EXCLUSIVE: PART 2: BABA LEVO - Azungumzia maisha yake kiundani zaidi

  Рет қаралды 96,556

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Пікірлер: 297
@miracledamian2202
@miracledamian2202 3 жыл бұрын
Huyu jamaa ni watu ambao mungu aliwaleta kuja kuwafanya watu muda wote wawe happy brother nice one
@msusasandali5833
@msusasandali5833 2 ай бұрын
Those who are watching 2024 gather here 🎉🎉🎉
@elymsagala
@elymsagala 3 жыл бұрын
Baba levo ulimpoteza mwanamke wa maana sanaaa aseee kwa usawa huu mwanamke kukupa pesa zaidi ya 10M asee Golden chance never come twice
@classicliffestyletv6642
@classicliffestyletv6642 21 күн бұрын
hakika mkuu
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 3 жыл бұрын
Ndugu yangu Zamaradi Asante sana kumleta tena baba Levo. Maana huyu ni zaidi ya komedian. Pia ni msema kweli hanaga uongo kwa anayoyazungumza juu ya maisha yake.
@star_guide1
@star_guide1 3 жыл бұрын
Baba Levo hachoshi kumsikiliza...asante zama
@mwananimezipendaasantxaana1516
@mwananimezipendaasantxaana1516 3 жыл бұрын
Daaaaah,,nimejifunza vitu Ving xaan kupitia bblevo,,me nikuombee kwa allha akufanyie wepes ktk Safari yako 🙏🙏🙏🙏🙏
@zouzou2849
@zouzou2849 3 жыл бұрын
Jamani babalevo wewe hunaga kinyongo halafu ujikubali mtaka cha uvunguni lazima ainame wewe ni chawa prox max baba ongera
@ajmastory3615
@ajmastory3615 3 жыл бұрын
Jamani naombeni munipe sapoti pia nina youtube channel yangu ambayo nazungumzia habari nyingi za mastaa, asanteni
@georgegunda8868
@georgegunda8868 3 жыл бұрын
Namkubali Sana baba levo Sana
@zouzou2849
@zouzou2849 3 жыл бұрын
Anaependa interview za babalevo kama mimi jamani nampenda uyu babalevo 🤩🤩🤩eti chawa pro max hahahha
@tynnahpaul8639
@tynnahpaul8639 3 жыл бұрын
Ni moja kati ya watu wanaonipa raha sanaa siku hz an daaah 😍😍😍😍😍 i love you baba levooooooo uwa unanipa raha sana
@Samiaagriculture
@Samiaagriculture 3 жыл бұрын
Baba Levo endelea kupambana sana 🇰🇪 tunakufuatilia sana
@zouzou2849
@zouzou2849 3 жыл бұрын
Huyu babalevo kipindi chake zifanywe episode mana tunapenda interview zake sana
@ramzy5280
@ramzy5280 3 жыл бұрын
Hilo nalo neno 😂😂😂
@sawiyaaziz5818
@sawiyaaziz5818 3 жыл бұрын
Anatakiwa awe comedian huyu 😂🤣😂i really like this guy
@janethjustin5256
@janethjustin5256 3 жыл бұрын
Sure sure
@beatricemugiraneza6552
@beatricemugiraneza6552 3 жыл бұрын
@@janethjustin5256 Ee T3wm3 kelw.2je Tk me 3w
@Donrugi
@Donrugi 3 жыл бұрын
The biggest thing I like about this guy is he is very honest na msema ukweli, waache waongee waendelee kuyashuhudia mafanikio yake 🙏🏽🙏🏽
@tizomelele4424
@tizomelele4424 3 жыл бұрын
This is one the biggest interview of January, imekiwa inspired sana hongera Zamaradi na baba Levo kwa mawasiliano
@mutamapaul7117
@mutamapaul7117 3 жыл бұрын
Huyu baba revo anakipaji kikubwa sana damu yake niyakupedwa nabinadamu sana anabwa ushauri mzuri wa bosi wake amuajiri momo kwa moja ampe mkataba hata wa mwaka miwiri amtuzame kipato kitaongezeka sana mujaribu bosse press tunakushawishi asanti sana timu baba revo kutoka dubai
@alberthelmenglid4824
@alberthelmenglid4824 3 жыл бұрын
Mnataka mastory yes niwape mastory yes Daah BabaLevo his so funny 😆
@safiaimran712
@safiaimran712 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Donrugi
@Donrugi 3 жыл бұрын
Congratulations zamaradi your the best presenter, hauna tabia ya kukatisha maelezo ya mtu, huwa unasikiliza tofauti na watu flani 😄,
@ajmastory3615
@ajmastory3615 3 жыл бұрын
😃😃😃
@khamisalfazari9544
@khamisalfazari9544 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiii mbavu zangu jaman😅😅😅 baba levo ni 🔥🔥🔥🔥🔥nimempenda bure ukikaa nae unainjoi
@Randm-
@Randm- 3 жыл бұрын
Anaenda mbweo sana😅😅 punguza beer baba Levo. Unacheuwa ovyo
@lissamsalu12345
@lissamsalu12345 3 жыл бұрын
Nampenda Sana baba levo kila siku lazima nimuangalie kutoka Cambodia jaman
@ivanyjunior1471
@ivanyjunior1471 3 жыл бұрын
Lissa mamboo
@ivanyjunior1471
@ivanyjunior1471 3 жыл бұрын
Naomba namba yako ya what's up
@dicksonisakwe3063
@dicksonisakwe3063 3 жыл бұрын
cambodia tena😳...c tulikubaliana mwisho kenya?
@alexluzu234
@alexluzu234 3 жыл бұрын
Hi Lisa
@gg458hhjbglnngtfdws
@gg458hhjbglnngtfdws 3 жыл бұрын
Babalevo he's so entertaining and humble at the same time,much love from Kenya,more episodes please nimecheka sana..
@ndaganoanastazia2658
@ndaganoanastazia2658 3 жыл бұрын
✌️ & ♥️ from Belgium 🇧🇪 2 Baba Levo Tompoooo Pro max....
@LilianMwamwaja
@LilianMwamwaja 3 жыл бұрын
Waliosikia Nice dress👗😀😀😀 The man is so much funny
@georgegunda8868
@georgegunda8868 3 жыл бұрын
Mimi na uzee wangu ni shabiki mkubwa wa Baba levo, nacheka Sana
@misschagga8042
@misschagga8042 3 жыл бұрын
Baba levo ana vituko jamani nimechekaaa leo.eti likitu wamelishindwa huko wananisukumia mimi🤣🤣🤣🤣🤣
@jamil1547
@jamil1547 3 жыл бұрын
Dada Zamaradi naomba umpe ushauri baba levo ajenge nyumba, tuna enjoy story zake.
@mathayojkjss8615
@mathayojkjss8615 3 жыл бұрын
Ware tunaotaka party 3 Like hapa
@nasrahsamwely6871
@nasrahsamwely6871 3 жыл бұрын
Mungu ambariki Sana Sana jaman his good person 🤣🤣✊✊✊❤️❤️❤️❤️anajua kushukuru mashaallah
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 жыл бұрын
ndo mn huyu anafanikiwa kwa wa2 na rahic wa kujua kosa na kuomba msamaha
@nasrahsamwely6871
@nasrahsamwely6871 3 жыл бұрын
@@zuleikhakhamis3303 anajua kuishi na Watu
@rosemuba2532
@rosemuba2532 3 жыл бұрын
Nampenda baba Levo jamani 😀😀😀😀
@ibrahimyusuph4908
@ibrahimyusuph4908 3 жыл бұрын
Daah aseeh babalevo namkubal san piga kaz babaah usiangalie maneno ya watu aseeh...
@ezradaniel4613
@ezradaniel4613 3 жыл бұрын
Hongera sn diamond kwa kuwa na moyo wa upendo,Mungu akubariki sn.
@janethjustin5256
@janethjustin5256 3 жыл бұрын
Babalevo unatisha sana😁😁😁nakupenda sana
@eliyazacharia7660
@eliyazacharia7660 3 жыл бұрын
Daaa nakupenda sana my kaka, kigoma oyeeeeee
@zafaranialmasi1031
@zafaranialmasi1031 3 жыл бұрын
Oyeeeeee 💃
@janatahmad7048
@janatahmad7048 3 жыл бұрын
nilikua nasubili kwa hamu part2
@happyhema2457
@happyhema2457 3 жыл бұрын
Namkubari Sana baba revo his so fun aiseeee😂😂😂😂
@kutokaughaibuni
@kutokaughaibuni 3 жыл бұрын
Latifa Interviews zote za baba levo leo ndo nimeona interview ambayo imenifunza nisikate tamaa hata Kidogo visee love you bro
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 3 жыл бұрын
Kunasiku linijisogeza sogeza kwako ukanichaamba nikasema Alhamdulillah 😂😂😂
@dullyseven690
@dullyseven690 3 жыл бұрын
B levo mtaalam fundi manyumba, Interview 🔥🔥🔥
@ramastim187
@ramastim187 3 жыл бұрын
Dahhhh noma sana baba levo anapenda kupiga punyeto😁😁😁😁
@csato9415
@csato9415 3 жыл бұрын
Naona hajui madhara yake 🤦‍♂️🤦‍♂️
@ramaaisha887
@ramaaisha887 3 жыл бұрын
I love this guy he ez so humble nd funny thou
@emanueloloo2758
@emanueloloo2758 8 ай бұрын
What I have loved about these guy is being honest about himself, bigup bro.
@pickfordjustin3432
@pickfordjustin3432 3 жыл бұрын
Mimi ni mrundi zamaradi Tv mnafanya vizuri kuindeleza story ya fundi manyumba. Natamani mumwambie Clayton huku Burundi tunamuitaji
@gatekabel-benit827
@gatekabel-benit827 3 жыл бұрын
Pickford Justin
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 3 жыл бұрын
Yes Baba levo yupo funny sana yaani huchoki kusikiliza interview zake
@maggiemuenimueni1627
@maggiemuenimueni1627 3 жыл бұрын
Babalevo ni mtu poa Sana keep up for taking care of your kids
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 3 жыл бұрын
Huyo mzee aliyeliwa pesa za kamali alicheza zaid ya mesi🤣🤣🤣 Baba levo tunatufurahisha sana loooh
@safiaimran712
@safiaimran712 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@georgesengenge8262
@georgesengenge8262 3 жыл бұрын
Wakwanza npe likes zanguu
@peterm7969
@peterm7969 3 жыл бұрын
Hahahaha Daah😂😂😂😂😂Baba levo fala ww nimecheka sana.
@mzurzamzam1877
@mzurzamzam1877 Жыл бұрын
KIGOMA HATOKI FARA..❤❤🇹🇿..WANA USAMAKIN TUJUANE
@jumarajab5316
@jumarajab5316 3 жыл бұрын
hata mimi nyeto naipenda maana haiombi hela wala kuingia blid na nikikosa sabuni napigia bamia
@salehemfuchu368
@salehemfuchu368 3 жыл бұрын
Unajukuta unalia kuliko mke wake 😅😅😅😅😅😅
@reubenson8342
@reubenson8342 3 жыл бұрын
Mnataka mastory Yess niwape mastory ?yesss baba levo 😂😂😂😂😂
@AfricanNoseBebe
@AfricanNoseBebe 3 жыл бұрын
He is so relatable, Baba Levo
@hawahassan835
@hawahassan835 3 жыл бұрын
Mashaaallah 😘
@sheen2756
@sheen2756 3 жыл бұрын
But he talks sense in a crazy way...
@aniveaderickson4174
@aniveaderickson4174 3 жыл бұрын
exactly
@janethjustin5256
@janethjustin5256 3 жыл бұрын
True
@mahinga
@mahinga 3 жыл бұрын
Baba Levo nimukweli 👌👌👌
@winfredcanaan582
@winfredcanaan582 3 жыл бұрын
Hivyo hivyo Baba Levo... nice dress 👗🤣🤣🤣
@lucymlawa9131
@lucymlawa9131 3 жыл бұрын
Baba levo mungu akupe maisha marefu
@mozasaid3869
@mozasaid3869 3 жыл бұрын
Sijui chawa sijui mende!😅😅😅😅😅😅😅😅 Baba Levo unatuchekesha sana!
@Donrugi
@Donrugi 3 жыл бұрын
Dakika ya 23:36 baba levo anasema anataka akasomee utangazaji, lakini interview yake ya kwanza I mean party one ya hii interview kasema aliishia darasa la saba. Najaribu kuwaza anasoma chuo kipi na kwa utaratibu upi maana vyuo vyote registered na nacte lazima uwe umemaliza at least form four with awarded certificate sio uwe ulifeli kabisa ukakosa hata devision four.
@sumahilimsenga3633
@sumahilimsenga3633 3 жыл бұрын
Ataenda formation
@godfreysanga8930
@godfreysanga8930 3 жыл бұрын
Atasoma course fupi fupi
@pritymoraakirera5066
@pritymoraakirera5066 3 жыл бұрын
I love these guy
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 3 жыл бұрын
Hichi KiPINDI au HADITHI zamaradi kabaki Mhh eeeee eeee anaongea yeye tu Baba Levo kama Bar
@syphroseshazala6854
@syphroseshazala6854 3 жыл бұрын
Mutch love from Kenya baba levo ,, keep going
@bhaleeali8459
@bhaleeali8459 3 жыл бұрын
LEVO ni mtu muwazi sana yani kama njano ni njano ananyoosha maelezo ili walimwengu wamsome vizuri na wapate funzo kupiti yeye
@sundayeyenga4269
@sundayeyenga4269 3 жыл бұрын
naomba nikuoe zamaradi.....nakupenda zama
@erickbmaxunga6019
@erickbmaxunga6019 3 жыл бұрын
Baba Levo unapiga puchu!!!!!!!!
@eastcuisines124
@eastcuisines124 3 жыл бұрын
hahahaha baba levo ni mkweli sana
@fetysaidsaid708
@fetysaidsaid708 3 жыл бұрын
zam mlete tena kwakweli nimefalijika na story zake pia nimejifunza kitu baba lavo ♥️
@dannymoses1882
@dannymoses1882 3 жыл бұрын
baba levo nakukubali sana we chiz
@isayamayogu8229
@isayamayogu8229 3 жыл бұрын
B levo 🔥🔥
@basamtz8674
@basamtz8674 3 жыл бұрын
Nataka nione faida ya kuwahi kwa like zenu
@helenakidimwa
@helenakidimwa 3 жыл бұрын
Unaburudisha Sana baba Levo
@ajmastory3615
@ajmastory3615 3 жыл бұрын
Nimelike lakini hata mimi sijawahi pata like zenu☺️
@jestinakanji8168
@jestinakanji8168 3 жыл бұрын
Unahariiii sn baba levo
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Nilitaka kushangaa asimtaje Peter Msechu?!!
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 жыл бұрын
Baba Levo 😀🔥❤
@nbmax1405
@nbmax1405 3 жыл бұрын
Levo ba mtaalam fundi mnyumba
@semysemy4218
@semysemy4218 3 жыл бұрын
Hahahhahahha eti Kuna siku nimekuwa najisogeza sogeza kwako zamaradi ukanicamba ... Baba Levo fala sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@innat04
@innat04 3 жыл бұрын
Yaani kama huna pesa utachambwaa na kila mtu, sasa vile amepanda, aliemchamba amemuhitaji, dunia hii!!!
@naamohamed9964
@naamohamed9964 3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@janethjustin5256
@janethjustin5256 3 жыл бұрын
😁😁
@nassorsada213
@nassorsada213 3 жыл бұрын
Baba levo unanifanya niwe happy everyday 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@ashamohamed857
@ashamohamed857 3 жыл бұрын
Ninempenda sana Baba Lovo wewe ni mtu mzuri na una toa ya moyoni sio muongo. Ubarikiwe nimecheka sana. Kuhusu mzee na maji machafu.haaaaaaa
@mankacharles4559
@mankacharles4559 2 жыл бұрын
Best of the best interview
@georgenkini6176
@georgenkini6176 3 жыл бұрын
Kupatwa kwa zamaradi
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 3 жыл бұрын
Najua kwa nini diamond anampromote sana huyu baba levol, atamshawishi abadili dini awe muislam afate dini ya mwanamke Diamond ana udini sana
@michaelvonsider3412
@michaelvonsider3412 3 жыл бұрын
Hater
@idrisasaid4586
@idrisasaid4586 3 жыл бұрын
Co vbaya muhimu furah
@hamenyaanthonympeke5047
@hamenyaanthonympeke5047 3 жыл бұрын
Fundi manyumbaaaa
@mr.pilipili5289
@mr.pilipili5289 3 жыл бұрын
Nice dress falaa sana Baba levo dah
@esterygeorge2321
@esterygeorge2321 3 жыл бұрын
Hahah eti ukiherehere tyu hahah big up sana bilevo mtaalam
@Agnes-qq4np
@Agnes-qq4np 3 жыл бұрын
Jamani baba levo tena part2 njoni tuceke tena😅😅😅😅
@hamiskengwa6148
@hamiskengwa6148 3 жыл бұрын
Tuseke chane chane
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 3 жыл бұрын
Hhahaha babalevo anapenda kupiga nyeto kiliko kufanya mapenzi😂😂😂😂😂😂😂😂
@namsamson3443
@namsamson3443 3 жыл бұрын
Leo sauti iko vizuri sana . Bila background noise
@esterantapa5041
@esterantapa5041 3 жыл бұрын
Mama ana rohoo ngumu kumuacha mtoto
@naimanaima4715
@naimanaima4715 3 жыл бұрын
Ni shetan kbs
@medinaji7927
@medinaji7927 3 жыл бұрын
Yaaan Zama akimuangalia Baba levo to anacheka🤣🤣🤣🤣
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 3 жыл бұрын
Sikilizeni pale pa dakika 49:15 baba levo kasema anapenda nyeto hahahhaahaaa daah hata siamini 😂😂😂😂
@omarkibwanabaluna2410
@omarkibwanabaluna2410 3 жыл бұрын
baba levo linapiga nyeto🤣🤣🤣🤣🤣
@hopechriss8739
@hopechriss8739 3 жыл бұрын
Anapenda nn uyu sijamuelewa
@salha.d5060
@salha.d5060 3 жыл бұрын
Acha kubeti baba levo MUNGU atakusaidia kubeti ni haramu huenda unajizibia ridhiki
@jescamaro6226
@jescamaro6226 3 жыл бұрын
Baba Levo nakupendaga sana ulivyo mwazi
@emmanueljosephati3932
@emmanueljosephati3932 2 жыл бұрын
Anapenda nyeeeetoooo 😂😂😂😂
@rebecasanya8910
@rebecasanya8910 3 жыл бұрын
eti tunaweza kujikuta tunauza daraja🤣🤣
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 3 жыл бұрын
Eti tutauza daraja😁😂 yani huyu jamaa ni mtambo aisee
@djfiremoto3429
@djfiremoto3429 3 жыл бұрын
MUNGU ATUBARIKI SOTE🙏
@harounali9057
@harounali9057 3 жыл бұрын
Nime angalia part 1 na hii part 2 sija kuona hata kunywa maji.
@websitetv433
@websitetv433 3 жыл бұрын
b levo baa
@killerbona5018
@killerbona5018 3 жыл бұрын
Matangazo weka mwisho
Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 1
41:27
YahStoneTown
Рет қаралды 474 М.
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,4 МЛН
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15
Apple peeling hack
00:37
_vector_
Рет қаралды 117 МЛН
INTERVIEW SHOW  BABA LEVO  at COCONUT fm ..ZMOTION
7:05
Zanzibar lifestyle
Рет қаралды 88 М.
MUZIKI, MADAWA, BIFU, SIKUTAKA KUWA MWINGINE, NITARUDI UPYA
36:19
#LIVE: BABA LEVO ANAFUNGUKA MUDA HUU
34:05
Millard Ayo
Рет қаралды 23 М.
ДОКАЗАЛ ЧТО НЕ КАБЛУК #shorts
00:30
Паша Осадчий
Рет қаралды 1,4 МЛН