EPUKA KUFANYA MAKOSA HAYA YA KIFEDHA

  Рет қаралды 23,930

Success Path Network

Success Path Network

Күн бұрын

Pesa au fedha ni kituambacho kwa bahati mbaya sana hakifundishwi katika mfumo wetu wa elimu kitu kinachopelekea wengi sana kutumbukia katika makosa makubwa ya kifedha pindi wanapozikamata na matokeo kuwa mabaya hata kupoteza fedha zote walizonazo.
Makosa ya kifedha yanaweza kufanywa na yoyote kati yetu ikiwa hata kuwa makini na mambo kadhaa au kama hakupata nafasi ya kujielimisha kifedha basi inaweza kuwa tatizo. Sasa leo hii katika falsafa ya biashara ndugu Nurdin Mohammed, mtaalau wetu wa masuala ya biashara na mauzo anatuletea somo zuri lenye kuchambua baadhi ya makosa makubwa ya kifedha yanayofanywa na wengi huenda bila kujua.
Usiache kutuachia maoni kuwa ni mambo mangapi kati ya haya ulikuwa ukiyafahamu na yapi unakwenda kuyatilia mkazo ili kuboresha maisha na hali yako ya kifedha.
.
TUFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / success_daily_quotes
.
For Business please send us an email
successpathnetwork@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#MakosaYaKifedha #FalsafaYaBiashara #NurdinMohammed

Пікірлер: 64
@saidchaka8801
@saidchaka8801 4 жыл бұрын
Asante sana somo zuri. Nurdin unafanya vyema ila kunavitu naomba nikushauri, 1. Punguza speed wakat wa kuzungumza. Hapa haufanyi tangazo, unafundisha hivyo ni bora ukapunguza speed. 2, naomba kua wa tofaut ktk matumiz ya saut yako. Sauti yako haina utofaut na Ezden. Be you, punguza bacground music iwe chini isiingiliane na saut yako. Ila zaid ya yote unafanya vzr sana. Ongera sana
@deusjohn1107
@deusjohn1107 4 жыл бұрын
Woh vema umesema kweli
@Dm-yq9wn
@Dm-yq9wn 4 жыл бұрын
Said Chaka ushauri mzuri sana
@laylasuliman5805
@laylasuliman5805 4 жыл бұрын
Kabisa
@kazurungapdavid3078
@kazurungapdavid3078 4 жыл бұрын
Umeshauri vizur Kaka.
@yagwishaheke2524
@yagwishaheke2524 4 жыл бұрын
Kweli point nzur anaongea ila speed yake naona ni mara saba ya chiriku
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Asante sana kaka nimejifunza.mambo 2 na nitaufanyia kazi ubarikiwe sana
@khamisbakar7637
@khamisbakar7637 4 жыл бұрын
Unaweza kuwa mzur kuelimisha biashara ila usiwe mfanya biashara
@josephmwakisu5176
@josephmwakisu5176 4 жыл бұрын
Umefundisha kuwa MTU awekeakiba ataweka akiba nyumbani au benki??hilo lapili kwamwisho halijakaa sawa unajipingakatka fundisholako jipange upya kijana wangu
@selemanimtohima8597
@selemanimtohima8597 4 жыл бұрын
kaka nime kubali unacho kisema
@maigetotv2173
@maigetotv2173 4 жыл бұрын
Kamanakuelewa upande kama. nanichanganya
@kunamour2092
@kunamour2092 4 жыл бұрын
1:spending more than you make 2:investing in the thing you dont know
@mwanaidimussa2588
@mwanaidimussa2588 4 жыл бұрын
Asente kwasemo nimejifuza kitu
@fredyliberaty6398
@fredyliberaty6398 4 жыл бұрын
Unafanya poa sn Kaka ila punguza speed ongea polepole
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
Okay bro
@elizalyimo1872
@elizalyimo1872 4 жыл бұрын
Nimeona jamaaa anaongea haraka saaaaaana. Ajaribu kupunguza speed
@deusjohn1107
@deusjohn1107 4 жыл бұрын
ipo poa sana chaneli yetu nizamu ya fedha
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
success path network for life
@cryptoisourlife
@cryptoisourlife 3 жыл бұрын
Ahsante saana kwa somo zuuuri....... lakini next TIME naomba utufundishe matumizi sahihi ya muda Yaani jinsi ya kupanga muda vizuri ....... kwa sababu ninacho amini mimi nikuwa mafanikio yetu yanatokana na jinsi tunavyo tumia muda wetu ipasavyo............... ahsante kaka
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 4 жыл бұрын
Asante uko sawa
@Cpady
@Cpady 4 жыл бұрын
Angalien sound yenu ina kelele inachoma
@cryptoisourlife
@cryptoisourlife 3 жыл бұрын
kweli kaka
@dozzbiyo9523
@dozzbiyo9523 4 жыл бұрын
Ongera zaidi mpendwa wangu Ndio umefanya vema.....! Ila unapaswa kujua kuelimisha na kutangaza....! Pia jitaidi kuwa mwenye mifano pevu kwa point zako ili usiwe mwepesi wakufikia point kwa araka.! Mifano itakufanya wewe kueleweka kwa kina zaid kwenye point zako...! Ndio nakupa ponge zaidi.!
@abdallasalim3778
@abdallasalim3778 3 жыл бұрын
Asante kw kutuelimsha nimejifunza kitu , shukran , Allah akulipe juu ya Hilo
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 4 жыл бұрын
Hyo point 4 duuuh inayonifanya pesa zangu zipoteepotee tu
@helenamusa432
@helenamusa432 4 жыл бұрын
Asante Kaka somo zuli napata kuelewa juu ya pesa
@ramadabdallah5352
@ramadabdallah5352 4 жыл бұрын
Mnatusaidia sana ktk kutujenga juu ya mafanikio.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Asante sana Rama D Abdallah kwa kufuatilia. Pamoja!
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 4 жыл бұрын
Uko juu sana bro
@mugishanasra1919
@mugishanasra1919 3 жыл бұрын
Napenda video zenu mu endeleye kutu leteya zingine tujuwe zayidi
@makumbele
@makumbele 4 жыл бұрын
Asante sana kwa hii video, asante kwa kutuamsha👍🏾
@dawhacker2216
@dawhacker2216 4 жыл бұрын
Nimeelewa sana shukrani
@salumyasin6449
@salumyasin6449 4 жыл бұрын
Uko vzuli ktk kufundisha ila ongea talatibu
@barakamawela7924
@barakamawela7924 4 жыл бұрын
Nimekupata
@vascoisry35
@vascoisry35 4 жыл бұрын
Nakubali sana chanell yetu each one,teach one!!Onelove
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Pamoja sana Vasco
@vascoisry35
@vascoisry35 4 жыл бұрын
Nakubali boss but afya ni jambo la msingi mkitufundisha tutawafunza zaidi
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
@@vascoisry35 Usijali maswala ya afya yanakuja...daktari wetu anaweka sawa vitu vyake soon hapa
@vascoisry35
@vascoisry35 4 жыл бұрын
@@successpathnetwork Amina boss mungu mwema atujalie afya iliyonjema !!tuzid kufuhia kwa kilicho bora zaidi katika channel yetu *Success Path Network*
@liberatussylvanus9952
@liberatussylvanus9952 4 жыл бұрын
True each one teach one
@muddygaston1671
@muddygaston1671 4 жыл бұрын
boy from zanzibar thanks
@kazurungapdavid3078
@kazurungapdavid3078 4 жыл бұрын
Safi nimependa somo lote japo yapo machache sana kwa upande wangu naona kipind kijacho utacover vyote Kama si kupata muda zaidi kufikiri tena zaidi na zaidi. Kikubwa Napenda confidence yako, ila speed uliangalie hili Kaka tafadhar. #Nurdin Mohammed
@assiajuma4988
@assiajuma4988 4 жыл бұрын
Asante sana kaka Kwa mafunzo manzuri
@ramxeyfmhando7805
@ramxeyfmhando7805 4 жыл бұрын
🙏
@mussamussa9174
@mussamussa9174 4 жыл бұрын
OK sasa Nurdeen tupe maelekezo zaidi ktk swala la uwekezaji basi ili tujue ni namna gani tuanze na nn kifanyike
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
Coming soon
@jumasway7085
@jumasway7085 4 жыл бұрын
Wewe acha ujinga
@rodahkeonga3676
@rodahkeonga3676 4 жыл бұрын
Asante ndungu
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 4 жыл бұрын
Somo zuri
@mundiajamesfurahia477
@mundiajamesfurahia477 4 жыл бұрын
Hi sawa wawa kabisa
@babailu2133
@babailu2133 4 жыл бұрын
Ah unaongea kama cherehani hauna kituo.
@isackchalress1225
@isackchalress1225 4 жыл бұрын
Angaria kinacho ongelewa sio vtuo
@lengashelaizer2481
@lengashelaizer2481 4 жыл бұрын
tunataka elimu juu ya mr kuku naomba mkiweza mtuelimishe
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Fuatilia hii : MR KUKU FARMERS . Ukiwekeza unapata faida mara mbili ya ulichowekeza baada ya miezi 6. . MZUNGUKO WA MIEZI MINNE (4) Huu uwekezaji wake lazima uwe kuanzia shilingi Laki 7 na kuendelea na faida yake utapata (70%) . Hapa kwenye miezi minne una nafasi ya kuchagua kati ya miezi sita au minne. . MZUNGUKO WA MIEZI SITA (6) Huu uwekezaji wake ni chini ya shilingi Laki 7, kima cha chini ni Laki moja na nusu na faida yake utapata (100%) . OFFICE LOCATION: Kigamboni mjimwema kituo kinaitwa BIG STONE ukitokea Ferry office yetu iko upande wa kulia karibu na NAKOZ SUPERMARKET. . KAMA UPO MBALI/ NJE YA DAR Utalipia bank na kutuma bank slip yako. Utatumiwa softcopy ya mkataba uta-print na kusaini halafu uta-scan na kutuma ofisini. . Au utalipia bank then utamtumia bank slip ndugu yako yoyote aliye Dar atakuja kusaini mkataba kwa niaba yako na kupatiwa document ya mkataba wako. . MAWASILIANO: Tupigie simu muda wa kazi (saa 3:30 Asubuhi hadi saa 11:00 Jioni PM) Namba: 0778-999-009 . TAARIFA ZA BANK CRDB BANK PLC . Akaunti ya shilingi: 0150481394800 . Akaunti ya dollar (USD): 0250481394800 . Jina la akaunti ni: MR KUKU FARMERS LIMITED
@lengashelaizer2481
@lengashelaizer2481 4 жыл бұрын
@@successpathnetwork ahsante sana kama nipo nje ya mkoa Nikilipa kiasi Fulani naweza pia kupokea baada mkataba kuisha naweza pokea pia
@frorenceetoile3016
@frorenceetoile3016 4 жыл бұрын
@@successpathnetwork namba ya WhatsAp ? Nimependa ila sijaelewa vizur
@suleim505
@suleim505 4 ай бұрын
Asante sana mwalimu.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 ай бұрын
Karibu
@helenamusa432
@helenamusa432 4 жыл бұрын
nimependa maneno yako
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
asante. yafanyie kazi kama kweli wayapenda....
@zawadinambaya7559
@zawadinambaya7559 4 жыл бұрын
Kaka umenipa kitu kizur sana thanks god
@tttooo156
@tttooo156 4 жыл бұрын
asante sana ila nimechanganyikiwa kidogo katika point ya tatu na sita kwamba ya tatu umetuambia kuwa tusiwepes katika kuwekeza.. na ya sita "tusitunze pesa badala yake tuwekeze"... daah hapa mm nachanganyikiwa sana .. maana mm ni hodar kuwekeza katika fursa mbali mbali .. kama mr. kuku nipo ... Alliance nipo.. thamani ya mwanake nipo.. sas hapo daah..!!😷
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
Nilikua namaanisha usiwekeze ktk kitu usichokijua lkn kuwekeza ni muhimu sana hususan ktk kipindi hiki
@marydaniel9145
@marydaniel9145 4 жыл бұрын
Asante sana kaka nimejifunza kitu
MAMBO 6 MUHIMU AMBAYO HUTAKIWI KUYASAHAU
13:18
Success Path Network
Рет қаралды 29 М.
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,2 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,6 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 4,4 МЛН
Nastya and balloon challenge
00:23
Nastya
Рет қаралды 69 МЛН
SIRI YA MAFANIKIO ILIYOSAHAULIKA
17:59
Success Path Network
Рет қаралды 28 М.
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU, 01 OKTOBA, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 1,6 М.
TAZAMA KAMA UNAISHI "FAKE LIFE" BILA KUJUA
14:12
Success Path Network
Рет қаралды 26 М.
JINSI YA KUPATA CHOCHOTE UTAKACHO MAISHANI
20:05
Success Path Network
Рет қаралды 68 М.
Mambo 6 ya Kufanya Watu Wakupende Zaidi
21:44
Success Path Network
Рет қаралды 401 М.
7 LESSONS People Learn Too Late In Life
21:22
Success Path Network
Рет қаралды 38 М.
TABIA 6 ZA MAFANIKIO YA PESA
13:53
Success Path Network
Рет қаралды 133 М.
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,2 МЛН