vijana wapo wasomi wazuri mnahangaika kununua maze
@valenakomba76863 ай бұрын
YAANI BAADA YA KUSHINDWA , KAAMUWA KUHAMA. ASIYEKUBALI KUSHINDWA SIYO MSHINDANI.
@mathewungani97243 ай бұрын
Njaa tu,
@mashakakwembe74823 ай бұрын
Wewe ni msaka tonge tu kumbe kilichokuwa kinakuweka chadema ni madaraka tu leo ccm uliokuwa unawapinga na kuwatukana wamekuwa wazuli du huyu kweli no mchungaji kweli ?
@Kuminamoja19952 ай бұрын
Nanyanuka sasa
@issacklyandala70233 ай бұрын
Huyu jamaa hovyo sana, kama sio mnyaru
@ChristopherSibale-f3u3 ай бұрын
mnatuchanganya leo hivi kesho vile mchungaji kauli 2 haifai
@ezekielmwadomba46753 ай бұрын
🙄🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤔????
@musomamet3 ай бұрын
Aibuuuu....!
@AltenKiswaga-zw9rf3 ай бұрын
Njaaaa njaaaa hiz nibalaaa
@ModestJohn-z9m3 ай бұрын
Por msinqwa
@SizaAdolph3 ай бұрын
Na kum😂be walishamsitukia kitambo ndio maan anadingizia alihujumiwa 😮😮😮😮
@Kwarasi3 ай бұрын
Sasa utasemaje na umejiunga tayari msingawa acha kelele wewe nenda ukawe chawa chadema ipo na itakuwepo
@charlesshaban19153 ай бұрын
People's power, hufai ht kdogo na huko lbd upewe cheo, ukkoswa cheo tuuu watakuskia
@MaxCharles-wj5dg3 ай бұрын
ujinga tu huyu ni mnafiki
@aliferuzi15373 ай бұрын
Ila tumempokea lkn TUWE na TAHADHARI Sana adui Hana rangi anaweza kutuchunguza mambo ya ndani
@HenryKasaje-on4xq3 ай бұрын
Huyo msingwa mwache aende kugalagwa na Sugu ananikimbia anatamaa ya mamlaka
@jumamsechu3 ай бұрын
Mlafi wa madaka
@ezekielmwadomba46753 ай бұрын
DUH! NGOJA NIKANAWE MACHO MAANA SIONI SAWASAWA KAMA NIMWENYEWE AU?
pole mumnyime cheo huko atakimbia hvyohvyo na msipompa nafasi ya kugombea ubunge happy Iringa atakimbia. unacheza na msoto wa miaka mitano wewe
@peterantony58903 ай бұрын
Hivi ni Msigwa huyu ambaye wiki chache zilizopita alikuwa akiikosoa serikali ya CCM vikali?
@KarolMboya3 ай бұрын
Eleweka kama mtu timamu kaka wewe ni msalit kama wengine hata uliko hamia hawawezi kua na iman kamili na wewe kwani bado unayumbayumba
@PlantUrgentProcess3 ай бұрын
Msimpe cheo chochote kile ili anyooke hana lolote njaa tu 😢
@simbamtoto75303 ай бұрын
Asipo pewa cheo uyo atokaa ccm
@petromachango37813 ай бұрын
Hakuna mwanasiasa anaesema ukwel
@mbuyaelyaoni62663 ай бұрын
Juhudi zako na kuhangaika kote ni sawa na kujilisha upepo. Huku ccm utacheka, ni wajanja kuliko unavyo fikiri, mikelele yako hatuhitaji. Kaa kwa kutulia.
@SajaliAmri3 ай бұрын
Anatapatapa ana lolote kaishiwa sera 😄😄😄mmelamba garasha
@marijanimussa3 ай бұрын
Duh!wewe msigwa ni ww kwel hapana natakiwa nihame Africa nkafanye kazi ya kulisha ng’ombe ulaya
@hasanimkamba83773 ай бұрын
siasa nikazi kama kazi zingine tu
@IsayaYohana-qo8ej3 ай бұрын
Ok,umehama huko utakwenda kufanya nini?
@IdrisaTuppa3 ай бұрын
Shushu Uyo Kuweni Makini😂
@issacklyandala70233 ай бұрын
Mmemnunua yuda huyo mchungaji MJINGA
@davidtuya95863 ай бұрын
Yuda ni naani? Ni yuda askariot inasikitisha tayari njaa unataka uteuzi
@ZelemanMayola3 ай бұрын
Wewe ni mujinga sana mchuji wa mashetani mashetani masisim majizi
@nsiamasawe45783 ай бұрын
Anasaka cheo
@ambakisyembughi18623 ай бұрын
Wanatuchanganya hai
@EmanuelMasisila3 ай бұрын
Kama uliiasi kazi ya mungu wewe hunatofauti nashetani
@TemboKaijage-kg2mm3 ай бұрын
Alikuwa zitto sembuse yeye tanzania tuna taka mabadiliko
@isayakihongile49213 ай бұрын
Wala hatutushiki alitoka zito,mkumbo na kina mdee sembuse nyumbu
@ndiditheodore82723 ай бұрын
Huyu ni mchungaji wa kanisa gani? LA mashetani. Hapo kwakweli umefeli. Baki na uchungaji tuu siasa za nini? Soma Yohana 6:15..
@valenakomba76863 ай бұрын
ONGEA UANGALIE MBELE
@josephmbogela4153 ай бұрын
Hawezi kukaa bila kuwa na madaraka ni shida sana. Umeshindwa uchaguzi unakimbia ulitaka ubaki kuwa Mwenyekiti miaka yote. Hukujua kama ni saccoss miaka yote hiyo.
@rafiiabdul62173 ай бұрын
Mbona mbowe ni mwenyekit wakudumu na wangne wakitaka uenyekit anawaondoa