EXCLUSIVE:BI MWENDA Akiri kuuweza Uchawi/ Athibitisha kupigwa/Ndugu zangu/Kanumba/kwingineNitaharibu

  Рет қаралды 74,890

ZamaradiTV

ZamaradiTV

4 жыл бұрын

Hii ni exclusive interview iliyofanywa na Zamaradi Mketema ambae Mbali na kuwa mtangazaji pia wana mazoea binafsi na utani mwingi na BI MWENDA ambae alimualika kwenye kipindi, na hiyo ilipelekea kuwe na vitu vingi vya kuchekesha kwenye Interview hiyo kutokana na vituko vya Bi Mwenda na mahusiano Yao binafsi
Ameelezea mengi kuhusiana na Maisha yake binafsi lakini pia uelewa wake juu ya Industry ya film Tanzania pamoja na jinsi ambavyo ameshawahi kupigwa na wananchi mara nyingi kwa Dhana ya Uchawi ambayo wengi wanadhani ndivyo alivyo

Пікірлер: 255
@veronicamwanyika7226
@veronicamwanyika7226 4 жыл бұрын
Pole sana Bi Fatuma Makongoro. Kwa kuumwa .Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
@florencembithe2244
@florencembithe2244 4 жыл бұрын
Leo mtu mzima kakalia kiti Zama kawa mpole chezeaa wewe majibu kaa yote,,,,nani akaona mama amependeza kafit mbaya😂😂🇰🇪🇰🇪
@ashurabakiri8427
@ashurabakiri8427 4 жыл бұрын
Yaani hii exclusive iko vizuri sana, Zamaradi uko vizuri mno kwenye maswali,Mungu 🙏 azidi kukubariki siku zote 👏 Bi mwenda nakuelewa sana hujawahi kufanya vibaya kiukweli na nimependa mno uko vizuri kujieleza🤝ila pole sana kwa hz changamoto ulizopitia kupitia kazi ya filamu ila unabusara sana bi mwenda,Mungu 🙏 akupe umri mrefu
@beatricejoseph7704
@beatricejoseph7704 4 жыл бұрын
Nampenda Sana Bi Mwenda Mwenyenzi Mungu Amtangulie Katika Kazi Yake...
@siaammo1104
@siaammo1104 4 жыл бұрын
hahahahahahaahaha eti watoto wanaenda chooni
@bihizaclement9868
@bihizaclement9868 4 жыл бұрын
Umependeza bi mwenda❤❤❤
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
Bi mwenda big up,mama mwenye talent yake haswa,anashika uhusika hadi watu wanamchukia kwa sababu ujumbe unafika bara bara.
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Blandina Mnyinga Hakika unaingia wana beba mawe
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
@@veronicadaniel1122 yeap!!
@rehemamwangobola7825
@rehemamwangobola7825 4 жыл бұрын
Yuko vizuri
@faustamakasi8103
@faustamakasi8103 4 жыл бұрын
Zamaradi tuletee na Grace mapunda
@tunuyaomar5017
@tunuyaomar5017 4 жыл бұрын
Hivi bi mwenda hao wajukuu zako si wanakoma kwa hayo majibu mi hoi, ila nakupenda mama angu
@lovenesslyimo4309
@lovenesslyimo4309 4 жыл бұрын
Balaa 😂😂😅😂
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 жыл бұрын
Yani ikiwa huyu mamangu anajiamini na kutafuta rizki kwa umri wake huo,ili watoto wasilale njaa ,wasikose elimu ,na huduma zengine muhimu, Mimi ni nani ? nisichangamke ili watoto wangu waje wajivunie Mimi mama yao, Nakuombeya uzima mamangu bi mwenda /fatuma ALLAH akupe umri mrefu wam kumcha yeye, Una hekma sana,
@zeidytheislandgirl7616
@zeidytheislandgirl7616 4 жыл бұрын
Unaakili san
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Ladymasha Allah I like u a advise Hamsini Na ikawe hivo Amina
@bensonvincent3493
@bensonvincent3493 4 жыл бұрын
Uyu bi mkubwa kasoma na babu yangu musoma alikuwa dada mkuu washule mtoto wa chief uyo kawatesa San wenzake shule
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 жыл бұрын
@@bensonvincent3493 🤣🤣🤣🤣na Babu yako pia aliteswa na bi mwenda au sio?
@dainesszuber1860
@dainesszuber1860 4 жыл бұрын
Masikini nimemuonea huruma alivopigwa Kofi Buguruni Sema mimi nakupenda mama huwa unavaa uhusikaaa kwenye igizo zako❤️❤️❤️🙏🙏mungu akubariki tafuta ridhiki mama na usiwe na hasira na Hao wanaokushambulia mungu azidi kukutunza mamaa❤️❤️❤️❤️
@queenmaa5377
@queenmaa5377 4 жыл бұрын
+254 pitieni na hapa tuoneshe nguvu ztu kwa zama penda sana
@winnermariah
@winnermariah 4 жыл бұрын
Woooow Wooow Wooow Jamani nimependa Kweny kujenga tuu....MUNGU Akubariki Mummy
@mjsaidkeya822
@mjsaidkeya822 4 жыл бұрын
Hii ndio TV napenda Sana, congrats Zamaradi
@nakizuu6079
@nakizuu6079 4 жыл бұрын
Umejua kunichekesha sana khaaaa,uliza kuhusu sanaa
@dianamasao1210
@dianamasao1210 4 жыл бұрын
Mungu akubariki tupo tunaokupenda sana tu,hakika ww ni mfano wa shujaa
@marrytanzania9035
@marrytanzania9035 4 жыл бұрын
Bi mwenda yuko smart sana kwenye maswali na nampenda pia
@mariammussa2540
@mariammussa2540 4 жыл бұрын
Penda sana bi mwenda❤❤😍😍
@mohgamhooga1270
@mohgamhooga1270 4 жыл бұрын
Hongera bi mwenda kwa kupigania family yako na Allah kakustiri nawaliokuwa wanakurudisha nyuma,,,,,ila pole Allah akupe afya insha Allah
@naomibenjamini2088
@naomibenjamini2088 4 жыл бұрын
Bi Mwenda nakupenda bure kwa kutodharau kazi. Sema naogopa kuangalia movie zako
@dottnatta310
@dottnatta310 4 жыл бұрын
Da Zama mwambie bi mwenda Kuna mama anasaidia kwa maradhi yake Yupo chanika kituo cha ngware akishuka hapo akiuliza madereva wa boda boda anafikishwa. Anaitwa BI MKASI Allah atamfanyia wepesi INSHAALLAH.
@angelmfinanga2354
@angelmfinanga2354 4 жыл бұрын
Nakukubali San bi mwenda .mungu azd kukupgania uzd kuifkisha mbali sanaa yetu
@callmesubra5472
@callmesubra5472 4 жыл бұрын
Umependeza sana da zama, bonge la interview km kawaida, bi mwenda muigizaji nguli siwez sahau wakati wa utoto tulivyokua tunamuogopa 😂
@rukiaosman8416
@rukiaosman8416 4 жыл бұрын
Mashallah Zardari ww ni Mwanamke bora mwenye Hishima wallahi Allah akuhifadhi Yaarabi
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 4 жыл бұрын
MI namkumbuka kipindi kile anamtesa doctor cheni nilikuwa na chukua hatari
@JBB875
@JBB875 4 жыл бұрын
subira mbaga 😂😂😂😂
@upendolyimo4919
@upendolyimo4919 4 жыл бұрын
subira mbaga yaani kama kweli khaaa mimi nilikuwa namchukia kaah 🙈😂😂
@edithakomba7282
@edithakomba7282 4 жыл бұрын
Nakupe sana bi mwenda ake oyooooo
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 4 жыл бұрын
Zamarad umependeza nakupenda sana my dear
@vivianwillbard8648
@vivianwillbard8648 4 жыл бұрын
daaa pole sana kwa kupokea kichapo bibi.yangu but jaribu kuigiza kama mama mkwe mpole
@pamelauwera3830
@pamelauwera3830 4 жыл бұрын
Bi mwenda hapo kwenye team ya yanga umenivunja mbavu
@aminahamisi8672
@aminahamisi8672 4 жыл бұрын
Thank you zama
@isabellawella97
@isabellawella97 4 жыл бұрын
Hakuna interview niliyoipenda kama hii jamani🤗♥️🔥🔥
@nabdabdi9297
@nabdabdi9297 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Bi mwenda ana hasira jamn
@umisidi1816
@umisidi1816 4 жыл бұрын
Mm hupenda sana bi mwenda uchangamfu wake nimemfananisha na nyanyangu
@mishiomaromarabdhallah7580
@mishiomaromarabdhallah7580 4 жыл бұрын
Hahahaaaa bi mwenda hatariii ety uliniona huko nikifanya vizuri 😄😄😄
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 жыл бұрын
Daa zama mdogo wangu, Allah akuongoze kwenye kazi yako,Masha ALLAH, unaijulia hii kz
@mwanamutemi
@mwanamutemi 4 жыл бұрын
zama, mama mwenda ana arthritise na dawa yake ni rahisi sana. Mwambie natafute majani ya Mastafeli (Matomoko) aweza chemsha akanwa chai yake ama pia aweza yakausha hayo majani kisha akayasaga na atatumia kama chai kila asubuhi kabla kula chochote na usiku wakati anaenda kulala. Kwa uwezo wa Allah itamsaidia na utampunguza uzito wa mwili
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 4 жыл бұрын
Nakupenda sana bi mwenda mungu Akupe umr
@elizabethminja7861
@elizabethminja7861 4 жыл бұрын
Zama you look so georgious
@mariammwidany8445
@mariammwidany8445 4 жыл бұрын
Hongera zama much love from 254....
@lovenesslyimo4309
@lovenesslyimo4309 4 жыл бұрын
Dah bi mwenda anakaza swali juu ya swali hatari Zama umekua mpole leo
@aminaissa9756
@aminaissa9756 4 жыл бұрын
Zamaradi tangu nikujue unanipendezea kila uchao Mashallah.
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 4 жыл бұрын
Kumbe bi mwenda Ni mpole Hivyo Jamanii
@angelbwija9547
@angelbwija9547 4 жыл бұрын
Namupenda sana uyu mama jamani 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰,
@bathshebamchuza2648
@bathshebamchuza2648 4 жыл бұрын
Mi nilikua namuogopaga enzi za utoto, Ila nampenda Sana
@getrudekimario8492
@getrudekimario8492 4 жыл бұрын
Bathsheba Mchuza Mimi had leo na utu uzima huu namwogopa hakii
@user-zw6ne3qy4s
@user-zw6ne3qy4s 4 жыл бұрын
Mama ana majibu huyo daa zama leo umepatikana😂😂😂
@zeidytheislandgirl7616
@zeidytheislandgirl7616 4 жыл бұрын
Umeona ee
@happymaimu3774
@happymaimu3774 4 жыл бұрын
Hongera bi Menda kwa kax nzur, ila nakushaur punguza uzito mama angu kwa umri wako uzito mkubwa unawea kukusababishia matatizo.
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 жыл бұрын
Bi mwenda unamapoz balaa
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 жыл бұрын
mashallah bi mwenda mtu mzima akili ana mijengo yake sio kina maslay queen wamebakia kupanga na pesa wanapata za uigizaji ukiwa na kajumba chako hudhalili tujifunze tukipata pesa sehem ya kuishi ndo muhim mtu mzima dawa shukran bi mwenda pia mumependeza nyote leo
@gaudensiamganga1695
@gaudensiamganga1695 4 жыл бұрын
Hahahaha uwii leo niko makin nakumbka nilivyokuwa nakuogpa bi mwenda. MUNGU AZUDI KUKUTUNZA MAMA WA NGUVU
@mamamuu8217
@mamamuu8217 2 жыл бұрын
Nimeenda hodari sana
@leahnyamle4179
@leahnyamle4179 4 жыл бұрын
Uko vzr c* zamaa...big up bi mwendaaa
@juliusjaliwa9887
@juliusjaliwa9887 4 жыл бұрын
Kwa kweli nikiangalia huyu mama huwa ananikumbusha marehemu Kanumba Daaaaaaa kaziyamungu aina makosa
@tunuyaomar5017
@tunuyaomar5017 4 жыл бұрын
Zama leo umepatikana
@JBB875
@JBB875 4 жыл бұрын
Yaan Bi Mwenda namkubali sana, 💯
@pennyjohn2816
@pennyjohn2816 4 жыл бұрын
Bi mwenda uko vizuri mama
@magangamaria5378
@magangamaria5378 4 жыл бұрын
Yuko vizuri nampenda
@thurayyaomar655
@thurayyaomar655 4 жыл бұрын
nampenda sanaa huyu dada zamaradi 😘
@elizaalfredy9239
@elizaalfredy9239 4 жыл бұрын
Hongera da Zama umependeza
@chrissmande608
@chrissmande608 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 zama kapatikana Leo,anauliza naye anaulizwa...kawa mdogo kama nukta
@rehemamsuya2263
@rehemamsuya2263 4 жыл бұрын
Umeonaeee kawa mpole utadhani bi mwenda atamloga kumbe anaigiza tuu jmn
@arafakiloli749
@arafakiloli749 4 жыл бұрын
Hahahaha 🤣🤣
@dottnatta310
@dottnatta310 4 жыл бұрын
Zama anahofu hapo ya kurogwa hamjui tuu 🏃‍♀️🏃‍♀️
@marysaravai5639
@marysaravai5639 4 жыл бұрын
uwiiiiii zamarad leo umepata kiboko yakoooo 😀😀😀😀 bibi anamajibu huyuuuu khaaaa
@a.856
@a.856 4 жыл бұрын
Pendeza wote mashaallah🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@dottnatta310
@dottnatta310 4 жыл бұрын
Mama yangu alikuwa na tatizo hilo alipatiwa matibabu Allah alifanyia wepesi alipona
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu bibi kwa huo ugojwa
@zuhuragwanko6318
@zuhuragwanko6318 4 жыл бұрын
Nampenda zama jmn😍
@princessfathamy9787
@princessfathamy9787 4 жыл бұрын
Mi huaga naenjoy movie zako bi mwenda
@fatmafatoom6553
@fatmafatoom6553 4 жыл бұрын
Daaahhh bimwenda umependaza jaman kaahhh tenge konkiii umelitendea hak magold km yote yaaan
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 4 жыл бұрын
Nampendaga sana uyo bibi😍😍
@j...876
@j...876 4 жыл бұрын
Ata na mimi na kupenda
@vionasindani1206
@vionasindani1206 4 жыл бұрын
Mungu akupe umri na afia mum,
@azzashebe2581
@azzashebe2581 4 жыл бұрын
Jaman hamna m,baya duniani.
@sophiampangala9165
@sophiampangala9165 4 жыл бұрын
leo umepata mgeni haswaa,mpaka umekuwa mpole ,mana majibu yake tuu,mpaka ,unaomba muda uishe,.
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 4 жыл бұрын
Umeonaeee
@sophiampangala9165
@sophiampangala9165 4 жыл бұрын
@@aminamnyaruge8574 😄😄😄 yani bi mwenda,👌
@neemaassey8766
@neemaassey8766 4 жыл бұрын
Sauti da zama wengine cm zetu vimeooooo
@twilumbainsurance3949
@twilumbainsurance3949 4 жыл бұрын
sauti huwa haisikiki vizuri kunakuwa na mwangwi sana, hata raha ya kusikiliza inakuwa haipo
@siwemamichael690
@siwemamichael690 4 жыл бұрын
Cm yako mbovu pole hakuna shida kama hiyo
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 4 жыл бұрын
Huyu mama nampenda aswaa
@hellenshayo3454
@hellenshayo3454 4 жыл бұрын
Bi mwenda nampenda sana
@alyahmuhsin6061
@alyahmuhsin6061 4 жыл бұрын
Nimecheka zama kazi unayo pole sana mwite Gigi money
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 4 жыл бұрын
Maji hapo jamn kila siku mashabiki tunaongea wagen walainishe koo,yn hapo hata juice inawezekana mana unaingiza pesa
@dinakyabazinga5342
@dinakyabazinga5342 4 жыл бұрын
Waletee dumu la maji😜😄😄
@hamidyakoub6865
@hamidyakoub6865 4 жыл бұрын
Honger mama
@ruthleonard2958
@ruthleonard2958 4 жыл бұрын
Daah hadi raha, bi Mwenda Mungu akutunze💕💕
@jenifajafari7670
@jenifajafari7670 4 жыл бұрын
Amina
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 жыл бұрын
Hiyo miguu bi mwenda sio uchawi bali punguza mwili huo mwili mkubwa unaelemea miguu yako punguza mwili.
@winnieseme4944
@winnieseme4944 4 жыл бұрын
Hiyo cheka yake sasa. Nimekula kichapo zama. Nimejikuta nami nacheka
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 4 жыл бұрын
Mama anamajibu special zama kapatikana kwakwelii
@mwanaidhassan229
@mwanaidhassan229 4 жыл бұрын
Jomon b mwendaa😘😘😘
@neveragainneveragain1880
@neveragainneveragain1880 4 жыл бұрын
Sooo sad ,mama akapigwa sokoni?yani hawajui yeye nimuigizaji?? Pendeza mama💝💝
@queenyahaya3147
@queenyahaya3147 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nasoma coment tu za kumuhusu bi mwenda
@wardakasala8956
@wardakasala8956 4 жыл бұрын
Da Zama sauti nindogooooooo
@daimavlog
@daimavlog 4 жыл бұрын
Enzi za kumroga dadangu Kemmy haha nakumbuka hiyo uliyobadilisha chakula cha da Kemmy😂😂
@evelinaluvata1471
@evelinaluvata1471 4 жыл бұрын
Inaitwaje hiyo muv jaman niangalie
@daimavlog
@daimavlog 4 жыл бұрын
Evelina Luvata haikuwa movie dear lilikuwa igozo lilipita kwenye TV kila jumamosi
@mariasixmund7964
@mariasixmund7964 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁i love u bi mwendaaa
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 жыл бұрын
Honger xn mama
@omaiim4014
@omaiim4014 4 жыл бұрын
Penda sana bi mwenda
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hyu bibi nampenda mcheshi san nje ya sanaa
@pinahoscar6735
@pinahoscar6735 4 жыл бұрын
Huyu bibi nimempenda duh! Kumbe sio mchawi mm nilijua analoga mwee na anavoigiza akiwa mama mkwe mwenye gubu dha! Ila pole bibi utapona ila nimeamini kweli mashabiki wa Yanga huwa wanapanic haraka😂😂😂😂
@surahyagennovefa8844
@surahyagennovefa8844 4 жыл бұрын
Mama mstarabu sana jaman ila anavyojibu kinyonge kanifanya nmelia Jmn.
@Aysha-ms3ln
@Aysha-ms3ln 4 жыл бұрын
Ila ana mashuo😂😂😂😂😂
@saudaabdalla278
@saudaabdalla278 4 жыл бұрын
Iv iyi chaner aipo kwenye TV
@lykamlaki7120
@lykamlaki7120 4 жыл бұрын
Haipo
@lucymjula3475
@lucymjula3475 4 жыл бұрын
Siyanga bhnaa
@chancequeen4710
@chancequeen4710 4 жыл бұрын
Da! Mama pole sana mamangu ila ndo mitihani ila uschoke ku saka money🤧😥
@rahmssalum3163
@rahmssalum3163 4 жыл бұрын
Jamani wanampiga siawekewe walinzi
@joyceleonce8986
@joyceleonce8986 4 жыл бұрын
Mm namuogopa jamn
@wuwubdywiwiwisu6499
@wuwubdywiwiwisu6499 3 жыл бұрын
Pona sna
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 жыл бұрын
Kwa kwel da Zama unatutesa kwenye saut hatusikii vzr kipind ni kzur ila saut
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Zama my dear tuongezee sauti, siku ya faiza sauti ilikuwa vizuri Sana
@sharifamfaume9342
@sharifamfaume9342 4 жыл бұрын
Sim yako tu
@mgesibabere4743
@mgesibabere4743 4 жыл бұрын
Itakuwa cm yako yangu mpk napunguzaa sauti kubwa
@aminamnyaruge8574
@aminamnyaruge8574 4 жыл бұрын
Sauti iko poa ila matangazo Sasa hivi yamekuwa mengi Yana punguza munkari wa kusikiliza kipindi
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 4 жыл бұрын
Zama leo umependezaaaa...
@lucychande3059
@lucychande3059 4 жыл бұрын
jamanii anaepajua kwa bi mwenda Airport anyooshe mkono juu..
@priscamussa3103
@priscamussa3103 4 жыл бұрын
Da zama ulikua umevaa nguo upande wa bega la kulia imekaa vibaya. baada ya mapunziko naona umeiweka sawa
@gracepeter3200
@gracepeter3200 4 жыл бұрын
Ujinga
@bhokemugereja455
@bhokemugereja455 4 жыл бұрын
Jamani nimecheka sana huyo mama ni noma c kwa majibu hayo zama leo mpoleeèeeeeee😂😂😂😂😂😂
@amissaitangisha8586
@amissaitangisha8586 4 жыл бұрын
Bimwenda na msisili kwenye ubora wa uchawi nawakubali
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 9 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
BIG CHAWA FT BI MWENDA TUNAPIKA UGALI
17:51
BIG CHAWA
Рет қаралды 32 М.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
0:16
Mini Katana
Рет қаралды 19 МЛН
Гаджеты вредно!!! ☎️😳😡 #funny #comedy
0:26
Fast Family LIFE
Рет қаралды 1,3 МЛН