EPUKA KUFANYA MAKOSA HAYA YA KIFEDHA

  Рет қаралды 24,154

Success Path Network

Success Path Network

Күн бұрын

Пікірлер: 64
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Asante sana kaka nimejifunza.mambo 2 na nitaufanyia kazi ubarikiwe sana
@saidchaka8801
@saidchaka8801 4 жыл бұрын
Asante sana somo zuri. Nurdin unafanya vyema ila kunavitu naomba nikushauri, 1. Punguza speed wakat wa kuzungumza. Hapa haufanyi tangazo, unafundisha hivyo ni bora ukapunguza speed. 2, naomba kua wa tofaut ktk matumiz ya saut yako. Sauti yako haina utofaut na Ezden. Be you, punguza bacground music iwe chini isiingiliane na saut yako. Ila zaid ya yote unafanya vzr sana. Ongera sana
@deusjohn1107
@deusjohn1107 4 жыл бұрын
Woh vema umesema kweli
@Dm-yq9wn
@Dm-yq9wn 4 жыл бұрын
Said Chaka ushauri mzuri sana
@laylasuliman5805
@laylasuliman5805 4 жыл бұрын
Kabisa
@kazurungapdavid3078
@kazurungapdavid3078 4 жыл бұрын
Umeshauri vizur Kaka.
@yagwishaheke2524
@yagwishaheke2524 4 жыл бұрын
Kweli point nzur anaongea ila speed yake naona ni mara saba ya chiriku
@abdallasalim3778
@abdallasalim3778 4 жыл бұрын
Asante kw kutuelimsha nimejifunza kitu , shukran , Allah akulipe juu ya Hilo
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 4 жыл бұрын
Asante uko sawa
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 4 жыл бұрын
Uko juu sana bro
@dawhacker2216
@dawhacker2216 4 жыл бұрын
Nimeelewa sana shukrani
@helenamusa432
@helenamusa432 4 жыл бұрын
Asante Kaka somo zuli napata kuelewa juu ya pesa
@mundiajamesfurahia477
@mundiajamesfurahia477 4 жыл бұрын
Hi sawa wawa kabisa
@makumbele
@makumbele 4 жыл бұрын
Asante sana kwa hii video, asante kwa kutuamsha👍🏾
@suleim505
@suleim505 9 ай бұрын
Asante sana mwalimu.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 9 ай бұрын
Karibu
@cryptoisourlife
@cryptoisourlife 4 жыл бұрын
Ahsante saana kwa somo zuuuri....... lakini next TIME naomba utufundishe matumizi sahihi ya muda Yaani jinsi ya kupanga muda vizuri ....... kwa sababu ninacho amini mimi nikuwa mafanikio yetu yanatokana na jinsi tunavyo tumia muda wetu ipasavyo............... ahsante kaka
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
success path network for life
@ramadabdallah5352
@ramadabdallah5352 4 жыл бұрын
Mnatusaidia sana ktk kutujenga juu ya mafanikio.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Asante sana Rama D Abdallah kwa kufuatilia. Pamoja!
@rodahkeonga3676
@rodahkeonga3676 4 жыл бұрын
Asante ndungu
@mugishanasra1919
@mugishanasra1919 3 жыл бұрын
Napenda video zenu mu endeleye kutu leteya zingine tujuwe zayidi
@restutamjuni4739
@restutamjuni4739 4 жыл бұрын
Somo zuri
@muddygaston1671
@muddygaston1671 4 жыл бұрын
boy from zanzibar thanks
@kazurungapdavid3078
@kazurungapdavid3078 4 жыл бұрын
Safi nimependa somo lote japo yapo machache sana kwa upande wangu naona kipind kijacho utacover vyote Kama si kupata muda zaidi kufikiri tena zaidi na zaidi. Kikubwa Napenda confidence yako, ila speed uliangalie hili Kaka tafadhar. #Nurdin Mohammed
@assiajuma4988
@assiajuma4988 4 жыл бұрын
Asante sana kaka Kwa mafunzo manzuri
@vascoisry35
@vascoisry35 4 жыл бұрын
Nakubali sana chanell yetu each one,teach one!!Onelove
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Pamoja sana Vasco
@vascoisry35
@vascoisry35 4 жыл бұрын
Nakubali boss but afya ni jambo la msingi mkitufundisha tutawafunza zaidi
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
@@vascoisry35 Usijali maswala ya afya yanakuja...daktari wetu anaweka sawa vitu vyake soon hapa
@vascoisry35
@vascoisry35 4 жыл бұрын
@@successpathnetwork Amina boss mungu mwema atujalie afya iliyonjema !!tuzid kufuhia kwa kilicho bora zaidi katika channel yetu *Success Path Network*
@liberatussylvanus9952
@liberatussylvanus9952 4 жыл бұрын
True each one teach one
@marydaniel9145
@marydaniel9145 4 жыл бұрын
Asante sana kaka nimejifunza kitu
@dozzbiyo9523
@dozzbiyo9523 4 жыл бұрын
Ongera zaidi mpendwa wangu Ndio umefanya vema.....! Ila unapaswa kujua kuelimisha na kutangaza....! Pia jitaidi kuwa mwenye mifano pevu kwa point zako ili usiwe mwepesi wakufikia point kwa araka.! Mifano itakufanya wewe kueleweka kwa kina zaid kwenye point zako...! Ndio nakupa ponge zaidi.!
@kunamour2092
@kunamour2092 4 жыл бұрын
1:spending more than you make 2:investing in the thing you dont know
@ramxeyfmhando7805
@ramxeyfmhando7805 4 жыл бұрын
🙏
@elizalyimo1872
@elizalyimo1872 4 жыл бұрын
Nimeona jamaaa anaongea haraka saaaaaana. Ajaribu kupunguza speed
@zawadinambaya7559
@zawadinambaya7559 4 жыл бұрын
Kaka umenipa kitu kizur sana thanks god
@barakamawela7924
@barakamawela7924 4 жыл бұрын
Nimekupata
@deusjohn1107
@deusjohn1107 4 жыл бұрын
ipo poa sana chaneli yetu nizamu ya fedha
@mwanaidimussa2588
@mwanaidimussa2588 4 жыл бұрын
Asente kwasemo nimejifuza kitu
@khamisbakar7637
@khamisbakar7637 4 жыл бұрын
Unaweza kuwa mzur kuelimisha biashara ila usiwe mfanya biashara
@selemanimtohima8597
@selemanimtohima8597 4 жыл бұрын
kaka nime kubali unacho kisema
@mussamussa9174
@mussamussa9174 4 жыл бұрын
OK sasa Nurdeen tupe maelekezo zaidi ktk swala la uwekezaji basi ili tujue ni namna gani tuanze na nn kifanyike
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
Coming soon
@lengashelaizer2481
@lengashelaizer2481 4 жыл бұрын
tunataka elimu juu ya mr kuku naomba mkiweza mtuelimishe
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
Fuatilia hii : MR KUKU FARMERS . Ukiwekeza unapata faida mara mbili ya ulichowekeza baada ya miezi 6. . MZUNGUKO WA MIEZI MINNE (4) Huu uwekezaji wake lazima uwe kuanzia shilingi Laki 7 na kuendelea na faida yake utapata (70%) . Hapa kwenye miezi minne una nafasi ya kuchagua kati ya miezi sita au minne. . MZUNGUKO WA MIEZI SITA (6) Huu uwekezaji wake ni chini ya shilingi Laki 7, kima cha chini ni Laki moja na nusu na faida yake utapata (100%) . OFFICE LOCATION: Kigamboni mjimwema kituo kinaitwa BIG STONE ukitokea Ferry office yetu iko upande wa kulia karibu na NAKOZ SUPERMARKET. . KAMA UPO MBALI/ NJE YA DAR Utalipia bank na kutuma bank slip yako. Utatumiwa softcopy ya mkataba uta-print na kusaini halafu uta-scan na kutuma ofisini. . Au utalipia bank then utamtumia bank slip ndugu yako yoyote aliye Dar atakuja kusaini mkataba kwa niaba yako na kupatiwa document ya mkataba wako. . MAWASILIANO: Tupigie simu muda wa kazi (saa 3:30 Asubuhi hadi saa 11:00 Jioni PM) Namba: 0778-999-009 . TAARIFA ZA BANK CRDB BANK PLC . Akaunti ya shilingi: 0150481394800 . Akaunti ya dollar (USD): 0250481394800 . Jina la akaunti ni: MR KUKU FARMERS LIMITED
@lengashelaizer2481
@lengashelaizer2481 4 жыл бұрын
@@successpathnetwork ahsante sana kama nipo nje ya mkoa Nikilipa kiasi Fulani naweza pia kupokea baada mkataba kuisha naweza pokea pia
@frorenceetoile3016
@frorenceetoile3016 4 жыл бұрын
@@successpathnetwork namba ya WhatsAp ? Nimependa ila sijaelewa vizur
@josephmwakisu5176
@josephmwakisu5176 4 жыл бұрын
Umefundisha kuwa MTU awekeakiba ataweka akiba nyumbani au benki??hilo lapili kwamwisho halijakaa sawa unajipingakatka fundisholako jipange upya kijana wangu
@helenamusa432
@helenamusa432 4 жыл бұрын
nimependa maneno yako
@successpathnetwork
@successpathnetwork 4 жыл бұрын
asante. yafanyie kazi kama kweli wayapenda....
@maigetotv2173
@maigetotv2173 4 жыл бұрын
Kamanakuelewa upande kama. nanichanganya
@tttooo156
@tttooo156 4 жыл бұрын
asante sana ila nimechanganyikiwa kidogo katika point ya tatu na sita kwamba ya tatu umetuambia kuwa tusiwepes katika kuwekeza.. na ya sita "tusitunze pesa badala yake tuwekeze"... daah hapa mm nachanganyikiwa sana .. maana mm ni hodar kuwekeza katika fursa mbali mbali .. kama mr. kuku nipo ... Alliance nipo.. thamani ya mwanake nipo.. sas hapo daah..!!😷
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
Nilikua namaanisha usiwekeze ktk kitu usichokijua lkn kuwekeza ni muhimu sana hususan ktk kipindi hiki
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 4 жыл бұрын
Hyo point 4 duuuh inayonifanya pesa zangu zipoteepotee tu
@salumyasin6449
@salumyasin6449 4 жыл бұрын
Uko vzuli ktk kufundisha ila ongea talatibu
@fredyliberaty6398
@fredyliberaty6398 4 жыл бұрын
Unafanya poa sn Kaka ila punguza speed ongea polepole
@nurdinmohamed1050
@nurdinmohamed1050 4 жыл бұрын
Okay bro
@Cpady
@Cpady 4 жыл бұрын
Angalien sound yenu ina kelele inachoma
@cryptoisourlife
@cryptoisourlife 4 жыл бұрын
kweli kaka
@babailu2133
@babailu2133 4 жыл бұрын
Ah unaongea kama cherehani hauna kituo.
@isackchalress1225
@isackchalress1225 4 жыл бұрын
Angaria kinacho ongelewa sio vtuo
@jumasway7085
@jumasway7085 4 жыл бұрын
Wewe acha ujinga
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 177 М.
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Mambo 6 ya Kufanya Watu Wakupende Zaidi
21:44
Success Path Network
Рет қаралды 412 М.
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 65 М.
THE MOST POWERFUL RUQYAH REMOVES Djinn IN THE HUMAN BODY AND BLOODSTREAM
1:40:25
MAENEO 10 AMBAKO FEDHA HUJIFICHA - Victor Mwambene.
12:23
Victor Mwambene
Рет қаралды 6 М.
Njia Saba (7) Za Kugundua Kipaji Chako - Joel Nanauka.
13:13
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
Mambo 3 Ya Kufanya Leo Ili Uondoe Stress Maishani Mwako
5:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 659 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
ELIMU NA MAARIFA YATAKAYO KUSAIDIA MAISHANI - JOEL NANAUKA
8:43
Joel Nanauka
Рет қаралды 9 М.
HII NI DAWA YA UGUMU WA MAISHA YAKO
17:24
Success Path Network
Рет қаралды 69 М.
كتاب سيكولوجية المال - الشرح الكامل
3:11:28
دوباميكافين Dupamicaffeine
Рет қаралды 1,3 МЛН