Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka

  Рет қаралды 177,872

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 249
@HappinessAdolph
@HappinessAdolph 2 ай бұрын
Mungu unikutanishe na watu sahihi kwa wakati sahihi.
@scholasticamarandu4762
@scholasticamarandu4762 10 ай бұрын
Mungu nipe hii neema ya kukutana na hawa watu Muhimu Amina
@MussaJoseph-k3u
@MussaJoseph-k3u Ай бұрын
Mungu akubariki kimaisha uzidi kutupa elimu juu ya nguvu ya mungu ubarikiwe
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 3 жыл бұрын
Roho mtakatifu niunulie watu wa kunitaja na kuniona na unifunulie macho ya roho niweze kumwona na yeye anione, Ubarikiwe sana Brother Mungu akubaliki sana
@everinakahigi-mj9yk
@everinakahigi-mj9yk Жыл бұрын
Hakika yangu Nina miaka chini ya ishirini nimekufatiliaaa ,,,, nahisi mungu kakufanya kwangu kuwa mentor ,,,,,, hakika jina LA mungu litukuzwe kupitiaa wewe
@Greatamir
@Greatamir 2 жыл бұрын
Jamaaa uko vizur nimekuwa nakufuatilia kwa kua unazungumzia vitu vya uhalisia..
@DaudipasinaiPasinai-o2s
@DaudipasinaiPasinai-o2s 4 ай бұрын
Aisee Mtu wa Mungu unabariki Sana maisha yangu wewe tangu nimekuwa nakufuatilia nimekuwa mtu naongezeka nakubadilika kabsa natamani siku utengenese semina na utualike tutakuja Sana
@MussaJoseph-k3u
@MussaJoseph-k3u Ай бұрын
hakika maneno yako yamebalikiwa ee mungu wa mbinguni naomba unipe macho yakuona watu ambao wataweza kunitoa hapa nilipo na kwende mbere zaidi kimaisha maana ww ni mwenye kuweza maishani mwetu
@mericktamba7981
@mericktamba7981 3 жыл бұрын
Niceeeeee...brzaaa...💯💯💯💯💥💥💥💥💥💫💫💫💫💫🔥🔥🔥
@EliasGwaya
@EliasGwaya 3 ай бұрын
Mungu anikutanishe na watu wa hatma yangu kupitia somo hili, amen
@PauloTago
@PauloTago 2 ай бұрын
Mungu naomba uwafiumbue macho wannishike mkono,,.Naamini ipo sehemu yangu inayohitajika, Amina
@judithnyawanda1934
@judithnyawanda1934 Жыл бұрын
Through you I have moved from point A to B in my life, keep it up Joel I am listening from Mombasa Kenya.
@MariamSanga-bj8mb
@MariamSanga-bj8mb 6 ай бұрын
Najifunza vingi kupitia wewe Mungu wa mbinguni azidi kukutunza kwa ajiri yetu umekuwa baraka sana
@mrlusindetzb8399
@mrlusindetzb8399 3 жыл бұрын
Kaka mungu akulinde sana maana unatufanya tuwe na muonekano mwingine katika maisha yetu may God bless you my brother 100%
@alutonyoni2520
@alutonyoni2520 3 жыл бұрын
Mungu azidi kuku bariki kaka na kukupa baraka na maisha marefu kaka uzidi kutuelimisha zaidi 🙏🙏🙏 barikiwa sana
@meeknessmaziku2156
@meeknessmaziku2156 2 жыл бұрын
Ndio maana nlikuwa nakushangaa we ni mtu wa namna gani!! Kumbe we ni mchungaji!! Ubarikiwe kwa kazi yako njema!!...
@neemaemanuel7715
@neemaemanuel7715 6 ай бұрын
Awali ya yote Mungu atukuzwe kwa uwepo wako, nabarikiwa Sana kwa mafundisho yako. One's again thanks sir
@EliasGwaya
@EliasGwaya 3 ай бұрын
Kwakweli Mungu azidi kukutumia Dr,
@mazwichannel2120
@mazwichannel2120 Жыл бұрын
Eeh Mungu nipe macho ya rohoni niweze kuwatambua watu ambao wataniongoza kusonga mbele kimaisha... Kaka joel nashukur kukufatilia umu na asante kwa mafundisho hayo
@mwamvitamyombo4466
@mwamvitamyombo4466 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Pastor Joel Nanauka mafundisho yako ni ya kiroho yananipa ujasiri huwa najifunza vitu vingi
@maelezomaelezo9057
@maelezomaelezo9057 3 жыл бұрын
Kumbe ni pastor Joel nanauka umetumwa na mungu wetu kutuelimisha
@shukurumbwana2295
@shukurumbwana2295 Жыл бұрын
Kwenye karama umenigusa mtumishi, imenitokea the same way. Mungu akubariki sana.
@jamesimakasi9712
@jamesimakasi9712 3 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana mtumishi umebadilisha sana maisha ya wengi hakika wewe ni zaidi hata ya mwalimu
@everose276
@everose276 11 ай бұрын
Yaani huyo mtu ananitoa kwenye comfort zone ni wewe kaka, yaani tangu nimeanza kukusikiliza umenivusha sana, na nimejua siri kuwa ili niendelee kuwa bora ni lazima nikushikirie wewe. Asante sana😊
@YudaKessy
@YudaKessy 2 ай бұрын
Kwakweli mahubiri yako ni mazuri
@YudaKessy
@YudaKessy 2 ай бұрын
Mungu nikitanoshe mabao watu
@anjelafrancis6353
@anjelafrancis6353 Жыл бұрын
Mungu akubariki Kwa kutufungua mtumishi🙏🙏
@tumainisemakuba3520
@tumainisemakuba3520 2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie roho wake mtakatifu ili u endelea vema kwa kutulisha Neno lake litakatifu
@Sevetorwaryoba
@Sevetorwaryoba Жыл бұрын
Nakuewa saana Joel
@FaridaChengura
@FaridaChengura 5 ай бұрын
Mungu nakuomba unionyeshe watu uliowaandaa kwa ajili yangu
@robertfransis1680
@robertfransis1680 Жыл бұрын
Mungu alibariki mchungaji kwa maneno mazuri.
@GeorgeBajuta-ro4ez
@GeorgeBajuta-ro4ez Жыл бұрын
ahsante mungu kwa mafundisho mazur ya neno la mungu kaka mungu akupe maisha marefu
@bisimwabezo7862
@bisimwabezo7862 3 жыл бұрын
Mungu akulinde uishi myiaka mingu sana mimi nakuwa rdc Congo vitabu tutapata je Lubumbashi
@jolumatv7211
@jolumatv7211 2 жыл бұрын
Asante na Mungu akubariki sana nimekuelewa. Mungu nisaidie nayazingatie haya
@Udindigwa
@Udindigwa 2 жыл бұрын
Amina Baba angu Yani sijajutia muda na MB Zangu kuku sikiliza
@witnessemily1391
@witnessemily1391 3 жыл бұрын
Huwa na barikiwa sana na kupata nguvu ya kuendelea mwenyezi Mungu akulinde na kukupa afya njema
@maryeliya1300
@maryeliya1300 3 жыл бұрын
We Mungu wangu nipe watakaonifikisha kwenye malengo yangu
@jacklinemashenene5976
@jacklinemashenene5976 Жыл бұрын
Huwa nakuelewa sana kaka Joel Mungu akubaliki sana
@eneamwaruanda2064
@eneamwaruanda2064 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa ni mpango wa Mungu kabisa inanikumbusha hii nilipokua advance level school Mungu hutumia watu kukufikisha mahali flani
@HosianaBuuta
@HosianaBuuta Жыл бұрын
Mungu anikutanishe na hao watu mungu awafungue macho nimetumikishwa sana
@Aviero_07
@Aviero_07 3 жыл бұрын
NGULIIIIIIIIIIIIIII... FROM ZANZIBAR...🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@NelsonYohane-kh8qy
@NelsonYohane-kh8qy 7 ай бұрын
Ubarikiwe sana Joel unanifundisha vitu vingi sana
@happygervas7489
@happygervas7489 3 ай бұрын
Kaka barikiwa sana last year nilipitia kipindi kigumu cha kukata tamaa lkn baada ya kupitia videos zko nilipona na sasa nimesimama tena Mungu akubariki sana ❤
@joshuapeter312
@joshuapeter312 3 жыл бұрын
Hakika mungu akupe maisha marefu tuendelee kujifunza zaidi.
@ebrojohn9406
@ebrojohn9406 Жыл бұрын
Mmoja wa watu mhimu maishani mwangu ni wewe Joel Nina Imani Mungu alikuleta for me 🙏🙏🙏
@christopherjoshua278
@christopherjoshua278 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Binafsi nakuelewa sana
@Oderabrenda
@Oderabrenda 8 ай бұрын
May God bless you for the teaching.Akuzidishiye miaka nyingi
@TinoNoah
@TinoNoah 5 ай бұрын
God bless you 🙏
@FredyIma
@FredyIma Жыл бұрын
Thanks sanaaa nazidi kubilikiwa nakuonaa mbalii zaidii nitfika🙏🙏
@UpendoYMwingamno-lj3hz
@UpendoYMwingamno-lj3hz Жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka...!!🙏🙏🙏
@kizajacqueline8583
@kizajacqueline8583 2 жыл бұрын
Amen mtume wa mungu na akubariki
@liliansindiyo1214
@liliansindiyo1214 10 ай бұрын
Joel ubarikiwe sana, nakuelewa sana
@CharamKabul
@CharamKabul 7 ай бұрын
God bless you,,, umenijenga kiakili vzr sana kaka
@Esther-kz1es
@Esther-kz1es 9 ай бұрын
Umekuwa baraka Sana kwangu kaka Joel.Barikiwa
@tatu3tatu549
@tatu3tatu549 3 жыл бұрын
Asant mungu kwa kuniunganisha na shujaa kama wewe AMEE
@priscapascal9177
@priscapascal9177 Жыл бұрын
Ndo mara ya Kwanza kujua haya mafundisho yako yamenibadilisha sana Sana kiroho na kiakili, Mungu akubariki sana
@danielsumaye362
@danielsumaye362 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana JOEL kwa mafundisho mazuri, Munguakubariki sana.
@jameskarogo3094
@jameskarogo3094 3 жыл бұрын
Asante sana mungu akubariki ..unanibarikingi kwa maneno yako ..na pia mafunzo mazuri .. thanks
@stephenmabinza9043
@stephenmabinza9043 3 ай бұрын
Uendelee kubarikiwa King
@mwakalukwafredy3720
@mwakalukwafredy3720 3 жыл бұрын
Kaka joel Nanauka Mungu akubariki na kukuinua zaidi na zaidi maana Tangu nianze kukufuatilia hakika sijawahi kupungukiwa , Umebadili maisha yangu sana
@emmilianavakolavene3533
@emmilianavakolavene3533 Жыл бұрын
Asante kwa un’unione huu
@datiusgabriel8277
@datiusgabriel8277 3 жыл бұрын
Tunasonga mbele kwa ajiri yako big up
@wisdomcharles7749
@wisdomcharles7749 2 жыл бұрын
MUNGU akupe maisha marefu umenitoa sehemu🙏 meno zuri asanteee
@beatricekasambula1657
@beatricekasambula1657 2 жыл бұрын
Hakika Mungu akubariki.Naomba neno hili likaniinue Kwa kutajwa mahali sahihi
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 2 жыл бұрын
Ameeeen ..🙏🙏 Ubarikiwee sanaa Mtumishii wa Mungu 🙏🙏🙏🙏
@aliyukagambo
@aliyukagambo Жыл бұрын
Kwema boss kaka Joel nanauka
@happydaniel7788
@happydaniel7788 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa kaz nzur
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 Жыл бұрын
Pastor! Nimebarikiwa sana mafundisho Yako yanaingia moyoni KABISA Amina
@josephlukumaya4223
@josephlukumaya4223 Жыл бұрын
Amena Kuna ki2 nimejifunza hapa
@irenesilas2614
@irenesilas2614 Жыл бұрын
May GOD bless you abundantly continue making us prosper!🙏
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 7 ай бұрын
Mungu nijalie kupata rafiki mzuri atakaesimama na mimi
@elionoraherman6790
@elionoraherman6790 2 жыл бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki sanaaa .Asantee sana🙏💪
@ummkolthumkoalthum3271
@ummkolthumkoalthum3271 Жыл бұрын
Uliyoongea yote hapa ni kweli tupu na Mimi. Nina inpact kwangu mm mwenyewe unayoongelea👌🏾NA KUFATILIA. SANA NA NINA KUKUBALI SANAA Naomba kwa mungu siku nikuone Ana kwa Ana Nitafurahi sanaa
@shefujosee617
@shefujosee617 Жыл бұрын
Big up sana kaka kwa masomo mazuri mungu akubariki sana
@ThabitMasoud
@ThabitMasoud 11 ай бұрын
thank you very much pastor Joel manauka, am the student of Tumaini university makumira but am so grateful with ua speaches please l need to be revealed
@ThabitMasoud
@ThabitMasoud 11 ай бұрын
thank you very much pastor joel, continue to be blessed with your inspiration
@frankkiondo8386
@frankkiondo8386 2 жыл бұрын
Haleluya barikiwa mtumishi
@nikoletaugi3247
@nikoletaugi3247 9 ай бұрын
Asante sana kaka barikiwa sana
@hendryprosper9950
@hendryprosper9950 3 жыл бұрын
Mungu atufungue akili na macho tupate kuelewa na kuonaa amina
@revombenmwakwenda6006
@revombenmwakwenda6006 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu Barikiwa kwa ujumbe mzuri
@frankmoses1479
@frankmoses1479 4 ай бұрын
Asante Kaka kwa Mafundisho yako mazuri!! Barikiwa sana!!
@AbdulKing-b5l
@AbdulKing-b5l 4 ай бұрын
Asante kwa maneno yaka mazul
@Mwinamila-3
@Mwinamila-3 Жыл бұрын
Asante sana bro Joel kwa MAFUNDISHO yako
@luciaNghindi
@luciaNghindi Жыл бұрын
Asanteh sana kaka , ubarikiwe
@youngrappertz1735
@youngrappertz1735 3 жыл бұрын
likes za joel jaman
@calsonrobson4172
@calsonrobson4172 3 жыл бұрын
Mungu akubari akuzidishie upako Usiku mchana na asubuh your good
@evamusuruve3196
@evamusuruve3196 Жыл бұрын
Mimi Huwa Namshukuru Mungu ,nikipatana ,na Rafiki MUNGU hunifungulia sana njia zake ,Huwa nauliza MUNGU , natamani nikamjue zaidi,,na MUNGU ni mwaminifu hunifungulia ,so Kuna watu ukukutana nao ,wengine wamefungwa so utafungwa nao ,,na wengine ni Baraka kwako ,unakuta umefunguliwa njia zako 🥰🙏
@ModestaMduda-n9s
@ModestaMduda-n9s 8 ай бұрын
Amina kaka unasema kweli kabisa
@maxmilajoseph1897
@maxmilajoseph1897 2 жыл бұрын
Mungu naomba niandalie watu watakao nivusha kuelekea mafanikio yangu
@aliyukagambo
@aliyukagambo Жыл бұрын
Mwenyezi mungu azidi kukubariki
@rogathmassawe7480
@rogathmassawe7480 3 жыл бұрын
Kumbe ww ni pastor pia,kwel tuta kufaidi sana
@kamagaissa4561
@kamagaissa4561 Жыл бұрын
Brother Ahsante umenisaidia sanaa
@sarahbaby6764
@sarahbaby6764 2 жыл бұрын
Roro mtakatifu niinulie watu wa kunitaja nakuniona,kweli nimechelewa Sana kupata mafundisho haya lakini najua huu ndo wakati ambao mungu alitaka nipokee.mungu akubariki mtumishi wa mungu aliye hai
@deomushi7341
@deomushi7341 3 жыл бұрын
Pasta unafafanua vizuri sana,sana endeleza kazi hii haswa kwa vijana wetu,
@doreendinamica3473
@doreendinamica3473 3 жыл бұрын
Umeupiga mwingii sanaaa kaka Joel...........Ubarikiwe sanaa..........
@VeronicaYenga
@VeronicaYenga Ай бұрын
Amina
@michaelgeorge8454
@michaelgeorge8454 3 жыл бұрын
Swez kuamka asbh bila ya kusklza hamasa zako kk uwa naingia kwenye mishughuliko yangu everyday
@mukembanyikalinda8908
@mukembanyikalinda8908 2 жыл бұрын
Mungu akubariki saana mtu mishi. I love this
@gregoryfelcian3932
@gregoryfelcian3932 2 жыл бұрын
Ni mala yangu ya Kwanza kukusikia kweli mungu yupo ndani yako nami nitakufuatilia Kila nikiweka bando una kitu Cha kunivusha kwenye maisha yangu
@peterjanuary7972
@peterjanuary7972 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa mwangaza unaotuangazia vijana..
@eliasbufula2482
@eliasbufula2482 3 жыл бұрын
Joel amini kwamba, hakika umenisaidia sana🤝
@amoslugaila4113
@amoslugaila4113 Ай бұрын
Ameen Mwalimu wangu
@morismalela-es9hz
@morismalela-es9hz Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@mcengineer7711
@mcengineer7711 2 жыл бұрын
Be blessed coach
@sosbmlulu2221
@sosbmlulu2221 3 жыл бұрын
Asante kaka somo
@richardmartin6429
@richardmartin6429 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana.
JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ILI UINGIZE KIPATO ZAIDI - JOEL NANAUKA
1:11:12
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Joel Nanauka
Рет қаралды 90 М.
Who is More Stupid? #tiktok #sigmagirl #funny
0:27
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 10 МЛН
Hilarious FAKE TONGUE Prank by WEDNESDAY😏🖤
0:39
La La Life Shorts
Рет қаралды 44 МЛН
THE GIANT KILLER - JOEL NANAUKA
25:33
Joel Nanauka
Рет қаралды 29 М.
FINANCIAL LAWS - KANUNI ZA FEDHA  ( DR. JOEL NANAUKA) | RETREAT CAMP 2024
1:27:01
Pastor Dickson Kabigumila
Рет қаралды 5 М.
SELF CONTROL Dhirigalin | Sheikh Mustafe Hajji Ismail
18:45
abdull عبدول
Рет қаралды 225 М.
Joel Nanauka / Namna ya kutimiza malengo 3 / THE GATES TV
52:13
The Gates Media
Рет қаралды 130 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 176 М.
NATAMANI NINGEYAJUA HAYA 03 KABLA YA MIAKA 20 || JOEL NANAUKA
18:36
NGUZO YA MAARIFA
Рет қаралды 41 М.
Who is More Stupid? #tiktok #sigmagirl #funny
0:27
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 10 МЛН