Waandishi tunawapenda sana lkn tunaomba mumpunzishe huyu bint angalau kdg asahau mnapomhoji kila siku na kumuuliza maswali khs mamake hatasahau haraka tunawaomba sio kwa ubaya
@mizesuleiman18342 жыл бұрын
Yy pia anataka mbona dida hawamuulizi
@salomewandya72572 жыл бұрын
Kweli rafiki wa kweli ni mama pekee
@lucykonyo91982 жыл бұрын
Hakuna mtu anaweza kumjua mtoto kama mama....yamenikuta na Mimi hayo......namsic sana mama yangu😭😭
@magretsamba50022 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana...Umenifurahisha na maneno Yako ya hekima
@mwabakabwe97332 жыл бұрын
I love ye so much ❤️strong woman lulu diva ❤️frm Zambia
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mtu wa kawaida awezi kuelewa hiki kitu ila kwa sisi tulioondokewa kabla ya kufikisha miaka 18,ndio tunaelewa, Pole sana lulu, ubinadam ni kazi sana, Allah akupe faraja any time 🙏
@zawdatkidesu15552 жыл бұрын
Pole san lulu huwa naumia sana nikikuona huwa napata uchungu sana nimejifinza kitu kupitia wew lulu ### uchungu wan mwana aujuwae mzizi na uchungu wa mama upo kwa mwanae
@rahmaabdulrahman41302 жыл бұрын
Kabisa dear😭😭naelewa sanaaa
@serianjamal82542 жыл бұрын
Shangazi nimekupenda buree. Hongera sana Lulu diva wewe ni mwanamke wa shoka 😘🇬🇧
@habibakhalfan10652 жыл бұрын
Shangazi_uko_vizuri_Mungu_kakupa_mtoto_Shukuru
@noorissa60362 жыл бұрын
Hakuna km mama jamanii duaa muhimu kwa wazazi wetu waliotangulia mbele za haki
@vionahsikanga22092 жыл бұрын
Be energerzed God will be will be with you always
@heriethkusigwa39962 жыл бұрын
Nilipita huko mpk Leo sijawahi kupona...Mungu akuwekee pazia Diva 🙏🙏🙏🙏
@euphrasiantawatawa15102 жыл бұрын
Umenigusa sana Lulu,nimepitia hayo pia,Pole sana,Mungu azidi kuwa mfariji wako
@kkali20002 жыл бұрын
Its sad to loose mother Lulu pole sana but jitahidi kujikaza na muombe mungu ampumzishe kwa amani
@Farajahelene230312 жыл бұрын
love you lulu take heart sorry for you lost
@umazinada96662 жыл бұрын
Pole Sana dada mungu akutienguvu dadangu
@omanigaming64302 жыл бұрын
Pole dear mama anauma sana
@nashasoud53032 жыл бұрын
Jaman muachen lulu apumzk ayo machungu 😥
@salmaabdulabdul10572 жыл бұрын
Asikwambie mtu kuondokewa na mama ni mtihani sana
@MariaKitundu-l1m6 ай бұрын
lulu mdogo angu pole sana ila nakuombea Ivo vinguo usivae ukiva nguo za heshima unapendeza tuu
@doreensam12692 жыл бұрын
Pole sana jitahidi uzae mtoto nikilakitu hatoziba pengo la mama lakini ni faraja tosha amini.
@jestinamagembe21252 жыл бұрын
Polee sana,Mungu azid kukutia nguvu
@ruthpeace31972 жыл бұрын
To much love Lulu . Take heart
@happyndomba69652 жыл бұрын
nimempenda shangazi pia🥰
@antiagaspary92082 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu hakika mzazi anauma jaman
@sharifasalum5322 жыл бұрын
pole sana diva
@shuwenaghandi92532 жыл бұрын
Pole sana Lulu diva
@abdulab62022 жыл бұрын
Muombee duwa sana mama mtolee sadaka aliko atakuwa na faraja hata wewe Allwa atakupa faraja ya duniani na akhera unaposali pia muombe duwa sana hiyo ndo inavyotakiwa kwa muislam ukimsahau na wewe utasshaliwa hilo ulijuwe
@radhiamussa64512 жыл бұрын
Pore sana ruru
@fatmawaswa14802 жыл бұрын
Allah amjalaalie fridhaus yawe makazi yake inshaallah subra mpenzi i can fell your pain umenimwaga machozi wallah
@abdulazizsharif29842 жыл бұрын
Lulu DIVA nakuja kukuoa nakupenda sana
@aminabonifas45152 жыл бұрын
Pole lulu nakuhaidi utakuwa juu na sio wa chini na utainuka zaid yapo umebeba balaka zote za mzazi
@umakramzahor48362 жыл бұрын
Ikawe ya kher Abdoul
@habibakhalfan10652 жыл бұрын
Kamuoe_umtoe_mawazo_ili_avae_stara
@abdulazizsharif29842 жыл бұрын
@@aminabonifas4515 kbsa wallah Radhi za Mama kiukweli anazo kama zote 100%
@abdulazizsharif29842 жыл бұрын
@@umakramzahor4836 ntakutumia invitation card
@teddygabriel56622 жыл бұрын
Diva divana be strong dia
@aminaraisa88932 жыл бұрын
Pole Saana lulu jikaze muombeye dua ndo chamuhimu sote tumeyapiyiya ao mm Sina baba Wala mama Ila naishi
@kwizerazainabu79792 жыл бұрын
Pole sana lakini inauma sisi wengine tulikosa mama zitu tungali namyak 7 sasa ivi tushazowey lakini ukikosa mama ukiwa mkubwa inauma zaidi
@fatmaabasi83122 жыл бұрын
Ulikua unaenda vizuri SS ushaanza kuvaa vinjunga dada
@fatumakassim642 жыл бұрын
Pole sana Diva 😭😭😭😭
@salomewandya72572 жыл бұрын
Pole dear
@citybwego25932 жыл бұрын
Pole sana lulu mungu azidi kukupanguvu insshaallha
@happyndomba69652 жыл бұрын
pole Lulu,
@aishaomari9442 жыл бұрын
Pole sana habbtt
@asiamohd55162 жыл бұрын
Pole sn kipenz
@marywanjiku517 күн бұрын
True
@estherdogale13172 жыл бұрын
Pole sana LuluDiva
@rukiyyarukiyya63172 жыл бұрын
Pole diva
@anasahamisi89622 жыл бұрын
Wewe dua tu
@rehemamhassan45932 жыл бұрын
Na nyinyi wandisha w bari achenu kumuliza haya maswali kila mkimuliza mwamkumbusha mengi muacheni mpeni ata mwaka kwanzo azoee iyo hali
@OfficialA836402 жыл бұрын
Mbona km ana mimba huyu Diva Ila jaman acheni tena kumuhoji kuhusu mama yake mnamuumiza kila siku mnazidi kumtia machungu hd atakufuru kwa Mungu maswali yale yale ya Milard Ayo unayarudia hamna jipya
Mnakosea sana watangazaji sometimes... Si mngeacha diva atuliye aise
@zenahpaul4235 ай бұрын
Vip kuhusu dada hawa
@reynaaalrawahi41372 жыл бұрын
Pole diva tunajua maumivu yako tulipitia haya tunajua uchungu na maumivu yake
@twinssauditwinssaudi72482 жыл бұрын
Pole
@nyabitangajanette25982 жыл бұрын
Pole dada
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
pole dada😥😥😥
@fatumakassim642 жыл бұрын
Watangazaji unakera kweli yani mtu ukimuona analia mnamcha lkn nyenye ndio kwaza upo
@ZawadiEliza4 ай бұрын
Duuuh 😭😭🙌
@michelinemapendo66522 жыл бұрын
umeongeya kweli lulu
@hannanommy96782 жыл бұрын
Kikubwa unatakiwa umuombee wazaz wako na wa wengine, then tukiwa tunalia tukumbuke kuna Waloachwa hawajawaona wazazi wote wameishia kwenye mikono ya watu wengine?wewe mkubwa je wale waloachwa wadogo watasemaje?please acha kumkufuru mungu kuona kama vile mungu kakuonea !hapana tuangalie wale watoto waliachwa wakiwa 'wallah mayatima watoto wanateseka sanaaa 😭😭😭 kuna watu wanawatrite vibaya utaumia sasa wewe mkubwa unayajua maisha vipi wale wali Blind kabisa hawana hata wa kumwambia
@anasahamisi89622 жыл бұрын
Mzazi hasahauriki kifo cha mzazi kila siku lazima ulie sio wewe tudada hata sie kila siku tunalia kwakweli mzazi ni mzazi tu. Ambaye Haja ondokewa na na mzazi hawawezi kuelewa
@elizabethndugwa20202 жыл бұрын
Hivi nyie watangazi huwa mkifiwa mnahojiwa na nani, Hizo ni USHAMBA, Mnakaa kuuliza misiba ya wenzenu. Kuwakumbusha uchungu tu, haya mkishamhoji anafaidika nini 🤔🤔🤔🤔🤔🙅🙅🙅🙅🙅Mnazingua sana
@kabulakmusa31312 жыл бұрын
Ila diva ka mja mwepesi vile
@happynelson11362 жыл бұрын
Huyu atalia mpaka lini nimempoteza baba yangu miaka mingi imepita ingawa namkumbuka lakini siwezi kulia kila siku sababu baba aliteseka sana na kansa huko aliko amepumzika bila kuteseka