Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5 Channel Administered by Slide Digital Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 266
@lyrics_forum3 жыл бұрын
Kila mtu ana LifeStyle yake, Mimi kama Kigogo Dr. Charles nina Mahindi Gunia 200, Nguo zangu ni 6 tu😂
@nicholausmwinuka76403 жыл бұрын
Umetisha kigogo
@emanueladamayubu99403 жыл бұрын
Hivi wewe ni yule mtoa taarifa usiye rasmi???? #salute
@fatmasijali72173 жыл бұрын
The To N
@mosamossile91133 жыл бұрын
Nomaaa kwer 🤣🤣🤣
@franceally76153 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fatmasalima38473 жыл бұрын
Mash Allah I just love her
@safiayussuf93083 жыл бұрын
Hao ndio duniya wameipa uso. Ni maisha mafupi tu ya duniya. Akhera wamesahu😭
@issaissah88323 жыл бұрын
Dooh hiyo kufulu jamani basi wa kumbuke masikini huko nnje
@DespereuxRaizo3 жыл бұрын
Kwahiyo unataka maskini apewe Luis Vuitton sio ,
@happyndomba69653 жыл бұрын
@@DespereuxRaizo msamehe mwenzio hajui gharama yake 🤭🤭🤭
@azizamuhiddin89933 жыл бұрын
kweli
@kellyemm37013 жыл бұрын
@@DespereuxRaizo 🤣🤣🤣🤣
@OmarMohamed-tp4uf3 жыл бұрын
Tanzania boss lady Nicole 👏
@ivonaevarista46543 жыл бұрын
Sio vibaya kumiliki pesa wala gari,Ila n vibaya kutokumjua Mungu wako na at km ukimjua n mbaya usitembee katika neno lake,am not judging am reminding,Yesu anarudi kunyakua watu wake tusisahau kuutafta ufalme wa Mbinguni maana n maisha yasiyoharibika nayamilele Ila tukiwa matajiri dunian tukawa maskin baada ya kufa n laana,waebrania 9:27
@noydanthewinner11463 жыл бұрын
Kweli amini
@wahabmkazi79022 жыл бұрын
Unaweza kufikiri unamfahamu mungu nn anataka lkn bado ukawa humfaham nn anataka. Yawezekana yule udhaniye siye ndiye. Wengi wetu tunamhubiri mungu tusiyemfaham. Acha kusemaa watu vibaya kwa kumshirikisha muumba aliye muaminifu kupita
@ivonaevarista46542 жыл бұрын
@@wahabmkazi7902 namhubiri Mungu nayemfahamu na nimemhakikisha naye ndiye aliniamuru niandike hivo,rudia kusoma sms yamgu acha kukurupuka
@britonngale66443 жыл бұрын
Naona kawekeza katika mavazi
@ommymehmed88803 жыл бұрын
Ilo c ni duka kabisa ilo jaman ....yaan mtaji wa maisha ya watu anao yeye ndani anapambia kuta za nyumabaa
@elishaobadia88293 жыл бұрын
Tako kubwa akili ndogo
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
mwanamke asiye na akili lazima mwili na kiungo chake kitumike.
@theafricanprincevivecongo86323 жыл бұрын
😆😄😄
@mzalendowaasili17273 жыл бұрын
Kama hujui huyu dada ni mjulima wa iringa; usione watu wanatumia pesa
@Noah-zt5zf3 жыл бұрын
Akili yako imekusaidia nn na bando la mkopo kenge wewe
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@simonanthonykayombo69133 жыл бұрын
Greedy is inhumanity. Siku moja utakuja kujutia ku-show off huo u-greedy wako. Hukatazwi kuwa navyo kama ni halali, ila ku-show off wakati wengine hata chakula cha siku ni mtihani, unawatengenezea mazingira ya kukufuru.
@fatmahassan64973 жыл бұрын
True
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@nelsonmpolochacha50353 жыл бұрын
then zari anatamba kwamba Tanzania wasichana hawajielewi.... Vitu vya kurithi kweli havimwachi mtu sawa.
@furahamunganga12983 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@kelvinjohn72733 жыл бұрын
9m for 1 bag ?? Damn it
@catherineeward96633 жыл бұрын
I like her like serious
@bahatisunga16423 жыл бұрын
Mmmmmh Maisha Mazuri ivyo biashara gani hasa unayofanya kucheza filamu ndio ununue pochi milioni 9 Ee MUNGU
@mariamsuma30033 жыл бұрын
Wanadanga
@pamelaemmy81803 жыл бұрын
Wakulima wanaela mm simbishii
@maureensunguya87793 жыл бұрын
Ukulima unalipa sana
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
@@maureensunguya8779 namm natak niwe mkulim
@erickevarist87383 жыл бұрын
Is up to you
@swafiyamansur4326 Жыл бұрын
Maashallah
@marthamwandumbya12683 жыл бұрын
Mh okay madam
@dintazdintaz73113 жыл бұрын
Tutawafanyia councelling mkianza kuvuta bangi tu mtakuja soba house
@TeamKRX3 жыл бұрын
Acha wivu
@mercypeter162 Жыл бұрын
Hilo nalo neno. Na wakiugua tutawachangia Ahahahaaa
@mariamariki7132 Жыл бұрын
Mimi kwangu hapo ningefanya duka
@amooclassic11333 жыл бұрын
Mwili mkubwa Ila upstairs ni zero
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eaglecrown11013 жыл бұрын
Ndio utake usitake mwenzako MUNGU kampa wewe mwenye akili kichwani unanini?
Jamn wadada tukubali tu kama hatuna alivyo navyo mwenzetu comment ndefu za nini oooh wakumbuke masikini oooh wakumbe yatima kawambia hawakumbuki tuache roho mbaya hongera Nicole
@richardsizya18473 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aminatanzanya74753 жыл бұрын
Kweli aisee si kila muda chuk tuu
@aminadada90453 жыл бұрын
KBS tuache
@kanankirannko61742 ай бұрын
Mimi sichukii mtu mwingine akiwa navyo ila mi magauni 15 tu na viatu pairs 10 tu mi ni kero kwangu vikizidi huwa nagawa Kwa watu wengine hata huyu huenda anavaa Nguo moja na kugawa sio ajabu kila mtu ana kitu anapenda sanaaa
@aliy4116 Жыл бұрын
Muogope mungu
@fathimamct232 Жыл бұрын
Milioni Tisa hiyo kwio kajisemea Tabu mtingita Aaaa thubutuuuuuuu acheni mashauzi Halafu watu kama Hawa wanashuka vibayaaaa kwa nn hamui kwali?? Ununue Bagel milioni Tisa kwa maisha haya au mengine
@johnmunyoro44284 ай бұрын
Nakushauri uwekeze kwenye nyumba za kupangisha .na viwaja utazeekana umaarufu utaisha na hera itakata
@fatmasaid35363 жыл бұрын
Mimi personally, hata nkiwa nazo, siwez kununua bag ya that amount. As they say, kuna binadam na kuna viumbe. Focus yangu ni kwnye raslimali kama manyumba, viwanja lakin ujinga kama huu not my type. Wish u well.
@salimmank35923 жыл бұрын
Hapo umeongea point dadangu, nakuunga mkono mia kwa mia
@gallousgosbert49933 жыл бұрын
MNAPENDA KUSEMA WAHAYA WANAPENDA SIFA,SASA HUYU NI MUHAYA?
@philemonmagesa55483 жыл бұрын
Misifa ni Tabia ya mtu na asili ya mtu watu waache kuchukuliana na maneno ya kizamani et kabila moja ndo wanasifa
@gallousgosbert49933 жыл бұрын
Asante
@mwanaishazain79853 жыл бұрын
Utazikwa nazo. Tuonyeshe biashara ganivinafanya pesa zote hizo. Hayo maguo ukivaa hawa unaweka za nini?
@mariamsuma30033 жыл бұрын
Hatar hajui kama atakufa anaziacha
@dianajavan6093 жыл бұрын
Alihojiwa akasema analima mpunga na mchele😂
@mariamsuma30033 жыл бұрын
@@dianajavan609 kudanga tu huyu maana wanaume wanape,NDA matako makubw!
@jamilajamila45723 жыл бұрын
Masha allaah
@swammyrashdi66333 жыл бұрын
Umenichekeshaaa kwelii ganivinafanya🤣🤣
@fahimafah3493 жыл бұрын
Sasa unanguo zote izo nipe ata nguo maja jamani mudukumbuke sisi maskini
@onionpeeling5822 Жыл бұрын
Mshangazi kama huo ukidaka msukuma kaja na lori la Pamba Dar, mskuma anaua mtaji shamba harudi tena baada ya kuuza tujirobota twake twa pamba bandarini .
@berithatilutoza54923 жыл бұрын
Siku wakiugua wasitwambie wanataka michamngo
@johnpaul74703 жыл бұрын
Mmh
@allykitanga51383 жыл бұрын
Wht!Mpunga na mchele.
@jaklinifaustini4259 Жыл бұрын
Heeee😳nilizan duka kumbe ndan honger
@mosamossile91133 жыл бұрын
Dah kwer noma begi milion 9 arafu muhuni iyo milioni 9 sijawai ishika kwer lazma tuzidiane yooh
@roswitaexavery33787 ай бұрын
Mkiumwa mnaanza jamani msanii hoi taabani jamani watanzania na Samia mchango pumbavu zenu uzenimabegi yenu wengi sisi hatuna hata mitaji ninyi beg Mija mlion 9 way, way ooo my god
@hallin95613 жыл бұрын
Waislamu walioyashindwa maisha watakuja na maneno yao ya kifo.. usiishi vizuri sabab siku utakufa,,,
@hajinjawala83513 жыл бұрын
Waislamu wameingiaje hapo Kwani kifo hakipo? Think more before talking
@rashidmalikia50793 жыл бұрын
Warabu wanahella kuliko kilamtu duniani na awajawai kupost mtandaoni 🙄🙄🙄kuna watu wanahella zaidi yake uyo naawajawai kupost kwaiyo usitutukane bure waesilimu awajakosea Bali wanakumbusha
@dianajohn34933 жыл бұрын
@@rashidmalikia5079 fedha na dhahabu na vyote viijazavyo dunia ni Mali ya Mungu (Allah) hakuna cha waisilamu wala wakristo kila MTU ataondoka mtupu pamoja na kujikusanyia mengi.
@ashaali71542 жыл бұрын
Hall in kama unalo linalokukera na waislam sema kwa sababu unaleta udini sasa .Watu wote walio comment hapa sio waislam peke yao ila wewe una kinachokusumbua rohoni kiteme au kimeze usitafute ubaya na watu bure kwa upumbavu wako.
@rehemamkalawa38013 жыл бұрын
Muhehe muongo huyu! Khaa! Ati pochi hiyo mil.9 si elfu 25 kariakoo hizi D&G
@maimyahkassim42993 жыл бұрын
Za feki
@joycehaule97173 жыл бұрын
Fek zipo Hadi 15 dia pole
@carolinemusimbi92323 жыл бұрын
Original yes hio ndio bei yake
@maimyahkassim42993 жыл бұрын
@@carolinemusimbi9232 na mimi najua haswa original ndio bei zake ndio maana nikashangaa bei za 15 elf n.k
Nguo moja tu utakayoivaa siku ya mwisho ni sanda na hutavaa viatu. Wala kibegi 😂 mungu ni mwema haki
@carolinenduku43872 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@salmasaid1521 Жыл бұрын
😂😂😂
@pendolazaro46862 жыл бұрын
Yan nicole nakupenda bure
@king-size81143 жыл бұрын
Yuko vizur
@ibrahimlema.36003 жыл бұрын
Hatari
@aisharajabu60013 жыл бұрын
Mmm
@ambokileasheengai11403 жыл бұрын
mhhh hao kwa kupiga virungu ndio zao,,,
@amalakh19903 жыл бұрын
analima mpunga na mchele huyu lazima awe na hela
@allykitanga51383 жыл бұрын
Wht,mpunga na mchle
@zaidankasamya22113 жыл бұрын
Nice
@noelmtao2735 Жыл бұрын
Sheer extravagance! I don't think that you are damn rich, girlie!
@geraldgerrytrump2543 жыл бұрын
Woow mwenye hela zake huyu , wenye kiroho utawajua kwenye comments 😂 😂 🤣 🤣
@supertal29433 жыл бұрын
😝
@geraldgerrytrump2543 жыл бұрын
@@supertal2943 na awaandikie uridhi wasije gombana kisa viatu na begi😂
@chiefmahucha68473 жыл бұрын
@@geraldgerrytrump254 "uridhi" ndo nini? Hapo umeniacha kidgo tafadhali
@geraldgerrytrump2543 жыл бұрын
@@chiefmahucha6847 mali anayo achiwa mtu 🤭
@rukiasalum56713 жыл бұрын
Huyu hajawahi kuibiwa ndiyo maana
@rahmahassan11573 жыл бұрын
😹
@happyjohn76303 жыл бұрын
Atuna kiroho je hiv vitu vyote Mungu amempa nn masikin wanatembea uchi ana watt wangap wa yatima
@annievibes87943 жыл бұрын
Si tumekubaliana kuwa vyote vya China 😉
@fettymsukuma3 жыл бұрын
Hongera yake xn nampa big up
3 жыл бұрын
Ha😃😃😃😃😃
@zainajafar86473 жыл бұрын
Dah pochi tu Dada nicol naomba moja
@user-ob4ud6qh3j3 жыл бұрын
Haya n maisha au kufuru 🤔..
@redemthajohnambros78763 жыл бұрын
nimongooooo jmn hizo poch kariako 19000
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@esadkulovic67773 жыл бұрын
Mwili umezidi haki mpka anashndwa kusimama na kupumua,punguza dear.
@naomymbuyu30583 жыл бұрын
Amekuambia apumui?
@IsmailMadrelya3 жыл бұрын
Almauti ya Akbaki Tatani,,, Wali Qaburi Sunduki laamalli ,, Kifo kinakuja ghafla na kaburi lako ndo sanduku la Matendo yako ,,,Kumbuka Hilo pia
@nkeshigomegwa16863 жыл бұрын
Mmh Hizi kufuru zingine mmh
@zakiahfaustin80872 жыл бұрын
ukigawa naombaa
@user-rj1gc5xk8k8 ай бұрын
Nicole niwezeshe kimtaji mwanmke mwenzio
@georgeanthony15473 жыл бұрын
Hiki ndicho kinachoonyeshwa na main media. Mnajiita tv no one ya vijana hapa mna weka athari ipi chana kwa vijana wa nchi zinazoendelea kama sisi? Hakika msithubutu kuona mnamchango wowote wa msingi zaidi ya uharibifu tuu
@rjthedj98693 жыл бұрын
Nickoh noms
@ashaali71542 жыл бұрын
Bora ujinga kuliko upumbavu
@mbonibaby70603 жыл бұрын
Dah siamini huyu dada ndo video vixen kwenye ngoma ya sumalee hakunaga
@neemaruben54273 жыл бұрын
Hahahaha nyumba ya kupangaaaa iyoo
@ashurahatibu50693 жыл бұрын
Nimesikia milioni tisa tu mimi jamani jamani wadada tunaigahadi kupitiliza maana hata hao mnawaiga hawIshi iv
@adolphmwangoje28873 жыл бұрын
Anaeumia ni kondeboy tu hapo 😂😂😂
@irenemsumba67763 жыл бұрын
Waooo!
@MonicaMfinanga2 ай бұрын
Mtu ukifa ndugu wanafungua duka sory kama nimeandika vbaya uwiiii.
@TeamKRX3 жыл бұрын
Mie naishi ulaya sina ata nguo ila watoto alhamdulilah ila mimi mpaka shoga wananiambia si ununue ata kiatu Pia yaani tuna jua saa hii na niko na buti ila nangalia majukumuu nyumbani na wala saa nyengine lawama wazee
@joevang46853 жыл бұрын
nyumba ya kupanga au yake
@fantamohamedi85643 жыл бұрын
Nasubiri wazungu walete mtumbani
@mausubrah61533 жыл бұрын
Ww ni mbanga kwel yan una jinad una nguo 2ooo wakati kuna maskin wana teseka na njaa awana pakulala wala pakula ata nguo awana
@stevenadolph91383 жыл бұрын
Wafanye Kaz wajtume inshallah watakula watalala
@Inno-qz2ec3 жыл бұрын
Juhudi zake ..xo acha afanye anachojiskia
@chiefmahucha68473 жыл бұрын
Masikini wako wangapi? Na Nicole wako wangapi?
@sarahambajo28733 жыл бұрын
Well organized
@najmahamso83643 жыл бұрын
Nlijua ni biashara 🤣🤣
@golipost58722 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 duka liko home
@dottocharles16363 жыл бұрын
Du Mimi nilijuwa dukan kumbe chumban .mmm! Makubwa .maisha
@tamaraseff.97073 жыл бұрын
Mmmmmh kubka utajr wa biguni sio mali.
@shabajims97533 жыл бұрын
Wouw m'y sister
@saidseif18603 жыл бұрын
Dukan au 😀😀
@rithapuran73493 жыл бұрын
Utuandikie uridhii kabisaa tusije kugombania viatu na mikoba baadae
@mioszpiotrowski14673 жыл бұрын
Mm nnavisubiria mitumbani maana sio kwapesa hio sinauwezonayo
@bakarikayugwa32953 жыл бұрын
Haya wale ma super star wa bongo mko wapi wema na wengine soma hio poch 900000 je chupi 🙄
@jeyshillyjack44703 жыл бұрын
Unauza ama za kuvalia tu
@happypa20273 жыл бұрын
Kuvaliya tu
@jeyshillyjack44703 жыл бұрын
@@happypa2027 noma
@yassinm693 жыл бұрын
Kiswahili ,kiingereza doogy poops
@elizabethswai96703 жыл бұрын
Hufanani na unacho ongea Dd,bora Uokoke
@elizabethzacharia26833 жыл бұрын
Acheni wivu😄😄😄😄
@irenewilbard25133 жыл бұрын
@@elizabethzacharia2683 Bora umemwambia aiseee😂😂😂
@herikaniugu3 жыл бұрын
Mbona anateseka sana
@aysherkitoi65473 жыл бұрын
Huyu ndio ana tembea na harmonize
@hassanmkwama99003 жыл бұрын
Lugha yetu kiswahili tukithamini
@hikmajeyz50723 жыл бұрын
Vyote itaviwacha katika dunia,utaenda wwe tu na matendo yako mama😅
@salimguru67793 жыл бұрын
Alisikika fukara mmoja
@anorderastonyondo37263 жыл бұрын
Unaweza ukawa huna kitu na matendo yako yakawa mabaya but vilevile naww utaacha hicho ulichonacho utaenda na matendo yako
@aysherkitoi65473 жыл бұрын
Mmmh ml 9 OK
@mwajumakweli67743 жыл бұрын
Kajenga?
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hapo sasa
@ashaali71542 жыл бұрын
Mzungu mjanja sana anajua waafrika wengine ni wajinga anawatengenezea mapochi, nguo mabegi, perfume, magari makubwa saa na vipodozi anayapa brand design anapanga bei kubwa anajua malimbukeni watanunua tu ili kujionyesha na kweli wanunuaji ni sie wajinga wao pesa mfukoni halafu tunalalamka umasikini wakati tunautengeneza wenyewe. Wajinga ndio waliwao.
@minahwachack96372 жыл бұрын
Nicol nigaiye ata poch moja
@elizabethkibombo81513 жыл бұрын
Mambo mengi mengi tena ni uchafu tena kabisa yy tu 🤭🤔😳❌❌🙄🙄
@pendozenda57643 жыл бұрын
Kuna watu wanaishi jmn
@kellyemm37013 жыл бұрын
Na wasindikizaji tupo. Usitusahau
@jamesmiliyaoloulu89592 жыл бұрын
Munatafuta comment acheni uongo nyie wabongo
@bornifacecharles95553 жыл бұрын
Wewe una biasha unayo fanya haiwezekani et Kambona m9 awap
@alishiyaalitaqwa52483 жыл бұрын
upumbavu tu
@stevemwakisimba59863 жыл бұрын
Subiri uchoke uone kama hiyo mikoba ya dola3000utapata hata dola 100subutu!!