Unataka kuwa Truck Driver Marekani? Wanapata mshahara milioni ngapi kwa mwezi?

  Рет қаралды 223,158

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Пікірлер: 704
@victornyakundi294
@victornyakundi294 2 жыл бұрын
I am a Kenyan in the USA.I love your Swahili after 20 yrs.Some get to america after three years claim to have forgotten their local languages.
@emmanuelzao
@emmanuelzao 2 жыл бұрын
Ni washenzi kabisa.😎
@Kakwasi
@Kakwasi 2 жыл бұрын
Watanzania hawa
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 2 жыл бұрын
This are Tanzanians Kiswahili hakiwezi kuwatoka Unlike us Kenyans lol NOT all but most of them hujifanya wamesahau
@nellymatalanga5033
@nellymatalanga5033 2 жыл бұрын
@@kangese You can only forget if u left as a child and your folks are not speaking swahili in the house . west Africans travel whn young but at home they speak their own language outside while interacting with locals thy speak English,Italian ,French etc depending with the country you live in
@johnsonkanyi2518
@johnsonkanyi2518 2 жыл бұрын
Invite me guys to US
@jayc7311
@jayc7311 2 жыл бұрын
I’m from Burundi 🇧🇮 and also a truck driver here in USA🇺🇸. Be safe out there brother 🙌🏾
@jorampharaoh2020
@jorampharaoh2020 2 жыл бұрын
Invite me bro
@amoseliasmeshack7064
@amoseliasmeshack7064 2 жыл бұрын
Hey Jay ,,, My Name Is Amos I Need To Wash With You If You Will Care More, Phone Number Is 2086098454 Please Please My Brother
@fjafrica62
@fjafrica62 2 жыл бұрын
du good
@bellynejoe187
@bellynejoe187 2 жыл бұрын
Hello brother I m from Burundi working Dubai ncuti nziza ndaryohewe kubona comment yawe .ndiko ndondera uwomfasha gushika USA nukuri noshima niwaba woshobora kunyishura plz ndagushimira
@Bestof257Official
@Bestof257Official 2 жыл бұрын
Komera cane nawe Jay C. Imana ikuzigame
@seriesreview3838
@seriesreview3838 2 жыл бұрын
Watching from Kenya..this has always been on my bucket list..to start a truck company in US..🇰🇪keep inspiring brothers
@rebelsammyfx4365
@rebelsammyfx4365 2 жыл бұрын
From Kenya as well ,I opened one recently,paloways
@seriesreview3838
@seriesreview3838 2 жыл бұрын
@@rebelsammyfx4365 keep shining 👏
@josephmatu375
@josephmatu375 2 жыл бұрын
Bro am from Kenya Nairobi I'm a good truck driver how can I get job
@amosicronery7730
@amosicronery7730 2 жыл бұрын
@@rebelsammyfx4365 congrats
@janelaflin1816
@janelaflin1816 2 жыл бұрын
Hamna matuta?
@johnokoth7543
@johnokoth7543 2 жыл бұрын
Tanzanians are so humble. Thanks for the knowledge.
@lovelymiii1530
@lovelymiii1530 2 жыл бұрын
Napenda iyo kazi kaka go nawezaje fika huko na kupata kazi au ata ukaniajiri
@anthonyezekiel930
@anthonyezekiel930 Жыл бұрын
Hi? Haya Mimi natamani
@anthonyezekiel930
@anthonyezekiel930 Жыл бұрын
Mpo wapi?
@sharifukilongo2565
@sharifukilongo2565 Жыл бұрын
Appreciate
@obeydmwemezi3663
@obeydmwemezi3663 2 жыл бұрын
Huyu jamaa muonekano wake tuu anaonekana anaroho nyeupe saaanaaa!!!anaonekana anaroho nzuri sanaa!!!broo Godbless you🙏🙏🙏
@benjaminfaustin4234
@benjaminfaustin4234 2 жыл бұрын
Kbs umeona? Yuko vizur sana kufika kure hatutahangaika sana shida ni kufikapo kbs
@richardscofeld9136
@richardscofeld9136 2 жыл бұрын
Nafuatilia sana interview yako kaka EBM, na nafurahi sana mafundisho yako ya nadharia na vitendo ,nimeona wuvu na umenipa nguvu nipambane ili nifikie ndoto zangu za#USATRACKDRIVER,Napia naomba nisaidie huyo nduguyangu nampataje na ninduguyangu kabisa
@munaongoeliebamongi8128
@munaongoeliebamongi8128 2 жыл бұрын
Many thx my brother mimi ni ENOCH MONGI kutokea eastern DRC at Butembo na shukuru xana maongezi yako tena yana vutia Xana brother
@petermagaka547
@petermagaka547 11 ай бұрын
Kazi Nzuri sana EBM Nimevutiwa sana na haya Mahojiano. Mbarikiwee zaidi. Magaka wa Kahama on the way to kigoma,,
@isacktesha6659
@isacktesha6659 2 жыл бұрын
Jamaa uko powa sana kaka nakukumbuka sana tuliagana hapa Arusha TZ wakati unaenda kupanda ndege KIA ,nakumbuka ulipima mizigo yako hapa kabla ya kuondoka
@judyhosea9271
@judyhosea9271 4 ай бұрын
Mwagito unoge
@daudsilas
@daudsilas 29 күн бұрын
Je naweza kupata contact za huyo ndugu napenda kujifunza vitu fulani hivi maana na mimi ni dereva kwa sasa naendesha magari madogo tu
@bakarimusa6297
@bakarimusa6297 2 жыл бұрын
Tunakuombea uzidi kufanikiwa nduguyetu urudi na Tanzania uje uwekeze tufanye kazi inshaallah. Allah akufanyie wepes katika kaz zako na uwe mwenye kukumbuka mungu.. Ameen
@paulobat3327
@paulobat3327 2 жыл бұрын
From Kenya, I play American Truck simulator once in a while, enjoying your explanation of different categories of cargo one can haul as a semi driver.
@highskills5883
@highskills5883 2 жыл бұрын
I like that game America truck simulator
@websterk451
@websterk451 2 жыл бұрын
@Joe Ndungu ATS is a bit better than ETS in my opinion
@websterk451
@websterk451 2 жыл бұрын
@Joe Ndungu i mean you're right ets makes you adapt to narrow roads and spaces
@simonwamwea1757
@simonwamwea1757 Жыл бұрын
Tembo Logistics Nashukuru for sharing motivation and knowledge of owner-operator
@zenj1986
@zenj1986 2 жыл бұрын
Watu wa Tanzania bara hasa walioko mbali na Dar ni watu wenye moyo uliyobeba ukweli. Mungu akufanyie wepesi
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 2 жыл бұрын
Ameen thumma ameen
@jenniferswai483
@jenniferswai483 Жыл бұрын
Kaka naipenda sana iyo kaz kaka sina mtu wa knishika mkono
@zenj1986
@zenj1986 Жыл бұрын
@@jenniferswai483 mie nipo
@barakafifi1607
@barakafifi1607 Жыл бұрын
Naipenda sana hii kazi lakink sina mtu wa kuniongoza gali najua kuendesha vizr sana sana lkn hob yangu gali kubwa kuendesha pls mtu yoyote mwenye kuweza nielekeza 🙏
@kondoramadhan7840
@kondoramadhan7840 Жыл бұрын
Amna lolote mbari ya dar ndio nini sasa
@wanderinderituh459
@wanderinderituh459 2 жыл бұрын
Good job EBM!!! Next time leta nwanamke pia ndio those of us who would like to venture into this job tujue what to expect na challenges women hupitia.. May God bless you guy's for the amazing work mnafanya.. I really like this guy
@annekim1346
@annekim1346 2 жыл бұрын
True next lady
@nswirajosephntegwa180
@nswirajosephntegwa180 2 жыл бұрын
Habari ya kazi brother pole namajukumu Mimi ni drive way transit truck safari zangu tz to Congo Nipo mwaka wa 10 Sasa kwenye hii kazi samahani unatusaidiaje sisi wa DARASA la 7 na tunauwezo mkubwa Wakufanya kazi Asante Sana nimefrahi kufatiria hii hii video nimeinjoy Sana kaka
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
huko hawangalii elim ya school kwa kazi kama hizo we ujue lugha tu na ujuzi wa kazi bas Mungu akusaidie sana wakuafanyie taratibu muweze kwenda fanya kazi huko insha allah ila inchi za inje ya tanzania huwa hawatazami sana elim katka kazi kama hizo elim wanaitaka mohifesin nasio kune udrive bro Mungu akujalie mpate kazi nzur kama hizo insha allah
@collokaxar8724
@collokaxar8724 2 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya 🇰🇪. Natamani kuishi marekani siku moja, majaliwa yake Maulana.
@nooor1120
@nooor1120 2 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi kaka Collo uishi marekani kwa furaha na mafanikio
@athumanimanzabay1894
@athumanimanzabay1894 2 жыл бұрын
Oh thnx Broo,naitwa Athumani Manzabay ni driver wa kampuni ya Equator logistics Tanzania nmefurahi saana kwa interview yko I wish siku moja na mm nije kufanya kazi huko Marekani,kwa uwezo wa Mungu inawezekana Inshallah 🙏🙏
@mrambamasha7727
@mrambamasha7727 2 жыл бұрын
Nakbali bro. Napenda sana interview ina jenga sana big up brother. Mimi ni mkenya sija soma sana but mimi ni truck driver apa Kenyan. Mbinu za kuja marekani ngumu sana. Nina tamani sana lakini ni changoto sana. Unanitia hasira saana. Mimi elimu yangu ni darasa la nane tu. Kwahiyo ni changomoto kwangu bro. Lakini na penda sana niajiriwe marekani Asante
@AlhajiAbeid
@AlhajiAbeid Жыл бұрын
Nimependa sana kuskia kiongozi anavyotupa mrejesho wa nini kinapatikana huko ughaibuni. Nikuombe ikikupendeza nipate mawasiliano na dereva Shabani broo. Ninamengi yakujifunza kabla sijachukua maamuzi👏
@harounamahoro3436
@harounamahoro3436 2 жыл бұрын
I'm from Rwanda, ila kwa ukweli na wapenda sana Watanzania. Nyinyi ni wazalendo thabiti.
@Kapesa-bu7yv
@Kapesa-bu7yv 8 ай бұрын
Karibu sana TANZANIA kaka tupo sana kote duniani tunatafuta maisha kwa ajili ya nchi yetu na vizazi vyetu baadaye
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 жыл бұрын
Shaban hongeraa mno mnooo Mungu akubariki sana kukubali kuwa wazi kwa ajili ya vijana wa Tz.imagine umekaa marekani miaka 20 lakini bado uko mtulivu sana
@stephenmwanzake
@stephenmwanzake 2 жыл бұрын
So much educative. Hii information ni nzuri Sana, Tuzidi kujitia moyo na bidio na mola atazidi kubariki kazi ya mikono yetu. Nawatazama nikiwa Machakos Kenya 🇰🇪
@rikayangu3833
@rikayangu3833 2 жыл бұрын
Should I say I wish I were 10 years younger? brilliant video full of info for anyone looking for a new path.
@silicontech7783
@silicontech7783 2 жыл бұрын
Kaka Tembo kazi nzuri kazi safi God bless u kwa hiyo information na wengi wamefaidika.
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Watanzania popote mlipo Serikali inatakiwa kuwekeza sana kwenye barabara...bila barabara za kiwango hatuwezi kutoboa...I'm inspired
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 2 жыл бұрын
Vizuri.nilijaribu hivyo lakini wakati Wa winter na snow ilinishinda .nikatafuta kazı ya Nursing baada kurudi college
@advinofficial6570
@advinofficial6570 5 ай бұрын
Kaka ipo marekani
@eliccirebwoy9258
@eliccirebwoy9258 Жыл бұрын
Asante sana kuongelea makao makuu nyumbani kwetu kigoma kwao na vipaji , nawafwatilia kwaumakini 🇹🇿
@mawazoaliselemani8909
@mawazoaliselemani8909 2 жыл бұрын
e bhana mnafurahisha sana,nawaomba niwatembelee nikitokea huku europe,nije kujifunza maisha ya unyamwezini,ila hongereni sana.
@samsondenis8905
@samsondenis8905 Жыл бұрын
Kuna wengine Kaka wakipata nafasi ya kufika marekani wanasahau hata kuwasaidia ambao wanashida na kufika huko kujiendeleza kimaisha.
@edwardouma1630
@edwardouma1630 2 жыл бұрын
Very appreciated my brother am watching from Nairobi Kenya
@mbekewambeke9305
@mbekewambeke9305 2 жыл бұрын
Yes bro nashukuru sana kwa info ila nakuomba tuwasiliane mimi niko hapa Lancaster PA pia ni truck driver nakuomba tutakutane bro
@daviddeus6437
@daviddeus6437 2 жыл бұрын
Mnafkaje uko bro
@JKQGAME
@JKQGAME 2 жыл бұрын
@@daviddeus6437 hahahahaha
@edoyoseph4606
@edoyoseph4606 2 жыл бұрын
Ebu tupe namba Yako ya cm basi
@hamzamafita4025
@hamzamafita4025 2 жыл бұрын
Habari EBM unahamasisha vizuri sana maisha sio africa tu.popote angalia ameenda kusoma udaktar lakini amebadilisha na amefanikiwa.cha muhimu tujitahidi kusikiliza EBM inavyotushauri.mimi nitamgharimia mtoto wangu mpaka aende huko duniani.
@nyansmanemolos
@nyansmanemolos 2 жыл бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@mwangimichel4824
@mwangimichel4824 2 жыл бұрын
Thanks alot for the info... Natamani sana kuwa truck driver marekani kama kuna any vacancy please help me secure the opportunity
@geerleebmuhamed8301
@geerleebmuhamed8301 2 жыл бұрын
Big up bro mungu akulinde na Allah akupe mafanikio tuchape kazi
@user-gr7um7ex9h
@user-gr7um7ex9h Жыл бұрын
Daaaa brother kwakweli huo kazi nimeipenda nisaidie na me niwezekuifanya hii kaz inshallah
@kessy9931
@kessy9931 2 жыл бұрын
jilinde brother. siyo kila mtu aneangalia anafurahia mafnikio yako, wengine wanakupangia. tembea na silaha.
@binbhahan3435
@binbhahan3435 2 жыл бұрын
Kwanza tunashukuru kwa information but mm niko Tanzania huku Zanzibar brother tunatamani tunaingiaje huko we really need that opportunity
@muhammadmwangi5236
@muhammadmwangi5236 Жыл бұрын
Jambo Prof? Watching from Saudi Arabia, natokea Kenya....truck driver too. Shukran jazeelan
@upendomamuya7238
@upendomamuya7238 2 жыл бұрын
Kwakweli nimejifunza mengi kwenye video hii. Shukran sana EBM Scholars. Kama truck ni uchumi wa Marekani, basi uchumi wa bongo ni kirikuu. 🤣🤣
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Na bodaboda na mkokoteni
@ramadhanilukambuzi9760
@ramadhanilukambuzi9760 2 жыл бұрын
Tozo
@danielndubi3472
@danielndubi3472 2 жыл бұрын
These people are humble.. My country people will always discourage you
@mugenzadanie7263
@mugenzadanie7263 2 жыл бұрын
Habari zenu wandugu mama nimependa hii mazungumuzo kutushauri sana sana watu kama Sisi tuko na ndoto yakukuja huko
@johnnaiman
@johnnaiman 2 жыл бұрын
JAMAA ANA VIBE SANA..👏👏 MUNGU AMBARIKI SANA
@mmsfuzzsba3816
@mmsfuzzsba3816 2 жыл бұрын
SAFI SAANA MKUU. NAOMBA ELIMU ZAIDI YA FANI NYINGINE LIKE KUBEBA MIZIGO
@ThomasChristopher-k4o
@ThomasChristopher-k4o Жыл бұрын
Kaka hongera sana tunawezage kupata kazi uko
@zabronpaul7599
@zabronpaul7599 2 жыл бұрын
Yaan YEMUGABHO urakoze chane... Umenifungua macho sana na kujitafakari upya maisha yangu..MUNGU azidi kukubariki ERNEST,Mungu ikuze zaidi na zaidi channel yetu pendwa
@jovinifaida5480
@jovinifaida5480 2 жыл бұрын
Uvuze ngwiki
@omarisarai7699
@omarisarai7699 Жыл бұрын
Ee bwana hongereni sana bwa ÈBM na bwana shaban kwa kuelimisha mimi mwenyewe binafsi nina zaidi ya miaka 55 lkn nimeingia hamasa ya kuja kuendesha track naona ualimu nitauvua
@salumhassaen1892
@salumhassaen1892 2 жыл бұрын
Dah kweeli kaka dereva marekani anainjoi na kipato kizur mi Tanzania naenda Congo maxmam siku45 kwenda nakulud hapo kuna wakati paka siku 60 au zaid maili 4000 paka 5000 kwenda nakulud nalipwa USD 750 kwa awamu sio kwapamoja awam3 kuna wengine hata iyo awafikii
@godfreymloka8684
@godfreymloka8684 2 жыл бұрын
Ase bro vp nakubali sana kazi yako, Mimi GODFREY Niko Arusha Tanzania mi ni drereva naendesha fuso naomba basi nisaidie na Mimi niende nikaendeshe hizo Trucks bro ninauzoefu wa magari makubwa ase na kama Kuna any cost naweza nikapambana aisee bro
@awadhiomarisimba180
@awadhiomarisimba180 2 жыл бұрын
Ukweli nawapa big up nyinyi watanzania kwa mapenzi yenu kuwapa mwanga was fulsa ,tunaomba namba zenu
@joelbett87
@joelbett87 2 жыл бұрын
I’m kenyan and truck driver too, this’s awesome interview, but I think I’m your neighbor here in belton MO coz Naishi Grandview mimi, be safe out there bro
@misheckgathondu5815
@misheckgathondu5815 2 жыл бұрын
i love truck but i
@joelbett87
@joelbett87 2 жыл бұрын
@@misheckgathondu5815 but?
@misheckgathondu5815
@misheckgathondu5815 2 жыл бұрын
sijii nialie wapi
@misheckgathondu5815
@misheckgathondu5815 2 жыл бұрын
I don't know where to start
@brianyegs325
@brianyegs325 2 жыл бұрын
@ Joel Bett show me your ways...
@josephguerino7416
@josephguerino7416 2 жыл бұрын
Mtangazaji, don't over ride the interviewee! Unamhoji lkn unaongea zaidi yake! Muache aongee
@domnia6980
@domnia6980 2 жыл бұрын
😃😃😃😄
@silvestermanase6101
@silvestermanase6101 2 жыл бұрын
Hahahaha, ni kweli kabisa,mtangazaji anaongea zaidi kuliko mtoa stori.
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
ni mzuka mwingi... anaona ako kwa private jet!! hahhha
@josephguerino7416
@josephguerino7416 2 жыл бұрын
@@Kobe_254 anaongea sana yani, hampi jamaa nafasi aongee
@user-qv9hn9sm6i
@user-qv9hn9sm6i Жыл бұрын
Muko kwenye ndotozangu ❤❤❤❤❤
@nooor1120
@nooor1120 2 жыл бұрын
Maa shaa Allah mmungu akubariki na akulinde kila shari akupe kheri zote.
@collinmhema5443
@collinmhema5443 2 жыл бұрын
Safi sana kufanya kazi unayoipenda mazingira na kipato kizuri
@majaliwabendera8458
@majaliwabendera8458 Жыл бұрын
Hongera sana kaka nilikuwa naifatilia hii stori yako nikiwa Africa nilifurahi sana maana hata mimi ndoto yangu ni kuwa dereva wa magari makubwa ila kwa sasa nipo hapa Marekani naomba Msaada wako ili niwe owner operator kama weed.
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 7 ай бұрын
Hongera sana Shaban. You Tube channel yako inaitwaje? Ahsante sana EBM. Pamoja sana!
@elijahmwangale.8066
@elijahmwangale.8066 2 жыл бұрын
Pongezi guys... .just subscribed to your new channel EBM scholar,,💝💝💖♥️love your videos alot in other channel.... From Nakuru 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya.
@kalingajohn249
@kalingajohn249 2 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kututangaza kabila letu ma wengine hawataki kujulikana hongera sana mnyakukae!
@raphaelherman7098
@raphaelherman7098 Жыл бұрын
Napenda sana kazi ya magar tatizo saport nakos mwanzo mgum sanaaa
@nsengiyumvaoseki3004
@nsengiyumvaoseki3004 2 ай бұрын
Asante sana bro. Nilisikiliza video zako na nikashawishika . Sasa naendesha truck na ninaona faida sana
@flavian-augustino.pangah
@flavian-augustino.pangah 2 жыл бұрын
Hongereni sana mnatutoa matongotongo sisi ambao ni tiktok generation, asanteni sana
@samypalukukalisha
@samypalukukalisha 2 жыл бұрын
Nashukuru Kya uelimishaji.Samy from DRC
@mopaomopao7666
@mopaomopao7666 2 жыл бұрын
good information wish both of you all the best ........NO 🚚 NO 🧆🍗🍔🍕🍟🥯 TRUCKING MAKES THE WORLD MOVE
@nakurusportschannel4211
@nakurusportschannel4211 Жыл бұрын
See how Tanzania are friendly they talked about business and also not forgetting about their local soccer teams back home.Wakenya hatuwezi hii.
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 2 жыл бұрын
Asante sana kaka shabani mungu akuongezee na ww uwahudumie watanzania wenzako
@katambihamisi4130
@katambihamisi4130 Жыл бұрын
Thanks guys for your information
@muhammedsaid2475
@muhammedsaid2475 2 жыл бұрын
habari yako mm mtanzania nimefurahi kwa maelezo yako na Mimi napenda nije huko kwa garama yeyote my level of education is form 4 but Nina fani Kama yako garama naweza kufika huko Ila process ndio shida
@patriciakajula8328
@patriciakajula8328 2 жыл бұрын
Hongera sana bro Mungu awe na wewe. Nimefurahi sana kuona interview.
@mashabik
@mashabik 2 жыл бұрын
Nice job. It's through hard work you are where you are. Hebu elimisha hizi serikali zetu maana ya barabara safi na thabiti kwa uchumi wa nchi zetu. Juu hapo naona waenda kwa kasi, kama 80-110 kms bila zile vikwazo tumezoea kwa barabara zetu humu.
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri Жыл бұрын
Hiyo ni sawa na barabara dar mbeya tu tanzania ipo mbali kwa masuala ya barabara hizo barabara za marekani hazina maajabu sana
@abdikadir4569
@abdikadir4569 2 жыл бұрын
Roha safi ndio Allah anapenda
@fatumafatuma1459
@fatumafatuma1459 2 жыл бұрын
Asalam aleykum warahamatullahi wabarakatu samahani mm nataka kuja kupika vyakula vya Tanzania nitatoboa
@kavoomshana7289
@kavoomshana7289 2 жыл бұрын
Safi sana nimeipenda hii jamn mpaka nimetaman kuja marekan
@How2AnalyzeData
@How2AnalyzeData 2 жыл бұрын
Am from 🇰🇪 and this is a great content
@benjaminfaustin4234
@benjaminfaustin4234 2 жыл бұрын
Napenda sana hii biashala Kaka kuna siku tutakutana uko 🙏🙏🙏🙏
@millieokoth3526
@millieokoth3526 2 жыл бұрын
Woow I love listening to tz kiswahili, so interesting napenda
@danielmatemu9698
@danielmatemu9698 2 жыл бұрын
Kiswahili is the best
@mkopa26
@mkopa26 2 жыл бұрын
Kweli mbele mbele tu yani dar to kigoma masaa kumi
@labanmutai5843
@labanmutai5843 2 жыл бұрын
Just from neighbouring country Kenya, this is the best video I've ever watched. Actually I love traveling and exploring. I really enjoyed traveling with you guys. The video is really inspiring and mind opener.
@bethuelkiprono6139
@bethuelkiprono6139 Жыл бұрын
Ongepe wei
@davjoh1667
@davjoh1667 2 жыл бұрын
Ebm I have watched the other video now watching this n I must say this one was a very good one.umefanya kazi safi sana na kubwa kweli. Kenya tuko locked ndani kabisa.God continue to bless u all n bro shaban muguu akupe maisha mema.I know one day mungu atafungua njia zetu nasi tufanikiwe.my dream is to join u guys in USA and make it in life.I want to own a fleet of trucks inshallah.
@modycombo7421
@modycombo7421 2 жыл бұрын
Mungu akujalie ndugu
@KrucialSounds
@KrucialSounds 2 жыл бұрын
This is so informative EBM. Shaban keep up the good work
@wilsonsigara2969
@wilsonsigara2969 11 ай бұрын
Shabani nina kukumbuka tumesoma wote mwakaleli na mdogo wako issa niambie ndugu yangu kitambo sana
@teddysanga1840
@teddysanga1840 4 ай бұрын
wilison
@simonjoseph5138
@simonjoseph5138 2 жыл бұрын
Da ningepata mdhamini wa kuniwezesha kufanya kazi ya udereva nchi yoyote alafu tutalipana kidogo kwenye makato ya mshahara wangu nitamshukulu
@nsamacharia
@nsamacharia 2 жыл бұрын
TZ oyeeh Weeh ! Perfectly accordingly kaka ✊🏿👍🏿👏🏿
@khalfanilyimo6963
@khalfanilyimo6963 2 жыл бұрын
Shabby naona mpira basi tena!!! Umekamata truck!! Ungepewa info za kutosha ungechezea man u kaka!!! Wakati ukuta!!! Hongera!!
@joelsagide9607
@joelsagide9607 2 жыл бұрын
Ujambo brother, mmi nko Kenya Nairobi nimeititimu kma dereva nitamani kufanya kazi maju naeza Fanya nni.
@joelkahesi7280
@joelkahesi7280 2 жыл бұрын
Hawa jamaa safi sana. God Bless You Guys
@shannelmoira3403
@shannelmoira3403 2 жыл бұрын
,mshikaji Ana Sober mind,.discipline ,ni mkweli.. Super inspiring
@ronaldjuma7012
@ronaldjuma7012 2 жыл бұрын
This is earth moving, how can I join you and become one of the truck drivers in the US. Thanks bro
@lazarovenance725
@lazarovenance725 2 жыл бұрын
Bro nawafuatilia sana kiukweli nimeipenda historia ya bro pia nimefurahi sana pia kusikia yeye ni mwana Simba sports club pia ni mhehe mwenzangu kabisa.
@jomba6514
@jomba6514 2 жыл бұрын
Brother binafsi naipenda sana iyo kazi engine inalia kichwani 👊
@GibsonNjau-hy5wl
@GibsonNjau-hy5wl Жыл бұрын
Ninashukuru Kwa maelezo mazuri,Mimi nipo Tanzania,dare esalam,ni dereva wa magari makubwa,naitaji kuendesha track marekani,naomba mwongozo
@GodfreyMbekenga
@GodfreyMbekenga 3 ай бұрын
Kaka ongerasana nimesikiliza cripu zako aisee nimependa kwanza unavyofundisha jinsi ya kuendesha track , nitakuombea sana kwa mungu niwe Rafik yako najua tukishakuwa marafiki utanishika mkono , mimi uku Tz nidereva natamanigi sana kupanda kiwango kweny kazi yangu ya udereva
@user-ys7wj5tl3p
@user-ys7wj5tl3p 28 күн бұрын
❤❤❤nimeipenda saana hii. Halow kaka na mm ni dereva pia na nime soma chuo Cha usafirishaji nakuomba unisaidie kaka Sina kazi na naishi dar es salaam na Mimi nimetokea iringa mhehe og.
@agnesmweya4064
@agnesmweya4064 2 жыл бұрын
Am grateful to this Simba fun. much love. am from Tz
@BenBen-mw5gf
@BenBen-mw5gf 2 жыл бұрын
Kaka we, maelezo yako yaridhisha sana. Najivunia mwafrika bomba ughaibuni. Mungu akiruhusu siku moja tutaonana kule USA.
@khamishamadi8461
@khamishamadi8461 Жыл бұрын
Kk hongera sana mungu akufunguli maisha mema amin amin
@godsondavidbilola2214
@godsondavidbilola2214 2 жыл бұрын
Nimekusikiliza sana kaka ila nimependa kazi yako utanisaidiaje namimi niwezefika huko mimi mha niko kigoma
@frankkashamakula838
@frankkashamakula838 2 жыл бұрын
Ulaya Ulaya Tuu Sijawai ona Trela Yenye io machine yakushushia Mzigo mungu akubaliki brother
@emanuelmollel312
@emanuelmollel312 4 ай бұрын
Big up sana bro Am in Tourism industry back home am planning coming to North Carolina soon and I would like to meet you bro God bless you.
@josephwaweru684
@josephwaweru684 10 ай бұрын
Amazing 😍
@michaelkinyua1064
@michaelkinyua1064 2 жыл бұрын
Uve blown ma mind bro
Cute
00:16
Oyuncak Avı
Рет қаралды 7 МЛН
Jua haya kabla ya kuomba Green Card Lottery mwezi October
44:11
EBM SWAHILI
Рет қаралды 10 М.
CEMANIA NA MUTUMIA WI NGUMO DEREVA YA MARORI AMERICA
23:36
Kenya Diaspora Media USA
Рет қаралды 86 М.
VITU VYA KUOKOTA MAREKANI (USA) UNAWEZA UZA MTUMBNA TANZANIA
14:00