Huyu naye?? Duh! Is this a regular media interview or criminal investigation??
@opiyoomollo53334 жыл бұрын
Ila wemwana mke mbwaaaaa
@angelinajoseph12484 жыл бұрын
Love more barnaba
@anetikapami42286 жыл бұрын
Sasa umeenda kuchukua mwanaume kama mwanamke, mkitangulizana si mtatongozwa wote.
@lipymuscat47795 жыл бұрын
Hahahahaa
@gigaevent50806 жыл бұрын
Women lie Men lie tusiseme wanawake tuu. Kilicho kibaya ni mwanaume kuachwa au kutendwa dooh!! So much pain.
@purryselestine40006 жыл бұрын
Inauma aki ya Mungu
@p.kasongot9796 жыл бұрын
Ngoja ahachwe ndo barnaba atakumbukwa
@joycedaniel43806 жыл бұрын
Mi naona hawaendani kabisa mama Steve liboonge...huyu mkaka alitakiwa awe na mtoto mbichi mbichi rika la akina Tunda hivi
@christinamagasi6254 жыл бұрын
Joyce Daniel au mm😀😀😀😀
@seifmohamedseif93846 жыл бұрын
duh hapa barnaba hapa alipenda rangi tu mbona hakuna lolote
@EdwardDismass8 ай бұрын
Tutaona mengi
@fakihizanjo86436 жыл бұрын
Wanawake mungu anawaona kwa dhambi mnazozfanya
@DawoudMohamed3867 ай бұрын
Wanawake hamtouona Ufalme Wa mbinguni
@jamilajamaljj79766 жыл бұрын
Huyu ni limbukeni tu kazuzuka na ushombe ushombe tu na hiyo rangi utakuta hana lolote si muda mrefu mtasikisa masinema yao.
@rehemajuliusoman73726 жыл бұрын
Jamila Jamal JJ umeona eeee
@juma2979 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅
@emmanuelnyansiro86366 жыл бұрын
Umalaya na ulimbukenj tuu hapo ndo huwaa nawachukia wanawake
@bintimohammedrashidrashid49296 жыл бұрын
Emmanuel Nyansiro watuchukia hivi hutaowa ama vip
@emmanuelnyansiro86366 жыл бұрын
Yalishanikuta kama ya Barnaba sihitaji tena mwanamke sasahivi nimeshazoea hili life
@shadiaali13946 жыл бұрын
+Emmanuel Nyansiro Niko mm kwa ajili yako
@mirajimohamed57106 жыл бұрын
Shadia Ali na mm nipo kwa ajili yako
@shadiaali13946 жыл бұрын
+Miraji Mohamed hahaaa
@LusekeloMwakyalabwe-ux9xq5 ай бұрын
Huyu dada ki kichwa maji
@moto_film6 жыл бұрын
KWA HABARI MOTOMOTO GUSA PICHA YANGU KUZIPATA
@goodluckymartin3346 жыл бұрын
Wanawake bhnaaaaa aiseehhhhhhhh
@nganotv60806 жыл бұрын
huwa nakumbuka maneno haya ukiwana mahusiano na mwanamke usimwamin sana utakuja juta siku hikindio kilicho mkuta ndugu yetu alijua amefika kumbe bado mwanamke kama daladala haichagui abiliaaaa pole kaka komaaaa namaishayako achananayeeee
@victorkivuyo85146 жыл бұрын
Kazoea kuacha HAPO Kijana HUNA MIAKA 2
@andrewhaule12856 жыл бұрын
Wanawake akili zao ni nyoooooo
@TopTenKaliTV6 жыл бұрын
Watanzania woote wazalendo bonyeza picha io kusubscribe channel kaliii
@inno50446 жыл бұрын
Tokea umeachana na Barnaba umeanza kuwa mbibi yani
@innosantosdakun76096 жыл бұрын
Uyo boy wke N mjanja
@angelinajoseph12484 жыл бұрын
Huyo mwanaume anakuzidi uzr atakuacha tyu
@erickkinisa5926 жыл бұрын
Unyama tuuuuu
@oyay28216 жыл бұрын
Mziki wake ni mzuri na mkewe pia ni mzuri
@loveness67326 жыл бұрын
Sio wakwanza wala wa mwisho... next
@bjzee19816 жыл бұрын
mbona wanaume waki wa introduce madem wapya inakua sawa
@maxlattinokiki81056 жыл бұрын
Huwa wanapima ukimwi?
@raymondkanyama63876 жыл бұрын
maisha yaendelee tu
@Dilvalovalo5 ай бұрын
Wana habari muko na maswali ya kizushi sana, maswali kinafki. Yaani hata katika mambo mazuri mnapendelea mabaya pia yatokee ili iweje...badilikeni sio poa mnadhalilisha.
@omarychediel13076 жыл бұрын
Mmmmh wanawake kwa tamaa sisi hatuwezekani
@josephmrutu69876 жыл бұрын
Mpenzi ya kibongo bana ni utapeli mtupu
@samiraahmed1276 жыл бұрын
jamani hamjaendana kabisa hiko kikaka kipemba cha urojo
@juma2979 Жыл бұрын
Wapemba kw shoo achana nao kabisa wanaweza
@amirsab11586 жыл бұрын
Dou mapenzi
@oyay28216 жыл бұрын
Wenye walioharibikiwa duniani ni wale waliojihusisha na wanawake....
@matindembaratani62215 жыл бұрын
huo dada bana akili zake anazijua yeye mwenyewe umalaya ndyo kazi yake
Haswa umeona eeeee mijicho sasa 🥺🥺🥺 kama fund koki
@jacksonmars78946 жыл бұрын
Demu malaya huyu
@happykazogolo98696 жыл бұрын
ndomaana kaolewa nashoga
@hamadshein9356 жыл бұрын
MBONA HAMUONESHAG MAGARI.MAPYA MKINUNUA?MNATUONESHA KAMA NIBINGWA WA KUBADILI WANAUME.KULIKO MAENDELEO.HOVYOOO MATAKATAKA PAMPULA.
@kingsele23536 жыл бұрын
Drama tu
@goodluckymartin3346 жыл бұрын
Hahhahahahah labdaa hamnaa kilaa kituuuuuu
@bintifatma91576 жыл бұрын
Muna maswali yakisenge nyie watangazaji sasa video nzima nimetizama munamuliza mtu swali moja , hivi hamuoni kama jamaa alie nae anajiskia vibaya, maboya sana nyie bora ata millad anaga shobo hizo
@emmyjohn31926 жыл бұрын
Binti Fatma ,,,,,jaman kwel hii kero sasa huu umalaya kuburu
@abdulcanal61936 жыл бұрын
😷😷😷
@adamshija47026 жыл бұрын
hili dem mbona lizee Lanini Sasa wakati halijielewi
@patriciapanga56326 жыл бұрын
Kaká Ana dharau uyu kwa mwonekano tu Kama mpenz wng... 😂😂😂