Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael
@salhaoman50023 жыл бұрын
Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@SwaibaZamgina-qs1sc10 ай бұрын
Naomba unicheki
@SwaibaZamgina-qs1sc10 ай бұрын
Kuna kitu umeongea kimenigusa
@stamiliantony68159 ай бұрын
A111
@febroniabernado90439 ай бұрын
Hongera Sana!!!
@estamichoromichoro56348 ай бұрын
Hii comment imenitoa machozi , maana nimekumbuka mbali sana
@highzacknnko40023 жыл бұрын
"Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku
@petermunuo1657Ай бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@anastaziagerad16463 жыл бұрын
Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana
@denissanga4543 жыл бұрын
ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.
@franknachimbinya76883 жыл бұрын
Ingawa tunapita katika magumu, lakini mungu ametupa mlango Wa kutokea means NANAUKA
@official_rayob.8351 Жыл бұрын
nimeiskiliza kwa hisia sana hii
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele
@merryjohn95202 жыл бұрын
Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏
@deboramuhoja1777 Жыл бұрын
Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏
@fettymdoe21003 жыл бұрын
hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel
@joelnanauka3 жыл бұрын
Amen,Songa mbele
@VictorKamwera3 ай бұрын
Amina
@abdulrahmanis-hakka33473 жыл бұрын
Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.
@MtazameKristoTv2 ай бұрын
Nakataa kuwa mtu wa chini ❤
@myahudichrisostom Жыл бұрын
Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏, You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪
Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.
@franksamson17182 жыл бұрын
Stand room
@AishaOman-qz7tn11 ай бұрын
Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏
@polomondeniss55113 жыл бұрын
Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu
@fiyzolee85033 жыл бұрын
Kaka joel
@manmaster5362 жыл бұрын
Sawaaaaaa pastor
@davidkengambi4913 жыл бұрын
Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru Sana🙏
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.
@DoctorEvarist9 ай бұрын
Asante San kwa elimu yako father 🙏
@uwimananadia60663 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen,Utukufu kwa Mungu
@wazirikosianga4120 Жыл бұрын
Nanauka uko bize Sana kuihidumua jamii mungu akubariki
@DiazPilipili3 ай бұрын
Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi
@lauradeogratias3055 Жыл бұрын
I am glad for you man of God
@dainesimkombo92183 жыл бұрын
Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@andrewkszinza70473 жыл бұрын
Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD
@neemakweli4612 жыл бұрын
Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
@mathiasjohn99792 жыл бұрын
Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana
@neemaprisca71263 жыл бұрын
Asante sana presenter,unanitia moyo sana,hakika aonavyo MTU nafsini mwake ndivyo alivyo
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.
@aminaothman21368 ай бұрын
Shukran najikuta mie kabisa
@eliezermtokoma41343 жыл бұрын
MUNGU akutunze saana
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen
@daudidaniel2302 жыл бұрын
Ahsante sana kwa fundisho hili. Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona. Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.
@nurdininanjota4056 Жыл бұрын
Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.
@festoelias78843 жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe na Mungu
@RoseMandai3 ай бұрын
Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza
@deogratiasmakali50992 жыл бұрын
Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante
@lilymatoli71173 жыл бұрын
Joel your among best motive speakers I have seen
@fredimwa53212 жыл бұрын
Help me your nomber plz..
@irenekweka7905 Жыл бұрын
So blessed today to here ths..I needed ths
@hellyfridy8 ай бұрын
Be blessed. Amen🙏🙏
@ireneinnocent4128 Жыл бұрын
Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele
@fathiyahmuzney7367 Жыл бұрын
Na ww umefatilia hiki kipind leo km mm hakika tutafanikiwa
@allyshabani77913 жыл бұрын
Asante sana brother
@denismtui78333 жыл бұрын
Blessed Nanauka 🙏
@jkyamba32003 жыл бұрын
Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU
@ednaednamillanzinia2826 Жыл бұрын
Inspiration, aleluyah
@charlesoputi7101 Жыл бұрын
Still learning be blessed brother @kenya
@johansenjackson9603 жыл бұрын
Amen ubalikiwe sana
@emmanuelziro420511 ай бұрын
Blessed are the wise speakers,I love you brother,let my goal accomplished through your motivational speaking to me
@rozimwasi61373 жыл бұрын
Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu
@luluproches51073 жыл бұрын
Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia KZbin tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏
@michaeltimoth3662 жыл бұрын
Word....nabadilisha nnavyojiona
@work24onme7 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼
@thelesiapaulo77903 жыл бұрын
Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo
@winifridaleo44433 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana
@sangasadick33503 жыл бұрын
nmejifunza kumtanguliza #Mungu na kubadili nnavojiona
@breshnyanjwa31023 жыл бұрын
Oooh God I'm denying all the delays in my life I'm nt a failure
@richardmisogalya94993 жыл бұрын
Barikiwa uwe na maisha marefu
@zainabozainaty61883 жыл бұрын
Ukweli kabisa asanteni endelea kutupa elimu ili tufikie malengo yetu mungu akubariki sana🙏🙏🙏
@tinawangwe23323 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen,🙏
@WaridawaridaWarida3 жыл бұрын
Amen
@mwajumayunus20413 жыл бұрын
You make my day kaka Joel yaaaaaan umenipa ukomavu wa akili leo pamoja na ubongo wangu MUNGU azidi kukuweka kaka yangu ✍️✍️✍️✍️✍️✍️ kuanzia Leo kitu naenda kujinenea aiseeeee nitakataa roho ya uoga
@elijahanthony76672 жыл бұрын
Wow the God of mercy is working
@user-pi1st6pj3w19 күн бұрын
Thanks Mr Joel
@hawamusumba4312 жыл бұрын
Am the Head nt atail in Jesus name na jitangazia ngambo ya pili
@getrudeelibariki10023 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel...MUNGU akubariki🙌
@anishiemgala82032 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏
@lucymathias9045 Жыл бұрын
Powerful speech🙏joelnanauka
@joelparmwat60295 ай бұрын
Amen god bless you 🙏🙏
@rizikisengo92973 жыл бұрын
Asante sana kaka mungu akubariki kwa elimu hii.
@chotark1881 Жыл бұрын
huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana
@paschalinasulle62333 жыл бұрын
Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world
@priscajoseph261 Жыл бұрын
Nitafaulu,sitaaibika,mi ni mshindi na mwenye nguvu
@deboraclass9282 Жыл бұрын
Shukrani sana kaka Joel Nanauka! Umeniinua hatua nyingine.
@amakamraqterry59202 жыл бұрын
Amen mtumishi thanks
@johariphilemon86303 жыл бұрын
j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako
@barikikimaro91653 жыл бұрын
Kaka joel kwakweli MUNGU akubariki sana kwa mafundisho mazuri unayotupa
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen Bariki
@imanndambo29183 жыл бұрын
Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki
@hiland255fundi53 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka yetu,uko na akili za rohoni kuliko kawaida
@user-sn2in5oi9c11 ай бұрын
Asante postor
@margrethmalangalila30693 жыл бұрын
Thanks kaka Mungu akubariki
@bobog97323 жыл бұрын
💋❤👏👏 Mungu akupe maisha marefu
@evahealthservice73903 жыл бұрын
Asante, asante sana Nanauka Mungu akuinue zaidi. Mimi ni mwenye mafanikio makubwa sana.
@lucyjuma84782 жыл бұрын
Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Ubarikiwe xana Mkuu
@zabibusephania24153 жыл бұрын
Asant sana Kaka mungu akubariki umenivusha Mahalia.