No video

Nicole wa Harmonize aonyesha kufuru

  Рет қаралды 250,499

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Күн бұрын

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Пікірлер: 266
@lyrics_forum
@lyrics_forum 3 жыл бұрын
Kila mtu ana LifeStyle yake, Mimi kama Kigogo Dr. Charles nina Mahindi Gunia 200, Nguo zangu ni 6 tu😂
@nicholausmwinuka7640
@nicholausmwinuka7640 3 жыл бұрын
Umetisha kigogo
@emanueladamayubu9940
@emanueladamayubu9940 3 жыл бұрын
Hivi wewe ni yule mtoa taarifa usiye rasmi???? #salute
@fatmasijali7217
@fatmasijali7217 3 жыл бұрын
The To N
@mosamossile9113
@mosamossile9113 3 жыл бұрын
Nomaaa kwer 🤣🤣🤣
@franceally7615
@franceally7615 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fatmasalima3847
@fatmasalima3847 3 жыл бұрын
Mash Allah I just love her
@safiayussuf9308
@safiayussuf9308 3 жыл бұрын
Hao ndio duniya wameipa uso. Ni maisha mafupi tu ya duniya. Akhera wamesahu😭
@issaissah8832
@issaissah8832 3 жыл бұрын
Dooh hiyo kufulu jamani basi wa kumbuke masikini huko nnje
@DespereuxRaizo
@DespereuxRaizo 3 жыл бұрын
Kwahiyo unataka maskini apewe Luis Vuitton sio ,
@happyndomba6965
@happyndomba6965 3 жыл бұрын
@@DespereuxRaizo msamehe mwenzio hajui gharama yake 🤭🤭🤭
@azizamuhiddin8993
@azizamuhiddin8993 3 жыл бұрын
kweli
@kellyemm3701
@kellyemm3701 3 жыл бұрын
@@DespereuxRaizo 🤣🤣🤣🤣
@OmarMohamed-tp4uf
@OmarMohamed-tp4uf 3 жыл бұрын
Tanzania boss lady Nicole 👏
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
Sio vibaya kumiliki pesa wala gari,Ila n vibaya kutokumjua Mungu wako na at km ukimjua n mbaya usitembee katika neno lake,am not judging am reminding,Yesu anarudi kunyakua watu wake tusisahau kuutafta ufalme wa Mbinguni maana n maisha yasiyoharibika nayamilele Ila tukiwa matajiri dunian tukawa maskin baada ya kufa n laana,waebrania 9:27
@noydanthewinner1146
@noydanthewinner1146 3 жыл бұрын
Kweli amini
@wahabmkazi7902
@wahabmkazi7902 2 жыл бұрын
Unaweza kufikiri unamfahamu mungu nn anataka lkn bado ukawa humfaham nn anataka. Yawezekana yule udhaniye siye ndiye. Wengi wetu tunamhubiri mungu tusiyemfaham. Acha kusemaa watu vibaya kwa kumshirikisha muumba aliye muaminifu kupita
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 2 жыл бұрын
@@wahabmkazi7902 namhubiri Mungu nayemfahamu na nimemhakikisha naye ndiye aliniamuru niandike hivo,rudia kusoma sms yamgu acha kukurupuka
@britonngale6644
@britonngale6644 3 жыл бұрын
Naona kawekeza katika mavazi
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 3 жыл бұрын
Ilo c ni duka kabisa ilo jaman ....yaan mtaji wa maisha ya watu anao yeye ndani anapambia kuta za nyumabaa
@elishaobadia8829
@elishaobadia8829 3 жыл бұрын
Tako kubwa akili ndogo
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 3 жыл бұрын
mwanamke asiye na akili lazima mwili na kiungo chake kitumike.
@theafricanprincevivecongo8632
@theafricanprincevivecongo8632 3 жыл бұрын
😆😄😄
@mzalendowaasili1727
@mzalendowaasili1727 3 жыл бұрын
Kama hujui huyu dada ni mjulima wa iringa; usione watu wanatumia pesa
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 3 жыл бұрын
Akili yako imekusaidia nn na bando la mkopo kenge wewe
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@simonanthonykayombo6913
@simonanthonykayombo6913 3 жыл бұрын
Greedy is inhumanity. Siku moja utakuja kujutia ku-show off huo u-greedy wako. Hukatazwi kuwa navyo kama ni halali, ila ku-show off wakati wengine hata chakula cha siku ni mtihani, unawatengenezea mazingira ya kukufuru.
@fatmahassan6497
@fatmahassan6497 3 жыл бұрын
True
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@nelsonmpolochacha5035
@nelsonmpolochacha5035 3 жыл бұрын
then zari anatamba kwamba Tanzania wasichana hawajielewi.... Vitu vya kurithi kweli havimwachi mtu sawa.
@furahamunganga1298
@furahamunganga1298 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@kelvinjohn7273
@kelvinjohn7273 3 жыл бұрын
9m for 1 bag ?? Damn it
@catherineeward9663
@catherineeward9663 3 жыл бұрын
I like her like serious
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 жыл бұрын
Mmmmmh Maisha Mazuri ivyo biashara gani hasa unayofanya kucheza filamu ndio ununue pochi milioni 9 Ee MUNGU
@mariamsuma3003
@mariamsuma3003 3 жыл бұрын
Wanadanga
@pamelaemmy8180
@pamelaemmy8180 3 жыл бұрын
Wakulima wanaela mm simbishii
@maureensunguya8779
@maureensunguya8779 3 жыл бұрын
Ukulima unalipa sana
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
@@maureensunguya8779 namm natak niwe mkulim
@erickevarist8738
@erickevarist8738 3 жыл бұрын
Is up to you
@swafiyamansur4326
@swafiyamansur4326 Жыл бұрын
Maashallah
@marthamwandumbya1268
@marthamwandumbya1268 3 жыл бұрын
Mh okay madam
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 3 жыл бұрын
Tutawafanyia councelling mkianza kuvuta bangi tu mtakuja soba house
@TeamKRX
@TeamKRX 3 жыл бұрын
Acha wivu
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Hilo nalo neno. Na wakiugua tutawachangia Ahahahaaa
@mariamariki7132
@mariamariki7132 Жыл бұрын
Mimi kwangu hapo ningefanya duka
@amooclassic1133
@amooclassic1133 3 жыл бұрын
Mwili mkubwa Ila upstairs ni zero
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eaglecrown1101
@eaglecrown1101 3 жыл бұрын
Ndio utake usitake mwenzako MUNGU kampa wewe mwenye akili kichwani unanini?
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 3 жыл бұрын
Mtanzania kosea utajua hujui hyo kulima mchele ñâ mpunga 😁😁😁😁
@angejeanboscohakizimana2402
@angejeanboscohakizimana2402 3 жыл бұрын
MASHALLAJ
@mariamsaid5655
@mariamsaid5655 3 жыл бұрын
Jamn wadada tukubali tu kama hatuna alivyo navyo mwenzetu comment ndefu za nini oooh wakumbuke masikini oooh wakumbe yatima kawambia hawakumbuki tuache roho mbaya hongera Nicole
@richardsizya1847
@richardsizya1847 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Kweli aisee si kila muda chuk tuu
@aminadada9045
@aminadada9045 3 жыл бұрын
KBS tuache
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 ай бұрын
Mimi sichukii mtu mwingine akiwa navyo ila mi magauni 15 tu na viatu pairs 10 tu mi ni kero kwangu vikizidi huwa nagawa Kwa watu wengine hata huyu huenda anavaa Nguo moja na kugawa sio ajabu kila mtu ana kitu anapenda sanaaa
@aliy4116
@aliy4116 Жыл бұрын
Muogope mungu
@fathimamct232
@fathimamct232 Жыл бұрын
Milioni Tisa hiyo kwio kajisemea Tabu mtingita Aaaa thubutuuuuuuu acheni mashauzi Halafu watu kama Hawa wanashuka vibayaaaa kwa nn hamui kwali?? Ununue Bagel milioni Tisa kwa maisha haya au mengine
@johnmunyoro4428
@johnmunyoro4428 4 ай бұрын
Nakushauri uwekeze kwenye nyumba za kupangisha .na viwaja utazeekana umaarufu utaisha na hera itakata
@fatmasaid3536
@fatmasaid3536 3 жыл бұрын
Mimi personally, hata nkiwa nazo, siwez kununua bag ya that amount. As they say, kuna binadam na kuna viumbe. Focus yangu ni kwnye raslimali kama manyumba, viwanja lakin ujinga kama huu not my type. Wish u well.
@salimmank3592
@salimmank3592 3 жыл бұрын
Hapo umeongea point dadangu, nakuunga mkono mia kwa mia
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 3 жыл бұрын
MNAPENDA KUSEMA WAHAYA WANAPENDA SIFA,SASA HUYU NI MUHAYA?
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 3 жыл бұрын
Misifa ni Tabia ya mtu na asili ya mtu watu waache kuchukuliana na maneno ya kizamani et kabila moja ndo wanasifa
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 3 жыл бұрын
Asante
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 3 жыл бұрын
Utazikwa nazo. Tuonyeshe biashara ganivinafanya pesa zote hizo. Hayo maguo ukivaa hawa unaweka za nini?
@mariamsuma3003
@mariamsuma3003 3 жыл бұрын
Hatar hajui kama atakufa anaziacha
@dianajavan609
@dianajavan609 3 жыл бұрын
Alihojiwa akasema analima mpunga na mchele😂
@mariamsuma3003
@mariamsuma3003 3 жыл бұрын
@@dianajavan609 kudanga tu huyu maana wanaume wanape,NDA matako makubw!
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 3 жыл бұрын
Masha allaah
@swammyrashdi6633
@swammyrashdi6633 3 жыл бұрын
Umenichekeshaaa kwelii ganivinafanya🤣🤣
@fahimafah349
@fahimafah349 3 жыл бұрын
Sasa unanguo zote izo nipe ata nguo maja jamani mudukumbuke sisi maskini
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 Жыл бұрын
Mshangazi kama huo ukidaka msukuma kaja na lori la Pamba Dar, mskuma anaua mtaji shamba harudi tena baada ya kuuza tujirobota twake twa pamba bandarini .
@berithatilutoza5492
@berithatilutoza5492 3 жыл бұрын
Siku wakiugua wasitwambie wanataka michamngo
@johnpaul7470
@johnpaul7470 3 жыл бұрын
Mmh
@allykitanga5138
@allykitanga5138 3 жыл бұрын
Wht!Mpunga na mchele.
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 Жыл бұрын
Heeee😳nilizan duka kumbe ndan honger
@mosamossile9113
@mosamossile9113 3 жыл бұрын
Dah kwer noma begi milion 9 arafu muhuni iyo milioni 9 sijawai ishika kwer lazma tuzidiane yooh
@roswitaexavery3378
@roswitaexavery3378 7 ай бұрын
Mkiumwa mnaanza jamani msanii hoi taabani jamani watanzania na Samia mchango pumbavu zenu uzenimabegi yenu wengi sisi hatuna hata mitaji ninyi beg Mija mlion 9 way, way ooo my god
@hallin9561
@hallin9561 3 жыл бұрын
Waislamu walioyashindwa maisha watakuja na maneno yao ya kifo.. usiishi vizuri sabab siku utakufa,,,
@hajinjawala8351
@hajinjawala8351 3 жыл бұрын
Waislamu wameingiaje hapo Kwani kifo hakipo? Think more before talking
@rashidmalikia5079
@rashidmalikia5079 3 жыл бұрын
Warabu wanahella kuliko kilamtu duniani na awajawai kupost mtandaoni 🙄🙄🙄kuna watu wanahella zaidi yake uyo naawajawai kupost kwaiyo usitutukane bure waesilimu awajakosea Bali wanakumbusha
@dianajohn3493
@dianajohn3493 3 жыл бұрын
@@rashidmalikia5079 fedha na dhahabu na vyote viijazavyo dunia ni Mali ya Mungu (Allah) hakuna cha waisilamu wala wakristo kila MTU ataondoka mtupu pamoja na kujikusanyia mengi.
@ashaali7154
@ashaali7154 2 жыл бұрын
Hall in kama unalo linalokukera na waislam sema kwa sababu unaleta udini sasa .Watu wote walio comment hapa sio waislam peke yao ila wewe una kinachokusumbua rohoni kiteme au kimeze usitafute ubaya na watu bure kwa upumbavu wako.
@rehemamkalawa3801
@rehemamkalawa3801 3 жыл бұрын
Muhehe muongo huyu! Khaa! Ati pochi hiyo mil.9 si elfu 25 kariakoo hizi D&G
@maimyahkassim4299
@maimyahkassim4299 3 жыл бұрын
Za feki
@joycehaule9717
@joycehaule9717 3 жыл бұрын
Fek zipo Hadi 15 dia pole
@carolinemusimbi9232
@carolinemusimbi9232 3 жыл бұрын
Original yes hio ndio bei yake
@maimyahkassim4299
@maimyahkassim4299 3 жыл бұрын
@@carolinemusimbi9232 na mimi najua haswa original ndio bei zake ndio maana nikashangaa bei za 15 elf n.k
@bahatynangy1381
@bahatynangy1381 3 жыл бұрын
Muongo kweli uyu Dada,namjua vizur, labda ivi vitu amepata majuz
@mutwalesylvie1305
@mutwalesylvie1305 3 жыл бұрын
Pesa anatoa wapi ndomana amuolewi
@fadhilaimran817
@fadhilaimran817 2 жыл бұрын
Nguo moja tu utakayoivaa siku ya mwisho ni sanda na hutavaa viatu. Wala kibegi 😂 mungu ni mwema haki
@carolinenduku4387
@carolinenduku4387 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@salmasaid1521
@salmasaid1521 Жыл бұрын
😂😂😂
@pendolazaro4686
@pendolazaro4686 2 жыл бұрын
Yan nicole nakupenda bure
@king-size8114
@king-size8114 3 жыл бұрын
Yuko vizur
@ibrahimlema.3600
@ibrahimlema.3600 3 жыл бұрын
Hatari
@aisharajabu6001
@aisharajabu6001 3 жыл бұрын
Mmm
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 3 жыл бұрын
mhhh hao kwa kupiga virungu ndio zao,,,
@amalakh1990
@amalakh1990 3 жыл бұрын
analima mpunga na mchele huyu lazima awe na hela
@allykitanga5138
@allykitanga5138 3 жыл бұрын
Wht,mpunga na mchle
@zaidankasamya2211
@zaidankasamya2211 3 жыл бұрын
Nice
@noelmtao2735
@noelmtao2735 Жыл бұрын
Sheer extravagance! I don't think that you are damn rich, girlie!
@geraldgerrytrump254
@geraldgerrytrump254 3 жыл бұрын
Woow mwenye hela zake huyu , wenye kiroho utawajua kwenye comments 😂 😂 🤣 🤣
@supertal2943
@supertal2943 3 жыл бұрын
😝
@geraldgerrytrump254
@geraldgerrytrump254 3 жыл бұрын
@@supertal2943 na awaandikie uridhi wasije gombana kisa viatu na begi😂
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
@@geraldgerrytrump254 "uridhi" ndo nini? Hapo umeniacha kidgo tafadhali
@geraldgerrytrump254
@geraldgerrytrump254 3 жыл бұрын
@@chiefmahucha6847 mali anayo achiwa mtu 🤭
@rukiasalum5671
@rukiasalum5671 3 жыл бұрын
Huyu hajawahi kuibiwa ndiyo maana
@rahmahassan1157
@rahmahassan1157 3 жыл бұрын
😹
@happyjohn7630
@happyjohn7630 3 жыл бұрын
Atuna kiroho je hiv vitu vyote Mungu amempa nn masikin wanatembea uchi ana watt wangap wa yatima
@annievibes8794
@annievibes8794 3 жыл бұрын
Si tumekubaliana kuwa vyote vya China 😉
@fettymsukuma
@fettymsukuma 3 жыл бұрын
Hongera yake xn nampa big up
3 жыл бұрын
Ha😃😃😃😃😃
@zainajafar8647
@zainajafar8647 3 жыл бұрын
Dah pochi tu Dada nicol naomba moja
@user-ob4ud6qh3j
@user-ob4ud6qh3j 3 жыл бұрын
Haya n maisha au kufuru 🤔..
@redemthajohnambros7876
@redemthajohnambros7876 3 жыл бұрын
nimongooooo jmn hizo poch kariako 19000
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@esadkulovic6777
@esadkulovic6777 3 жыл бұрын
Mwili umezidi haki mpka anashndwa kusimama na kupumua,punguza dear.
@naomymbuyu3058
@naomymbuyu3058 3 жыл бұрын
Amekuambia apumui?
@IsmailMadrelya
@IsmailMadrelya 3 жыл бұрын
Almauti ya Akbaki Tatani,,, Wali Qaburi Sunduki laamalli ,, Kifo kinakuja ghafla na kaburi lako ndo sanduku la Matendo yako ,,,Kumbuka Hilo pia
@nkeshigomegwa1686
@nkeshigomegwa1686 3 жыл бұрын
Mmh Hizi kufuru zingine mmh
@zakiahfaustin8087
@zakiahfaustin8087 2 жыл бұрын
ukigawa naombaa
@user-rj1gc5xk8k
@user-rj1gc5xk8k 8 ай бұрын
Nicole niwezeshe kimtaji mwanmke mwenzio
@georgeanthony1547
@georgeanthony1547 3 жыл бұрын
Hiki ndicho kinachoonyeshwa na main media. Mnajiita tv no one ya vijana hapa mna weka athari ipi chana kwa vijana wa nchi zinazoendelea kama sisi? Hakika msithubutu kuona mnamchango wowote wa msingi zaidi ya uharibifu tuu
@rjthedj9869
@rjthedj9869 3 жыл бұрын
Nickoh noms
@ashaali7154
@ashaali7154 2 жыл бұрын
Bora ujinga kuliko upumbavu
@mbonibaby7060
@mbonibaby7060 3 жыл бұрын
Dah siamini huyu dada ndo video vixen kwenye ngoma ya sumalee hakunaga
@neemaruben5427
@neemaruben5427 3 жыл бұрын
Hahahaha nyumba ya kupangaaaa iyoo
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 3 жыл бұрын
Nimesikia milioni tisa tu mimi jamani jamani wadada tunaigahadi kupitiliza maana hata hao mnawaiga hawIshi iv
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 3 жыл бұрын
Anaeumia ni kondeboy tu hapo 😂😂😂
@irenemsumba6776
@irenemsumba6776 3 жыл бұрын
Waooo!
@MonicaMfinanga
@MonicaMfinanga 2 ай бұрын
Mtu ukifa ndugu wanafungua duka sory kama nimeandika vbaya uwiiii.
@TeamKRX
@TeamKRX 3 жыл бұрын
Mie naishi ulaya sina ata nguo ila watoto alhamdulilah ila mimi mpaka shoga wananiambia si ununue ata kiatu Pia yaani tuna jua saa hii na niko na buti ila nangalia majukumuu nyumbani na wala saa nyengine lawama wazee
@joevang4685
@joevang4685 3 жыл бұрын
nyumba ya kupanga au yake
@fantamohamedi8564
@fantamohamedi8564 3 жыл бұрын
Nasubiri wazungu walete mtumbani
@mausubrah6153
@mausubrah6153 3 жыл бұрын
Ww ni mbanga kwel yan una jinad una nguo 2ooo wakati kuna maskin wana teseka na njaa awana pakulala wala pakula ata nguo awana
@stevenadolph9138
@stevenadolph9138 3 жыл бұрын
Wafanye Kaz wajtume inshallah watakula watalala
@Inno-qz2ec
@Inno-qz2ec 3 жыл бұрын
Juhudi zake ..xo acha afanye anachojiskia
@chiefmahucha6847
@chiefmahucha6847 3 жыл бұрын
Masikini wako wangapi? Na Nicole wako wangapi?
@sarahambajo2873
@sarahambajo2873 3 жыл бұрын
Well organized
@najmahamso8364
@najmahamso8364 3 жыл бұрын
Nlijua ni biashara 🤣🤣
@golipost5872
@golipost5872 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 duka liko home
@dottocharles1636
@dottocharles1636 3 жыл бұрын
Du Mimi nilijuwa dukan kumbe chumban .mmm! Makubwa .maisha
@tamaraseff.9707
@tamaraseff.9707 3 жыл бұрын
Mmmmmh kubka utajr wa biguni sio mali.
@shabajims9753
@shabajims9753 3 жыл бұрын
Wouw m'y sister
@saidseif1860
@saidseif1860 3 жыл бұрын
Dukan au 😀😀
@rithapuran7349
@rithapuran7349 3 жыл бұрын
Utuandikie uridhii kabisaa tusije kugombania viatu na mikoba baadae
@mioszpiotrowski1467
@mioszpiotrowski1467 3 жыл бұрын
Mm nnavisubiria mitumbani maana sio kwapesa hio sinauwezonayo
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 жыл бұрын
Haya wale ma super star wa bongo mko wapi wema na wengine soma hio poch 900000 je chupi 🙄
@jeyshillyjack4470
@jeyshillyjack4470 3 жыл бұрын
Unauza ama za kuvalia tu
@happypa2027
@happypa2027 3 жыл бұрын
Kuvaliya tu
@jeyshillyjack4470
@jeyshillyjack4470 3 жыл бұрын
@@happypa2027 noma
@yassinm69
@yassinm69 3 жыл бұрын
Kiswahili ,kiingereza doogy poops
@elizabethswai9670
@elizabethswai9670 3 жыл бұрын
Hufanani na unacho ongea Dd,bora Uokoke
@elizabethzacharia2683
@elizabethzacharia2683 3 жыл бұрын
Acheni wivu😄😄😄😄
@irenewilbard2513
@irenewilbard2513 3 жыл бұрын
@@elizabethzacharia2683 Bora umemwambia aiseee😂😂😂
@herikaniugu
@herikaniugu 3 жыл бұрын
Mbona anateseka sana
@aysherkitoi6547
@aysherkitoi6547 3 жыл бұрын
Huyu ndio ana tembea na harmonize
@hassanmkwama9900
@hassanmkwama9900 3 жыл бұрын
Lugha yetu kiswahili tukithamini
@hikmajeyz5072
@hikmajeyz5072 3 жыл бұрын
Vyote itaviwacha katika dunia,utaenda wwe tu na matendo yako mama😅
@salimguru6779
@salimguru6779 3 жыл бұрын
Alisikika fukara mmoja
@anorderastonyondo3726
@anorderastonyondo3726 3 жыл бұрын
Unaweza ukawa huna kitu na matendo yako yakawa mabaya but vilevile naww utaacha hicho ulichonacho utaenda na matendo yako
@aysherkitoi6547
@aysherkitoi6547 3 жыл бұрын
Mmmh ml 9 OK
@mwajumakweli6774
@mwajumakweli6774 3 жыл бұрын
Kajenga?
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hapo sasa
@ashaali7154
@ashaali7154 2 жыл бұрын
Mzungu mjanja sana anajua waafrika wengine ni wajinga anawatengenezea mapochi, nguo mabegi, perfume, magari makubwa saa na vipodozi anayapa brand design anapanga bei kubwa anajua malimbukeni watanunua tu ili kujionyesha na kweli wanunuaji ni sie wajinga wao pesa mfukoni halafu tunalalamka umasikini wakati tunautengeneza wenyewe. Wajinga ndio waliwao.
@minahwachack9637
@minahwachack9637 2 жыл бұрын
Nicol nigaiye ata poch moja
@elizabethkibombo8151
@elizabethkibombo8151 3 жыл бұрын
Mambo mengi mengi tena ni uchafu tena kabisa yy tu 🤭🤔😳❌❌🙄🙄
@pendozenda5764
@pendozenda5764 3 жыл бұрын
Kuna watu wanaishi jmn
@kellyemm3701
@kellyemm3701 3 жыл бұрын
Na wasindikizaji tupo. Usitusahau
@jamesmiliyaoloulu8959
@jamesmiliyaoloulu8959 2 жыл бұрын
Munatafuta comment acheni uongo nyie wabongo
@bornifacecharles9555
@bornifacecharles9555 3 жыл бұрын
Wewe una biasha unayo fanya haiwezekani et Kambona m9 awap
@alishiyaalitaqwa5248
@alishiyaalitaqwa5248 3 жыл бұрын
upumbavu tu
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 жыл бұрын
Subiri uchoke uone kama hiyo mikoba ya dola3000utapata hata dola 100subutu!!
@jumalimbende4021
@jumalimbende4021 3 жыл бұрын
Ongea kwa kiswahili una nini?
MREMBO NICOLE ATOA UFAFANUZI KUTOKA KIMAPENZI NA HARMONIZE
8:11
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 67 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 24 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 6 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 28 М.