UNYAMA, MATESO, UKATILI BIBI AFUNGIWA NDANI, HAPEWI CHAKULA, HAOGI, HAJA KUBWA NA NDOGO HUMOHUMO

  Рет қаралды 285,311

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 643
@worldherotv
@worldherotv Жыл бұрын
Huyo ni mgonjwa wa akili, by the way pongezi kwa huyo dada kwa kujitahidi. Anayedhani hawafanyi sawa, wamchukue wao.
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Na uyo jirani analalamika tu angemchukua akaishi nae
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 Жыл бұрын
Kbs
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 6 ай бұрын
​@@pendo8082mwenzao akifanya midomo mirefu si ajabu kwenye familia zao kuna changamoto kuliko hizo wanashindwa kuzikabili
@alimwakasidi7680
@alimwakasidi7680 Жыл бұрын
Binadam bwanaa daaah, huyo bibi angekuwa na hela ndugu wote wangekuwa wanamgombania huyu shangazi yule mama mdogo yule bibi bibi huku wengine wanajitokeza.ila haya maisha haya
@ngwegwenurdin4318
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Wamesahau walipotoka. Angelikuwa mbaya wasingelizaliwa. Na labda huyo mtesaji halisi chimbuko la kuzaliwa hizo familia ni Huyo bimkubwa. NA PIA JUMUHIYA HAIPO SAHIHI Kama watu wa DINI kuchagua msaada ili hali tatizo linashughlikiwa na muangalizi wanayembeza. DINI MASLAHI. 'I AIN'T LIKE MEN!!.
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Жыл бұрын
Mama mmoja analea watt kumi lkn watt kumi hawawezi kumlea mama mmoja. This is life 😢
@teophilletus8969
@teophilletus8969 Жыл бұрын
Ni saw lakn nikusaidie kitu kimoj kuzaa tu bila misingi na mikakat ya unachokizaa baadae Ni saw na kuchimba shimo la choo sebren alaf ukalifunika kwa migomba ya ndiz Kisha ukahtaj lidumu na baadae lije lisaidie wengne kwaiy msiraum tu watot angalien kwanz mifumo yao walio andaliw Yan unanunua mbegu ya mti wa embe dume Kisha unasubir mavuno pumbavu
@zeyadazeyada8050
@zeyadazeyada8050 Жыл бұрын
Acha kabisa mungu atufinyie wepesi
@aminakhalid300
@aminakhalid300 Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa baba na ama wanawatunza watoto nane wanawasomesha mahitaji mengiii subiri wapate kazi wanashindwa kuwatunza watu wawili
@esterkiyabo1329
@esterkiyabo1329 Жыл бұрын
Mmhh! Umeona eeehh
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
Mamangu katuzaa 10 nakwambia sijali anayemlea nimemuwekea wafanyakazi wawili Ana miaka 83 baba Ana miaka 85 ni kivuruge huna moyo unamsusa but I will never ever let them live bad
@irenejoseph5925
@irenejoseph5925 Жыл бұрын
Hata mimi namuelewa huyo dada amefanya sehemu yake Kwanza ni mdogo kajitolea Sana tu
@kawiche4911
@kawiche4911 4 ай бұрын
SEREKALI IKO WAPI
@raheemsuleyman6757
@raheemsuleyman6757 Жыл бұрын
Wengi Mna mlaumu huyu Dada but huyo Bibi inaonekana ana shida ya akili.... Na Dada huwa katoa taarifa kila ngazi but inaonekan no response.....but baada ya kila MTU kuaona camera sasa ndo wanataka kujionesha mm ni jushaa ktk Hili tukio Kwa kutoa taarifa.....soo far apelekwe ktk kituo cha kulelea wazee akapate msaada
@AlShabh-u8i
@AlShabh-u8i 5 ай бұрын
Hta kma hana akil bc haifai kumtesa kwan bdo atabk ni minaadm tu na wla hao watto wao hawana huruma wallaah
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Жыл бұрын
Ila wapendwa TUSIHUKUMU UKIWA HUJAWAHI KUISHI NA WAZEE WA AINA HII,HUWEZI KUJUWA,YANI INAFIKA MUDA UNACHOKA KABISA,KILA UNALOJITAIDI KUFANYA NI KAMA HUFANYI KITU
@jacklinmacha2964
@jacklinmacha2964 Жыл бұрын
Upo sahihi
@maryjohn515
@maryjohn515 Жыл бұрын
Hatukatai ila ndio umfungie ndani ??? Ifike wakati tuwe na utu na upendo , ebu chukulia mfano tu umezaliwa mama ako tangu mdogo kakutunza adi ukubwan y ww ushindwe kumtunza akiwa mzee?? Aya uyo ni shangaz yake bt y afanyiwe ivy jamani 😭😭 wazee wanachosha ila sio kwa io hatua
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Жыл бұрын
Upo sahiiiii kabs uwez jua bint hanapitia changamot gan
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Wanamtusi tu huyu bint ila wanao kaa nao ndo wanajua changamoto zake
@hellenmsongole
@hellenmsongole Жыл бұрын
Je Kama ni mamaako mzazi utamchoka ?jamani tuwe wavumilivu atujui mwisho wetu
@elizaminja4249
@elizaminja4249 Жыл бұрын
Majirani ni wanafki na nyie mchukueni mkakae naye
@PendoKinabo-ic5lj
@PendoKinabo-ic5lj 6 ай бұрын
Mbwa hawa
@drbenonline9338
@drbenonline9338 Жыл бұрын
Yaani asikwambie mtu kuishi na mtu mwenye matatizo ya akili inahitaji moyo kweli mimi mwenyewe yalinishinda khaa
@martinejoseph6098
@martinejoseph6098 Жыл бұрын
Nimemsikiliza sana mwenyekiti, jirani na huyo dada, kiukwel huyu dada na familia yake wanamakosa kwa kiasi fulani, lkn huyo binti kwa kiasi fulani yupo sawa kwa maelezo mazuri ya mwenyekiti, mbn inaelewak sana???... tuachw kuhukumu
@elinemakundi5011
@elinemakundi5011 10 күн бұрын
Police nimekupenda bure uko vizuri
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 Жыл бұрын
Mbona_Mwenye_kiti_kajieleza_Vizuri_huyo_dada_hana_kosa_na_amefanana_sana_na_shangazi_yake
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Majilani wanafiki sana kama hujapata majilani kama hao mshukru MUNGU
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 Жыл бұрын
hatua ya uzee wote ni lazima,unapomtendea mwenzio nawe utatendwa.hujui uzee wako utakuwaje
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Kumlea mzazi wako inataka passion hao watu wake waongo familia inataka iwe na imani kubwa. Hiyo mama hataki kufanya hivyo ila ni uzee na maradhi ya akili sio makusudi afanyavyo. Hao ndugu zake hawana imani ya roho na wasubiri uzeeni kwao huu ugonjwa ni wakurithi nao watajakuwa kuliko hivyo. Hakpenda mama awe hivyo. Wanamsahau Mungu.
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 Жыл бұрын
HAPO NIUNAFIKI TUU WABINADAMU ILA HUYU DADA YUPO SAHIHII HAMJAUGUZA NYINYI HASA PALE UNAPOUGUZA MGONJWA KWA MDAA MREFU HALAF KIPATO CHA CHINI ACHENI UNAFIKI
@MariamuIssa-y2l
@MariamuIssa-y2l 2 күн бұрын
Maskini mungu uyu bint unamtesa uyu bibi
@abelhardware6445
@abelhardware6445 Жыл бұрын
Mwenuekiti anaongea point tupu 100/mia sana mama
@Kornie406
@Kornie406 Жыл бұрын
Nyie wagonjwa wa hivi wanavisirani vyao...huyu dada naumuelewa mbona
@charitymbukwa2987
@charitymbukwa2987 Жыл бұрын
Kama umewahi kuuguza mtu wa hivyo unaelewa, ila kama haujawahi unahukumu as if we ndo assistant wa Mungu. Na mgonjwa akifikia hiyo hatua unaona kila mtu anamkimbia!! Ila Mungu amsaidie Huyo dada kujitoa kukaa naye tu yataka moyo hasa akiwa siyo mzazi wako kabisa.
@naomimanyenye8726
@naomimanyenye8726 Жыл бұрын
Nimejikuta nalia kwa uchungu 😭😭
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Жыл бұрын
😭😭
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Жыл бұрын
mimi mwenyekiti wa kijiji ameniliza kwa ukweli wake wa kuitetea hii family 😭😭😭😭😭😭 walimwengu walitaka kuwaangamizia jera nyie majirani mungu anawaona kabisa
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 Жыл бұрын
Hiyo hali alionayo huyo mama ni kwasababu ya mateso anayopitia
@aminamassawe1768
@aminamassawe1768 Жыл бұрын
Ila majiran mna moto wenu mbinguni.. hamuoni huyo mama ana shid ya akil jamaan na huyo dada Bado mdg naona nae kashachoka kikubwa mngemsaidia kumlea kumsema huko VP.. bas msaidien nyie
@suziemichael4338
@suziemichael4338 Жыл бұрын
Kuishi na mgonjwa wa akili sio kazi rahisi jamani. Tuache kumuhukumu huyu dada
@JaneMurugi-bd6ej
@JaneMurugi-bd6ej 5 ай бұрын
Tuwe naroho za amani❤mungu atusaindie sana amina
@jacqueli18
@jacqueli18 Жыл бұрын
Watanzania kuweni na huruma na mnapojadili kitu angalieni pande zote, huyu dada bado ni mdogo, inaonekana mambo yamemuelemea, na bado analea watoto. Something may happen lakini akipewa saport anaweza kusaidia, Ila peke yake tusimuhukumu. Watu wanamsema huyu binti Ila Kuna vitu vingi mno vya kutazama, jamii imesaidiaje Kama si vyombo vya habari? By the way Bibi apatiwe msaada na serikali na familia iwe responsible na Kama ilikosea mahali ijirekebishe, don't judge too much
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
🙄🙄Ana miaka chin ya 21 ? Maana ss hv miaka 18 sio tena ni miaka 21 mwisho wa udogo
@gladnessjackson584
@gladnessjackson584 Жыл бұрын
Sasa ndo asimuogeshe kumapa ata maji chakula nguo achome ivii unaongea nini wew
@jacqueli18
@jacqueli18 Жыл бұрын
@@gladnessjackson584 kumbuka huyu ni mgonjwa wa akili unaweza kufanya Kila kitu vile umemaliza akajisaidia..and who prove haogeshwi, Hali, nani ameprove? Una uhakika gani? And maneno yanasaidia Nini badala ya kuangalia namna ya kumsaidia...by the way mnatafuta mgonjwa wa pili hapo, huyo binti atapata msongo wa mawazo na yeye atapata uchizi ..punguzenj mdomo haswa kwa vitu ambavyo hamjavishuhudia
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
@@gladnessjackson584 anaongea pumba tupu huyu hiv hajui kuwa na yy yatamkuta malipo ni hphp duniani et mdogo anaudogo gn huyu km sio roho mby ni nn?
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 Жыл бұрын
BIBI WAWATU KASEMA MALA YA WISHOKAOGA JANA NYI WANDISHI MNASEMA HAOGAGI MBONA MNATAKA KUGOMBANISHA WAYU
@iddamomo561
@iddamomo561 Жыл бұрын
Uyo dada anaongea kwa uchung ukute ni single mama bado awataftie watoto chakula dah km huna ubinadam unaweza kumlaum uyu dada
@christsontarimo5803
@christsontarimo5803 Жыл бұрын
Kwa ambao wamewahi kulea mtu mzee tu..,,au kilema ambae hajiwezi wanaweza kumwelewa huyu Dada., Nimefikiria tu, binti ana watoto wawili, na ili ale, ni lazima atoke akatafute kwa ajili yake, watoto wake na huyo Bibi.,. Nikijaribu kuvaa viatu vyake havinitoshi kabisa.,, Limemkuta huyu Dada leo, lakini tusisahau..,,Mwanadamu ni mtarajiwa wa lolote wakati wowote. MUNGU amsamehe sana huyu Dada ikiwa kuna namna ametenda dhambi sababu yeye ndie alieona.,,,,
@agathaabogast4598
@agathaabogast4598 Жыл бұрын
Nakuelewa ilinipa adi shida ya mgogo mm
@ninaseleman5738
@ninaseleman5738 Жыл бұрын
Kabisa kwanza uy bit nimdogo sana jamani
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Kabisa sio kaz rahis
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын
Wanao Muukumu Uyuu Dada Naomba Wafute iyoo Picha kwa Upande wa pili Kama Ni Wewe Upo na Mtoto Na Uku Unajitafutia Maitaji Yko ya Siku Uku Upo Na Mgonjwaa wa Upunguvu wa Akili Ebu Fikiria hapo
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 6 ай бұрын
Mdimlaumu acheni mdomo kuuguza sio mchezo, mnaoongea mngepeleka chochote sio kumlaumu
@katalamohamed4305
@katalamohamed4305 3 күн бұрын
Nipeni taratibu tumchukuwe tumlee sio lazima.ndugu
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Жыл бұрын
😢😢😢😥😭😭😭😭jamani mom mzr kwanini ss mnamfanyia hivyo
@lilianmnunguli4457
@lilianmnunguli4457 Жыл бұрын
Kuna watu wanaroho mbaya 😭😭ndio maana watu wengine wanalaaniwa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
kwel 😭😭😭😭😭😭😭😭
@ashatybella8641
@ashatybella8641 Жыл бұрын
Akuna cha roombaya mzee mwenyewe hataki kutoka 🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
@Michael_Msanzya
@Michael_Msanzya Жыл бұрын
Sikilizeni Hadi Mwisho Simhukumu huyu binti...
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Angekuwa na pesa agekuwa anaoshwa hadi na kubebwa ila Mungu atawalipa hawa waliofanya huu unyama.
@allyclaud3782
@allyclaud3782 Жыл бұрын
Kiroho safi bwana juma hebu msogeze pale ghorofani apumzike wiki mbili tu acheze na wajukuu pale. Huo ndiyo uongozi usijali nitakuja kumsalimia kwako hapo
@jumaraibu7879
@jumaraibu7879 Жыл бұрын
Sawa nimemchukua kabisa
@Mamkubwa
@Mamkubwa Жыл бұрын
Mmamuonea huyu daada. Kiukweli watu wazima kama hawa wanadhalilika ni wengi sana.... hamna msaada. Huyo bibi anateseka. Anahitaji uangalizi masaa 24. Huyo muangalizi. . Kuna binadamu wanateseka. HONGERENI WATU WS tv.. wafichueni wanaoteseka ili wàpate hudumà muhimu. Mtapata thawabu kubwa.
@hafidhisaidi6550
@hafidhisaidi6550 Жыл бұрын
Huyo Dada yupo sahihi sana pia majibu yake yanaridhisha sana kwanza ni binti mdogo hebu muacheni afanye maisha yake.
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 7 ай бұрын
Kama ni mtoto wako ingekuwa je? Kweli kabisa hapa duniani tunapita tu.heri kumwogopa MUNGU kuliko kumtendea hivi.wanadamu kweli muogope MUNGU.
@MariamNasoro-xy3ep
@MariamNasoro-xy3ep 5 ай бұрын
Hiyo kufungiwa pia nihatari.akitiwa moto mlango umefungwa atasaidikaje
@molenicharles9107
@molenicharles9107 Жыл бұрын
Afandez VP mbona speech it not make sense!....halafu kama inatetemeeka vile🤓🤣😳
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 Жыл бұрын
Huyu diwani namkumbuka kwenye lile tukio la yule dada aliefumaniwa mwaka juzi akapigwa na kungolewa nywele 😂
@hadijahassan-gs8vr
@hadijahassan-gs8vr Жыл бұрын
Jamani jamani Mungu amfanyie tahafif
@farajashaban1073
@farajashaban1073 Жыл бұрын
Huyu Dada jaman kazidiwa hao wanaosema vibaya huyu dada wao majirani wanamsaidiaje huyu dada mbona kama mnamuangushia huyu dada mzigo pekee yake na ana watoto wawili jamani, msiwe waumgwana kumlaumu wakati hamtoi msaada jamani
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Mama yangu alikuwa hivyo lakiji nilifunga mkanda nikaacha yote nikamlea hadi kufa kwake na wala sikumsusa na mavi yake mie niliona kwa imani ya Mungu sikumtupa lakini familia hizi zinamtihani.
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Umesema mama yako huyo siyo mamayake
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Pole sana mama ako kafa na roho saf na ww na ww watt wako watakutendea mema km ww ulivyo mtendea mema mama yako inshallah 🤲😥
@omarabdalla928
@omarabdalla928 Жыл бұрын
Hongera mwanaisha Abuubakar mungu akuzidishie moyo wa huruma kwa wazazi nimependa
@jamilajuma3811
@jamilajuma3811 Жыл бұрын
Mimi namuelewa uyu dada😢 bibi yangu kagoma kabisa kuja kwetu mjin anang’ang’ania kubaki kijijin afie uko wakat ndugu wote wapo mjin, anatumiwa ela na vitu vya kujikim kila kitu anapewa lakin bado anawasumbua ata hao wanaomlea nao wamechoka lakin yeye hatak anang’ang’ania uko uko kiukwel inachosha ila hamuez elewa sometimes hawa wagonjwa wenyewe ni wasumbufu yaitaji moyo wa uvumilivu sana kudeal nao uyo dada bado mdogo sana.
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Hata mimi nipo pamoja na yeye
@simonballu1124
@simonballu1124 Жыл бұрын
ni kweli kabisa tatizo watu wakiona hivi wanajawa mihemuko, ila siku yakiwakuta wataelewa.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Kweli huyo binti anahitaji msaada mkubwa hawezi peke yake
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Unatakiwa ni UVUMILIVU Kwa ndugu na kujitolea Kwa hari na mali
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 Жыл бұрын
Cha msingi, na kupelekwa nyumba ya kulelea wazee maana huyo binti inaonekana naye anatafuta apambane na maisha yake na watoto wake, hivyo hawezi kukaa nyumbani kumhudumia huyo mgonjwa. Na kama nimemuelewa vizuri, hata uwezo wake sio mkubwa bado hata yeye anajitafuta hajajipata bado.
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Msingemfungia mngemuacha chooni angeenda watu wasingemnyima chakula hayo unayofanya binty utakuja fanyiwa hayo😭😭😭😭😭😭
@faridaislam236
@faridaislam236 Жыл бұрын
ww unaongea tuu hivyo kwasababu hujui
@musokedios8162
@musokedios8162 Жыл бұрын
Sasa hapa Mungu ataacha kutupiga taifa kweliiiiiii, Mungu aturehemu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Жыл бұрын
Wewe polis umesema'bibi Hutu apelekwe kwa wazee tu.
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 Жыл бұрын
Kama Una sema ukweli uwogopi mbona waongelea kwenye fensi ya uwa nyie majirani nao wambea wanafki Sana huyu binti umli mdogo hata ivyo anajitaidi Sana kulea Mzee kama huyu
@Rasheedsmartguy
@Rasheedsmartguy Жыл бұрын
Jumuiya inatakiwa kushirikiana na familia ya aina hizi kwaajili ya kuokoa uhai wa mtu
@ngwegwenurdin4318
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Lakini jumuhiya ijitoe kwa kutochagua. JUMUHIYA INA WAELEWA NA WASIO WAELEWA. HIVYO WAELEWA WASIACHE KUTUMIA HAIBA ZAO. Full atop!!.
@rubenprince8990
@rubenprince8990 Жыл бұрын
​@@ngwegwenurdin4318 serikali mbovu inatesa wananchi serikali ingekuwa na utawala mzuri kwa maendeleo ya wananchi huyo mama angekuwa anatunzwa vizuri ingekuwa huku ulaya ndugu zake wangeshitakiwa vibaya mno
@shadyaloaf8694
@shadyaloaf8694 Жыл бұрын
Huyo Eliza bet huyo mwenyekiti haongei ukweli anaonekana wazi km akapimwe na muende ktk hiyo sehemu ya tukio alipo vunja dirisha mbona maelezo ya wenziwe ht huyo jirani nitofauti na huyo mwenye shangazi yk maelezo tofauti
@JumaAlbadri-xb2sn
@JumaAlbadri-xb2sn Жыл бұрын
Kwanza hata anamoyo mie ningemkataa hata kumlea jirani mchukue umlee
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
dah dunia hiii jamani sote tunapita na hatujui tutapita kwa sitaili Gani mungu atupe mwisho mwema semeni Amina
@morjanoman5181
@morjanoman5181 6 ай бұрын
Ndio maana. Nchi za wezetu. Wanajenga vituovya kulea watuwazima kamahawa
@ashatybella8641
@ashatybella8641 Жыл бұрын
Dada nakuhelewe sana pongezi kwako🙏🙏🙏 wazee😂wengi huwaga awapedi kutoka kijijini 🤷‍♀️ afu mwisho wasiku hanaye lahumiwa niyule anaye hishina mzee huyo 🤷‍♀️🤷‍♀️ hila huyo dada nimemuhelewa vizuri sana kosa nila bibi hapo
@jescalutegonsombnambyakoda6719
@jescalutegonsombnambyakoda6719 Жыл бұрын
Wachaga wanaroho mbaya siwapendi mbwa hizi
@MariumKavishe
@MariumKavishe 6 ай бұрын
Haya sisi tunakupenda
@BlandinaadrinoEduadr
@BlandinaadrinoEduadr 5 ай бұрын
Inasikitisha sana lakin jambo la msingi jitathimin wewe unae gombeza ingekuwa wewe ingekuajeeee?
@atuganilemwakasangam2018
@atuganilemwakasangam2018 6 ай бұрын
Hana watoto jamani . Lakini kama familia imebaki hivo lazima kunatatizo la kufanyiwa uchunguzi wa familia yenyewe
@mankambise-ds3vy
@mankambise-ds3vy Жыл бұрын
Duu jamani muwe nahofu yamungu uoni ukatili washitakiwe pls
@Nasmaabdala-oz2su
@Nasmaabdala-oz2su 18 күн бұрын
Jamani kilimanjaro Aiko arusha mkoa wa arusha nakilimanjaro no tofauti
@asha-z3n
@asha-z3n 6 ай бұрын
Sasa sibora uyo wamemsaidia haya kunawazee wangapi wapo mtaani2 mmmmmmh huyo kaonekan ila kunaambao wapo mtaan wanapolala Allah ndiyo anaejuw
@katalamohamed4305
@katalamohamed4305 3 күн бұрын
Nipeni namba ya simu na proses za kumchukuwa
@elizabethfungo-uo3ve
@elizabethfungo-uo3ve Жыл бұрын
Angekuwa mama yake mzazi angesema amechoka kumuuguza daah
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Kwani unazani hawachoki nikwasababu niwetu
@christophersubiraga3525
@christophersubiraga3525 Жыл бұрын
Makanisa/Misikiti wasaidieni wasiojiweza kwa sadaka zetu na mjenge nyumba za kuwalea wazee na vilema. Serikali jamani kodi zetu basi zilee hawa watu wasiojiweza muwachukuege pia
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Жыл бұрын
Kodi zetu wanapewa yanga na simba wakifunga magoli
@PendoKinabo-ic5lj
@PendoKinabo-ic5lj 6 ай бұрын
Huyo dada alifanya anachoweza nyie wengine lolote liwakute maana mnaonekana mmepangwa
@MwanahawaSeif-d6k
@MwanahawaSeif-d6k 4 ай бұрын
Daah jmn tusiogope kufa tuogope uzee naumia moyo wangu kumuona bibi anapitia mugumu
@dunstankihaa2383
@dunstankihaa2383 6 ай бұрын
Mnamlaum bure huyo dada nyie mnaomuandama hvyo ingekua niny mngeweza?
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 ай бұрын
Pumbavu huna aibu shangazi yako unamfanya hivo hebu nenda nae polisi
@rizikinassor5618
@rizikinassor5618 Жыл бұрын
Wachaga kweli ni wskikuyu wa Tanzania
@asteriashios1852
@asteriashios1852 7 ай бұрын
Hana watoto au ndugu zake? Km hawana msaada basi apelekwe Kwa wazee njoro hongera diwani juma Kwa msaada wako
@estherjackson6038
@estherjackson6038 5 ай бұрын
Huyo mama jiran ni mnafiki
@jacklinejacklinejonh6530
@jacklinejacklinejonh6530 Жыл бұрын
Ivi nyie wenyo roho mbaya huwa mnajisikiaje
@edithamushi430
@edithamushi430 Жыл бұрын
Huyo dada kweli ni mdogo anamwita shangazi huyo baba yake yupo? Makosa ya huyu dada alitakiwa atoe taarifa kwa ngazi za jamamii ili adaidiwe
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 10 күн бұрын
We mdada nwisho wako unaujua acha maneno endelea kumuhudumia
@morjanoman5181
@morjanoman5181 6 ай бұрын
Tz. bado tunashida sana kipato kidogo kwamba mtu anawaza nitapataje pesa ili watoto wale utakuta mdawa kuwaangaria ma bibi. Ni shida
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Huyu msichana nimemuelewa sana ingawa amekosea kumfungia bila hudu ya Choo
@jumakilongo-qz1jb
@jumakilongo-qz1jb 6 ай бұрын
Unyama mtupu binadamu hawana hofu hata kidogo
@pendojerremiah1396
@pendojerremiah1396 Жыл бұрын
ni hivi huyu ni shangazi mtu dada au dada zake mgonjwa wapo wapi kwenye familia yupo huyo dada peke ake huyo dada ni shangazi2 na vipi kuhusu watoto wa huyu mama msimlaumu dada wawatu bhana hata hivyo amejitahidi sana
@marthababere2444
@marthababere2444 Жыл бұрын
Kama hujawahi kuishi na mgonjwa wa akili utajudge huyu dada
@charitymbukwa2987
@charitymbukwa2987 Жыл бұрын
Kabisaaa📌
@MariumKavishe
@MariumKavishe 6 ай бұрын
Yaan
@rahmasabuni3425
@rahmasabuni3425 2 ай бұрын
Hakikawatotowake watalaanikamilele
@JohnMbughi-p8k
@JohnMbughi-p8k 6 күн бұрын
Ujinga huo dada huyo mpizi
@KhadijamussaMachapat
@KhadijamussaMachapat 24 күн бұрын
Sasa anaogopa mbaka mbina amuudumi yy yuko uko katulia tu
@RidhaaHamisi
@RidhaaHamisi 6 ай бұрын
Huyo dad ipo siku ita mfika.malipo ni haha hap dunian
@MaryLukumai-n9g
@MaryLukumai-n9g 3 ай бұрын
pole san dada hat hivy umepamban
@AminaRajabu-mm1jf
@AminaRajabu-mm1jf 6 ай бұрын
Simumchukue nambea wenu
@MariumKavishe
@MariumKavishe 6 ай бұрын
Wamenkera huyo dada anajtahdi halfu wambea wanajshaua
@HabibaAlly-o7y
@HabibaAlly-o7y Жыл бұрын
Rais wenu kutwa safari na kulipia magori ya mpira
@RyycRaji
@RyycRaji 6 ай бұрын
Polee dada mung atakulipa ulichofanya ya binadamu acha wahukumu wao
@Husseinmohammad446
@Husseinmohammad446 5 ай бұрын
Huyu dada ana makosa ila halikosa uwenzo
@sogadariwafunuaji
@sogadariwafunuaji Жыл бұрын
Kama nimimi ningempeleka jela mwezi6🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@janedenisi7056
@janedenisi7056 Жыл бұрын
Jamani hii kitu ikikukuta utaomba poo mimi nilimlea shemeji yangu peke yangu hadi akafa familia wala haikuona hilo tena wakaona kama ninajipendekeza duuuu kumlea mgonjwa ni kazi ngumu sana inayohitaji hekima sana pole dada najua unapitia nini
@jwisetv4833
@jwisetv4833 Жыл бұрын
Huyo mdada me naona amejitahd yake yote cc ni binadam kila mtu ana kikomo cha uvumilivu af isitoshe huyo dada amemjua huyo shangaz yake ukubwani
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
Chukueni hata acheni maneno mengi
@bennagemeestate820
@bennagemeestate820 Жыл бұрын
Huyu jamaa anabwabwaja kwa jina la meya mgonjwa kasema kaoga jana miezi anatoa wapi yeye kama anataka kura kwann asingekuwa walau anampambania
@annamadavid4152
@annamadavid4152 Жыл бұрын
Huyu Dada anastahili sifaa lazima kuna mema kamtendea Ila kosa moja huwa linahalibu mema mia moja anachokaa bado mdogo watu wenye mapungufu huwa wasumbufu sana,
@LetisiaKazimili
@LetisiaKazimili 7 ай бұрын
Ata kama ndoo amnyime mpaka maji na chakula😮😮?
@annajohn8597
@annajohn8597 Жыл бұрын
Pole shangazi mtu kwa majukumu makubwa
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Wanashindwa kumdhukru tu huyu bint kajitaidi sana mie tu nisingeweza kulisongesha gurudumu hilo
@jacklinemwaleleka236
@jacklinemwaleleka236 Жыл бұрын
Jaman msimlaum uyo dada sisi tumeuguza mgonjwa wa aina hii ni Kaz yataka moyo na uombe mungu usiwe na kipato utakimbia ni shida jmn n shda embu achen lawama kwasababu halipo kwako
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 Жыл бұрын
Unatafuta kura wewe Diwani.
@mankamacha4383
@mankamacha4383 Жыл бұрын
Kuna taarifa msitu wa Monduli unawaka moto leo cku ya nne tuaomba taarifa zaidi 🙏
@lwanjiedna5233
@lwanjiedna5233 Жыл бұрын
Hana laana huyo ni mgonjwa wa akili maskini
@AmaniboiTz
@AmaniboiTz Жыл бұрын
Machozi yamenitoka😭😭😭
@DinaJuma-fc6dm
@DinaJuma-fc6dm 6 ай бұрын
Mnamlaumu sana huyu msichana
@kawiche4911
@kawiche4911 4 ай бұрын
SERIKALI IKO WAPI SERIKALI ITUNZE WAZEE Familia ndio wanajukumu lakini serikali itoe hela kwa ajili ya Wazee
отомстил?
00:56
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHOIR
6:32
Njiro SDA Church
Рет қаралды 14 МЛН
MAMA HUYU AWATOA WATU MACHOZI KWENYE IBADA: BISHOP ELIBARIKI SUMBE
15:54
Bishop Elibariki Sumbe
Рет қаралды 1,2 МЛН
отомстил?
00:56
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН