LIVE: Mwendelezo wa Exclusive interview ya kwanza ya Alikiba na Mkewe #AlikibaDay #LeoNiSikukuu
Пікірлер: 437
@CLOUDSMEDIA6 жыл бұрын
#AliKibaDay
@ahmedabuu76166 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA can i see this live?
@rashemanalow39446 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA kooo! uyo Kiba mbona anambaniaa mkewee asijibu maswal
@alikiba97236 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA oya mwambiyeni #KingKiba nikotayari kurudisha mahari yake anipe uyo mke wake #BiAmina bhana duhhh🔥🔥😍🏃🏃+1
@ahmedabuu76166 жыл бұрын
Rashemana Low sio kla swali lahitajika lijibiwe,
@khadijaomar21556 жыл бұрын
CLOUDSMEDIA Amina was the Prophet's mother , not wife as your presenters stipulated on the radio.
@ladynerfertitti17106 жыл бұрын
Amina is so shy, can't keep eye contact
@natasha79696 жыл бұрын
Wasanii wetu wana mengi sana ya kujifunza kupitia Maisha ya Ali Kiba. Kwanza hongera kwa kuowa mwanamke alie lelewa kutoka katika mifupa ya kiungwana. I love everything about your wife. Mrembo, mpole, ana sifa za mke. Uso umemtulia. Yaani HONGERA kaka! Mashallah Allah awaongezee mapenzi, uvumilivu, na Baraka tele. Nimependa your new song!
@halimaraj51256 жыл бұрын
Gonga like kama unaikubali hii couple
@mariamukijumbe51806 жыл бұрын
Halima Raj pamoja sana
@rahmahussein40196 жыл бұрын
She's simply beautiful mashallah ❤ thank you for getting married..Ali kiba
@JIMBO_MEDIA6 жыл бұрын
MaShaAllah Tabarakallah. Much love from 254 Mombasa
@latifahdaggo55946 жыл бұрын
mashaallah ally Mke umepata
@sallykanze6 жыл бұрын
Wow Ali kiba mashallah kaanza kunga'arishwa na dadaetu Amina hongera dadaetu Kwa kumng'arisha shemela wetu,,, mombasa hoyeee!!
@anneemmanuel73636 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs Hoyeeee
@user-lw3qd3bn9z6 жыл бұрын
Jefason Kingy Mrs hoyeee sanaa
@mwanaajuma39456 жыл бұрын
Amina mashaallah mstaarabu ... mola akuzishie imani hiyo hiyo
@fadhilisaidi6856 жыл бұрын
twaza sam
@zamzamhamisi73326 жыл бұрын
Jamani nawaonea wivu mungu awape maskizano na umri kwanza mulivovaa oyooooo
MASHAALLAH Kiba tulia my brother mke umepata Allah akupeni subra na midomo ya waja maana kama mavuvuzela zbeni masikio kamwe Allah awalinde ktk ndoa yenu.
@arafahajj90766 жыл бұрын
Mashaalla Amina hakuwa mke wa mtume ila ni mama wa mtume
@missmoona44976 жыл бұрын
Maashallah bint katuliaaaaaa pia kiba wote wametulia.angelikuwa kina mwanafulan wamakiki hapo hashuo mojakwamoja kushikana kutuonesha mahaba yakishamba moja kwa moja hawa nimewapenda sanasana mwaaaa maashallah bint mzuuuuuuur sana wangelikuwa wa bongo hapo mmmmmh
@emmahtumaini73606 жыл бұрын
miss moona hahahaha umesema kweli
@ummunaa4246 жыл бұрын
miss moona kweli usemayo
@fatmakhamis10186 жыл бұрын
msiseme hivo bi amina ni mama yake mtume muhammad mzazi msiseme msilo lijua pia sio kila mtu ana paswa kua na wake zaidi ya moja kuna sheria zake
@missmoona44976 жыл бұрын
emmah tumaini kweli mummy kwan uongo
@zamzamhamisi73326 жыл бұрын
miss moona kwanza kina mwafulani wangetinga vimini na vitop na nyele zao zile kama wanauzwa
@florenceholmen83046 жыл бұрын
Nimempenda bure mke wa Kiba. Anajielewa
@fungafungatv4485 жыл бұрын
Duh amina anaaibu sana Kiba umepata mke
@ARi-gp3cm6 жыл бұрын
Usicheze na Wakenya...nimempenda bure...Sauti nzuri...Ali Kiba amepata kisu...Mashallah
@sish70126 жыл бұрын
Yani kiba nakupenda sana maisha yako ww na familia yako atausipo toa nyimbo mm nitabaki kuwa shabiki wako
@husnajuma23046 жыл бұрын
Nampenda mke wa alikiba ametulia sana
@poultheking49986 жыл бұрын
Fyuuuuuuuuu
@poultheking49986 жыл бұрын
Mamae
@sish70126 жыл бұрын
Ndonn
@yonathanyona29266 жыл бұрын
kweliiii iii.....mi mwenyewe nakubaliii
@zunirasalim76606 жыл бұрын
MASHA ALLAH tabarakallah...mungu awape maskilizano awajalie vizazi vya kheri
@awadhally10523 жыл бұрын
Mmpendeza wadada mashaallah
@asiazuberi97226 жыл бұрын
Mashaallah mmependeza kiba na bi aminaa
@SwahiliSpicE6 жыл бұрын
Bi Amina is so beautiful, elegant and poised stay this way ❤️
@lindasasha9886 жыл бұрын
ukiwa mstaarabu lazma hata mke upate mstaarabu hongera kk ang kiba
@salamaomary66046 жыл бұрын
Mwanamke ma sha Allah... Macho chini 👌👌👌 sio kina fulani macho juu juu kaa waangalia mwez👀👀
@aminaally20296 жыл бұрын
Salama Omary 😂😂😂
@majidfrolian49056 жыл бұрын
Salama Omary ahahahahahahaaaaaaaaaaa utaniua we Dada kwa kuchamba, eti kama wanaangalia mwezi
Yes gal show them Kenyans we don't talk to much😍😍nawatakia kila la kheri kwenye ndoa yenu👌✌
@shazdelacruz98006 жыл бұрын
I love them wlhy from 254 one love shemeji wetu
@gggjjahhhh94196 жыл бұрын
Masha Allah kinga hapo umepata mke kwakweli Allah awalinde
@mwaminindayishimiye44346 жыл бұрын
MashaAllah Mme pendeza saaana Ali kiba na b.Amina much love from UK in Newcastle
@emmahtumaini73606 жыл бұрын
Mashallah mashallah kiba u are lucy one,nawatakia kila la kheri karika ndoa yenu,mwenyezi mungu awape baraka tele tele
@healthchoicewithluciebern87416 жыл бұрын
emmah tumaini lucy one???
@iddijuma36505 жыл бұрын
Lucy....did u mean lucky?
@aminakshamoona69006 жыл бұрын
Amina mrembo mashaAllah na endelea kujistiri hivyo hivyo mama utaheshimika
@charlslulu75526 жыл бұрын
Bi Amina hata hayuko interested na mambo ya media, hadi raha!!!
@JumanneShabani-lp7gf3 жыл бұрын
Masha Allah
@nickymeel9866 жыл бұрын
Mwanamke staarabu kiba..mashallah uliwahi chombo
@winniemack11506 жыл бұрын
Bi amina una sauti nzuri jmn
@marietajohn29136 жыл бұрын
big up kiba mydear mungu azidi kuwapa upendo
@amissaniyonzima99056 жыл бұрын
Bi Amina ni mama yake Mtume Muhammad SWA mtangazaji.
@neemakilomoni42586 жыл бұрын
Mashallah Mashallah mke wetu mzuri kweli bi Amina Hongera sana king kiba umtunze mtoto huyu kama mboni yako ya jicho 👌🏾😂
@pexloharun72976 жыл бұрын
A king will always be a king👑👑👑
@ruthamimo30956 жыл бұрын
king kiba I love the way u always answer those guys , yani majibu yako unaipanga kwa mdomo ndio itoke, sio eti unaropokwa, I love it, may ur family have peace always and let God take control of anything in , may God bless your marriage and live happily life with ur wife
@suleimanali37166 жыл бұрын
Mm nakushauri km hutojali,, huyo mkeo usimusishe na media kwani hapendi,, na heshimu hilo king kiba,, kwani sio mtu wa media
@railamypresidentrailamypre6296 жыл бұрын
Suleiman Ali umeonaee na c poa pia
@margaretkuvunangomengome14476 жыл бұрын
Suleiman Ali umeonaee kaka. Kiba asimueke wazi mno mkewe maana hawezani jamani
@alikizungu2814 жыл бұрын
King kiba kwa na maamuzi ktk jmbo
@mwanakomboomar80256 жыл бұрын
mashallah mwenyenzi mungu awajalie kila la kheri kwenye ndoa yenu,mmependeza sana
@EngTAMIM6 жыл бұрын
Mashallah allah akujalieni maisha marefu ya kheri na baraka
@swaumukiwayo31156 жыл бұрын
Mashaaalah dada mzuri halafu mstaarabu
@FatmaMohamed-xh4dl6 жыл бұрын
Definition of a nice couples😍😍😍Allah Barik In Sha Allah
@diyananatasha78386 жыл бұрын
Mashaallah Amina Ally hongera sana kwa kupata jiko nzuri mola awaepushie kadhia za walimwengu katika ndoa yenu idumu milele Amen
@roselyamba5 жыл бұрын
Ally is so protective of his wife
@FlorenceDDR6 жыл бұрын
💞💞💞💞💞🙏🏾🙏🏾🙏🏾 and God Bless
@neemamayco32384 жыл бұрын
Ila amina nampenda bure mpole mstaarabu sana dada mungu akujaalie
@msaflus24926 жыл бұрын
Amina alikuwa mama wa Mtume ... mke wa mtume alokuwa kipenzi cha wengi ni bi KHADIJA mke alokuwa amemzid umri mtume lkn alikuwa ana mheshimu kuliko kawaida
@tatuomar41646 жыл бұрын
manshaallah mke mzuri lakini acheke bwanaa
@rachealpeace35096 жыл бұрын
Waw i wish you all the best king kiba.
@jkizondoswahilibites4346 жыл бұрын
Please try and make us proud Amina by being Organized prior to any planned interview. Reason out with facts, don’t give short replies, explain further. Use your education and reasoning capabilities well. You a Kenyan! Kenyans are smart bwana!
@faybaibe90236 жыл бұрын
samreen st clair heheee ila ni mpole tuu don't blame her
@sarapreciousbryson12366 жыл бұрын
But that wasnt about being smart..There are the questions she answered directly...other qns were teasing her so She ddnt see the reason to answer such questions Coz Tanzanians are way too much if yu speak alot yu may find urself misunderstood and People will believe their own message..And so far she is a Muslim .She knows wat she was doing and that interview wasn't meant for her but for Alikiba
@shamhamadhamad6103 жыл бұрын
Nmependa jinsi Amina alivomwangalia Kiba alivoulzwa kuuc kuzaa, mahaba bin bahabat
@ireneomanje6 жыл бұрын
Mashallah. Penda Nyinyi sana. King kiba worldwide
@neemafabiani30526 жыл бұрын
mungu akuzidishie hekima amina kiba hakika wew ni mke mwema
@naimamohd13996 жыл бұрын
Da Amina Mombasa uko pia kwetu kuna bibi zangu uko!werawera kwetu raha upate mofayaaaa mh!kwel rahaaaa
@kacheali47776 жыл бұрын
Somo uko mrembo majina ya Amina always beautiful .May God blz ur marriage siz najivunia kuona unaongea vzur kwa interv Kenya twafurahi sana..
@mrchipeta9646 жыл бұрын
Nampenda mke wa Ally jaman ni mpole
@iddatysupergirl65816 жыл бұрын
MashaAllah couple nzuri bi Amina katuria mwanamke stara 😍😍
@sikitu89575 жыл бұрын
nilivyo kuwa na angalia iyi interview nili jihisi eshima imeshuka ndani yangu
@ramlaali83156 жыл бұрын
Swadakta dadaa ,, mwanamke wakiislamu anatakiwa awe na haya hivyo ndivyo tunatakiwa tuwe sio mwanamke kuwa macho juu juu haifai na ni makosa
@rahelbaynit74906 жыл бұрын
Saffi kiba mungu awatangulie mzae watoto wuzuri
@majidfrolian49056 жыл бұрын
maskini bongo mademu Wa kibongo nawaonea huruma saaaaaaaaaaaaaaaaaana
@josephchristian19276 жыл бұрын
msema kweli dungu yangu alikiba ,kweli nakupenda,sana tena sana.unatuliya,na tena muke wako hasa anatuliya,nayitakiya ndowa yenu iwe ndowa ya Amani na mafanikiyo zaidi
@naimamohd13996 жыл бұрын
Wifi masha Allah sauti tamuu km yakwngu mzanzibar halisiiiii ayo macho sasa kama mapacha!love you
@hashimumkunda34826 жыл бұрын
Naima Mohd umeolewa?
@naimamohd13996 жыл бұрын
Hashimu Mkunda bado kwani vep
@hashimumkunda34826 жыл бұрын
Naima Mohd . tunataka tuje tukakunusuru. kwani ni zawadi kutoka kwa ALLAH mashallah
@naimamohd13996 жыл бұрын
Hashimu Mkunda mh! Huachi!mkaazi wa wapi ww??
@hashimumkunda34826 жыл бұрын
natokea Dar-es-salaam. namba yangu ni 0652047194
@nurually36876 жыл бұрын
kiba mungu awape masikillzano bro
@musarichard11884 жыл бұрын
Ok
@mwanahalimamwachili96796 жыл бұрын
Maa Shaa Allah mbarikiwe sana.
@hamisihamisikivulale62906 жыл бұрын
Kiba umeowa kisu baba simchezo
@maryammarym44376 жыл бұрын
Mashaa allah hongera kingi! Amina kazuri
@tinivanny75626 жыл бұрын
acheni ujuaji AMINA alikuwa Mamake Mtume
@JIMBO_MEDIA6 жыл бұрын
Bi bi sio ujuaji. Wamekosea unafaa urekebishe sio kumsema. Dts Islam
@chaksechakubuta91496 жыл бұрын
Bi bi Ahahahhaahha
@fatmajuma88956 жыл бұрын
Bi bi
@asmahahussein85056 жыл бұрын
Mashallah,mpendane daima!!
@zenaally97075 жыл бұрын
Wamependeza Mr and Mrs kiba
@shemsakiobya61466 жыл бұрын
binti anastara kweli, na nyie watoto jitahidini
@aminamohamed75466 жыл бұрын
Greetings from +254 👐👐
@asiahamza64006 жыл бұрын
Kiba wetu Pendeza na mkeo
@nicolausjoseph81536 жыл бұрын
Big up sana mzee baba king kibaa
@naimamohd13996 жыл бұрын
Kiba umepata mke masha Allah
@fbhj4436 жыл бұрын
Masha Allah mwanamke stara
@khamissyislam8306 жыл бұрын
Wooooow Allah awape maisha mazuri
@husseinfatime97685 жыл бұрын
Japo kua nimechelewa but I really love this couple its cute from +254
@claragodfrey67406 жыл бұрын
mungu awaepe baraka kwenye ndoa yenu.
@mwanaidvuai20296 жыл бұрын
Clara Godfrey
@zuu90076 жыл бұрын
Point of correction Aminah Alikua mamake mtume
@afidhiarabi19996 жыл бұрын
kiba kaoa mke mzuri xaana
@internushkaal-adawy14656 жыл бұрын
Ally Anawivuuu Mashaallah
@missmoona44976 жыл бұрын
Mtt Maashallahu mnapendeza sana zaid ya mia 900 hahaha hahaha
@funnychannelsubscribehussa84506 жыл бұрын
miss moona
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Nawapemda sana Brother kiba na mkeo, mke mzuri adi sauti.
@sadasada83666 жыл бұрын
Mashaallah
@amenaamena33336 жыл бұрын
Asante kwanyimbo wajina hongera sanaa👌
@neemarichard39046 жыл бұрын
king kiba hujawah niangusha woow wifi mashaallah ana adabu katuliaaa mpaka raha ila clouds matangazo kibao mpaka kero mmenikeraa😏😏😏
@bantuempress17446 жыл бұрын
Amina tuwakilishe dada, wanyooshe hao watz kwa sababu hawaishiwi kusema vibaya.Waoneshe cc ni waastarabu hatuna kufake fake vitu tuko real.
@singlemom69156 жыл бұрын
chriss cherry weeeee tena ustop akizingua tunamtimua chezea sis weweee 🤘✌Zari yuko wapi Idi Amin Dada yuko wapi na Sara wa Amonaiz yupo njian kama chupi pumbavu wew upole wa Amina haufanani na wew uko tofaut 😂😂
@subiransasi80296 жыл бұрын
ovyo
@poultheking49986 жыл бұрын
Fuck
@singlemom69156 жыл бұрын
Poul The King who want 🖕🖕🖕fuck?
@sheimaaabdallahsheimaaabda82006 жыл бұрын
chriss cherry Sana tuuu
@graphixmaster61466 жыл бұрын
Kusema ukweli Alikiba anaboa kwenye interview, anabagua sana maswali ya kujibu. Too much!
@worldcuisine91026 жыл бұрын
Subhaanallah Jamani clouds Amina ni mama wa mtume muhammad (saw).. na sio mke wake
@majidfrolian49056 жыл бұрын
jomooon kadada kazuuuuuuuriiiiiiiii
@ashanzaro75786 жыл бұрын
mashaAllah
@faizabaishe51725 жыл бұрын
Kwa sasa Amina sema mambo hayanishinda na nyumba yangu
@ahmadmpilipili28995 жыл бұрын
King kiba umeuowa kitu kipya cha Kenya
@hawababy45856 жыл бұрын
Mashaallah mmependeza sana
@adidjarams51966 жыл бұрын
Masha Allah, mkiweka dini yenu mbele Mtadumu milele my King
@anudenation63786 жыл бұрын
Perfect
@farajakitiku15516 жыл бұрын
Amina usikubali
@janetkairu19506 жыл бұрын
Hongereni sana Ali kiba na Bibi yako
@amirsab11586 жыл бұрын
Nawapenda kiba na mkeo mashallah
@kokusimamrashani16336 жыл бұрын
Nexttime if you need 2 interviews this girl or women musimwalike tena Alikiba yaani invitation aje mwenyewe atakuwa more open .