Mfahamu Sheikh Kipozeo, Maisha Yake Ya Utotoni, Familia Na Elimu Yake | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT1

  Рет қаралды 113,682

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Sheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza.
Kwetu au kwangu ilikua ni kaji task ambako nilikua najua inabidi nikakamilishe, na jina lake kurejea kutajwa mara kwa mara na watazamaji wa kipindi hiki pia ilichochea dhamira hiyo kwa kiasi kikubwa. Nilikua sijawahi kukutana nae kwahiyo hii nami ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho, shabiki yake? Oh yes, mkubwa tu. Nimekua nikimskiliza na kumuangalia kila nipatapo nafasi ya kukutana na mafunzo yake, kwahiyo hamu ya kutaka kuongea nae ilikua inaongezeka kila siku zinavyozidi kwenda. Wakati ambao Mwenyezi Mungu ameupanga ndo wakati sahihi kabisa. Na naamini huu ndo ulikua muda ambao tulikua tumepangiwa haya mazungumzo kutokea na haikua huko nyuma ambako pengine tulidhani tungemtafuta na kuweza kuongea nae.
Alikua mkarimu kwangu, humchukua muda pia kuongea kama yule wa kwenye video maana kama Mwalimu nadhani huwa anaangalia spidi ambayo uko nayo na kujua anaenda na wewe vipi ili iwe imekaa mahala pake. Na naam, tuliweza kwenda vizuri, alinifanya nami niwe huru na muwazi kwa yale ambayo tulikua tumepanga na wenzangu kumuuliza.
Akiwa Baba na mume mpedwa kwa familia yake, Sheikh Kipozeo amekua akipata mialiko sehemu mbali mbali ili aweze kuwapa watu ‘dawa’. Humu zaidi sisi tulitaka kujua jina lilipo anzia na jitihada zake za kufikisha neno la Mwenyezi Mungu kwa wanaohusika. Alituambia pia kuhusu asili yake na ‘urithi’ wa dini ulipotokea. Lini hasa alijua kwamba ambacho anakifanya sasa ndo ambacho alikua anatakiwa kufanya kwenye maisha yake yote?
Yangu matumaini dawa itaingia na uta enjoy kuangalia au kuskiliza episode hii yetu ya nne.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
‪KZbin Link bit.ly/KZbinS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 255
@jasmineedamu6089
@jasmineedamu6089 Жыл бұрын
Wanaosmile wakimwona kipozeo weka like
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer Жыл бұрын
Salama wengevaa hijab
@allahisone6386
@allahisone6386 Жыл бұрын
@@TheFire_Gamer kbsaaaaaaa 💯%🤝😘
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Жыл бұрын
😊😊🥰
@higahassib6614
@higahassib6614 Жыл бұрын
Kwa heshima ungefunika kichwa kwa kanuni na maadili ya kiislam (Mashallah sheikh kipozeo baraka Allahu fik)
@binhussain3445
@binhussain3445 Жыл бұрын
Hewaaa
@echolude
@echolude Жыл бұрын
Easily the best interview to date. I am not a Muslim but Sheikh Kipozeo was able to answer and frame all questions in accordance with his faith, in the context of the prophet teachings. He is a very attentive listener and answered his questions very thoughtfully and without haste or hyperbole. So many subtle insights in his answers; insights that we all can include in our daily interactions, especially when dealing with children's and our wives. I already listened to the spotify version of this but nonetheless it was important to revisit it and see the video version. On a different note: Salama has such breadth and is so far ahead of her colleagues, especially in her fidelity to Kiswahili and all its eloquence. Big ups!
@gxygxy9143
@gxygxy9143 Жыл бұрын
I'm flabbergasted by you post, big up 💪💪!
@sylviaoum2943
@sylviaoum2943 Жыл бұрын
👏👏👏👏
@jabilingandule6621
@jabilingandule6621 Жыл бұрын
@@gxygxy9143 😂😂😂😂
@maliknyangasa9216
@maliknyangasa9216 Жыл бұрын
Very well put. I am a Muslim. Reading this put a smile on my face. 👏🏾
@RioIpo
@RioIpo Жыл бұрын
She's Zanzibaris
@anumario7footballlife936
@anumario7footballlife936 Жыл бұрын
Salaam aleyki dada salama.. Nahisi utakuwa umejisahau hizo ndo hisia zangu.. Wakati unajitambulisha mimi ni salama na hawa ni rafki zangu basi unge jitahidi kumkaribisha huyo rafki yako alovaa hijaab ingependeza sana kumhoji shekh ndani ya hilo vazi.. Naimani umesahau. god bles you
@com5766
@com5766 Жыл бұрын
Nice interview from kenya here, just put like for me guys
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰
@TheFire_Gamer
@TheFire_Gamer Жыл бұрын
Salama unazungumza na sheikh wengevaa mtandio na wengevaa na baibui Kwa ufupi wengejistiri wengependeza zaidi Kwa uislaam
@princegerard4704
@princegerard4704 Жыл бұрын
@@TheFire_Gamer kwamba shekhe Ni Mungu au ni nyumba ya ibada? 🤔
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 Жыл бұрын
@@princegerard4704 Kujihifadhi ni lazima ktk uislam
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 Жыл бұрын
@@princegerard4704 Kwetu sie Waislam ni lazima Amri tumeambiwa katika Quran
@christopherjoseph9981
@christopherjoseph9981 Жыл бұрын
Sheikh yupo well composed!safi sana sheikh
@mohdahmed5389
@mohdahmed5389 Жыл бұрын
Dada muogope Allah ,funika kichwa chako na vaa mavazi ya heshima ,hii dunia ni mapito tu
@othmanhaji1832
@othmanhaji1832 Жыл бұрын
Umemshauri vyema sana. Allah amuongoze
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Sheikh Kipozeo. Hili jina aliyempa hakukosea, Kipoozeo, unamsikiliza ni mwalimu mzuri sana. Ni mtu anayefanya ukielewe kinywa chake! Mungunamjalie afya njema aweze ifaa jamii
@Omarinina28
@Omarinina28 Жыл бұрын
Best interview for 2022. Sheikh is well composed and huchoki kumsikiliza. Big up kwa #SalamaNaTeam agizeni Fanta popote mlipo, tukikutana nitawalipa😎
@miangijunior4358
@miangijunior4358 Жыл бұрын
Masha ALLAH Jazakallahu khair sheikh wewe nimfano mwema wa kuigwa kwenye jamii Umejipamba na Qur-an na Sunnah huu ndio UISLAMU hakika hivi ndivyo hata Mtume Wetu Muhammad S.A.W Alivyokua akiishi Kwa upole na maneno Mazuli, na tabia mzuri Kwa Ujumla. Tunamuomba Mwenyezi MUNGU Akutunze Duniani na kesho Akhera Amiin
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
DADA yangu,Waislamu wote ni wapenzi wakubwa kwa Mwenye ezi Mungu na Mtume wake,na Wala hakuna aliyekamilika ila Mola mwenyewe,yetu ni kufundishana,kuekekezana na Kusameheana. Wala sio kumcheka aliyepotea,inawezekana akawa yeye mbora klk tunavyofikiri..😍
@erastomwakalukwa3946
@erastomwakalukwa3946 Жыл бұрын
Kama WAISLAMU wote wangekua Kama wewe, Basi ningeslimu 🙋🙋‍♀️
@gulionigulioni3234
@gulionigulioni3234 Жыл бұрын
@@erastomwakalukwa3946 endelea kuwa kafiri hivyo hivyo, uislam hauendi eti kwa mtu flan kafanya nini. Uislam unaendeshwa na Qoran tukufu basi.
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Жыл бұрын
Salama leo hapa umepatia sana kumleta sheikh asante mashaAllah nampenda sn huyu sheikh,i wish Sheikh nyundo ungekua hai pia naami ungewai keti hapa Allah akurehemu uko ulipo
@Zanzibar-e4h
@Zanzibar-e4h 6 ай бұрын
Kwa nn kipozeo asikatae kwasab ya hiyo hali naujuwe alivyokasalama zambi kwasab mvyele hajafujika kipozeo anajuwa inamana anamuacha salama abebe sambi na kipozeo yupp karib na kwa ushehe sio heshina
@abudimuddy517
@abudimuddy517 Жыл бұрын
Salama kwenye hii interview ulikua unatakiwa ujitande kichwa ila nafkiri ulighafilika ama ulikusudia.
@hashimshaban4675
@hashimshaban4675 Жыл бұрын
Shekhe msikivu na anajibu vizuri sana with examples,yupo deep sana
@dullapira1.511
@dullapira1.511 Жыл бұрын
Ni ushauri tu mi nafikiri siku nyengine ukifanya mahojiano na mashekhe ungevaa ule mtandio wako mweusi ingependeza zaidi
@dullahyunusu3072
@dullahyunusu3072 Жыл бұрын
Shekhe yuko very humble Yani anaongea ndani ya utulivu mkubwa mno Allah azidi kumuongoza
@SwidatyOmary
@SwidatyOmary Жыл бұрын
Amiin
@saidimwanyiro5147
@saidimwanyiro5147 Жыл бұрын
Unakaa na sheikh kichwa wazi inna ilaih wa inna ilaih raajiun mtt wa kiislam
@matanokarabu5580
@matanokarabu5580 Жыл бұрын
MAASHA ALLAH shekh kipozeo ALLAH akubariki
@salmasalim3525
@salmasalim3525 Жыл бұрын
Salama kweli ungevaa mtandio ndio ingekuwa vzr
@alsam4881
@alsam4881 Жыл бұрын
Yaani Salama anaongea na Sheikh ameshindwa kuvaa hata mtandio na kujistiri kweli? Maadili yameporomoka kweli 😏
@mwemajuma1431
@mwemajuma1431 Жыл бұрын
Jamani tujistiri munawapa kazi mashekhe wetu
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 Жыл бұрын
Ingefaa salama leo ungevaa hijab
@issrahayattv1356
@issrahayattv1356 Жыл бұрын
Kabisa wala
@josephtula5525
@josephtula5525 Жыл бұрын
Kazi gani wanawapa????
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 Жыл бұрын
Dada salama tunashukuru kwa maswali yetu mazuri ktk kumuhoji sheikh nae amejibu vzr alhamdulillah. sasa ww salama ulikua unajua kabisa kesho nitakua na Interview na sheikh unashindwa kuendana nae kuvaa hata hijaab na mtandio kweli?????? Siku nyingine usirudie salama kumbuka nawe umri umeenda mambo mengine siompaka uambiwe mama. Sema bigap kwa sheikh wetu kipenzi kipozeo naww pia Jazaakumullahu khaira 🙏
@FatumaMussa-y7y
@FatumaMussa-y7y 10 ай бұрын
Kwanini usingemlingania kabisa huyo,maana yupo tu kama dime na yeyote mwenye kujifanisha na mwanaume huo amelaaniwa.hapo hata shungi Hana! Mtihani sana
@ramadhanbaweni9735
@ramadhanbaweni9735 Жыл бұрын
MAA Shaa Allah 🙏 alhamdulilah Allah akupe furaha Salama na Shekhe Kipoozeo 🙏
@salumuseif3324
@salumuseif3324 Жыл бұрын
Ebana salama umenfurahisha sana kumleta mwamba
@jamalimweyo5749
@jamalimweyo5749 Жыл бұрын
Kwann ujajitanda ww wakat na ww muislam innalilah wahina ilahhi rajiun
@iduelabu4007
@iduelabu4007 Жыл бұрын
Kipenzi changu Allah akuhifadh sheikh wetu
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 Жыл бұрын
Binafsi acha nikupongeze salama@salma bint jabr,,, you are matured enough now!!! Good looking na utulivu wa hali ya juu,,,,,,, umekomaa hakika!!!
@salimdibundile4872
@salimdibundile4872 Жыл бұрын
Ahsante sana salama kwa hii interview na hapo bado hata sijaiangalia nimeanza na kukoment kwa sababu najua hii ya leo itakua n kaali sana
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura Жыл бұрын
Interview was amazing We learned something as Muslim...is ummu Ahmad From Northampton uk Just advice: music background Wasn't good idea to be As u invited sheikh of course We gonna hear about Allah Prophet e.t.c I think it depends Who u invite if as musician Would be no problem
@faridjr0
@faridjr0 Жыл бұрын
i agree with you 100%
@utaani1
@utaani1 Жыл бұрын
Kabisa music umeharibu interview
@mwajumafadhili3327
@mwajumafadhili3327 Жыл бұрын
Mashaallah shekh kipoozeo❤️
@samwelpeter7840
@samwelpeter7840 Жыл бұрын
Like kwangu nimekuwa wa Kwanza
@janethmwasuka6465
@janethmwasuka6465 Жыл бұрын
Nimeipenda hii interview mnooo.
@mmutajr
@mmutajr Жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Kipozeo Nakukubali kwa Nasaha zako pia Hongera Sana Salama kwa Kipindi Chako
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Interview yenye masisimko. Masha Allah
@harounramadhan9771
@harounramadhan9771 Жыл бұрын
Chechei Namie naiweka langu neno Mana hiki mie ndo kipindi changu Sasa da salama Kipindi kikianza Hua tuna kuona picha moja ume vaa bui bui wazotu kama litapendeza ukihojiana na shegh sivibaya ukavai lile vazi la buibui na mtandi niwazo tu Salam alaykum
@geraldsanzala8119
@geraldsanzala8119 Жыл бұрын
Salama ukiacha ule u mainstream na force za enzi ni bonge la interviewer was wakati huu na uliopita kiasi. Anajua saana kuuliza kutokana na nature ya interviewee na legacy yake.
@abuibra
@abuibra Жыл бұрын
Kuzidisha mke wa pili sio lazima mkeo wa kwanza kukubali au kukataa uamuzi ni wa Mwanaume ikiwa ataweza kuwahudumia sawa.kufuatana na sheria ya kiislamu.
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
ila sheikh hayo maneno ya mtume (hadithi) ni maneno mazito sana kwenye kuyazingatia na yana maana nzito sana inshallah M/Mungu atuongoze kufanya mema
@aboubakarkam6419
@aboubakarkam6419 Жыл бұрын
Literally my favorite one so far
@aboubakarkam6419
@aboubakarkam6419 Жыл бұрын
Hiyi ni nipendwa kwang kabisa kiufupi
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 Жыл бұрын
😮 allah akulipe kwa interview nzuri dada salama
@hawa6052
@hawa6052 Жыл бұрын
Mashaa Allah shekh wetu
@kilamiko8299
@kilamiko8299 Жыл бұрын
Salama the best of all time..
@matanokarabu5580
@matanokarabu5580 Жыл бұрын
Àsalam aleykum warahmatullah wabarakat MAASHA ALLAH dada salama umefanya vizuri kwa hii interview na umependeza ila ungependeza zaidi kama ungejistiri kwa mavazi pia pole kama nimekukwaza
@nemestesha7784
@nemestesha7784 Жыл бұрын
heshima kwako sheikh..!!..
@danielnella6309
@danielnella6309 Жыл бұрын
Leo salama umepatikana..Umekuwa msikilizaji...
@bekarpaul
@bekarpaul Жыл бұрын
Huyu mzee yupo vizuri sana kiukweli
@theowallcot6635
@theowallcot6635 Жыл бұрын
Top Notch....TOP TOP TOP TOP TOP Unique idea... Very Educative to all Faiths. What a surprise
@hk_ballers
@hk_ballers Жыл бұрын
Salama you do good.
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 Жыл бұрын
iyo hadithi ina mazingatio makubwa apo pia Salama umepigwa na kitu kizito na Shekh Kipozeo mana umekosea hujajifunika kichwa ata km vp ungempa heshma yake km mtu mzima na sio kutrend kwa kipindi mana interview ya Shekh Kipozeo inatrend automatically kwa vile watu wanampenda sana Allah ampe umri mrefu ameen
@rahimajuma4633
@rahimajuma4633 Жыл бұрын
Nakubali Sana kazi yake ya daawa lakin hata Salama kazi yako
@edgardevis8152
@edgardevis8152 Жыл бұрын
Aunt salama na kurespect
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 6 ай бұрын
Mngaliondoa ilo rege ingalikua vizuri
@ahmedkhator3968
@ahmedkhator3968 Жыл бұрын
Plz salama teletee Shk MAZINGE
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 Жыл бұрын
Sheikh Hilal shawej kipozeo 😁😁😁,Baraqallah
@abdulmajaliwa6376
@abdulmajaliwa6376 Жыл бұрын
Allah akujalie kila lenye kheli🙏🙏🙏
@twahasaid1172
@twahasaid1172 10 ай бұрын
fFrom Nairobi kenya ushungi huo siyo mziki
@madrassatqadriyapalma
@madrassatqadriyapalma Жыл бұрын
O melhor entrevista de final do Ano
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 Жыл бұрын
Mbona sio comments za wakristo
@idrissamustafabukenya6110
@idrissamustafabukenya6110 Жыл бұрын
Dada next time ukimualika sheikh kipozewo weka kakitamba kichwani kwa hishima ya sheikh na mwisilamu.thankx
@jumakalinga2812
@jumakalinga2812 Жыл бұрын
Mashaallah
@fatimasaid4906
@fatimasaid4906 Жыл бұрын
Mashallah 🥰
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 Ай бұрын
😂😂😂shekhe kipozeo nampenda sana
@mohamedmwaphalu6268
@mohamedmwaphalu6268 Жыл бұрын
background Music kwenye maneno mazuri ya Allah 😢😳
@twahasaid1172
@twahasaid1172 10 ай бұрын
Ww ni mtt wa ushungi hapo umetubeba noma sana umezingua sana
@abdallahmanula1627
@abdallahmanula1627 Жыл бұрын
Ebu mkumbushe mwaipopo anaonekana anajaziba Sana kama yeye anaenda peponi kesho
@sousmyuno6429
@sousmyuno6429 Жыл бұрын
Man nshallah
@hamyrhai9957
@hamyrhai9957 Жыл бұрын
Sheikh wangu 🥰
@mwanakonyaume3611
@mwanakonyaume3611 Жыл бұрын
Problem nikwambia lazima aingie kwenye hedhi nawanaume hawana uvumilivu kwa ili sasa hawezi chukua nafasi za wake wa nne
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
Umeona ee
@mwanakonyaume3611
@mwanakonyaume3611 Жыл бұрын
@@abduomar8438 eeh
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
@@mwanakonyaume3611 asant na hongera kw kulijuwa hilo
@edgardevis8152
@edgardevis8152 Жыл бұрын
Weka na part 2
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt Жыл бұрын
Ukiwa na Sheikh kama hivo ungejisti kichwa dadangu ungevaa HIJAB ww ni muislam
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Salama na juma lokole please
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤣🤣Atakua aongea hata haja ulizwa swali
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Жыл бұрын
Mhhh itakuwa balaaa atajibu kabla ajaulizwa
@RioIpo
@RioIpo Жыл бұрын
Yule choko asije
@halimakassimngare4873
@halimakassimngare4873 Жыл бұрын
salama dadangu ningekunasihi japo jichupie mtandio wa kichwa jistiri jamanii si mbaya..... mbona unajisahau ivyo.
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Жыл бұрын
Mkee haombwi ruhsa yakwenda kuowa Anapewa tu taarifaa Jamn acheni choyo wangine waolewe na kina nani😥😥😥
@tatotato506
@tatotato506 Жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@hk_ballers
@hk_ballers Жыл бұрын
Yah mke anapewa taarifa japo wazo lake unaweza kuliconsider
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Жыл бұрын
@@tatotato506 nini sasa🤣🤣🤣🤣
@lareineminah1353
@lareineminah1353 Жыл бұрын
@@hk_ballers wazo lake kivip mu wanawake 100 umoja ndo huweza kuridhiya🥱🥱🥱
@yunusramadhan2546
@yunusramadhan2546 Жыл бұрын
Inna lillah wainna ilahi rajiuun, dada jiheshimu nastara wajua lkn wajifanya hamnazo bint jaabr liesh?
@jumamwarome4733
@jumamwarome4733 Жыл бұрын
Sheikh langu kachemka Leo mume akitaka kuoa kumuelezea mke wake ni kwa ushauri tuu lakini sio ruhusa. Mke hatoi ruhusa
@twahasaid1172
@twahasaid1172 10 ай бұрын
😮😮salama unge vaa basi ushungi hapo umengor'oa yani umezingua
@oyay2821
@oyay2821 Жыл бұрын
Nice interview
@zayanaalmarjibi4254
@zayanaalmarjibi4254 Жыл бұрын
Vipi kusifia MIZIGO ya wanawake ni dhambi au sawa tu Salama mbona hujamuuliza?
@utaani1
@utaani1 Жыл бұрын
Hamna mushkeli ukiwa muwazi na mwenzako kwenye mahusiano, mimi kama siwezi kuwa na access na simu emails ya mwenzangu basi bora niwe bechula maisha
@jei_Ibrahim
@jei_Ibrahim Жыл бұрын
Ninge penda kuona salama na Mazinge
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Жыл бұрын
Salama Leo naona ana maneno ya adabu na utulivu sn.
@mjedamjeda4734
@mjedamjeda4734 Жыл бұрын
HY DADA HAWEZI KAA HV MBELE YA MFUTI WA TANZANIA PIA NI MOJA UKITAKA KUFAHAMU ILIYO NAYO HAINA ATHARI KWA JAMINII SALAMA ANAMCHUKULIA KIPOZEO NI MTU KAWAIDA NDO MAANA WALA HAKUWA NA HAJA YA KUJISTIRI
@editorfrank7471
@editorfrank7471 Жыл бұрын
yan anavyoongea kama nautamani uislam jaman😒
@mpyahassan7457
@mpyahassan7457 Жыл бұрын
Karibu ndugu yangu
@raheemdaru
@raheemdaru Жыл бұрын
Allah Akuongoze Uzidi Kuiona Kheri
@RioIpo
@RioIpo Жыл бұрын
Karibu katika Imani
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 Жыл бұрын
Karibu sana Allah akuongoze
@mwingaibrahim8101
@mwingaibrahim8101 Жыл бұрын
Karibu katika Dini njema
@kilindimomsati1489
@kilindimomsati1489 Жыл бұрын
fundi kabisa
@jj-iv1wm
@jj-iv1wm 6 ай бұрын
Inakuaj dada mhuni kumuohoji shkh na vaazi hilo vitu wakati mwingine heshima iwepo muache upuuzi
@hamzaforogo
@hamzaforogo Жыл бұрын
Mzee wa mizigo maashallah
@swaumdodoma7591
@swaumdodoma7591 Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@phreemanb
@phreemanb Жыл бұрын
mzigoo dawaa,mambo ya kutanabai 🤣🤣
@prettypretty9745
@prettypretty9745 Жыл бұрын
@@phreemanb 🤣🤣🤣🤣
@munirashughuli618
@munirashughuli618 Жыл бұрын
Bado Sheikh Mazinge daa Salama
@Desireyakubu
@Desireyakubu Жыл бұрын
Ni bora ma sheikh nawo wakiombwa interview watowe masharti yao kabla ya kwenda ikiwemo kuwaambiya wajistiri
@profwangwande5978
@profwangwande5978 Жыл бұрын
Salama hujatembea nimikoa minne tu ndio yenye waganga waisilim hiyo mingine wakilsto ndio waganga tena wachawi tena kwakutoa makafala usiseme tena maiafala ya binaadam wenzao haswa watu wadamu waislam watatoa kafala zakuku mbuzi kondoo nazi hebu chunguza vizuri
@makenaOG
@makenaOG Жыл бұрын
Ila salama ungependeza zaidi kama ungevaa hijab
@ibel4lf
@ibel4lf Жыл бұрын
Kosa la adamu ni kutokutiii sio kuzini jamani hakuna ukristi unaoamini Adam alizini
@princegerard4704
@princegerard4704 Жыл бұрын
Kabisa Hawa alikuwa ni mke halali wa Adam sasa angezinije 😂😂 Walikosa Wote utii na Usikivu
@najmaalabri8835
@najmaalabri8835 Жыл бұрын
Mashallah Mashallah shekh wetu Allah akupe Afya na salama nakupenda sana nakufatilia sana
@kichwaMasta-ys6wt
@kichwaMasta-ys6wt 18 күн бұрын
Sheikh wa kwel hufanyi mahojiano na mtu aliye kichwa wazi
@saidfabiano9588
@saidfabiano9588 Жыл бұрын
Wakwanza leo nilikua naisubiri snaaa hii ya Sheikh kipozeo🤣
@jumawangai3873
@jumawangai3873 Жыл бұрын
😊
@alsam4881
@alsam4881 Жыл бұрын
Hivi Salama ameshindwa kuvaa mtandio na kujistiri wakati anamu interview Sheikh kweli? Yaani haoni aibu yupo kichwa wazi na umri umeshaenda? Innalilahi waina ilahi rajiun.
@yassirsalmin5333
@yassirsalmin5333 Жыл бұрын
@binhussain3445
@binhussain3445 Жыл бұрын
Shekh hauna mipaka yaani unahojiwa na Mwanamke kichwa wazii??
@tatotato506
@tatotato506 Жыл бұрын
Kwan salama na shekh wamitoka Nyumba 1 wamikutanatu apo
@josephtula5525
@josephtula5525 Жыл бұрын
Vazi la kiarabu halina uhusiano na maisha ya tanzania, tanzania hatuna vazi la kufunika kichwa tumeiga kutoka kwa waarabu.
@ofmae-thebrainstech3501
@ofmae-thebrainstech3501 Жыл бұрын
I use to watch all the adds, Thats my type of tip. 🤣🤣🤣
@RioIpo
@RioIpo Жыл бұрын
Same here
@hassanmussa3664
@hassanmussa3664 Жыл бұрын
Hapo da salama ungepigia japo kihijabu kdg ingependeza sn I think
@halidijuma1884
@halidijuma1884 Жыл бұрын
Bonge la Sheikh,,tunakupenda Sheikh
@samxx411
@samxx411 Жыл бұрын
Hizi ndio elimu za kiislam unasikia raha kuzisikiliza na kuzifuata
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Жыл бұрын
Kiu hakiridhiwi kwa hayo mwenzangu,kiu ni kujiridhisha kwa aina,maana Mwanamke anaridhika zaidi klk Mwanamme..ndio kuwa Mola akawapa nafasi ya Kuoa
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Жыл бұрын
Unaweza Fetty?
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Жыл бұрын
Kuchwa kutwa ukisema ndoa ya mke mmoja ni ndoa ya kikristo leo unaiunga mkono?
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Жыл бұрын
Nyie wanaume hamna subra mafatani tu hamna illa kupenda kuoa na kucheat.
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 12 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 90 МЛН
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 28 МЛН
Huyu ndio Mwanamke aliyemmudu sana Mwalimu Nyerere
43:37
Kalamutz
Рет қаралды 18 М.
IBILISI NI MSHENZI TU //SHEIKH KIPOZEO
19:11
arkas online tv
Рет қаралды 89 М.
USIYOYAJUA KUHUSU KARIAKOO || KARIAKOO HISTORY!!
33:03
Kariakoo Radio
Рет қаралды 7 М.
Salama Na MR BLUE SE6 EP69 KHERI PART 1 SendTip MPESA LIPA NO 5578460
25:09
MFAHAMU MSANII WA PEMBA MWINYI MPEKU NA SAFARI YAKE YA CHINA
44:38
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 15 М.
Usiku una Vitimbi vingi, lakini Kiboko yake ni Aya hizi! Sh. Kipozeo
26:36
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19