REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA DADA ALIYEPATA UKICHAA BAADA YA MUME WAKE KUOA MWANAMKE MWINGINE

  Рет қаралды 79,637

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Жыл бұрын

Пікірлер: 78
@lynnelee7286
@lynnelee7286 Жыл бұрын
Hii nayo ilishanikutaa... tunaishi Nchi za nje Ili kuinuka ila watu walio nyuma yetu hutuponza aiseee😌😌🇰🇪🙌
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Leo umenigusa mimi Baba😭😭😭 Binadamu weng wanatufanyia ubaya sana baada ya sisi kuwaonesha wema kwao
@aminakasim1198
@aminakasim1198 Жыл бұрын
Eeeeeh mungu yamenikutaa hayaa mimi tenaa familia haswaa namshukuru mungu sijapataa kichaa
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Masikini , pole Amina wangu tupo wengi.
@aminakasim1198
@aminakasim1198 Жыл бұрын
@@happylynguya3464 it's painful my lovely sister for really
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Жыл бұрын
Polen jaman
@monicamwandemele2648
@monicamwandemele2648 Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe baba angu kimaro tuchape baba hadi tuelewe Mungu wa Kwanza siku zote
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Katika viumbe nawaogopa apa Duniani ni wanaume woiii 🙌
@surkozytm3331
@surkozytm3331 5 ай бұрын
well said kuna kitu kikubwa sn cha kujifunza hp
@doreenkahunde3186
@doreenkahunde3186 Жыл бұрын
I blame the family members they would have told her the truth ,why did they wait until she comes back
@priscaangwenyi2206
@priscaangwenyi2206 Жыл бұрын
I also took medication for 3.5 years. Mental illness is not a joke
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 Жыл бұрын
Very sorry dear
@edgerkessydeogratius5167
@edgerkessydeogratius5167 Жыл бұрын
Mungu atuongoze sisi maan dunian hap bila Kristo ni kz bure
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭nimeumia sana jamani binadamu sisi
@dainessnungwe2621
@dainessnungwe2621 Жыл бұрын
Jamani jamani!; Nimeumia sana na hii story
@neemawillison891
@neemawillison891 Жыл бұрын
Nakuelewa Sana mchungaji mungu akubaliki
@hosianaisrael8939
@hosianaisrael8939 Жыл бұрын
Duhh imenigusaa baba barikiwa mnoo babab
@gililwise
@gililwise Жыл бұрын
Mungu atusaidie jamani maisha ya ndoa yanahitaji uvumilivu.
@veronicapaul9067
@veronicapaul9067 Жыл бұрын
Yalishawagawah kunikuta haya japo story ipo tofaut kidogo nlmtendea wema mzaz mwenzang matokeo yake ctakuja kusahau hii😭😭
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Жыл бұрын
Pole my
@glorynassary8799
@glorynassary8799 Жыл бұрын
Mungu akubariki baba, Mungu atutie nguvu jamani.
@demicratia4071
@demicratia4071 Жыл бұрын
Hii ni ukweliiiii kuna dada mmoja hivyo hivyo uingereza alifanyiwa hivyo hivyoooo kumbe hewaaaa
@veronicamokiwa4315
@veronicamokiwa4315 Жыл бұрын
Ndugu yangu kafanyiwa hivyo nae alikuwa UK aliacha mume wake huku
@jacquelinemushi2014
@jacquelinemushi2014 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@anandegodfrey9025
@anandegodfrey9025 Жыл бұрын
Mungu atupe macho y rohoni
@laurencemassawe9100
@laurencemassawe9100 Жыл бұрын
Wanaume ukiaminiwa aminika kuna dhambi zinaumiza sana watoto ndoo hazina yetu ya badae jamani tuwapende
@juliethkimati4647
@juliethkimati4647 Жыл бұрын
Mungu tusaidiane Bila wewe hatuwezi
@kenonpeter3692
@kenonpeter3692 Жыл бұрын
Nimeona mambo ya nmnahi ktk familia bazi kila aliefanya uchafu wanamna hii kwa mume wake ahu mke kumfanyia mumehivi tubu naugaragaze magoti mbele za Mungu hachakiburi garika hinakuja sharilako Amen Dr Eliona
@agnessima5032
@agnessima5032 10 ай бұрын
Hicho kiswahili hakieleweki.
@rosetemu2194
@rosetemu2194 Жыл бұрын
😭😭
@marryngaa3195
@marryngaa3195 Жыл бұрын
Mie alinifanyia dada yangu watumbo moja alikula17 milioni ya kwangu
@priscajoseph261
@priscajoseph261 Жыл бұрын
Duh
@vailetmapolu6363
@vailetmapolu6363 Жыл бұрын
Napenda sana mahubili yako
@mussajumannendanzi9451
@mussajumannendanzi9451 Жыл бұрын
😭
@queenyakinangop4096
@queenyakinangop4096 Жыл бұрын
😭😭😭🙆
@endtimes9850
@endtimes9850 Жыл бұрын
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13
@biamungunestory1935
@biamungunestory1935 Жыл бұрын
This was so unfortunate for her and her children
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
Njo hivo mchungaji. Wandugu tena hawaeleweki wamesha tuumiza sana tuna tafuta kwa jasho lakini wawo hawa oni mwishowe .unakuwa nima umivu tu
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 Жыл бұрын
story
@jenifamoshi1219
@jenifamoshi1219 Жыл бұрын
Maubiri yako yanatusaidia sana baba
@princeshafeen-official
@princeshafeen-official Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@mussajumannendanzi9451
@mussajumannendanzi9451 Жыл бұрын
Mwisho wa huyo dada ilikuwaje kumalizua stori inapendeza mtumishi
@emanuelgodlisten9477
@emanuelgodlisten9477 Жыл бұрын
Nakupenda sana
@aaaaaah290
@aaaaaah290 Жыл бұрын
DUUUUUUH
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Hawa ndio binadamu😭😭😭😭, mwaminifu ni Mungu peke yake..
@willykikwete8626
@willykikwete8626 Жыл бұрын
Mafundisho yako yamejaa funzo kuu, ubarikiwe mtumishi. Hiyo stori imeniumiza sana lakini BINADAMU ndivyo tulivyo upo wakati tunastahili msamaha. Lakini licha ya stori yako yenye kuumiza still nimeona kuna jamaa anasinzia sidhani kama amesikia chochote huyo bwana.
@johnmapunda3474
@johnmapunda3474 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂watu wanastress za maisha hawajalala home
@millieholmst6628
@millieholmst6628 Жыл бұрын
Amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
Huyu mchungaji nampenda vile anatoa mifano ya mafundisho
@joycekalago532
@joycekalago532 Жыл бұрын
Hawajawah kusoma wala hawajui kusoma na pesa nimetuma wala siangaik kujichanganya nipate kichaa namtupia Mungu na majibu atayapata tu, ndioo
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 Жыл бұрын
Mm kunamtu kala milioni moja yangu siwezi msamehe. Na Bado naendelea kupambana hajanikata mikono naamini ipo siku Mungu atamuonyesha hapahapa Duniani
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Samehe Dada yangu wapo watu wameliwa million 10 nakusihi samehe maana unajizulu ww wenyewe.
@olivajoseph1697
@olivajoseph1697 Жыл бұрын
@@rezegerezege691 siwezi Kila siku ntamsomea mabaya tu
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Dada msamehe nakuomba acha Mungu Akulipie kiasi usiseme mabaya Juu yake Bali mtakie Mema. Maana mabaya unayotamka sasa yatarudi kwako. Mpe Mungu nafasi kwenye Moyo wako Dada yangu kipenz Mungu Akulinde. Namaanisha kusema hivyo mm mwenyewe nimepoteza pesa nyingi sana million 7 na Familia yangu inanitegemea mimi na Mwanangu ni mgonjwa na Mama yangu ananitegemea mimi na ndugu zangu hawana Ajira Bali ni kazi tu za mtaani lkn nimemwaachia Mungu kila kitu yeye anitetee kwa upambavu nilioufanya wa kumuamini tu ambayo haniamini ila nashukuru Mungu yeye Atatulinda mimi na Ndugu zangu na Mama yangu pia ni mzee sana na Mtt wangu. Namwaamini Mungu atanirudishia vyote nilivyopoteza.
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Da oliva samehe kila kitu Riziki itakuijia japo itachelewa.
@faustinahugo9621
@faustinahugo9621 Жыл бұрын
Nimesikia kulia😭😭😭😭
@doreenkahunde3186
@doreenkahunde3186 Жыл бұрын
Oh dear may God punish this man,
@yunislemnge5558
@yunislemnge5558 Жыл бұрын
😂😂😂😂 watu hatuonani barabarani
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 Жыл бұрын
Too sad. Ila binafsi nitaumia ila kamwe siwezi kuwa kichaa. Mungu wangu yu hai. Yaani watoto wangu ndo watakuwa point of motivation. Dada angeumia angelia na angechukua wanae wakarudi zao USA.
@anandegodfrey9025
@anandegodfrey9025 Жыл бұрын
Roho ya uvumilivu wengi hawawezi.piaa inategemea labda Ni pressure imepelekea haya yt😭
@johnmapunda3474
@johnmapunda3474 Жыл бұрын
Mtu kufikia hatua ya kuwa kichaa sio hiari yake ni inatokea automatic( involuntary) hata wewe inaweza kukuta hiyo hali sio kitu unaamua kikubwa nikumuomba Mungu akuepushie na kukusaidia unapoingia kwenye majaribu magumu kama haya 😢
@florencebudoya3814
@florencebudoya3814 Жыл бұрын
@@johnmapunda3474 Hapana kamwe haiwezi tokea. Ninajijua na nimepitia mazito ila nilivuka na sijawa kichaa. Unakuwa kichaa kwa sababu ya maumivu unayaruhusu yakae muda mrefu. You have to fight hasa ukiweka watoto wako mbele kuwa wanakuhitaji kuliko kitu chochote kile.
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri na yamenijenga sana,,,,,, japo ulisema hutoitaja nchi ............😂
@liliantirimo7993
@liliantirimo7993 Жыл бұрын
Na hicho kibanda hasara kitakuja kuwehuka ogopa machozi ya wale watoto
@kenonpeter3692
@kenonpeter3692 Жыл бұрын
Hafahi huyo mwanaume
@liliantirimo7993
@liliantirimo7993 Жыл бұрын
Na yeye awe kichaa.
@anitasamson7850
@anitasamson7850 Жыл бұрын
Jasho la mtu haliliwi mwenye kiburi hafikagi mbali.
@allenmhando8443
@allenmhando8443 Жыл бұрын
Hizi story zingine, ni mifano, ukiangalia si kweli, si alipata Green visa kwanini ahangaike hivyo. Mzee wa mastori.
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 Жыл бұрын
Green card siyo tiba ya kichaa!
@nsiandekweka8373
@nsiandekweka8373 Жыл бұрын
Pole sana kwa akili zako finyu unadhani ukija nchi za watu unaanzia on top?! Kama una akili lazima ufanye side hustle. Unadhani ni lele mama? Green visa doesn’t guarantee you perfect life abroad.
@dorothyjoseph28
@dorothyjoseph28 Жыл бұрын
Kwani angeenda aje akiwa mwenda wazimu? Yes,ni mzee wa story lakini elewa anacho kisema kwanza kabla ujamuhukumu.
@amyesanga2004
@amyesanga2004 Жыл бұрын
Kuna siku yatakukuta ndo utaelewa Nini amefundisha
@allenmhando8443
@allenmhando8443 Жыл бұрын
@@amyesanga2004 nachosema hujaelewa, nipo na mungu na sina mambo ya udanganyifu na sifanyi kitu bila kumshirikisha mungu. Siwezi kukutwa na jambo lolote baya. Acha kumtegemea mwanadamu. Ushindwe kwa jana mungu.
@joynessmhalila811
@joynessmhalila811 Жыл бұрын
Mungu ni mwema isingeekuwa neema ya Mungu nahis na mm ningekuwa kama huyo dada, maana historia yake haipishani sana na mm, Mungu aendelee kukupa neema yake , Baba Mchungaji Mungu aendelee kukupa maisha marefu kwa kuwa unatusaidiamno na shuhuda zinatujenga mno, barikiwa sana.
@neemaloy889
@neemaloy889 Жыл бұрын
Poole dear
@jennykeya3756
@jennykeya3756 Жыл бұрын
Mungu akutie nguvu kwa mahubiri mema wanaume mungu hawaone
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 Жыл бұрын
Laana hii
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 19 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHENZI WA PROFESA KWA WANAFUNZI WA KIKE CHUO KIKUU
11:33
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 61 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 55 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 9 МЛН
🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku,31 Julai 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 1,2 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KISA CHA DAUDI CHA KUMCHUKUA BATHSHEBA MKE WA URIA
19:16
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 59 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
Inasikitisha: Kilichomkuta Ambwene Mwasongwe Unaweza Kutokwa Machozi
11:29
ZIJUE ISHARA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA NDOTO
20:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 856 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: MAMA MCH. KIMARO AKITOA USHUHUDA WA MTOTO HUYU!
8:49
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 59 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН