Kwa nini master j asiwe mwenyekit wa basata embu nipen like zangu
@janethkilonzi42604 жыл бұрын
Anaweza kwel!!
@victoriadaizy52774 жыл бұрын
Master J umezidi kua young en handsome. BG up Mtu wangu .
@moureenngowi87124 жыл бұрын
MJ is such a gentleman. Natamani wanaume wote wawe kama yeye. You just love your family a lot na hujataka ugomvi wenu na your ex wife watoto waathirike psychologically may God bless you for that
@livingforgod27054 жыл бұрын
I think mtu akiongea kwa utulivu anakuwa real na unamjua mwenyewe halisi.Master ur a gentleman.
@Dollybless2554 жыл бұрын
Master your so Genius 🙌 Maproducer wanamaisha magumu sanaa fanya Uwasaidie maana master wewe ni msomii najua Unawezaa
@ashasiaga31974 жыл бұрын
Hongera sana master J kua na msimamo kwenye mahusiano yako Shaah ndie mkeo halisi mungu awasimamie muweze kufunga ndoa hongera yake shaa kwa uvumilivu mkubwa mungu mungu awasimamie inshaallah
@diana_james92694 жыл бұрын
Excellence interview, I like the way the man is answering the question, it is professional
@enisaswilla4944 жыл бұрын
Nc
@Hemeddymeddy4 жыл бұрын
Bravoooo...ucfe moyo penye uhai mbele ya safari naamini utawakilisha InshaAllah
@joycebosire34344 жыл бұрын
Hongera sana Zama hasa kutoa ile back sound ilokuwa inapugwa yani ilikuwa inaharibu sana maana interview ilikuwa hasikiki kabisa, sasa hivi tunakia mazungumzo yenu vizuri sana kama tuko sitting room wow. Good job
@globallpublishers84484 жыл бұрын
Interview ni nzuri, japo sauti ya host Zamaradi ipo chini, ni kama unanong'oneza, kuna mpishano mkubwa kati ya mtangazaji na Master Jay.
@1woodlandmusic2604 жыл бұрын
Kama anatongozwa bwana🤣🤣🤣
@pendopeter17904 жыл бұрын
Exactly umoja ni nguvu, powerful words Master J
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Tume enjoy na *Master J* c haba one love 👍
@zainabramadhan21094 жыл бұрын
Wewe ni baba bora Wa kwanza nimekuona hasa kujali familiya
@aminaabdulrahman21934 жыл бұрын
Zama pls huyu aliyokuremba ndio kaupatia haswa mshikilie huyo awe anakutemba kila siku,
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Yaani make up imekaa vizuri sana
@faridazahoro86934 жыл бұрын
Umeonaeeeh
@spreadlove21194 жыл бұрын
Kapendeza sana leo
@johanithamugango68014 жыл бұрын
Nikweli kabisaa amemremba vizuri sana
@mmn74803 жыл бұрын
Ata mm nmeona
@agnesmkanga46174 жыл бұрын
Master J amependeza sn,Grey Suit with Raba,so smart,
@josephinepatrick60264 жыл бұрын
Master J big up bro🥂👏🏽👏🏽
@amneyhassain63564 жыл бұрын
Unasikiliza Interview had unatamani isiishe siyo wale wengine.......
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
Halaf wametupunja muda dk46🤔
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Naogopa
@aoman52144 жыл бұрын
Nakukubali Sana Kaka kuna mijanaume ikiachana na mkewe anamfukuza na watoto anawatelekexa yeye anabaki ndani na mke mwingine watoto wanabki wanaangaik
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Grate father hongera Sana
@mwajumaabeidy81374 жыл бұрын
Zamarad umependeza sana sana.naomba uwe hv kila cku..sio yale mapodoz ya cku za nyuma kw kweli hapana .Wewe ni mrembo sana Chunga sana uvaaji wako..na huyu aliekupamba Leo shkamoo yke ,hongera sana.sisi mashabik wako tunakupenda tukuone hvi kila cku hutuangush.
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Nice interview. Sasa hawa ndio watu wa kuwahoji...ukimalza kuona una gained MADINI
@Dollybless2554 жыл бұрын
ila we ni Mwanaume 🙌
@najmakikula49294 жыл бұрын
Hay ndio mamb tunayatak unawalet wakin uchebe hawajuw hat kujibu maswali ila hap tunaenjoy kabisa
@beatricetenywa43674 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@najmakikula49294 жыл бұрын
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@najmakikula49294 жыл бұрын
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@ChrisJG4 жыл бұрын
@@najmakikula4929 😂😂😂😂dah
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
UtasemA hana mdomo
@kissamwamunyange10182 жыл бұрын
Master jay Ur the best babaaa
@jamilaabas95964 жыл бұрын
Yani kipindi kizuri sana ila zamaradi unanong'ona sana unae muoji anatoa sauti wew upo chini sana
@johariwalii41094 жыл бұрын
Zama uwashe hata feni basi ama sehem iwe na AC au kaupepo..... Wageni wako wanajifuta sana jasho, na kaglas kamaji kawepo piaa
@janemhagama19254 жыл бұрын
Kabisa.. maana Master J anaonekana kuteseka kila saa anajifuta uso sjui ndo mapoz yake ya kuongea
@johariwalii41094 жыл бұрын
@@janemhagama1925 sio mapozi yake hata, angalia hata interview ya Lukamba atlist alikua na tissue anajifuta jasho. Nadhan Zama aliangalie hilo kwa wageni wajao....
@adelmarcymallya7724 жыл бұрын
Hasomagi comments naona
@vivianlucas63894 жыл бұрын
Labda ipo
@pendokissatu9374 жыл бұрын
Yanii kuhusuu maji tissue kashauriwa sana sjui hasomi comment
@callmesubra54724 жыл бұрын
Wow, interview nzuri kama kawa
@silverman69304 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🇬🇧🇬🇧🇬🇧 master J ❤️
@agnesmndala13352 жыл бұрын
Dah.....upo vizurii jamanii unamuamini Mungu safi sana!!
@beatricerajabu72344 жыл бұрын
Hahaha Master umenifurahisha sana et nimebaki na kipara changu dah hahahah
@shanishosho9114 жыл бұрын
Hahahaha
@agnesmkanga46174 жыл бұрын
Hahahaaa
@mmn74803 жыл бұрын
🤣🤣
@bettymassanja8814 жыл бұрын
Aliyemsikia Master J anasema amebaki tu na KIPARA CHAKE, agonge "like" hapa. Hahahaaaa.
@hiramakhamis28304 жыл бұрын
Wow shaa umebahatika masha Allah mufunge ndoa tu ndio nawaombea
@Dollybless2554 жыл бұрын
Master daah hakika Mungu ndio kila kituuuu
@nitikealinani46814 жыл бұрын
Pole poppppppplopppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@magrethsimtenda9264 жыл бұрын
Hongera mpendwa MUNGU Akutunze.
@petertarimo8394 жыл бұрын
umependaza sana zile rasta zilikua zinakuzeesha
@happynicholaus64744 жыл бұрын
Kweli
@safiyatheonlything78484 жыл бұрын
Kapendeza sana pia
@gemmaaugustino80874 жыл бұрын
Woooow
@aurelialema39454 жыл бұрын
Umeongea point. Ndoa ikiwa na ugomvi ni bora mmoja aondoke.. Inaharibu hata watoto
@veronicafelisian34594 жыл бұрын
Dada jamani sauti inasumbua hebu jaribu kulifanyia kazi Dada, I'm watching you from Reunion island, Amejielezea vizuri sana kuna mengi ya kujifunza ila sauti yako iko chini na sauti ya upande wa pili iko juu sana❤
@melch30975 ай бұрын
Jamani naweza kupata number ya master j, for construction business
@saidahj25434 жыл бұрын
Nice interview 👏👏
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Nimependa Sana ulivyomtaja mungu kuwa nguzo wengine wangetaja RICKROSE, DAVIDO, NICKMINAJ
@nahyialetomia92844 жыл бұрын
Mama works with the UNDP
@seebseeb4543 жыл бұрын
Master J .. we met at the airport in Dar 20 years back and you are still the same.
@مارثاتنزانيا4 жыл бұрын
Kumbe master j,unaekima ivyo
@cynderellamokeira66484 жыл бұрын
I really enjoy the show
@Nicole-lema4 жыл бұрын
Supa interview. Usilolijua ni Sawa na usiku wa give. Baba anajielewa Sana huyu. Big up. Zama husikiki kabisa
@rose_Winchester864 жыл бұрын
Best interview
@hamoudcreator63434 жыл бұрын
Master J, anapendeza zaidi hivi sanaaa. Kuliko Rasta.. Brother unatufaa pale Basata kabisaaa.. Ila sisi vijana wabunifu ndo tunaumia drone cameras tunalipia, KZbin tunalipia.. Daaaahhh😢😢 Hii ni Tanzania Tu..
@deogratiusndunguru76364 жыл бұрын
Master you talk madiniii
@siamoye45493 жыл бұрын
Wanaume wa kichaga ni kaka zang na baba zangu wanajua kupenda sana especially familia zao sisem wengine hawajui sijui upande wa wengine lakin wanaume wa kichaga kweny familia zao
@amenyeandrew88334 жыл бұрын
Nice interview
@pudencianamlewa64864 жыл бұрын
Master Jay
@carolineusiri4774 жыл бұрын
Best interview..master Jay ww ni mwanaume na nusu..hukupenda familia iteseke
@aminamuhozaa70904 жыл бұрын
Nakupenda dada zamarad
@josephphanueltv78464 жыл бұрын
Master j na p funk ndo ma legendary wa huu mziki
@gladykidai51883 жыл бұрын
Master
@sunrisekitchen14 жыл бұрын
I just love this interview
@mbwanamtessa86072 жыл бұрын
Dah broh you just talking fact
@neemakaluwa20894 жыл бұрын
Enterview km hizi ndo tunataka sio zakina harmorapa iseee.
@rehemalameck70144 жыл бұрын
Dada zama tunaomba , interview nyingine uongeze sauti yako ,ni ndogo Sana hatusikii
@joycebosire34344 жыл бұрын
Yani hapo umeongea, na tushukuru hata ametoa ile back sound walokuwa wanapiga wakati wanaongea
@peninaancon12564 жыл бұрын
Nampenda Master Jay sana na huyo Shaa. Anaongea vizuri, Interview iko poa sana. Fanya namna umhoji Salama na Lea Mwendamseke plse!.
@imanmarco45594 жыл бұрын
Ľ
@vanilasanga45274 жыл бұрын
Master very Genius
@namsamson34434 жыл бұрын
Very honest man.
@sunrisekitchen14 жыл бұрын
Zama asante kumleta master pia nakushauri utuletee na wajasiliamali walioanzia from scratch
@chitakostanford18314 жыл бұрын
Master nakubali sana
@riikostar59504 жыл бұрын
sijui kwanini, vipindi vyote vya TV afrika havina sauti ya kutosha, wamelogwa??
@grancebeuty24434 жыл бұрын
Zamaradi ongeza sauti kwenye interview zako
@ruthmoshi26204 жыл бұрын
Interview tamu hii jamani
@vivianlucas63894 жыл бұрын
Kabsa,bora kumove on
@catyedokigutu73664 жыл бұрын
Yani anaakili uyu interview hadi raha
@aishamukandanga2724 жыл бұрын
Zama jitahidi kua unapandisha sauti yako kidogo
@noorkhamisi24904 жыл бұрын
Kweli kabisa zama kwenye Sauti unaboa sana my jitahidi kwahilo ukitaka kumckia vizur uvae foni
@vivianrobert71364 жыл бұрын
Nikadhani labda simu yangu
@Randm-4 жыл бұрын
Madai yake.. yuko sex and romantic.. mxiuuu
@julianamushi33924 жыл бұрын
Zama watu kaa uchebe usituletee ten tunapenda watu wanaojielewa maan ya intev
@aysherkitoi18454 жыл бұрын
Umeongea 100%hajui mana ya intv kma muhuni wa manzese mamae
@lisadovino7484 жыл бұрын
Kabisa yaan umeongea point dear
@christinabageze34244 жыл бұрын
Hahaha yan wewe
@deokidunda62784 жыл бұрын
I think u have same history like me and wife
@shellamduba30664 жыл бұрын
Katika watu niliowahi kuwaona wana rasta Master J pekee zilikuwa zinampendeza wengine naonaga vituko tu. Nimesikitika alivyozikata jamani
@hildadavid50004 жыл бұрын
Uko juu baba
@mbwanamtessa86072 жыл бұрын
Safi
@jemaluganolugano69874 жыл бұрын
Nice interview..zamaradi solve sauti
@ksnjos0014 жыл бұрын
Body language mikono imefungwa Zamaradi...` open yourself up watu wa nchi za nje wana angalia hii shoo sio wabongo tu
@kijeneema45274 жыл бұрын
Nasubiri sehemu ya pili
@berthashoka60764 жыл бұрын
Sauti yako Zama ipo chini sanaaaa
@nurujulius19204 жыл бұрын
Sauti da zama,sauti ndogo sana
@alicethobias9324 жыл бұрын
Zama una host vizuri Sana dia
@gracenanyaro47934 жыл бұрын
Boresha kipindi chako sana, yaani najikuta nafoward Sauti,sijui na camera man wako...mara tunaona miguu tu...
@lalyilaoman58004 жыл бұрын
Dd zama (dada wakazi vp mbona kimny
@itshaluastyle4 жыл бұрын
Mishono ya vitenge MAHARUSI nk Bonyeza link pia usisahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/jnvLeZmuedWFmrM
@janeschurmanns73644 жыл бұрын
Kwa kweli Zama wewe husikikikabisa sauti ndogo
@DarKopo6 ай бұрын
Dread na Rasta wht is different?
@asiajuma83304 жыл бұрын
Yani zama sikuizi interview zako ata siangalii kwajili ya sauti jaribu kurekebisha hilo jamani 😢
@hawajamal89874 жыл бұрын
Inaonekana chumba anachofanyia interview hakina vitu vingi sauti inajirudi ndani
@rukiamohammed54944 жыл бұрын
anaboa kweli sauti anabana
@munaahmed84994 жыл бұрын
Master saut inasikika lkn huyo zama kam anatongozwa vile kisaut cha hiniiiiii
@nurujulius19204 жыл бұрын
Sauti ya tangazo iko good ila ya kwako sasa hm?!
@beautyibrahim84284 жыл бұрын
🔥😂😂🔥huyo mwanamke anakupenda bdo ndo maana alikuwa atak umpe talaka leo ndo nimepata jibu kwann mmekaa na shaaa mda mrefu kwenye mahusiano usingeweza kumuoq shaaa wakat hujampa talaka mke wako
@annamushi45874 жыл бұрын
Unajua kujibu maswali sana
@annanassari63844 жыл бұрын
Yn dd zama hatukuckii kbs improve mice zko plzzz
@worldlyricssongs61414 жыл бұрын
😁😁😁hes funny
@tumakassim62864 жыл бұрын
Wajumbe wabaya sana 🤣🤣
@upendohalisi804 жыл бұрын
Kosa sana kuachana, na MUNGU BABA hapendi na hajawahi kupenda, kunakutolea hesabu. Hakuna jambo lisilokuwa na toba au msamaha! Kuweni makini.
@rickykawacha96364 жыл бұрын
Imekuwa kubwa
@hekimagrison12964 жыл бұрын
Kweli kabisa watu wanaiga mambo ya dunia na kuona n kitu cha kawaida
@siamoye45493 жыл бұрын
Huwaambii kitu wanapenda sana
@moudymachimbo13963 жыл бұрын
Duh Yan zamarad anaongea sauti ya mahaba Sana duh unazingua sister toa saut sister utasema kipind Cha mahaba.
@onesmoakwilini62544 жыл бұрын
Bora uliambulia kura 2., Unaonekana unazarau ETI CROWN sio gar.? Ni baiskeli au.?
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Furaha ya mtu ndio muhimu Leo hii nashangaa kina chuchu Hans wadhalilika kwaajili ya kitoto kimoja tu
@raziankwassa92214 жыл бұрын
Da zama fen pls,sio kwa kujifuta jasho
@bakarimngazija66723 жыл бұрын
Wewe ni kweli ulitaka kumsapoti mwenyekiti wa Chama chako tunajuwa.!!