On AIR with Millard Ayo ni kipisi kingine kwenye channel ya millardayo YouTUBE ambayo itakua inakusogezea Exclusive Interviews za Millard Ayo na mastaa mbalimbali studio.
Пікірлер: 222
@khadijamzee88836 жыл бұрын
I love your perception towards music. You are right lazma kufanya music ambayo mashabiki watapenda
@user-oo2qo2vv4i8 жыл бұрын
King kiba fanya yako tuu twakupenda...
@tonymushi70708 жыл бұрын
Alikiba uko juuu ,meeen ,big up it's ur fan tony mushi,,,,,!!!#hallaaa
@benardmanyama86296 жыл бұрын
kweli kabisaaaaaa King of Music
@najmaadam93318 жыл бұрын
i got mob love for ali kiba he is such gentleman. and talented too. keep doing good work bra love from canada. milard thanks sweetheart
@brightonchannel49978 жыл бұрын
Jamaa namuelewa anataka kuufikisha mziki wake mbali pasipo kujipendekeza na wasanii wa njee...Safi sana kingkiba yo back
@barnabawana10587 жыл бұрын
sedrick protas umeona ee m mwnyewe namkuabali hapend shobo
@Ng_muscat8 жыл бұрын
Yani alikiba umejubu maswali vile yanvyu takiwa eti pozi asio mjua ali hawezi kusema huyu jama daeh love you bro umeeleweka
@williamsezura20336 жыл бұрын
King keep working hard with no pressure as you do_hope you will maintain your carrier to the next level. #MvumoWaRadi
@masoudsalum7998 жыл бұрын
Craaaaaappp nashindwa hata kuangalia hii show kwa mapozi ya huyu jamaa
@riakmadit51197 жыл бұрын
OK thank you my bro good music my bro
@privannikolaus77734 жыл бұрын
Nice king kibaa
@lady23ish8 жыл бұрын
tuzo za Europe Music Awards alizopata daimond pia alizinunua kuna STREET SMART na BOOK SMART huyu ali kiba kakosa yote atleast diamond ni STREET SMART na BOOK SMART anajifindisha kila anavyo endelea
@angelslim4228 жыл бұрын
Cool
@stellamwambiwa54043 жыл бұрын
Ahsante kaka zangu nawapenda sana
@henrymwakilasa23368 жыл бұрын
King
@boscomasanduku93306 жыл бұрын
Napenda kuona jinsi tunavyokuza bifu kati ya Mond na Ali Kiba ila ukweli ni kwamba hawa ni miamba ya Afrika wanaoonekana Duniani na wanapelekea sisi kujivunia kuwa Watanzania
@alicenice17113 жыл бұрын
Me nakupenda kiba
@georgemawale95488 жыл бұрын
Ali kiba ww hapa hapa huwezi kukompent kimataifa coz hujulikan kimataifa
@brianswai50048 жыл бұрын
Millard tumemchoka huyu jamaa interview zake
@Rugemalilatv19947 жыл бұрын
respect kwa king hataki kuelezea kila kitu wazi mana wabongo wachawi
@hassanbakari56077 жыл бұрын
nashukuru Millard kwa kumkosoa alikiba kuwa collabo ya mond na davido haikufanyika backstage ila imefanyika kwa tudi ....alikiba kutokana na maelezo yako inaonesha unajikubali mno na kudisvalue wengine ....huo cyo mwenendo mzur ktk fani ya muziki you have to be honest guy
@shadrackngogo26594 жыл бұрын
Kwel mzee
@paulmarioth28718 жыл бұрын
mambo anayoongelea Alikiba kuhusu tunzo yatakuwepo sema jinsi ya kuwakilisha au kujieleza ndio inakuwa tatizo..! nakumbuka wakati Diamond anaenda kwenye tunzo za Afrimma kupitia IG yake alipost picha yake na kuandika, anaelekea kwenye tunzo, hajui km mambo yatakuwa poa au itakuwa "FIGISU" kama unaelewa maana ya neno figisu basi utajua nini alikuwa anamaanisha sema kwakuwa yeye hakuojiwa kuhusu hiyo issue basi ikawa imezimika kwa mtindo huo..! so hivo vitu vipo ktk music na haima maana wasanii wa Tanzania ndio wanafanyiana figisu, mziki sasa umekuwa naamini diamond anakutana na vikwazo vingi kutoka kwa wasanii wa nchi zingine kwenye hizo tunzo ila still mungu amemchagua aiwakilishe vema bendera ya Tanzania so ataendela kutuwakilisha no matter what..! Let's support our own guys
@jayproducts58718 жыл бұрын
Kiba ni nooma ase yupo claver sana✅
@zuhuramuyinga59538 жыл бұрын
maneno mengine bwana,alitoka mwenyewe asirudi kuponda wenzie,Watu wapo mbali sana aisee kubali tu.
@adamcoy27346 жыл бұрын
Nice
@riakmadit51197 жыл бұрын
good music my bro
@beatricebarcos26268 жыл бұрын
kiba namkubali Sana ,
@brianswai50048 жыл бұрын
tatizo huyu jamaa ana mashauzi hadi mashabiki manamkimbia
@justinkibonge84265 жыл бұрын
Kiba ushaimba sana peke ako so unahitaji collaboration za nje kwajili ya connection zaid
@jelasnkoma42408 жыл бұрын
dk10:47 kulikuwa na sababu gani ya huyo mtu kutambaa kama Panya Studio au haukumuona Millard
@bilalwakora15248 жыл бұрын
Nakubali Millard
@sideboysalumu57008 жыл бұрын
wew ni mkali japo wanatuss
@sjayfenty41128 жыл бұрын
is true Davido nafikiri alisema vile na ile sauti yake "the new collaboration is coming with Ali Kiba"cause alikuwa anajua nini kinaendelea alikuwa anataka kumpiga kibao Mondi bin laden mzee wa mituzo..ovyoooo Haya sasa mpaka leo collabo hamna.Nonsense!!!
@bbreezy50148 жыл бұрын
atatisha sana
@fatmasalum27378 жыл бұрын
majibu yake ni noma ila namkubali sn na hongera millard ayo mungu azd kukungoza
@salimlipwata89628 жыл бұрын
Huyu jamaa anajikweeeza sana bt maisha hayapo hivyo.....
@kasaloojunior59398 жыл бұрын
HAMNA KITU Aseeh huyu jamaa...
@Pembaboytz8 жыл бұрын
huyu jamaa mapoz sn mpaka anaboa
@gideonkabuko8 жыл бұрын
Hahaaa.....Jamaa Hamna ki2..Yaan yaan mm n fan wake but kwa majibu hayo not rait kabisa...
@mirajisimbq67858 жыл бұрын
dah kwa hii ya leo nimemshusha #alikiba duh yani hata baraka da prince hawezi kuongea ujinga huo kwani
@directorevo43786 жыл бұрын
pamoja king
@dizodi_vituko6 жыл бұрын
unajikubali sanaaa kaka
@jobaisyrainer7114 жыл бұрын
Very clever kiba
@erastoemmanuel72128 жыл бұрын
hili jamaa ni fala kwel eti africa nzima wanajua alikiba is back.kariakoo ndo africa nzima
@josephtula55257 жыл бұрын
ERASTO EMMANUEL ha ha ha ha ha ha
@elickmaendeleo11416 жыл бұрын
ERASTO EMMANUEL 😂 😂 😂 😂 umeonae
@swabreenahkhaleed90826 жыл бұрын
ERASTO EMMANUEL kama mulikosa maneno kwenye kurasa za page zako nibola ukubali Ali nikipenzi chawatu hata mufanyeje
@entertainmentzone88158 жыл бұрын
Upeo wa msanii utaujua kupitia mahojiano na media. u cant lie the public na ningumu kuukimbia ukweli ndio mana unapata tabu kuelezea vitu. u have to accept defeats.
@ItsKaven8 жыл бұрын
+Barnabas Mwashambwa hahha upo sahihi brother...anachojibu hakieleweki
@abdalahahmed40188 жыл бұрын
true broo kumbe nawe umemuona
@piliathuman15418 жыл бұрын
utoto unamsumbuaa
@ashagrills13198 жыл бұрын
mtu wangu wanguvu mlete wema ejeajibu kwann amemkashifu mtoto wa simba na kwann anamfatafata baba tiffa au bado anampenda mwambie azae wake siame sema anamimba tuna msubili mtt wake asha kutoka dubai
@zuraiqbintameir73227 жыл бұрын
+Asha Grills na wewe zaa wako tumuone nyoko😋😋😋
@emmanuelsanga78118 жыл бұрын
Tunakupenda sana ila mapozi yamezidi aise
@deniswitman29598 жыл бұрын
maringo mingi anayo uyuu jamaa aisee davido kaomba collabo mmmh..
@suzanaball60258 жыл бұрын
Yani ana ringa mpaka anaboa. Milla unalijua hilo ndo maana unaishia kucheka. Mwambie abadilike awezi fika popote nasifa zake zakijinga na uongo.
@BigZhumbe6 жыл бұрын
Ngoma nyingi ukifanya collabo zinabuma..... nakushauri uimbe solo
@Silverstic6 жыл бұрын
Jamaa wa ajabu sana huyu ,,. Dah!
@salehmadawa70778 жыл бұрын
Dume zima linaongea kwa mapoz, chefuuuu
@annachristopherokeno93877 жыл бұрын
unajua king
@kevynshayo41446 жыл бұрын
Amelala atoe ngoma alafu na nyie clouds mnambeba mtu abebeki aaaah mnawabania watu wanaoubeba mziki WA Tz mnayumba kinoma
@michaeljeremiah13538 жыл бұрын
kuma la mamaake uyu kibakuma fala kweli..yaan anajiona bonge la staaa ataendelea kamwe
@leonardoambrocio61164 жыл бұрын
Kuma la mama ako wewe,kuma la mkeo ,pombavo sana
@mirajisimbq67858 жыл бұрын
Eti tuzo wananunua duh jamani ukiishiwa unakosa cha kusema
@alikibaakiliomaryalikiba77463 жыл бұрын
Tatizo uwaga au fatilii chochote na ndo maan una sema ivo
@azizamitali45358 жыл бұрын
yaani mnafiki huyu mbona unahangaika kuomba watu wakupost wakuombee tuzo 😏😏
@abousadick45548 жыл бұрын
Yani huyu msanii wetu sijui ana matatizo hivi anajionaje kwanza , anaringa ingejua Davido.alikua anajua kinachoendelea hivyo alivyokutaja alikua natka apate attention tu haya tuone ss kama hyo kollabo itafanyika kujikuta supastar hata tuzo huna ya Mtv puuuuuuhh
@platnumzoskido52898 жыл бұрын
hahaha umeonae
@FatmaAli-ws7gk7 жыл бұрын
Abou Sadick amepataa sasa , kila kitu kina muda wake
@BigZhumbe6 жыл бұрын
Abou Sadick Atajua tu....shilawadu ata Nigeria wako....collabo atangoja sana
@gazellethomson75226 жыл бұрын
unapanic km Asha ngedere
@hamasilver57058 жыл бұрын
eti back stage au umeishiwa vya kuongea
@farajiyusuph81468 жыл бұрын
Kweli Akili sio Matako Kila Anakua Nayo, Ndo Anajibu Nn sasa Hapo
@kabikamarcel45786 жыл бұрын
yuupppp
@noamiregan91998 жыл бұрын
unaboa sn hujui kujielezea ww na team yk wote vilaza
@hashimabdalah31616 жыл бұрын
Eti sio mshikaji wangu duuuh we kweli boya yani ww star kuliko davido ha ha ha ha ndio maana unafel
@winnfridaaalan81128 жыл бұрын
Yan huyu jamaa hajielew hata kidogo kwanza ni muongo alafu ni limbuken pole kwake
@robertilomo78828 жыл бұрын
kiba inabidi uwe wise!! jaribu vitu vyenye mantiki!! hapa ndipo napoona tofauti ya diamond na kibakuli!! diamond anajua afanye nn na aongee nn kwa jamii! i'm disappointed in you
@adelardkanje75167 жыл бұрын
chefuuu jitu zima lkn halijielewi kwaio kwa akili yake ya matope anadhani Davido anamshobokea!!! hahahaaaaaa
@mfaumeponera21658 жыл бұрын
tatizo kubwa ni kuahndwa kuongea kweny media
@antonymichael12798 жыл бұрын
Dah huyu kiba sio kiba yulee wa Cinderella yan huyu wa sasa ni overrated, maringo na revange wakat bro mziki hautak hivyooo yan unaonekana tuh daaaaa Mungu akusaidie broh
@sillasmichael14916 жыл бұрын
kiba is back
@elongolusambya73837 жыл бұрын
Yaani kiba...unajiona...wewe...ndo...wasamani...siku..zote...chibu...yupo...juu yano
@graceleonard61506 жыл бұрын
Unapenda kujishaua wewe unajikweza sana wewe unamaana
@maggiepesh74378 жыл бұрын
kiba Mkali wao
@kulwangomale36306 жыл бұрын
Eti sio mshikaji wako ....unataka kumaanisha kajipendekeza kwako???
@gadau26308 жыл бұрын
Majibu Dry but kwa picha tunaona =0
@alikibaakiliomaryalikiba77463 жыл бұрын
Yea
@leemoha78478 жыл бұрын
So this guy thinks diamond cannot be voted by people only him dude u only got the tz awards not africa first build up your fan base in Africa and then u start to talk about awards.
@powertz89136 жыл бұрын
Nimeskililza hii interview nimegundua kiba msenge mpevu
@brianswai50048 жыл бұрын
sema tuzo ngapi?
@maggiepesh74378 жыл бұрын
kiba namkubali anajua,sema watu wana wivu tu,mtake mistake ndio ukweli
@thisissoccer88906 жыл бұрын
kwa wapenda mpira na wasiopenda usisahau kubonyeza hapo ujionee burudani..,...asanteni
@alanuswilliam4316 жыл бұрын
This is soccer Acha kujipa masifa ucyo kuwa nayo ww
@majaliwamabula29746 жыл бұрын
Wenye uwezo hawako hivyo majigambo meng sana ovyooo2 mfyuuuu
@steveshad67976 жыл бұрын
This is soccer
@dreamerboy49568 жыл бұрын
#KingKiba
@farajiyusuph81468 жыл бұрын
Angalia king kiba wako anavyojibu Usenge hahahah
@Teksani8 жыл бұрын
Ben Paul hakukosea, inamgharimu mshikaji 😂
@halunamaneno99864 жыл бұрын
Kivip nyoko we
@allytwalib82848 жыл бұрын
Mlitaka ajibu mnavotaka waswahili bhana
@shabansalum92837 жыл бұрын
huyu boya kweli
@erastoemmanuel72128 жыл бұрын
daaa bora hata ulishuka kimuziki ungeendelea na ile tittle yako ya miaka ya 2007- 2008 tusingekunywa maji
@abdijuma24356 жыл бұрын
Kk kiba hii nimeikubali sana mm shabiki wakoasilimia zote .. .BGP millard ayo kwa maswali yenye akili . .. ali..kiba heshimaaaa n nimepata farajaaa sana kuona hii
@allystily73158 жыл бұрын
huwezi Kuwa na maringo kiasi hicho. pia unatakiwa uwaheshim
@linagakii71518 жыл бұрын
ali mwisho na majibu
@samsoniraphael49016 жыл бұрын
Ukopoa sana kiba ila wachawi wengi bongo
@kenethpauljr.13588 жыл бұрын
Kiba bwana sijui angekuwa kama Usher tusinge kunywa maji maringo mengi nyodo kujiona yeye ndo yeye
@barnabawana10587 жыл бұрын
Eng Keneth Paul JrMuFc haha ktk watu wanaolinga utamuweka Alikiba? unahangaika tu
@abousadick45548 жыл бұрын
Mpaka millard ayo kachoka kumuuliza , millard ana akili sana hapo kisha msoma huyo Ali.kiba anatabia gani misifa tu.na wivu unamsumbua
@ttintinchidaniel73218 жыл бұрын
learn how to answer questions Mr.
@abykeny93956 жыл бұрын
Sa ndo nn???
@mdekebakari35945 жыл бұрын
Yuu haty kiba laiki
@bmajesky636 жыл бұрын
kiba majibu ya kujisikia acha kwahyo ionekane davido kakushobokea acha kuzingua wewe
@humphreytinson81847 жыл бұрын
aaaaaaaha huyu jamaa yeye tuzo hana habar nazo sema nashabiki zqke wana mzingua had usiku akaona ngoja aka itafute hahahahha kiba the super star mavi
@eunicehemed90978 жыл бұрын
kwa stail hii huwez fanikiwa milele..chaaa unajikuta staaar
@lubagulangosha96826 жыл бұрын
we umefanikiwa we sikiliza pita
@bisekodaudi56927 жыл бұрын
wadau mnaosema kiba anajikweza mbogo zenu hazifanyi kazi hajaanika chochote ili kupata micfa unafaa kuigwa na jamii haupend micfa broo kama mouc
@seifkigasa65208 жыл бұрын
Huyu jamaa anamajigambo sana ndo maana anakosa tuzo
@lucasfidelis50588 жыл бұрын
dahh sasa kilamsaniiakiwaanapigiwa cmna washabiki kuhusu kua wamepiga kula kwa nini umekosa tuzo hakuta kalika bongoflevani
@alineashley24088 жыл бұрын
mi mbona sioni hizo zarau alizo zitumia kiba jamani !!!???wala ajaongea vibaya ,kila kitu kiko sahihi .kwanini watu mnakuowa wagumu wakuelewa!!!???
@barnabawana10587 жыл бұрын
Aline Ashley jaman umeona ee ye hapend kujikweza m con malingo yake
@festojimmy77816 жыл бұрын
wenae unasema huna ushikaji na davido unadhan yeye ana kushobokea
@tonymushi70708 жыл бұрын
Nashangaa ,watanzania wanapondana wenyewe kwa wenyewe ,sasa sijui ,nyie mnaakili nzur kwa maana ,Alikiba ni mtanzania mwenzetu sasa kwa nn tum descarage ? Jamaan ,sio vizur tusapotiane jamaan,