Siri 4 Za Kujenga Nidhamu Ya Kutoa Pesa.

  Рет қаралды 84,925

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 184
@kdmongi
@kdmongi 10 ай бұрын
Kuweka bajeti maalumu kwa ajili ya kusaidia ndugu na marafiki ni nidhamu nzuri sana changamoto ikiwa umefikia ukomo wa bajeti ako ya kusaidia na ikatokea dharura ugonjwa au ajali sio rahis sana kuacha kusaidia so nashauri mbali na kuwa na bajeti maalum ni muhimu kuwa na emergency fund ya kwako personally inayojitegemea..Asanteh sana kwa somo zuri,Mungu azidi kukutunza ili tuendelee kufaidika na elimu unayotupa🙏
@abelntobi382
@abelntobi382 4 жыл бұрын
Na utoaji wa pesa NI kitu ambacho kinawashinda wengi hasa kumunyima mtu unaemupenda Kama mke au wazazi inahitajika moyo mugumu Sana thanks bro
@annamtewele5453
@annamtewele5453 2 ай бұрын
Mafunzo mazuri
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 4 жыл бұрын
Asante ili somo ni kwa ajiri yangu.
@franksamson4693
@franksamson4693 4 жыл бұрын
Hapo ni zote tu maana duuh Asante Kaka Joel nanauka
@nicholaussemfukwe6283
@nicholaussemfukwe6283 2 жыл бұрын
Mungu aendeleh kuku maisha malefu daima Ili vijan tuendeleh kuelimika Zaid kifikra au katika mambo mengi yanaytuzunguka katika jamii tunayo ishi
@abdulrazackkipingu5437
@abdulrazackkipingu5437 4 жыл бұрын
Hiyo no.3 nimeipenda na nitaifanyia kazi kwakua nimekua siendani na kanuni hiyo shukrani Sana
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri Waefeso 3:20
@citymaxbookshoptanzania2924
@citymaxbookshoptanzania2924 4 жыл бұрын
Asante sana Joel wewe ni zawadi kwetu toka kwa Mungu.
@noeldismas7340
@noeldismas7340 3 жыл бұрын
Thanks Joel I got something, be blessed & continue changing people's lives
@FURAHAbest
@FURAHAbest Жыл бұрын
Kabisa
@jackychebet7593
@jackychebet7593 4 жыл бұрын
Asante Sana kaka joel ubarikiwe kwa ushauri wako mzuri.nimejifunza mengi kutoka kwako Asante Sana.
@jenipherrio7941
@jenipherrio7941 3 жыл бұрын
Kaka ahsante. Mungu akubariki Mimi napata hela Sanaa Ila Sina nidhamu ya pesa nimejifunza pia naomba uzidi kunishauri ahsante naitwa jenifa riwa
@mensonayoub7820
@mensonayoub7820 Жыл бұрын
Nimejifunza somo zuri sana...asante sana mtaalam
@deviijackii1293
@deviijackii1293 3 жыл бұрын
Mm nahic wew Joel unayajua maisha yangu
@HoseaNambari
@HoseaNambari 10 ай бұрын
Asante sana kaka nimekuelewa sana mungu akubariki
@roselynerwiza9383
@roselynerwiza9383 2 жыл бұрын
Asante sana kaka Mungu akubariki sana
@Justinmax-p7n
@Justinmax-p7n 10 ай бұрын
Kaka mngu tu akuoe maisha malefu najifunza sana kupitia wew one love
@sheddykayanda4369
@sheddykayanda4369 4 жыл бұрын
Aisee niko vizuri zaidi ktk hili
@jordanmakere126
@jordanmakere126 4 жыл бұрын
Broo nanaukaa me nahisii zotee n muhimu mnooo nmefungukaaa Zaid your blessed
@cleophacematogo8239
@cleophacematogo8239 4 жыл бұрын
Ahsante umenipa Tiba
@hamiduhamisi2457
@hamiduhamisi2457 2 жыл бұрын
Sawa kaka Joel Mungu akuzidishie umri mref
@AlexJefwa
@AlexJefwa 2 ай бұрын
Barikiwa sana coach Joel 🙏
@samiraomari1222
@samiraomari1222 3 жыл бұрын
Asante masomo yako yananisaidia sana kaka
@aminatundondege9384
@aminatundondege9384 4 жыл бұрын
"Respond promptly",Kaka Joel imenikuta,mpaka ikawa kama deni,siyo siri nilikereka.Asante kwa somo hili,nimejifunza.
@ummuhsalamah7128
@ummuhsalamah7128 4 жыл бұрын
Nimejifunza Jambo kiongozi mungu akubariki
@MichaelJordan-t3v
@MichaelJordan-t3v 9 ай бұрын
God bless you
@williamandrea7940
@williamandrea7940 4 жыл бұрын
Kaka Joel Nakushukuru sana hizo tabia zote mimi ninazo ninakama aina fulani ya huruma kwa watu hebu nishauri nifanyeje kaka Mungu akubari sana kaka
@allyshabani7791
@allyshabani7791 4 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana brother kwa elimu niliyoipata kwenye mafunzo yako
@severinebagenyi4745
@severinebagenyi4745 4 жыл бұрын
Hiyo namba nne ipo vizuri sana maana Kama watu hawajui details zako za hela siyo rahisi kukusumbua mara kwa mara hasa pale unapopata pesa nyingi
@nassormakwaya5970
@nassormakwaya5970 4 жыл бұрын
uko vzr sana Kamanda Joel ngoja tuendelee kukufuatilia
@johnsaidy803
@johnsaidy803 2 жыл бұрын
Mungu awe nawe mi lele daima
@carrencatherine2018
@carrencatherine2018 4 жыл бұрын
Asante bro Joel Nanauka
@richardmartin6429
@richardmartin6429 2 жыл бұрын
Mimi naona Siri zote nne ni Muhimu, ila namba Moja nimeipenda zaidi. Mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo ni yale yanayofanyika bila mipango maalum, naamini kuwa na Budget maalum kutanisaidia kuepuka Matumizi yasiyo ya lazima. Ahsante
@eugenlukuze3187
@eugenlukuze3187 Жыл бұрын
Real mr nanauka you spoken fact
@sarahkaray1891
@sarahkaray1891 3 жыл бұрын
Thanks Namba 1 imenigusa sana
@frankplatinam
@frankplatinam Жыл бұрын
Mungu akubariki kwa elimu unayo tuelewesha broo
@happinesjovinary7867
@happinesjovinary7867 4 жыл бұрын
Aisee Mr binafsi nakukubari saana. Hiyo kumwambia mtu kiwango chako imetufelisha Wengi sànà
@harmonizefans3783
@harmonizefans3783 4 жыл бұрын
Much respect bro @nanauka
@amanibayo1915
@amanibayo1915 2 жыл бұрын
Huwa namuelewa sana brother
@josephboniface7506
@josephboniface7506 4 жыл бұрын
Thanks Broh# umenifungua Sana hasa Hiyo ya 4
@burudikotv1953
@burudikotv1953 Жыл бұрын
Namba nne kiboko kwa bongo yetu❤
@stevengoodluck4581
@stevengoodluck4581 4 жыл бұрын
Nmekuelewa sana nitham ya pessa
@eliachilonwa5056
@eliachilonwa5056 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Kaka Joel
@aash4145
@aash4145 2 жыл бұрын
Aksante kaka kwa ushaur❤️❤️🌹👍
@mbarakasalumu7122
@mbarakasalumu7122 8 ай бұрын
Ahsante nimejifunza kitu bro
@owenmlagala8717
@owenmlagala8717 2 жыл бұрын
Nimeipenda Point sana
@annamwananjela5594
@annamwananjela5594 4 жыл бұрын
Umenifungua akiri yng mungu akubariki naimana sasa nimejitabua
@mahirfauz1993
@mahirfauz1993 Ай бұрын
Asante sana kaka
@martinnsuhuje7821
@martinnsuhuje7821 4 жыл бұрын
Asante sana.Be blessed
@geophreygwarasa6789
@geophreygwarasa6789 3 жыл бұрын
Asante nimepata kitu kizuri
@inyasiinvestment18
@inyasiinvestment18 4 жыл бұрын
Umenijenga kwenye maisha mapya sana broo mungu akubariki sana
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 Жыл бұрын
Wao so nice
@sephaniachaula1030
@sephaniachaula1030 Жыл бұрын
Tabia hiyo nanayo sana huwa nashindwa kujizuia nashukulu kwa mafunzo yako
@tatuali1379
@tatuali1379 4 жыл бұрын
4 umenifaa 🤝
@saimonmaluli3251
@saimonmaluli3251 4 жыл бұрын
Be blessed brother
@noelbudeba3173
@noelbudeba3173 4 жыл бұрын
Somo zuri ila naona wengi wetu huomba kuliko wanaoombwa hvo ningependa utuandalie somo litakalotufundisha njia nzuri ya kuomba au tuachane na kupungua idadi ya waombaji
@yusuphmashaka659
@yusuphmashaka659 2 жыл бұрын
Dah kweli kabisa kaka hapo kwenye kumwambia mutu ukweli nipagum
@YohanaMpambi
@YohanaMpambi 10 ай бұрын
Asante sana kaka
@mmbarikiwa6987
@mmbarikiwa6987 2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@hamisinyakitina9313
@hamisinyakitina9313 2 жыл бұрын
Be blessed
@alexandermluge7886
@alexandermluge7886 4 жыл бұрын
Kaka hii point ya mwisho imebeba nyama zote👍
@ndolaismail45
@ndolaismail45 3 жыл бұрын
Shukrani sana kaka ang! Imenigusa sana🤝
@edson2450
@edson2450 4 жыл бұрын
Asante sana kaka, umenisaidia sana sana sana kwenye Maisha yangu na elimu unayotupatia. May God bless you!
@deokarithomas1243
@deokarithomas1243 4 жыл бұрын
Thank you kaka joel umenifungua,, keep it up.
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Tunakuchukuru sana
@JacklineShao-g1w
@JacklineShao-g1w Жыл бұрын
Napenda mafundisho yako
@danielshekiyao706
@danielshekiyao706 2 жыл бұрын
Wewe ndio menta wangu na naamini nikikufuatilia sana nitafikia uhuru wa kifedha no 4 nimeipenda
@visiongirl
@visiongirl Жыл бұрын
Hii clip imenisaidia sana sana kudevelop nlkuwa napata shida kumwambia mtu ukweli kwamba sitaweza kumpa kiwango anachohitaji Saivi nimeweza imenifanya niwe na furaha na akiba nzuri
@omarimadiva5352
@omarimadiva5352 4 жыл бұрын
Ni darasa zuri kaka Joel,ubarikiwe sana
@frankmaginga3459
@frankmaginga3459 3 жыл бұрын
shukran, u provide gud explaination
@abraham1528
@abraham1528 4 жыл бұрын
Safi sana nimeridhika.
@paulkomba9972
@paulkomba9972 4 жыл бұрын
Asante..kwa somo
@emmanuelmkopekwa1751
@emmanuelmkopekwa1751 4 жыл бұрын
Dah bro asante kwa somo zurii kwakwelii hiyoo ya 3[respond promptly ]ilikuwa ikinisumbua sanaa I think from now ntakuwa naujasiri wa kutoa jibu kwa mda huo huo ndan ya 24hrs
@noarkalelo6963
@noarkalelo6963 4 жыл бұрын
Asante kwa ushauri mzr kaka
@kamaratsalimsafari8838
@kamaratsalimsafari8838 3 жыл бұрын
Point 👌
@kamaratsalimsafari8838
@kamaratsalimsafari8838 2 жыл бұрын
Iyo ya discussing financial details 👍Yes
@shemsiahemed3204
@shemsiahemed3204 4 жыл бұрын
Asante sana namba moja taizingatia kuanzia ss
@habibismael4937
@habibismael4937 4 жыл бұрын
Kwangu ni kutokusema details ya pesa zangu from Burundi my mentor
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 4 жыл бұрын
nimeipendaa hii
@edgerchristopher4691
@edgerchristopher4691 4 жыл бұрын
Waoh, thank you.
@josephisinta6606
@josephisinta6606 3 жыл бұрын
Yes it's good
@mbwanadaraja8230
@mbwanadaraja8230 4 жыл бұрын
Asante kaka
@jeniferkalemela99
@jeniferkalemela99 4 жыл бұрын
Nimependa hili fundisho Sana joel. Ila nakuomba Kama hutajali uruhusu hizi video zako kuwa shared. Mfano nilitaka kumtumia mtu wangu wa karibu anayependa kugawa hela ovyo ovyo imekataa.
@FURAHAbest
@FURAHAbest Жыл бұрын
Mm naona ya kumwambia mtu kwamba Huna au unayo ila hauitaji kumpa hiyo iko good sana
@damianmakala2913
@damianmakala2913 4 жыл бұрын
Kwangu mimi be clear , kuwa muwazi ni silaha muhimu Sana ! Na kwa kuwa huwezi kujitenga na jamii yako ama ndugu pia kutenga bajeti ni muhimu !
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 4 жыл бұрын
Tabia no 1 inafaa zaid Inapokuwa na zilizobaki pia ni muhim
@michaelemmanuel117
@michaelemmanuel117 4 жыл бұрын
Ok sawa
@kelvinshambwas
@kelvinshambwas 4 жыл бұрын
Kaka umenifungua sana
@judithjulius5993
@judithjulius5993 2 жыл бұрын
Nashindwaga kuwa na bajeti katika kumtolea mungu
@michaelkyaruzi5175
@michaelkyaruzi5175 2 жыл бұрын
Yote uliyoyaongea yananigusa nashukuru elimu nzuri!
@mariamayoob8734
@mariamayoob8734 4 жыл бұрын
Asante
@BarakaNgwila
@BarakaNgwila 5 күн бұрын
nice
@MichaelErnest-do5yc
@MichaelErnest-do5yc 4 ай бұрын
Hii inanihusu mimi kabisa kaka
@saidagalu2914
@saidagalu2914 2 жыл бұрын
Ahsante sana umenifanya niwe respond promptly itanifikisha mbali God bless you 😘
@zabronsuleiman664
@zabronsuleiman664 4 жыл бұрын
asant bro!
@halifaiddy8497
@halifaiddy8497 4 жыл бұрын
Thanks
@mussamigeke9843
@mussamigeke9843 4 жыл бұрын
Thnx , jambo nililojifunza kwanza nikuwa Na bajeti ya kusaidia jamaa ndg Na nk Pili kuwa muwazi kujibu in 24 hrs pia Na syo kuahidi ukijua uwezekano haupo
@inyasiinvestment18
@inyasiinvestment18 4 жыл бұрын
Tabia ya kuahidi kuchangia michango ya harusi ni kweli inasumbua sanaa
@ayubuhamad9451
@ayubuhamad9451 Ай бұрын
Hizi 3 za mwanzo zinanigusa moja kwa moja,natamani kuziacha
@194summer
@194summer 2 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe, Habari mtumishi wa Mungu Naomba namba zako nina jambo la muhumu la kukueleza
@cleopatraadolf6492
@cleopatraadolf6492 4 жыл бұрын
Joel nakuelewa saana
@ramadhansawa9901
@ramadhansawa9901 4 жыл бұрын
Somo nimelielewa sana,shukrani mkuu
Tabia 4 Zinazoleta Fursa Kubwa
6:36
Joel Nanauka
Рет қаралды 91 М.
FANYA HAYA KUTIMIZA MALENGO YAKO 2025 || JOEL NANAUKA
23:04
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 80 М.
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
Sigma Kid Mistake #funny #sigma
00:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
Mambo ambayo hutakiwi kabisa kumwambia Boss wako
9:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 69 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 176 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 197 М.
Unataka Kufanikiwa? Hizi Ndizo Sifa za Watu Wenye Mafanikio Makubwa.
6:24
Jinsi ya kutoka kwenye madeni sugu.
1:03:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 112 М.
MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE
11:26
G Online
Рет қаралды 89 М.
SABABU YA BIASHARA KUFA SEHEMU YA 1: JOEL NANAUKA
11:35
Joel Nanauka
Рет қаралды 13 М.
NJIA TANO ZA KUJILAZIMISHA KUWEKA AKIBA | Victor Mwambene.
11:58
Victor Mwambene
Рет қаралды 113 М.
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН