Nyonyo tuu linatosha kuelezea kama umezaa😂😂😂 hongera sana
@MohamediKalanje2 ай бұрын
Roja umekuwa kibonge aisee
@osmundmtavangu2 ай бұрын
SEMA carrymastory hajawahi kuwa serious, ndio maana wanaume wanampotezea
@uwimana65333 ай бұрын
Tulikumiss sana carry mastor 😂😂 mambo yakapo 😂😂😂
@Zeanbo1234-pn8tg3 ай бұрын
ww kunamtoto jaman. Mbona. Unakataa. Mtoto Tena wakike. Angalia. Hta ziwa. Lako jaman. Duh. Furaha umeitwa. Mama
@maryamtanzania97433 ай бұрын
Najua kukupenda tu
@zahrababygarl15683 ай бұрын
Mzuri jamani
@zeyounhabibty85873 ай бұрын
Wallahi sijategemea hata wewe ungedanganya Jamii dah kweli ulimwengu wa mtandao usimuamini mtu 😢
@sofiajumaa45382 ай бұрын
Umezaa bwanaa Muongo weweeee toka zako hapaaa
@Legends_Interviews3 ай бұрын
Anaonesha amezaa
@رقيهالخصيبي2 ай бұрын
Ni kweli hata maziwa yanaonyesha labda wasiojuwa
@ferezaisaack98363 ай бұрын
Maziwa yamekuwq makubwa hivyo kweli duh
@aminaomary55673 ай бұрын
❤❤ Hongera mama 🎉🎉🎉🎉
@Havani-v5g2 ай бұрын
Naubaya zaidi hunasidiriya yaukweli
@WendoJuma3 ай бұрын
Tutamuuliza Dada Wa Mangekimambi..subiri tu
@zamzanimakundi25463 ай бұрын
Hujawahi kusema una mahusiano.pili una mtt nadhani mtt ana miezi 5
@AgnesManimba3 ай бұрын
Umezaaa nawe unatupanga
@SalamaKabendera3 ай бұрын
Hata mtu anaenyonyesha anaonekana
@JanetAhmad-v3h3 ай бұрын
acha kuduchanganya lokole hajawahi danganya umezaaa ebu tukia
@OfficialA836403 ай бұрын
Ila kamwili kamekuja Maa'shaallah na ziwa limetoka bwana mtoto tunae hapo😂😂😂
@Catherine-mh8sw3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@hejmabohejhej92 ай бұрын
Ndio ukaaji gani wakujichanua
@julianapeason62542 ай бұрын
yaani 😳😳😳😳
@zeyounhabibty85873 ай бұрын
Interview nzima swali la ujauzito basiii aghhh !
@sofitanzanian9553 ай бұрын
Mmbea anahojiwa
@user-xy8kl9wd2i3 ай бұрын
Kwani ukisema tu umejifungua utakufa🤔
@KhadijaSadiki-n3t2 ай бұрын
Wa2 bwana sasa paulla kakukuta kwenye game gani😂😂😂
@shamiraabdallah31583 ай бұрын
Huyu dada nampenda.
@michelinemapendo66523 ай бұрын
Kiukweli Mariooo atakuja kujutaaa😂😂😂
@ASHAKHAMISMUSSA3 ай бұрын
Paula anajielewa amekua sio yule wa raivanny yuko na marioo wanakaribia na miaka 2 na mtt wameshapata mwacheni jmn
@ChristerLuvanda3 ай бұрын
We nae
@simbawateranga70203 ай бұрын
HAYO MANYONYO UNASEMA HAUNA MTOTO 😢
@ferezaisaack98363 ай бұрын
Kakatwa naye na Mdomo wote fyeeeeeee
@alsam48813 ай бұрын
Yaani kuna baadhi ya wabongo ni hvyo kabisa hawawezi kufanya kazi nyengine yenye maana na faida zaidi ya UMBEYA, UCHAWA NA KIKI na yote hiyo inatokana na kwasababu hawana maarifa na Uvivu umewatawala.
@mayungakisinza60903 ай бұрын
Nilikutana na we tegeta uko na mimba hata maziwa yanaonyesha acha kutuona watoto
@shukurukitamuka68292 ай бұрын
Amejifunguwa ona ziwa bonge au katowamimba😂
@agyemma28742 ай бұрын
kwakweri na me nimeona
@nadhifamustapha75572 ай бұрын
She look like +
@RamadhaniSaidi-wq8ym3 ай бұрын
Hapo kwa Wema umesema ukweli kwa hadhi yake pale mwanaume hamna mm naumiaga Diamond na Wema ndiyo walikuwa wanaendana sana Sasa wamejikuta wako na mausiano Bora liende kipindi hicho mji ulikuwa wa moto
@zuwenaabdallah77483 ай бұрын
Halafu kanoga sana❤
@allymdoka86343 ай бұрын
Mtindi sasa
@twiseghekisilu88453 ай бұрын
Nyonyo hiyo carry
@adelinabaitu32913 ай бұрын
Wewe no sta??? Kwaheri
@nishgold41603 ай бұрын
Nilikua nimemiss storry za carry
@AfricaQueen3 ай бұрын
😏😏😏😏Huna haya wewe mbeya mkubwa Sema Ukweli Mtoto Tunamuona jirani yako unamjua Na mtoto wa kike kwendraaaaaa ndio umeumiza watu roho zao shenzi wewe peleka jiziwa hilo mtoto akanyonye Na sasa ndio utaona uchungu wa mwana wacha uchawa unaharibu maisha ya watu Na wewe umekaa kama jike dume nyoko wewe🫵🏾
@teddygabriel56623 ай бұрын
Heew
@hellendaniel38093 ай бұрын
Stresss ni mbaya. 😂😂😂sasa makasiriko ya nn😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salhawaziri16683 ай бұрын
Khaaaa ni gongo umekunywa au ni roho mbaya unayo ,,kwanza walevyi wanaupendo..wew utakua mjukuu wa nyetanyahu
@AfricaQueen3 ай бұрын
@@salhawaziri1668 😏😏😏heri ya gongo kuliko wewe msago wa kutoana cheche kiboko yenu mange njambavu wewe mlevi wa kungu Na mirungi katafute mwenzio akutoe cheche mnamfurahi jibrilli mtoa roho za watu mwanamke wa kislamu shuahin kelp wewe muarabu koko😏🫵🏾
@AfricaQueen3 ай бұрын
@@salhawaziri1668 unaleta mambo ya kijijini hapa 🫵🏾😏haya karibu mjini mjiniii sura yako mbaya kama huyo mbeya wako wa mjini 😏😏😏😏🤪🤪🤪🫵🏾
Carry bana sie tuliopitia uzazi tukikuangalia tu tunajua wewe ni mzazi, nikiangalia kifua chako tu kinaonyesha wewe ni mzazi kabisa 😀, ila mi nakupendaga mwaya
@fausterkalinga62403 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@RashidiHassani-b6z2 ай бұрын
Umbea wake ,mbona hamsemi alie mpa mimba
@sofitanzanian9553 ай бұрын
Kidumedume
@Havani-v5g2 ай бұрын
Maziwa yashatanguliya hayo ww wacha kusema uwogo
@Zeanbo1234-pn8tg3 ай бұрын
3:42
@Mgema0013 ай бұрын
Kesho tegeta asubui sana😂😂
@Carrymastory3 ай бұрын
🤣😂😂
@habibaraphael65833 ай бұрын
Kanenepa maziwa tuu
@AnjelaNgowi2 ай бұрын
Kila mfano unamtolea paula ndio Roll model wako?
@TatoTato-t7s3 ай бұрын
Ziwa limejaa
@lucyjohn35373 ай бұрын
Alipewa ajira na mange sasa mambo yameyumba Kwa mange ndo anataka kurudi
@khadijachacha31563 ай бұрын
Amekua kama masha manyonyo baada ya kuzaa ziwa limekuja kwa kasi 😂😂😂😂
@beatricejohn16593 ай бұрын
Mungu akiandika hakuna malaya wa kupinga..Zuchu na diamond platnums forever..Tuondolee wivu kanyonyeshe huko.utakuwa umezalishwa ukaachwa ndio maana unaficha 😂😂😂😂😂nyambafu mbea yamekukuta eeh
hibi sasa njo kuonekana mzazi maana ulikua kama mwanaume😅😅😅😅
@eestermos99333 ай бұрын
Kapendeza mno kanoga
@Anzalmidel2 ай бұрын
Kwa hiyo wacha umbea utapendeza zaidi
@AminaJuma-r4y3 ай бұрын
Wacha kudanganya huma wewe ni mzazi tulie zaa tunajua
@fettiemaganza14843 ай бұрын
😂😂😂😂Siku zote najuaga ni mwanaume
@ingabireshakira96313 ай бұрын
😂😂😂
@hemedyawadhi29353 ай бұрын
Kanoga
@MwacheoHanzada3 ай бұрын
Ila wakuzaa hajifichi maziwa yako full fat
@YuzzoboiTz3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@channyanjen90473 ай бұрын
Zuchu na diamond wanawasumbuwa sana umbwa wewe
@TatoTato-t7s3 ай бұрын
We ndo unasumbuka mbwa mwitu mwambie aoleww asichezewe kenge wewe
@annajoseph99553 ай бұрын
Kanoga balaaa
@michelinemapendo66523 ай бұрын
Munooooo😂😂😂😂😊😊
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Yani for fan alafu unamchafua mtu kwer?? Yan bongo bwana...Yan upate wewe kwakumchafua mtu mwingine kwer
@Brunn-mh2bq3 ай бұрын
Mhh. Wewe na hizo "kwer" zako unatuudhi
@jamilaathumani54813 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq kwer enhe🙆🤷🤣
@Catherine-mh8sw3 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq😂😂😂😂😂😂😂😂
@Catherine-mh8sw3 ай бұрын
@@jamilaathumani5481jitahidi basi
@ashaali71543 ай бұрын
Mungu anawalipa kwa kuwadhalilisha binaadam wengine. Mungu atawahukumu tu na bado kama hamna mashamba ya kulima mutakoma. Sasa tangazeni yenu wajinga nyie