🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 5 - JULY 05

  Рет қаралды 6,492

EFM TANZANIA

EFM TANZANIA

6 күн бұрын

🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA 5 - JULY 05
-
Blogger 📻 93.7 Dsm | 93.9 Moshi | 103.7 Arusha | 94.1 Iringa | 91.3 Mwanza | 88.9
Tanga | 92.5 Dodoma | 95.5 Moro | 102.9 Kigoma | 103.3 Mbeya | 93.7 ZNZ 📻
-
Follow Us On:
INSTAGRAM:
Efmtanzania:
TWITTER:
Efmtanzania
FACEBOOK:
Efmtanzania:

Пікірлер: 40
@Loyce-Samwel-ko6ze
@Loyce-Samwel-ko6ze 4 күн бұрын
Aisee DA VERO leo umesimulia vizuri sana🥳😘 Yan ukipunguza hayo matangazo uchwala simulizi inanoga hatari👏
@user-xv5sd3yh2n
@user-xv5sd3yh2n 4 күн бұрын
Kabisa Matangazo yanakera
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
😂 uchwala
@Loyce-Samwel-ko6ze
@Loyce-Samwel-ko6ze 2 күн бұрын
😂😂 sana tuu​@@gladyrobbin
@siyangasamson7963
@siyangasamson7963 4 күн бұрын
Story sehemu ya 5 lakini ni kama bado tuko sehemu ya kwanza, punguza mbwembwe wewe dada na kurudia maneno
@user-cv7pj6hg1l
@user-cv7pj6hg1l 4 күн бұрын
Duuuh ndio anaharibikiwa hivi jmaniii.. hdi roho inaniuma 😢
@andrewseleli2331
@andrewseleli2331 4 күн бұрын
Marafiki waovu waogope sanaa lazima wakuteke tu .!!
@user-vf3qt3lb9x
@user-vf3qt3lb9x 4 күн бұрын
SAYUNI MWAVIKA nakuona uzuri kabisa nikiwa Oman muscat ❤da vero
@user-jo5ig8ww1b
@user-jo5ig8ww1b 4 күн бұрын
Leo umesimulia vizuri saaana Asante elibariki kusher story ya maisha yako na sisi
@eneafrancis9166
@eneafrancis9166 4 күн бұрын
Atamkumbuka mshikaji siku zote za maisha yake
@nusrashaban6946
@nusrashaban6946 4 күн бұрын
Atamjumbuka sana bro alikuwa anamwambia uzur yeye akaona bro anafata maisha yake ndo hayo sasa yanamkuta atakomaa ataliaa😢😢
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
Yani kama yamemkuta ya kumkuta atakuwa anamkumbuka. Maana Elibariki alikua na mtu wakumshauri ila alimpuuza. Sema haya maisha ni ya kuomba Mungu akusaidie kuvuka hivi vikwazo
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
​@@nusrashaban6946yes. Ni kuwa na Mungu kwenye maisha ya kila siku hivi vikwazo hakika utavishinda
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
Haya mambo hayafai ujue 😭😭anaenda kuaribikiwa .si bora angempa maji anywe kuliko hayo madude 😢
@tilifozakikoti5046
@tilifozakikoti5046 4 күн бұрын
Kazi yako njema sana dada vero ila punguza matangazo
@user-rs9zb1ee6k
@user-rs9zb1ee6k 4 күн бұрын
Huyu Eli ni K kichizi yani!!😡
@user-ci6xp5vd6f
@user-ci6xp5vd6f 4 күн бұрын
Yaan da vero matangazo tyu kusmulia story iwe ndefu aaaaaah 😢😂
@neemammbaga227
@neemammbaga227 4 күн бұрын
@@user-ci6xp5vd6f 😂😂matangazo ndo yanawezesha kipindi
@user-xd1zk7tq4p
@user-xd1zk7tq4p 4 күн бұрын
Duuuu madawa Mungu wangu kwenda kusoma😢
@claramboya2018
@claramboya2018 4 күн бұрын
Asiye sikia la mkuu huvunjia guuu
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
Bora angekuwa Hana mtu wa kumshauri ... Kabisa
@sarasaraz-vn1vl
@sarasaraz-vn1vl 4 күн бұрын
😢 daaah kashapewa madawa huyu
@user-lt7yx2ms7h
@user-lt7yx2ms7h 4 күн бұрын
Yaani nilikua sitaki kukoment lakini Alibariki kanifanya nikoment kwa ujinga wake aloufanya yaani umuome mtu anakulazimisha kula madawa ya kulevywa hutaki halafu unaomba juis ulitegemea nini
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
Ndio inasikitisha
@rosemofuga8101
@rosemofuga8101 4 күн бұрын
Pumbavu kweli kweli huyo naye hakutakiwa kula wala kunywa kitu chochote kile kwenye hiyo nyumba, kwasababu dalili zote aliziona lakini kwasababu, alijifanya mjuaji na asiyesikia yote aliyomwambia mwenzake
@user-nn5lv6nb6i
@user-nn5lv6nb6i 4 сағат бұрын
Yn hyo kak atakoma bdo anauliza ni dawa gan nawez tumia anaakir kwl hyu mh cjapt kuon mtu chiz kma hyu aiseee
@RayRay-dr6rf
@RayRay-dr6rf 4 күн бұрын
Dah yaan 😅 huyu kaka ashapotea maskin
@naomicharles5444
@naomicharles5444 4 күн бұрын
😂😂😂mpka na mm nimecheka😅😅😅😅sijui na mm ni mraibu
@PendoMacha-ib6oc
@PendoMacha-ib6oc 4 күн бұрын
😂
@ashurarajabu1826
@ashurarajabu1826 3 сағат бұрын
aisee nihatar
@hadija_makange
@hadija_makange 8 сағат бұрын
Daah ila cc wanawake ni zaidi ya nyoka
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
Yani huyu kaka kila dalili anaona ila sasa kwa nn apuuze
@SleepyGiraffes-hc7mv
@SleepyGiraffes-hc7mv 4 күн бұрын
Mambo ni mazito 😅😅
@dayana5513story
@dayana5513story 2 күн бұрын
Yashanikuta tumia tufuraie maisha 😅
@rosemofuga8101
@rosemofuga8101 4 күн бұрын
Yaani ananikela huyu mkaka mpaka basi anaendekeza mapenzi hadi anakela, anamwamwini huyo mwanamke, wakati mwenzake anamlisha madawa ya kulevya ,kwa kufata hatua kwa hatua
@user-xv5sd3yh2n
@user-xv5sd3yh2n 4 күн бұрын
@@rosemofuga8101 Daaa hivi Efm Kwenye Redio inapatikana Channel Gan
@gladyrobbin
@gladyrobbin 2 күн бұрын
Yani Mimi Sina hamu naye. Ila huwez jua kapitishwa huku Ili kusud aje kuelimisha watu kupitia mapito yake.
@rosemofuga8101
@rosemofuga8101 2 күн бұрын
@@gladyrobbin ni kweli kabisa nakubaliana nawewe
@PendoMacha-ib6oc
@PendoMacha-ib6oc 4 күн бұрын
😂😂🤣🤣🤣
@SleepyGiraffes-hc7mv
@SleepyGiraffes-hc7mv 4 күн бұрын
Pendo kama pendo😂😂😂
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 17 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 30 МЛН
HOUSE GIRL  EP 38 || love story💞💕
21:43
BUSATI TV
Рет қаралды 16 М.
🔴LIVE:RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA ELIBARIKI SEHEMU YA  7   -   JULY 09
56:39
Gari ya Pastor Tony Kapola. Kwanini aliamua kununua Ineos Grenadier
3:56
RIPOTI YA LEO  ORESTER VOLUME 01
27:13
SHARE & HEAL
Рет қаралды 8 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/14/ #love
30:06
BabaJoan
Рет қаралды 156 М.
🔴LIVE: SIMULIZI  YA ELIBARIKI SEHEMU YA KWANZA JULAI 1 - 2024
53:34