ameongelea na mengi yanayomuhusu ikiwemo jinsi alivyoweza kuovercome na maisha yanavyoendelea, kazi zake, mtoto wake, na mengi yanayomuhusu
Пікірлер: 578
@liliannamwatikha11403 жыл бұрын
This interview was conducted respectful and professionally, alot of lessons learnt. Thank you
@zaynabhassan36193 жыл бұрын
Nakupenda menina ur so beautiful no matter what
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Am glad unasema ni kikombe chako ulitakiwa kukinywa mama...usijali,maisha yanaendelea,naendelea kukusifu kuvuka daraja hilo...
@K257953 жыл бұрын
UYU MTOTO MENINA KAMA MZURI NAMPENDA KBX KAMA NAWE UNAMPENDA GONGA LIKE HAPAA
@happynelson11363 жыл бұрын
Huyo alietoa hiyo video alitaka tu kumharibia huyu dada kwa makusudi na huyo jamaa amefeli sababu huyo demu ni mzuri sana na maisha yake bado yanaendelea vizuri sana na maisha yake yatazidi kuendelea kwa kasi kubwa
@husnakezakimana39443 жыл бұрын
4 2
@linahsemindu95753 жыл бұрын
@@happynelson1136 limwijaku hilo cjui nae menina alimpendea nn lile dume khaa😂
@happynelson11363 жыл бұрын
@@linahsemindu9575 mimi pia nashangaa kwa nini Meninah alilala na mwijaku yaani nashangaa sana sababu Meninah ni mtoto mrembo sana
Zama tuletee Chidibez I think we need to know him more nilimkuta mahali juzi kanenepa anawapa wapa watu somo la maisha na anayoendelea kupita hakiyamungu sikumjua zaidi ya sauti ila anaonekana anamachungu mengi na majuto mengi ya umaarufu please mtafute. Nahongera now sauti everything is good. And Menina pole we Love you no matter......yr young and strong bby
@jackjudy91823 жыл бұрын
fact
@mostyhodari21453 жыл бұрын
Zamaradi jitahi kuongeza sauti unanong'ona sana wakati mwingine.
@salmanyangasa11713 жыл бұрын
Dah! Aiseh umenifanya nimelia Menina. Tumekuelewa mumy...pole Sana mpenzi wangu
@genovivakaijage83363 жыл бұрын
Mrembo,makosa kila mtu hufanya tusipende kuhukumu
@tiagolichuchu83493 жыл бұрын
Both of you girls are looking gorgeous.
@prudencemushi69483 жыл бұрын
I have totally changed my attitude toward you this interview has changed everything.... Keep going Menina
@luluadam30863 жыл бұрын
Menina nakupenda sana dah hadi nmetoa mchozii😭😭
@WORDOFMYCREATOR3 жыл бұрын
Interview poa sana.Sama you so smart and your Interviews are very interesting. You can't skip you need all the details in your Interviews. Bravo
@jovinacbkan77853 жыл бұрын
Pole sana,mdogo wangu,wala atukuhukumu dia,nakuelewa sana Menina,pole dia.
@OmanOman-cl7kv3 жыл бұрын
😭haki umeniliza Roho inauma Sana mambo mfanye faragha mwezako ayatoe nje yanaumiza sana sema ishatokea songambele
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Kila mwanamke anatakiwa kujipenda yeye kwanza,kujithamini na kuimarika katika ujasiri ...usikate tamaa juu ya vitu vidogo
@masalakulwa76013 жыл бұрын
Ukishajitambua tu wewe ni Nani .itakutoa sehemu moja kwenda nuingine. .shida wamama wengi hawajitambui...woga na hofu na stereotype za kijinga
@gracemollel75033 жыл бұрын
Half of her cute is her brain luv u menina
@spreadlove21193 жыл бұрын
Ibilisi wa mtu ni mtu mdogo wangu, life goes on 😋.
@rukiamohammed50313 жыл бұрын
Zama kumbe kichen part cha wananzengo kukueleza kuwa na tissues kimekuingia hongera sn 👏👏
@lailmeeea49083 жыл бұрын
Dah! pole sana umenifanya nilie na mi dah menina pole wng nakupenda sana hayo yote ni mapito tu pole sana Mungu atakulipia tu kwa wakati wake inshaallah
@nasrytaiddy65513 жыл бұрын
Mimi pia nimelia inaumiza Sana
@zennakailo81063 жыл бұрын
Maisha haya nyie tunatoka mbali Dah aiseeeee pole Minnah #Zamaradi tunakupenda mama kwa interview zako mzuri
@mytelecom20193 жыл бұрын
fikisha pole yangu kwa menina
@zennakailo81063 жыл бұрын
@@mytelecom2019 inshaAllah 😄
@sophiaagustino31583 жыл бұрын
Too much maongezi ya Adas . Do a way ya kupungua . Proud of you and love you😘
@chibesalalata14683 жыл бұрын
For real you make me cry may God bless you
@fatmann63413 жыл бұрын
Yaani huyu dada kichwa chake bado hakijakaa sawa masikini anajikaza tuu yaani akihojiwa unamuona kabisa anawaza Ile Hali iliyomtokea kabla hajuulizwa pole Sana dadà mungu atazidi kukupa amanii akuna atakae maumivu yako
@aoman52143 жыл бұрын
Kabla cjaendelea naomba nikupongeze da Zama umependeza sana
@nambuacassandramlaki35163 жыл бұрын
We love you MENINA...I LOVE YOU......YOU ARE A GOOD GIRL..
@islandgirl45783 жыл бұрын
Mwijaku sio mtu mzuri hamissa nakupa pole kwa yajayo
@chany99503 жыл бұрын
Nimeria saana jamani 😭😭😭pore sana menina love youuu 😘😘
@mcrithawaukweli48853 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu
@nyimbonizipendazo3 жыл бұрын
Zamaradi umependeza, make up on point ❤️
@cessianthony26443 жыл бұрын
Menina my fav since bss..Nampendaga Sana...
@aoman52143 жыл бұрын
Pole Sana menina kuna wanaume wengine hawana akili kabisaaa nilipoonaga niliumia Sana aiseee pole Dada
@lyidiaerick91453 жыл бұрын
Maskini pole sana sana ..
@mwasimbega87123 жыл бұрын
Umenifanya nilieeee😭😭..pole babygirl🥰
@nasrajuma1363 жыл бұрын
💣😓😓😓nimelia mpk nimejisikia viby
@nasrajuma1363 жыл бұрын
@@Shayy97 kuna muda maisha yakuzalilishwa tunapitia wengi hata wew yakikufika ndipo utajua uchungu wake
@ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын
Don cry menina we love you 😭😭
@kerryhoza61733 жыл бұрын
Zamaradi umependeza sana...u look so gorgeous...!👌😍😘
@saidahj25433 жыл бұрын
Kapole maskini...I love you❤❤❤
@diana_james92693 жыл бұрын
So true the person who did this to her it is very evil, let us respect women , the person who removed that video out know that you really tortured this lady, you really killed her, the shame she went through oh my God just help her please, the person who did it you don't deserve to be with any woman in your life. 😭😭😭😭😭😭😭😭
@davidone13133 жыл бұрын
Unasema sio kweli.....ebu tuambie ww
@davidone13133 жыл бұрын
Ebu tuambie ww ukweli
@diana_james92693 жыл бұрын
@@davidone1313 unamanisha nini tafadhali, what do you mean with your comment i don't get you
Diana Obondo hajaelewa ulichoongea na alichoelewa ni vitu viwili tofauti
@meena-ol6fo3 жыл бұрын
Wow don't cry umefanya nimelia huyo mbwa alofanya hivyo sheria ichukue mkondo wake mamaake angerekodiwa angefurahia na bichwa lake kaa pumbu la babaake....your beautiful and you will always be am so proud of u
@omegatesha12273 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani. Pole Dada, ila aliyekufanyia hivo na alaaniwe na mbingu na ardhi imeniuma sana aki!
@mutwalesylvie74433 жыл бұрын
Tatizo nima pombe kisha mtu unaefanya nae ana mapenzi na ww
@dannymoses18823 жыл бұрын
pole sana menina me nakupenda nanimesahau nilioyaona we endelea nakaz zako na mungu akusaidie
@nailaomar48103 жыл бұрын
Zama u looking beautifull I like ur makeup with dress mashaallah
@hassanhancha14133 жыл бұрын
Dah kwa kweli leo imeniuma sitakaa kumuhukumu binadamu mwengine Sis menina pole sana
@ericklaura75113 жыл бұрын
👍
@hafidhmohd86963 жыл бұрын
Naomba kushauri kitu. Jaman tunaona weng wasaniii na baadhi ya watu maarufu kuona tendo la ndoa ni jambo la kawaida kabla ya ndoa na ukiabika unazan ni kosa la mtoaji tu jaman sometimes muwe na akili na fikra sio kila unachopewa ni kupimwa iman tu bali ni adhabu kutokana na kumkosea Allah bali wanawake punguzeni kufanya zinaa na zinaa sio halali kam hujaolewa tusiseme tu ni makosa ya kawaida bali ni makosa makubwa na ya kipumbavu sana unatijistiri ndio na Allah anakuepushia kuaibika na PIA ni adhabu ya Allah NB: wasanii wa binaadamu wenzang zinaa ni haramu na ni zambi kubwa mno na tusijisifie dhambi ni ujinga kmnuna uwezo ooa sio kufanya zinaa tusisme unapenda kufanya mapnz wakat ni haramu na unajua Ila wao vioo vya jamii ndio wanaoeneza uchafu
@mariangoi25693 жыл бұрын
Asante kaka nmejifunza
@mercydeo40403 жыл бұрын
Umesema kweli kaka jamii imehalalisha zinaa inaonekana ni kitu Cha kawaida kabisa, Mungu aturehemu jamani
@hafidhmohd86963 жыл бұрын
@@mercydeo4040 true Allah atusamehe makosa yetu
@chocolatebby683 жыл бұрын
shukran kwa ujumbe wako
@hafidhmohd86963 жыл бұрын
@@chocolatebby68 afwan
@fatmayussuf99803 жыл бұрын
Mungu atakuhukumia inshallah menina be strong 😘😘
@aliamirbakar55803 жыл бұрын
MENINA mungu atakupa subra na alie fanya hili mungu atamlipa MENINA you're beautiful
@rahmarashid56353 жыл бұрын
Pole menina wangu na jinsi ulivyofanana na Mie pole habibty kila mtu anafanya hata wenyenndoa madhali hujajiuza hujafanya biashara pole twin wangu na da Zama ulivyopendeza Mashallah Mashallah nguo yako ya stara nanulivyotulia kuuliza Zama uko juuu
@BigZhumbe3 жыл бұрын
Menina is so cute. I just love her ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@elizabethlameck48293 жыл бұрын
Katika yote,,pole Dada ila MUNGU ni mwema wakati wote nakupenda Tamthilia ya Tand umecheza vizuri sana napenda kuifatilia wewe ukiwa mshawishi mkubwa❤️umependeza
@sophiaabdalla65993 жыл бұрын
Umefunguka usawa katika safari ya mafanikio mitihani lazima yatokee.pole kwa mtihani uliokufika.i wish you all the best in your life 🇰🇪love u my dear actress.allah ndie atakuhukumia...
@leaherasto9293 жыл бұрын
I love you Menina, Zama interview zako lazma mtu alie unajua Sana kuhoji mtu
@rahimaaaaa56823 жыл бұрын
Lkn tunalizwa nass wangaliaji😥😥😥
@aichaabdul58443 жыл бұрын
Kulia kiafya ni jambo zuri, jitahidi uwe unalia mara kwa mara.
Umenifanya nilie mpenz pole sana my love mungu atamuhukumu aliefanya hivi mpenz love u
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Pole mama hajna haja ya kulia,maisga yanasonga...kuteleza sio kuanguka,nakusifu ulipata ujasiri wa kunyanyuka na kuendelea na maisha ...wanaume ni mbwa usilie juu yao. Mwijaku ni fala mstari wa mbele,haistahili chozi lako..usimpe nafasi iyo
@masalakulwa76013 жыл бұрын
Nashangaa clouds wameamuajiri..pumbafu sana yule
@judiehance17363 жыл бұрын
Da zama umewaka ❤️❤️❤️
@lucynzai92763 жыл бұрын
Pole sana love nkupenda menina💞💞💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@dn.n49833 жыл бұрын
Mungu hakubariki unekana mkarimu sana sauti yako fanya kazi usikate tamaa
@prhairsalon3143 жыл бұрын
Pole sana, Leo kwa mara ya kwanza nimeelewa kiasi gani, uliumizwa na yaliyo kupata, Mungu akutie nguvu, akupe amani na akusimamie kwa kila jambo unalolifanya, Epuka marafiki wabaya, na jifunze kutokana na makosa. Amani na Upendo vikuzunguke kila uendapo. Amina
@albs14483 жыл бұрын
Kwa kifupi limetokea ila hujasema wewe kulala na mume wa mtu, unasema umelelewa kwenye dini, then why you slept with a married man? Na tuache kumsingizia Mungu jamani, Mungu hakuambii uende kulala na mume wa mtu na zaidi urekodi then unataka haki pale unaumbuka. Labda Mungu alitaka uumbuke ili ubadilishe tabia ya kutaka kuvunja ndoa za watu. Inaoneka sio mara yako ya kwanza.Hilo ndio jibu la kweli so umekosea, wewe omba msamaha then move on. Hapo ndio jambo la maana
@queenmollel95933 жыл бұрын
Dada Zamaradi umedamshi sana kama kawaida, wanawake oyeeeeee💪
@maureenandrew86363 жыл бұрын
This girl is soooooo pretty
@aynesshezron47113 жыл бұрын
Zama unahoji Kwa hisia sana hongera...menina kuteleza siyo kuanguka Mungu akusimamie ktk yote..maisha yanaendelea..
@getmad99083 жыл бұрын
Loma usimtiye mungu kwenye zina, ww !!!sema Shaitan Ndo kakupitiya hapo na mungu ndo Kwa kkumbuwa, pili hilo liwe fundisho Kwa mwwnmke yy atakaye kubali kurekodiwa hata kama ni mume wako, juwa huweza akawa adui wako siku mmoja 🙏🙏🙏
@rosemofuga63133 жыл бұрын
Interview iko vizuri na imetulia sana
@MohammedAli-vq2dk3 жыл бұрын
Pole Sana many ila mashaa Allah nywele
@beatriceantapa59403 жыл бұрын
Don't cry darling .....keep moving darling
@Emmy226553 жыл бұрын
U look so woooow 😘😘😘and beautiful 💕💞💕💞💕💞🍾🥂🥂🍾my zama. Love u more from south Africa😘😘😘😘😘
@mariajohn89653 жыл бұрын
Ila dada Zamaradi i really like interview zako yaan ni za kipekee sana 😘
@shadiayunus98593 жыл бұрын
Wallah nimelia ila aliyefany hivo atakuj kulipwa, sio vzur na ni udharirishaj
@anniejojo91263 жыл бұрын
Nani mwingine ameona sura ya bahati bukuku kwa menina?gonga like
@faulatafahmi77333 жыл бұрын
Mzuri menina MaashaAllah
@dottnatt71103 жыл бұрын
Nasi tuliterekenzwa na baba zetu tunabaki😭😭 nami ningelelewa na baba hakika ningejivunia wallah😭😭
@maureensunguya87793 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ndiye baba yako
@joycempalanzi61993 жыл бұрын
Hakika inauma sana Ila mungu ndo baba etu wa kudumu
@willykaovela54853 жыл бұрын
Pole zee wound heal but the lesson will be remembered🦅🦅🦅
@mukrimkhamis6783 жыл бұрын
Inshaalah M/Mungu atujalie mwisho mwema kwa sote##🙏🙏🙏🙏
@jokhaali91873 жыл бұрын
Dazama umependeza sana sana mashaallah 😘
@officiallymercymargaret32593 жыл бұрын
Pole sana ni mitihani ya Dunia let's move on forward
@hawajuma83793 жыл бұрын
Pole sana menina mungu atakutia nguvu majalibu yapo mengi usikate tamaa
@tinalucas62843 жыл бұрын
Pole mpendwaa wangu menina😢😢
@maliga_tm25273 жыл бұрын
Yaani mimi baada ya ile ndo nimezid kukupenda😘
@kwizerazenab8143 жыл бұрын
Pole Sana kwakweli inaumiza Allah atamlipa alie yafanya
@leaherasto9293 жыл бұрын
Menina mzur jamani Mashaalah
@omytifa6403 Жыл бұрын
MashaALLAH
@victoriaabrahamu18503 жыл бұрын
Pole sana menina.sikuiona na wala sikutaka kuiona ...niliumia on behalf na nikamwona yule kaka ni mbaya.hata afanyaje nini l no longer have interests na hata kumuona kwenye social media inaboa..nakupenda menina
@mariamkilama22663 жыл бұрын
Yani watu jamani kwa kukuza ya wenzao utafikiri wao hawafanyagi chochote
@dmajumbu20003 жыл бұрын
sasa Mungu alikuchagua wewe vipi hapo jaman mbona Mungu mnamshishikiri kwenye kitu ambacho si sahihi???? Mungu muache kwanza we tafuta njia ya kupooza uchungu ila Mungu muache. Kwan ulibakwa???? Maana kwenye video naona unaangalia kabisa camera na utam kuusikilizia jaman. Afu unasema sababu we mwanamke...Wanawake bwana tunapenda kutumia jinsia yetu kutia huruma pindi tunapofanya mambo tofauti...si sawa.
@masalakulwa76013 жыл бұрын
We naye acha kujifanya mjuaji...usipende kuhukumu...! Unakera
@davidmasasi54973 жыл бұрын
Hahaha na utamu aliusikilizia... ila kiukweli hakuna aliyemuonea ila yeye mwenyewe alifanya upuuzi kwa kukubali kurekodi wakati akifanywa...
@aishachambo32933 жыл бұрын
Doreen majumbu Wanatetea ujinga ndo kazi zao kipiga picha za uchi zikivuja hooo namwachia Mungu
@klystry12343 жыл бұрын
Mdomo wako nauonea huruma
@kisskiss27663 жыл бұрын
🥴🥴🥴
@cpasalma15323 жыл бұрын
Afadhali mara hii Zama umekuwa na tissue Pole menina pole sana mamy
@subiradalabu66163 жыл бұрын
Alisahau
@bellahariminshi51493 жыл бұрын
Mungu azidi kuku bariki na akuwekeye wepesi katika mambo yako.
@hapi61133 жыл бұрын
So sad and very sorry, you make me cry😓😓 wanawake tunadharaulika Sana tunateseka sana
@candymusa50903 жыл бұрын
Dunia mbaya hiii pambania maisha yako dada angu na yy kitamkuta kitu u still cute menina nakupenda😍😍😍😍😍
@azizamufty63273 жыл бұрын
Poleee sana kpnz nmekuonea huruma mpk nmelia jmn...
@aoman52143 жыл бұрын
Menina upo kama Mimi ninavyompenda Baba uwiiiii hata cjui nisemej mwenyez Mungu aendelee kumtunza Baba angu
@zuhuramohamed34243 жыл бұрын
Same pia kwangu mm baba n rafk yangu mkubwa.
@rahimalewe28353 жыл бұрын
Kama mm nimempenda babangu Sana lkn ameniacha last month 😭😭😭😭😭😭😭
@zuhuramohamed34243 жыл бұрын
@@rahimalewe2835 jaman pole mwaya dear
@halimachubi28453 жыл бұрын
Ad mm tena saana yn baba ang duh mungu amueke
@estherelias56093 жыл бұрын
Jaman Pole kwa yote,ki ukwel tumekuwa na tabia ya kuhukumu kana kwamba sie ni wakamilifu
@dr.madevualcantara47753 жыл бұрын
Yaani nyinyi munachekesha san mufanye xxx video mutume than mujidai mumekosea kumbe mumekusudia..aendelee tu tumemis mzigo mpya
@dorislema18143 жыл бұрын
@@dr.madevualcantara4775 ila kwel kwanin wajirekodi wanafanya ivo ili nini
@aishaiddi83263 жыл бұрын
Pole daa unaniliza bure move on menina
@abelmirwatu5443 жыл бұрын
Umezini alafu una muachia Mungu, tubu toka kwa shetani acha zinaa kisha muachie Mungu, but be strong and keep going my sister Minina.
@kerryhoza61733 жыл бұрын
Nywele yako nimeilewa sana..! Alokutengeneza kakunogesha sana
Dada zama interview zako supre sana nakupenda sana mungu akusimamii sana
@helenbrayan6553 жыл бұрын
Mdogo wangu mshukuru allah kwa yote.mungu atakulipa ww ni funzo kwa ss wengine love you mdogo wangu
@aishajumanne26983 жыл бұрын
Kila nikiangalia hii interview huwa nalia du Allah tulindie wanetu.ikisha don't trust anybody.usikubali kuchukuliwa video in any case.pole menina ww ni mrembo na mzuri sana
@muniramohammed23283 жыл бұрын
Zamaradi you look 🔥 Allah akusamehe menina
@art.ib63 жыл бұрын
Vizuri Sana zama Leo una tishu
@mimiapa84363 жыл бұрын
Pole sweet Allah azidi kukuongoza yote mitihani humfika kila mtu
@tausimagesa14343 жыл бұрын
It's ok mamy move on mungu yupo pamoja nawe
@rosemofuga63133 жыл бұрын
Umenifanya nilie mennina, pole my dya
@aishasaidi21603 жыл бұрын
Pole sana Dada angu usilie wala uskate tamaa watanzania tumekuelewa
@ivethadeus92703 жыл бұрын
So sorry my sistr ila nmefurah ur verry strong hongera