Mchekeshaji ambae unachekesha kila lika ya watu kwasababu uchekeshaji wako siyo wa kutukana appreciate bro
@dorahmushi-we6ts18 күн бұрын
Kweli kabisa kuna yule mrefu mwembamba, jamani mh!! Cjui kalelewa wapi!!!
@agogomgagagigigogo21 күн бұрын
😂😂😂yaan kiukweli Eliud ndo comedian bora nchini japo watu wana mahaba na Leonardo hatukatai ni mambo ya nyota kuzidiana but huyu jamaa ni zaidi ,yaan kipindi kimeisha kwa yeye na mama tu bila kuja na alichokitunga huko na watu wamecheka kuanzia mwanzo mpaka mwisho😂😂😂
@dorahmushi-we6ts18 күн бұрын
Wenye mama zao jamaniiii, Mungu azidi kuwatunzia, cku izi nimeona sana vijana wakijivunia mama zao.❤
@vitalesjoelkabonda139320 күн бұрын
A very talented stand up comedian, hata hatumiii nguvu lakini watu wanavunja mbavu
@godfrey4025520 күн бұрын
bro unajua commedy hakika tena ya kistaalab salute kubwa
@partypatriez487121 күн бұрын
Eliudi best comedy 😂😂
@AshaMwamba22 күн бұрын
Mungu Akita kukupa akuandiiki baruwaaaa
@semanajmv22 күн бұрын
Nani kama Mama. Umenikumbusha mama yangu, I owe her something
@elbaricktv1632Күн бұрын
Eliudi anapenda sana manguo ya rangi ya kiini cha yai la kuku wa kienyeji😂😂
@BabrayKharfani17 күн бұрын
Umetisha sana kwanza kuikataa.nyimbo.ya.babalao yani nobody is perfect saruti sana bro hii.from.cap town Ina.mawakubalisana
Uyu eliud Mungu anamuana mpumbavu kweli yani 😂😂😂😂😂
@Onesmoboyz22 күн бұрын
🎉🎉hii nzur sana 🎉❤
@dorahmushi-we6ts18 күн бұрын
😂Anajiheshimu, anawaheshimu wasikilizaji wake wakubwa kwa wadogo, hatumii maneno machafu..kama yule, Mungu azidi kumuinua.
@DoraZacharia15 күн бұрын
Daah mpaka nmelia sana kaka uko vzr jmn
@nicodemshello16322 күн бұрын
Umeonyesha Upendo mkubwa Kwa mama HONGERA KIJANA
@Elshadaiconsolateur22 күн бұрын
Bwana mkubwa Eliud tuko pamoja huku DrCongo
@bukurufreddy2822 күн бұрын
Mze wa story za mama hahahahaa yani wwe tutakusikiya sanaaaa Kama kilasa angaliki hayi Mungu ampe Maisha marefu Mama yako ni big Bland Anajuwa linda Bland @Yere mmi nishabiki yenu wwe na mama😂😂😂😂😂
@jacqlinemaganiko510820 күн бұрын
wow!🥰
@janethmarealle35948 күн бұрын
Hadi raha
@minaelnathanael184622 күн бұрын
Watanzani ka! Yaani hii ya kijanja hovi comments ni chache hivi haaa. GONGA LIKE NA GOTI LA MAMA hapa
@Iampanther_21 күн бұрын
Kuangalia show za eliud😂🎉it’s worth it
@getrudezawadi18422 күн бұрын
mnafanana sana
@NuruNgolle20 күн бұрын
Mungu usimusche kakaangu ndio nguzo yako.kumbuka nilikuandikia toka mko kugombaniana no
@mineflower_0117 күн бұрын
Mnacheka mama wawenzenu😂😂
@festusbokoro161522 күн бұрын
Kama hutaki kutoa Hela Siri ni Moja tu uchukue video ama ucheke Sana
@israeluronu995822 күн бұрын
Mnafanana hadi kucheka jmn😂😂😂 raha sana
@theogeorge377314 күн бұрын
K.K.K -Kyimo Kijiji Kitulivu
@fatmamrihani682820 күн бұрын
Mimi ilo busuu lakoo tuuuu😂😂
@richardsesa749418 күн бұрын
Eliud kilasiku tunamwona mama je baba yukowap
@craty_0120 күн бұрын
Daaah Rest In Peace mama
@more_hundreds_TV22 күн бұрын
Nipateee likeee namm
@gideongerald284622 күн бұрын
👍👍👍
@jaxjaxon883819 күн бұрын
Eti analia😢
@elikindomondo356921 күн бұрын
kaka eliudi una tuuwa mwaka huu dah
@JacksonRungwe22 күн бұрын
Like zangu jamani leo nimekuwa wa kwanza
@RooneyYohana22 күн бұрын
Yaan eliud hahahhaha tunakupenda
@JasinthaAlex17 күн бұрын
🔥🔥🔥
@EdwinMedson17 күн бұрын
If you have mother do samething for her
@franccoz9420 күн бұрын
Eliud😂
@TetekoOg22 күн бұрын
Eliudi we bro unajua natak ck Moja niwe kama ww
@user-pf3zc6kv5q21 күн бұрын
eliuid mbavu zangu😂😂😂
@justinmganiwa279022 күн бұрын
Naona kaona dawa ya mkopo
@Ellybeny22 күн бұрын
😅😅😅😅 ❤❤❤❤
@user-hi8le2vb7z22 күн бұрын
mi sijasikia nisiwe mnafiki
@UwimanaRabia-q3v22 күн бұрын
😂😂😂
@edsonisrael899622 күн бұрын
Nunueni camera yenye HD mnaboaa
@benshark321222 күн бұрын
Hata wakodishe tu
@mineflower_0117 күн бұрын
Nunua simu nzuri bby😂😂
@user-iz9ci4rs3d22 күн бұрын
😅😅😅😅
@irenekarume147020 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@adamsanga-g8x13 күн бұрын
Aa,
@masangalitz19 күн бұрын
WEWE MUUNI HAPO NDIO UNACHEKESHA HIVYOOO 😁😁😁😁😁😁
@noahmadali715022 күн бұрын
Sauti mbovu video quality mbovu shida nn cjui
@Kher__20 күн бұрын
Kwani nyie mnatumia simu gani?
@Kher__20 күн бұрын
Labda simu zenu
@noahmadali715020 күн бұрын
Kher uko ulimwengu gan ndg
@mineflower_0117 күн бұрын
Simu Yako bby😂😂😂
@kahenatz359422 күн бұрын
Sadaka buku unatunza comedian 100,000
@geofreyexaut586222 күн бұрын
Uwezi kutuchagulia moyo wa mtu
@geofreyexaut586222 күн бұрын
Wako wanaopeleka 100000 kanisani home watoto awana chakula
@JohnMadusa22 күн бұрын
Hahahhahahahah ukwel mtupu
@more_hundreds_TV22 күн бұрын
Ww unatoa tsh ngap
@anuaryyusuph970522 күн бұрын
hiyo sadaka haina kikomo hata mia inafaa pia komed chochote ulicho nacho sasa hivi manbii mmekua fek we mpaka airin woya ety ni pasta hizo sadaka atatoa nani na watu wanajua ni mpigaji au anaigiza ili apate pesa