I am a Kenyan in the USA.I love your Swahili after 20 yrs.Some get to america after three years claim to have forgotten their local languages.
@emmanuelzao2 жыл бұрын
Ni washenzi kabisa.😎
@Kakwasi2 жыл бұрын
Watanzania hawa
@nellymatalanga50332 жыл бұрын
This are Tanzanians Kiswahili hakiwezi kuwatoka Unlike us Kenyans lol NOT all but most of them hujifanya wamesahau
@nellymatalanga50332 жыл бұрын
@@kangese You can only forget if u left as a child and your folks are not speaking swahili in the house . west Africans travel whn young but at home they speak their own language outside while interacting with locals thy speak English,Italian ,French etc depending with the country you live in
@johnsonkanyi25182 жыл бұрын
Invite me guys to US
@jayc73112 жыл бұрын
I’m from Burundi 🇧🇮 and also a truck driver here in USA🇺🇸. Be safe out there brother 🙌🏾
@jorampharaoh20202 жыл бұрын
Invite me bro
@amoseliasmeshack70642 жыл бұрын
Hey Jay ,,, My Name Is Amos I Need To Wash With You If You Will Care More, Phone Number Is 2086098454 Please Please My Brother
@fjafrica622 жыл бұрын
du good
@bellynejoe1872 жыл бұрын
Hello brother I m from Burundi working Dubai ncuti nziza ndaryohewe kubona comment yawe .ndiko ndondera uwomfasha gushika USA nukuri noshima niwaba woshobora kunyishura plz ndagushimira
@Bestof257Official2 жыл бұрын
Komera cane nawe Jay C. Imana ikuzigame
@seriesreview38382 жыл бұрын
Watching from Kenya..this has always been on my bucket list..to start a truck company in US..🇰🇪keep inspiring brothers
@rebelsammyfx43652 жыл бұрын
From Kenya as well ,I opened one recently,paloways
@seriesreview38382 жыл бұрын
@@rebelsammyfx4365 keep shining 👏
@josephmatu3752 жыл бұрын
Bro am from Kenya Nairobi I'm a good truck driver how can I get job
@amosicronery77302 жыл бұрын
@@rebelsammyfx4365 congrats
@janelaflin18162 жыл бұрын
Hamna matuta?
@johnokoth75432 жыл бұрын
Tanzanians are so humble. Thanks for the knowledge.
@lovelymiii15302 жыл бұрын
Napenda iyo kazi kaka go nawezaje fika huko na kupata kazi au ata ukaniajiri
Kbs umeona? Yuko vizur sana kufika kure hatutahangaika sana shida ni kufikapo kbs
@richardscofeld91362 жыл бұрын
Nafuatilia sana interview yako kaka EBM, na nafurahi sana mafundisho yako ya nadharia na vitendo ,nimeona wuvu na umenipa nguvu nipambane ili nifikie ndoto zangu za#USATRACKDRIVER,Napia naomba nisaidie huyo nduguyangu nampataje na ninduguyangu kabisa
@munaongoeliebamongi81282 жыл бұрын
Many thx my brother mimi ni ENOCH MONGI kutokea eastern DRC at Butembo na shukuru xana maongezi yako tena yana vutia Xana brother
@petermagaka54711 ай бұрын
Kazi Nzuri sana EBM Nimevutiwa sana na haya Mahojiano. Mbarikiwee zaidi. Magaka wa Kahama on the way to kigoma,,
@isacktesha66592 жыл бұрын
Jamaa uko powa sana kaka nakukumbuka sana tuliagana hapa Arusha TZ wakati unaenda kupanda ndege KIA ,nakumbuka ulipima mizigo yako hapa kabla ya kuondoka
@judyhosea92714 ай бұрын
Mwagito unoge
@daudsilas29 күн бұрын
Je naweza kupata contact za huyo ndugu napenda kujifunza vitu fulani hivi maana na mimi ni dereva kwa sasa naendesha magari madogo tu
@bakarimusa62972 жыл бұрын
Tunakuombea uzidi kufanikiwa nduguyetu urudi na Tanzania uje uwekeze tufanye kazi inshaallah. Allah akufanyie wepes katika kaz zako na uwe mwenye kukumbuka mungu.. Ameen
@paulobat33272 жыл бұрын
From Kenya, I play American Truck simulator once in a while, enjoying your explanation of different categories of cargo one can haul as a semi driver.
@highskills58832 жыл бұрын
I like that game America truck simulator
@websterk4512 жыл бұрын
@Joe Ndungu ATS is a bit better than ETS in my opinion
@websterk4512 жыл бұрын
@Joe Ndungu i mean you're right ets makes you adapt to narrow roads and spaces
@simonwamwea1757 Жыл бұрын
Tembo Logistics Nashukuru for sharing motivation and knowledge of owner-operator
@zenj19862 жыл бұрын
Watu wa Tanzania bara hasa walioko mbali na Dar ni watu wenye moyo uliyobeba ukweli. Mungu akufanyie wepesi
@asmaafamau83072 жыл бұрын
Ameen thumma ameen
@jenniferswai483 Жыл бұрын
Kaka naipenda sana iyo kaz kaka sina mtu wa knishika mkono
@zenj1986 Жыл бұрын
@@jenniferswai483 mie nipo
@barakafifi1607 Жыл бұрын
Naipenda sana hii kazi lakink sina mtu wa kuniongoza gali najua kuendesha vizr sana sana lkn hob yangu gali kubwa kuendesha pls mtu yoyote mwenye kuweza nielekeza 🙏
@kondoramadhan7840 Жыл бұрын
Amna lolote mbari ya dar ndio nini sasa
@wanderinderituh4592 жыл бұрын
Good job EBM!!! Next time leta nwanamke pia ndio those of us who would like to venture into this job tujue what to expect na challenges women hupitia.. May God bless you guy's for the amazing work mnafanya.. I really like this guy
@annekim13462 жыл бұрын
True next lady
@nswirajosephntegwa1802 жыл бұрын
Habari ya kazi brother pole namajukumu Mimi ni drive way transit truck safari zangu tz to Congo Nipo mwaka wa 10 Sasa kwenye hii kazi samahani unatusaidiaje sisi wa DARASA la 7 na tunauwezo mkubwa Wakufanya kazi Asante Sana nimefrahi kufatiria hii hii video nimeinjoy Sana kaka
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
huko hawangalii elim ya school kwa kazi kama hizo we ujue lugha tu na ujuzi wa kazi bas Mungu akusaidie sana wakuafanyie taratibu muweze kwenda fanya kazi huko insha allah ila inchi za inje ya tanzania huwa hawatazami sana elim katka kazi kama hizo elim wanaitaka mohifesin nasio kune udrive bro Mungu akujalie mpate kazi nzur kama hizo insha allah
@collokaxar87242 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya 🇰🇪. Natamani kuishi marekani siku moja, majaliwa yake Maulana.
@nooor11202 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi kaka Collo uishi marekani kwa furaha na mafanikio
@athumanimanzabay18942 жыл бұрын
Oh thnx Broo,naitwa Athumani Manzabay ni driver wa kampuni ya Equator logistics Tanzania nmefurahi saana kwa interview yko I wish siku moja na mm nije kufanya kazi huko Marekani,kwa uwezo wa Mungu inawezekana Inshallah 🙏🙏
@mrambamasha77272 жыл бұрын
Nakbali bro. Napenda sana interview ina jenga sana big up brother. Mimi ni mkenya sija soma sana but mimi ni truck driver apa Kenyan. Mbinu za kuja marekani ngumu sana. Nina tamani sana lakini ni changoto sana. Unanitia hasira saana. Mimi elimu yangu ni darasa la nane tu. Kwahiyo ni changomoto kwangu bro. Lakini na penda sana niajiriwe marekani Asante
@AlhajiAbeid Жыл бұрын
Nimependa sana kuskia kiongozi anavyotupa mrejesho wa nini kinapatikana huko ughaibuni. Nikuombe ikikupendeza nipate mawasiliano na dereva Shabani broo. Ninamengi yakujifunza kabla sijachukua maamuzi👏
@harounamahoro34362 жыл бұрын
I'm from Rwanda, ila kwa ukweli na wapenda sana Watanzania. Nyinyi ni wazalendo thabiti.
@Kapesa-bu7yv8 ай бұрын
Karibu sana TANZANIA kaka tupo sana kote duniani tunatafuta maisha kwa ajili ya nchi yetu na vizazi vyetu baadaye
@angelanaftael79652 жыл бұрын
Shaban hongeraa mno mnooo Mungu akubariki sana kukubali kuwa wazi kwa ajili ya vijana wa Tz.imagine umekaa marekani miaka 20 lakini bado uko mtulivu sana
@stephenmwanzake2 жыл бұрын
So much educative. Hii information ni nzuri Sana, Tuzidi kujitia moyo na bidio na mola atazidi kubariki kazi ya mikono yetu. Nawatazama nikiwa Machakos Kenya 🇰🇪
@rikayangu38332 жыл бұрын
Should I say I wish I were 10 years younger? brilliant video full of info for anyone looking for a new path.
@silicontech77832 жыл бұрын
Kaka Tembo kazi nzuri kazi safi God bless u kwa hiyo information na wengi wamefaidika.
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Watanzania popote mlipo Serikali inatakiwa kuwekeza sana kwenye barabara...bila barabara za kiwango hatuwezi kutoboa...I'm inspired
@jumanjenga76822 жыл бұрын
Vizuri.nilijaribu hivyo lakini wakati Wa winter na snow ilinishinda .nikatafuta kazı ya Nursing baada kurudi college
@advinofficial65705 ай бұрын
Kaka ipo marekani
@eliccirebwoy9258 Жыл бұрын
Asante sana kuongelea makao makuu nyumbani kwetu kigoma kwao na vipaji , nawafwatilia kwaumakini 🇹🇿
@mawazoaliselemani89092 жыл бұрын
e bhana mnafurahisha sana,nawaomba niwatembelee nikitokea huku europe,nije kujifunza maisha ya unyamwezini,ila hongereni sana.
@samsondenis8905 Жыл бұрын
Kuna wengine Kaka wakipata nafasi ya kufika marekani wanasahau hata kuwasaidia ambao wanashida na kufika huko kujiendeleza kimaisha.
@edwardouma16302 жыл бұрын
Very appreciated my brother am watching from Nairobi Kenya
@mbekewambeke93052 жыл бұрын
Yes bro nashukuru sana kwa info ila nakuomba tuwasiliane mimi niko hapa Lancaster PA pia ni truck driver nakuomba tutakutane bro
@daviddeus64372 жыл бұрын
Mnafkaje uko bro
@JKQGAME2 жыл бұрын
@@daviddeus6437 hahahahaha
@edoyoseph46062 жыл бұрын
Ebu tupe namba Yako ya cm basi
@hamzamafita40252 жыл бұрын
Habari EBM unahamasisha vizuri sana maisha sio africa tu.popote angalia ameenda kusoma udaktar lakini amebadilisha na amefanikiwa.cha muhimu tujitahidi kusikiliza EBM inavyotushauri.mimi nitamgharimia mtoto wangu mpaka aende huko duniani.
@nyansmanemolos2 жыл бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@mwangimichel48242 жыл бұрын
Thanks alot for the info... Natamani sana kuwa truck driver marekani kama kuna any vacancy please help me secure the opportunity
@geerleebmuhamed83012 жыл бұрын
Big up bro mungu akulinde na Allah akupe mafanikio tuchape kazi
@user-gr7um7ex9h Жыл бұрын
Daaaa brother kwakweli huo kazi nimeipenda nisaidie na me niwezekuifanya hii kaz inshallah
@kessy99312 жыл бұрын
jilinde brother. siyo kila mtu aneangalia anafurahia mafnikio yako, wengine wanakupangia. tembea na silaha.
@binbhahan34352 жыл бұрын
Kwanza tunashukuru kwa information but mm niko Tanzania huku Zanzibar brother tunatamani tunaingiaje huko we really need that opportunity
@muhammadmwangi5236 Жыл бұрын
Jambo Prof? Watching from Saudi Arabia, natokea Kenya....truck driver too. Shukran jazeelan
@upendomamuya72382 жыл бұрын
Kwakweli nimejifunza mengi kwenye video hii. Shukran sana EBM Scholars. Kama truck ni uchumi wa Marekani, basi uchumi wa bongo ni kirikuu. 🤣🤣
@demicratia40712 жыл бұрын
Na bodaboda na mkokoteni
@ramadhanilukambuzi97602 жыл бұрын
Tozo
@danielndubi34722 жыл бұрын
These people are humble.. My country people will always discourage you
@mugenzadanie72632 жыл бұрын
Habari zenu wandugu mama nimependa hii mazungumuzo kutushauri sana sana watu kama Sisi tuko na ndoto yakukuja huko
@johnnaiman2 жыл бұрын
JAMAA ANA VIBE SANA..👏👏 MUNGU AMBARIKI SANA
@mmsfuzzsba38162 жыл бұрын
SAFI SAANA MKUU. NAOMBA ELIMU ZAIDI YA FANI NYINGINE LIKE KUBEBA MIZIGO
@ThomasChristopher-k4o Жыл бұрын
Kaka hongera sana tunawezage kupata kazi uko
@zabronpaul75992 жыл бұрын
Yaan YEMUGABHO urakoze chane... Umenifungua macho sana na kujitafakari upya maisha yangu..MUNGU azidi kukubariki ERNEST,Mungu ikuze zaidi na zaidi channel yetu pendwa
@jovinifaida54802 жыл бұрын
Uvuze ngwiki
@omarisarai7699 Жыл бұрын
Ee bwana hongereni sana bwa ÈBM na bwana shaban kwa kuelimisha mimi mwenyewe binafsi nina zaidi ya miaka 55 lkn nimeingia hamasa ya kuja kuendesha track naona ualimu nitauvua
@salumhassaen18922 жыл бұрын
Dah kweeli kaka dereva marekani anainjoi na kipato kizur mi Tanzania naenda Congo maxmam siku45 kwenda nakulud hapo kuna wakati paka siku 60 au zaid maili 4000 paka 5000 kwenda nakulud nalipwa USD 750 kwa awamu sio kwapamoja awam3 kuna wengine hata iyo awafikii
@godfreymloka86842 жыл бұрын
Ase bro vp nakubali sana kazi yako, Mimi GODFREY Niko Arusha Tanzania mi ni drereva naendesha fuso naomba basi nisaidie na Mimi niende nikaendeshe hizo Trucks bro ninauzoefu wa magari makubwa ase na kama Kuna any cost naweza nikapambana aisee bro
@awadhiomarisimba1802 жыл бұрын
Ukweli nawapa big up nyinyi watanzania kwa mapenzi yenu kuwapa mwanga was fulsa ,tunaomba namba zenu
@joelbett872 жыл бұрын
I’m kenyan and truck driver too, this’s awesome interview, but I think I’m your neighbor here in belton MO coz Naishi Grandview mimi, be safe out there bro
@misheckgathondu58152 жыл бұрын
i love truck but i
@joelbett872 жыл бұрын
@@misheckgathondu5815 but?
@misheckgathondu58152 жыл бұрын
sijii nialie wapi
@misheckgathondu58152 жыл бұрын
I don't know where to start
@brianyegs3252 жыл бұрын
@ Joel Bett show me your ways...
@josephguerino74162 жыл бұрын
Mtangazaji, don't over ride the interviewee! Unamhoji lkn unaongea zaidi yake! Muache aongee
@domnia69802 жыл бұрын
😃😃😃😄
@silvestermanase61012 жыл бұрын
Hahahaha, ni kweli kabisa,mtangazaji anaongea zaidi kuliko mtoa stori.
@Kobe_2542 жыл бұрын
ni mzuka mwingi... anaona ako kwa private jet!! hahhha
@josephguerino74162 жыл бұрын
@@Kobe_254 anaongea sana yani, hampi jamaa nafasi aongee
@user-qv9hn9sm6i Жыл бұрын
Muko kwenye ndotozangu ❤❤❤❤❤
@nooor11202 жыл бұрын
Maa shaa Allah mmungu akubariki na akulinde kila shari akupe kheri zote.
@collinmhema54432 жыл бұрын
Safi sana kufanya kazi unayoipenda mazingira na kipato kizuri
@majaliwabendera8458 Жыл бұрын
Hongera sana kaka nilikuwa naifatilia hii stori yako nikiwa Africa nilifurahi sana maana hata mimi ndoto yangu ni kuwa dereva wa magari makubwa ila kwa sasa nipo hapa Marekani naomba Msaada wako ili niwe owner operator kama weed.
@user-xn8jh1yw1h7 ай бұрын
Hongera sana Shaban. You Tube channel yako inaitwaje? Ahsante sana EBM. Pamoja sana!
@elijahmwangale.80662 жыл бұрын
Pongezi guys... .just subscribed to your new channel EBM scholar,,💝💝💖♥️love your videos alot in other channel.... From Nakuru 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya.
@kalingajohn2492 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kututangaza kabila letu ma wengine hawataki kujulikana hongera sana mnyakukae!
@raphaelherman7098 Жыл бұрын
Napenda sana kazi ya magar tatizo saport nakos mwanzo mgum sanaaa
@nsengiyumvaoseki30042 ай бұрын
Asante sana bro. Nilisikiliza video zako na nikashawishika . Sasa naendesha truck na ninaona faida sana
@flavian-augustino.pangah2 жыл бұрын
Hongereni sana mnatutoa matongotongo sisi ambao ni tiktok generation, asanteni sana
@samypalukukalisha2 жыл бұрын
Nashukuru Kya uelimishaji.Samy from DRC
@mopaomopao76662 жыл бұрын
good information wish both of you all the best ........NO 🚚 NO 🧆🍗🍔🍕🍟🥯 TRUCKING MAKES THE WORLD MOVE
@nakurusportschannel4211 Жыл бұрын
See how Tanzania are friendly they talked about business and also not forgetting about their local soccer teams back home.Wakenya hatuwezi hii.
@simbarajabu41572 жыл бұрын
Asante sana kaka shabani mungu akuongezee na ww uwahudumie watanzania wenzako
@katambihamisi4130 Жыл бұрын
Thanks guys for your information
@muhammedsaid24752 жыл бұрын
habari yako mm mtanzania nimefurahi kwa maelezo yako na Mimi napenda nije huko kwa garama yeyote my level of education is form 4 but Nina fani Kama yako garama naweza kufika huko Ila process ndio shida
@patriciakajula83282 жыл бұрын
Hongera sana bro Mungu awe na wewe. Nimefurahi sana kuona interview.
@mashabik2 жыл бұрын
Nice job. It's through hard work you are where you are. Hebu elimisha hizi serikali zetu maana ya barabara safi na thabiti kwa uchumi wa nchi zetu. Juu hapo naona waenda kwa kasi, kama 80-110 kms bila zile vikwazo tumezoea kwa barabara zetu humu.
@saidbakar-qo6ri Жыл бұрын
Hiyo ni sawa na barabara dar mbeya tu tanzania ipo mbali kwa masuala ya barabara hizo barabara za marekani hazina maajabu sana
@abdikadir45692 жыл бұрын
Roha safi ndio Allah anapenda
@fatumafatuma14592 жыл бұрын
Asalam aleykum warahamatullahi wabarakatu samahani mm nataka kuja kupika vyakula vya Tanzania nitatoboa
@kavoomshana72892 жыл бұрын
Safi sana nimeipenda hii jamn mpaka nimetaman kuja marekan
@How2AnalyzeData2 жыл бұрын
Am from 🇰🇪 and this is a great content
@benjaminfaustin42342 жыл бұрын
Napenda sana hii biashala Kaka kuna siku tutakutana uko 🙏🙏🙏🙏
@millieokoth35262 жыл бұрын
Woow I love listening to tz kiswahili, so interesting napenda
@danielmatemu96982 жыл бұрын
Kiswahili is the best
@mkopa262 жыл бұрын
Kweli mbele mbele tu yani dar to kigoma masaa kumi
@labanmutai58432 жыл бұрын
Just from neighbouring country Kenya, this is the best video I've ever watched. Actually I love traveling and exploring. I really enjoyed traveling with you guys. The video is really inspiring and mind opener.
@bethuelkiprono6139 Жыл бұрын
Ongepe wei
@davjoh16672 жыл бұрын
Ebm I have watched the other video now watching this n I must say this one was a very good one.umefanya kazi safi sana na kubwa kweli. Kenya tuko locked ndani kabisa.God continue to bless u all n bro shaban muguu akupe maisha mema.I know one day mungu atafungua njia zetu nasi tufanikiwe.my dream is to join u guys in USA and make it in life.I want to own a fleet of trucks inshallah.
@modycombo74212 жыл бұрын
Mungu akujalie ndugu
@KrucialSounds2 жыл бұрын
This is so informative EBM. Shaban keep up the good work
@wilsonsigara296911 ай бұрын
Shabani nina kukumbuka tumesoma wote mwakaleli na mdogo wako issa niambie ndugu yangu kitambo sana
@teddysanga18404 ай бұрын
wilison
@simonjoseph51382 жыл бұрын
Da ningepata mdhamini wa kuniwezesha kufanya kazi ya udereva nchi yoyote alafu tutalipana kidogo kwenye makato ya mshahara wangu nitamshukulu
@nsamacharia2 жыл бұрын
TZ oyeeh Weeh ! Perfectly accordingly kaka ✊🏿👍🏿👏🏿
@khalfanilyimo69632 жыл бұрын
Shabby naona mpira basi tena!!! Umekamata truck!! Ungepewa info za kutosha ungechezea man u kaka!!! Wakati ukuta!!! Hongera!!
@joelsagide96072 жыл бұрын
Ujambo brother, mmi nko Kenya Nairobi nimeititimu kma dereva nitamani kufanya kazi maju naeza Fanya nni.
@joelkahesi72802 жыл бұрын
Hawa jamaa safi sana. God Bless You Guys
@shannelmoira34032 жыл бұрын
,mshikaji Ana Sober mind,.discipline ,ni mkweli.. Super inspiring
@ronaldjuma70122 жыл бұрын
This is earth moving, how can I join you and become one of the truck drivers in the US. Thanks bro
@lazarovenance7252 жыл бұрын
Bro nawafuatilia sana kiukweli nimeipenda historia ya bro pia nimefurahi sana pia kusikia yeye ni mwana Simba sports club pia ni mhehe mwenzangu kabisa.
@jomba65142 жыл бұрын
Brother binafsi naipenda sana iyo kazi engine inalia kichwani 👊
@GibsonNjau-hy5wl Жыл бұрын
Ninashukuru Kwa maelezo mazuri,Mimi nipo Tanzania,dare esalam,ni dereva wa magari makubwa,naitaji kuendesha track marekani,naomba mwongozo
@GodfreyMbekenga3 ай бұрын
Kaka ongerasana nimesikiliza cripu zako aisee nimependa kwanza unavyofundisha jinsi ya kuendesha track , nitakuombea sana kwa mungu niwe Rafik yako najua tukishakuwa marafiki utanishika mkono , mimi uku Tz nidereva natamanigi sana kupanda kiwango kweny kazi yangu ya udereva
@user-ys7wj5tl3p28 күн бұрын
❤❤❤nimeipenda saana hii. Halow kaka na mm ni dereva pia na nime soma chuo Cha usafirishaji nakuomba unisaidie kaka Sina kazi na naishi dar es salaam na Mimi nimetokea iringa mhehe og.
@agnesmweya40642 жыл бұрын
Am grateful to this Simba fun. much love. am from Tz
@BenBen-mw5gf2 жыл бұрын
Kaka we, maelezo yako yaridhisha sana. Najivunia mwafrika bomba ughaibuni. Mungu akiruhusu siku moja tutaonana kule USA.
@khamishamadi8461 Жыл бұрын
Kk hongera sana mungu akufunguli maisha mema amin amin
@godsondavidbilola22142 жыл бұрын
Nimekusikiliza sana kaka ila nimependa kazi yako utanisaidiaje namimi niwezefika huko mimi mha niko kigoma
@frankkashamakula8382 жыл бұрын
Ulaya Ulaya Tuu Sijawai ona Trela Yenye io machine yakushushia Mzigo mungu akubaliki brother
@emanuelmollel3124 ай бұрын
Big up sana bro Am in Tourism industry back home am planning coming to North Carolina soon and I would like to meet you bro God bless you.