EXCLUSIVE: MASTER JAY - kwa mara ya kwanza afunguka kuvunjika kwa Ndoa yake/ mahusiano yake na SHAA

  Рет қаралды 88,556

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Пікірлер: 232
@julietnderio5887
@julietnderio5887 4 жыл бұрын
Kwa nini master j asiwe mwenyekit wa basata embu nipen like zangu
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 4 жыл бұрын
Anaweza kwel!!
@victoriadaizy5277
@victoriadaizy5277 4 жыл бұрын
Master J umezidi kua young en handsome. BG up Mtu wangu .
@moureenngowi8712
@moureenngowi8712 4 жыл бұрын
MJ is such a gentleman. Natamani wanaume wote wawe kama yeye. You just love your family a lot na hujataka ugomvi wenu na your ex wife watoto waathirike psychologically may God bless you for that
@livingforgod2705
@livingforgod2705 4 жыл бұрын
I think mtu akiongea kwa utulivu anakuwa real na unamjua mwenyewe halisi.Master ur a gentleman.
@Dollybless255
@Dollybless255 4 жыл бұрын
Master your so Genius 🙌 Maproducer wanamaisha magumu sanaa fanya Uwasaidie maana master wewe ni msomii najua Unawezaa
@ashasiaga3197
@ashasiaga3197 4 жыл бұрын
Hongera sana master J kua na msimamo kwenye mahusiano yako Shaah ndie mkeo halisi mungu awasimamie muweze kufunga ndoa hongera yake shaa kwa uvumilivu mkubwa mungu mungu awasimamie inshaallah
@diana_james9269
@diana_james9269 4 жыл бұрын
Excellence interview, I like the way the man is answering the question, it is professional
@enisaswilla494
@enisaswilla494 4 жыл бұрын
Nc
@Hemeddymeddy
@Hemeddymeddy 4 жыл бұрын
Bravoooo...ucfe moyo penye uhai mbele ya safari naamini utawakilisha InshaAllah
@joycebosire3434
@joycebosire3434 4 жыл бұрын
Hongera sana Zama hasa kutoa ile back sound ilokuwa inapugwa yani ilikuwa inaharibu sana maana interview ilikuwa hasikiki kabisa, sasa hivi tunakia mazungumzo yenu vizuri sana kama tuko sitting room wow. Good job
@globallpublishers8448
@globallpublishers8448 4 жыл бұрын
Interview ni nzuri, japo sauti ya host Zamaradi ipo chini, ni kama unanong'oneza, kuna mpishano mkubwa kati ya mtangazaji na Master Jay.
@1woodlandmusic260
@1woodlandmusic260 4 жыл бұрын
Kama anatongozwa bwana🤣🤣🤣
@pendopeter1790
@pendopeter1790 4 жыл бұрын
Exactly umoja ni nguvu, powerful words Master J
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Tume enjoy na *Master J* c haba one love 👍
@zainabramadhan2109
@zainabramadhan2109 4 жыл бұрын
Wewe ni baba bora Wa kwanza nimekuona hasa kujali familiya
@aminaabdulrahman2193
@aminaabdulrahman2193 4 жыл бұрын
Zama pls huyu aliyokuremba ndio kaupatia haswa mshikilie huyo awe anakutemba kila siku,
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 4 жыл бұрын
Yaani make up imekaa vizuri sana
@faridazahoro8693
@faridazahoro8693 4 жыл бұрын
Umeonaeeeh
@spreadlove2119
@spreadlove2119 4 жыл бұрын
Kapendeza sana leo
@johanithamugango6801
@johanithamugango6801 4 жыл бұрын
Nikweli kabisaa amemremba vizuri sana
@mmn7480
@mmn7480 3 жыл бұрын
Ata mm nmeona
@agnesmkanga4617
@agnesmkanga4617 4 жыл бұрын
Master J amependeza sn,Grey Suit with Raba,so smart,
@josephinepatrick6026
@josephinepatrick6026 4 жыл бұрын
Master J big up bro🥂👏🏽👏🏽
@amneyhassain6356
@amneyhassain6356 4 жыл бұрын
Unasikiliza Interview had unatamani isiishe siyo wale wengine.......
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 жыл бұрын
Halaf wametupunja muda dk46🤔
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Naogopa
@aoman5214
@aoman5214 4 жыл бұрын
Nakukubali Sana Kaka kuna mijanaume ikiachana na mkewe anamfukuza na watoto anawatelekexa yeye anabaki ndani na mke mwingine watoto wanabki wanaangaik
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Grate father hongera Sana
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 4 жыл бұрын
Zamarad umependeza sana sana.naomba uwe hv kila cku..sio yale mapodoz ya cku za nyuma kw kweli hapana .Wewe ni mrembo sana Chunga sana uvaaji wako..na huyu aliekupamba Leo shkamoo yke ,hongera sana.sisi mashabik wako tunakupenda tukuone hvi kila cku hutuangush.
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
Nice interview. Sasa hawa ndio watu wa kuwahoji...ukimalza kuona una gained MADINI
@Dollybless255
@Dollybless255 4 жыл бұрын
ila we ni Mwanaume 🙌
@najmakikula4929
@najmakikula4929 4 жыл бұрын
Hay ndio mamb tunayatak unawalet wakin uchebe hawajuw hat kujibu maswali ila hap tunaenjoy kabisa
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@najmakikula4929
@najmakikula4929 4 жыл бұрын
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@najmakikula4929
@najmakikula4929 4 жыл бұрын
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@ChrisJG
@ChrisJG 4 жыл бұрын
@@najmakikula4929 😂😂😂😂dah
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
UtasemA hana mdomo
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 2 жыл бұрын
Master jay Ur the best babaaa
@jamilaabas9596
@jamilaabas9596 4 жыл бұрын
Yani kipindi kizuri sana ila zamaradi unanong'ona sana unae muoji anatoa sauti wew upo chini sana
@johariwalii4109
@johariwalii4109 4 жыл бұрын
Zama uwashe hata feni basi ama sehem iwe na AC au kaupepo..... Wageni wako wanajifuta sana jasho, na kaglas kamaji kawepo piaa
@janemhagama1925
@janemhagama1925 4 жыл бұрын
Kabisa.. maana Master J anaonekana kuteseka kila saa anajifuta uso sjui ndo mapoz yake ya kuongea
@johariwalii4109
@johariwalii4109 4 жыл бұрын
@@janemhagama1925 sio mapozi yake hata, angalia hata interview ya Lukamba atlist alikua na tissue anajifuta jasho. Nadhan Zama aliangalie hilo kwa wageni wajao....
@adelmarcymallya772
@adelmarcymallya772 4 жыл бұрын
Hasomagi comments naona
@vivianlucas6389
@vivianlucas6389 4 жыл бұрын
Labda ipo
@pendokissatu937
@pendokissatu937 4 жыл бұрын
Yanii kuhusuu maji tissue kashauriwa sana sjui hasomi comment
@callmesubra5472
@callmesubra5472 4 жыл бұрын
Wow, interview nzuri kama kawa
@silverman6930
@silverman6930 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🇬🇧🇬🇧🇬🇧 master J ❤️
@agnesmndala1335
@agnesmndala1335 2 жыл бұрын
Dah.....upo vizurii jamanii unamuamini Mungu safi sana!!
@beatricerajabu7234
@beatricerajabu7234 4 жыл бұрын
Hahaha Master umenifurahisha sana et nimebaki na kipara changu dah hahahah
@shanishosho911
@shanishosho911 4 жыл бұрын
Hahahaha
@agnesmkanga4617
@agnesmkanga4617 4 жыл бұрын
Hahahaaa
@mmn7480
@mmn7480 3 жыл бұрын
🤣🤣
@bettymassanja881
@bettymassanja881 4 жыл бұрын
Aliyemsikia Master J anasema amebaki tu na KIPARA CHAKE, agonge "like" hapa. Hahahaaaa.
@hiramakhamis2830
@hiramakhamis2830 4 жыл бұрын
Wow shaa umebahatika masha Allah mufunge ndoa tu ndio nawaombea
@Dollybless255
@Dollybless255 4 жыл бұрын
Master daah hakika Mungu ndio kila kituuuu
@nitikealinani4681
@nitikealinani4681 4 жыл бұрын
Pole poppppppplopppppppppppppppppppppppppppppppppppp
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 4 жыл бұрын
Hongera mpendwa MUNGU Akutunze.
@petertarimo839
@petertarimo839 4 жыл бұрын
umependaza sana zile rasta zilikua zinakuzeesha
@happynicholaus6474
@happynicholaus6474 4 жыл бұрын
Kweli
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 4 жыл бұрын
Kapendeza sana pia
@gemmaaugustino8087
@gemmaaugustino8087 4 жыл бұрын
Woooow
@aurelialema3945
@aurelialema3945 4 жыл бұрын
Umeongea point. Ndoa ikiwa na ugomvi ni bora mmoja aondoke.. Inaharibu hata watoto
@veronicafelisian3459
@veronicafelisian3459 4 жыл бұрын
Dada jamani sauti inasumbua hebu jaribu kulifanyia kazi Dada, I'm watching you from Reunion island, Amejielezea vizuri sana kuna mengi ya kujifunza ila sauti yako iko chini na sauti ya upande wa pili iko juu sana❤
@melch3097
@melch3097 5 ай бұрын
Jamani naweza kupata number ya master j, for construction business
@saidahj2543
@saidahj2543 4 жыл бұрын
Nice interview 👏👏
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Nimependa Sana ulivyomtaja mungu kuwa nguzo wengine wangetaja RICKROSE, DAVIDO, NICKMINAJ
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
Mama works with the UNDP
@seebseeb454
@seebseeb454 3 жыл бұрын
Master J .. we met at the airport in Dar 20 years back and you are still the same.
@مارثاتنزانيا
@مارثاتنزانيا 4 жыл бұрын
Kumbe master j,unaekima ivyo
@cynderellamokeira6648
@cynderellamokeira6648 4 жыл бұрын
I really enjoy the show
@Nicole-lema
@Nicole-lema 4 жыл бұрын
Supa interview. Usilolijua ni Sawa na usiku wa give. Baba anajielewa Sana huyu. Big up. Zama husikiki kabisa
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 4 жыл бұрын
Best interview
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 4 жыл бұрын
Master J, anapendeza zaidi hivi sanaaa. Kuliko Rasta.. Brother unatufaa pale Basata kabisaaa.. Ila sisi vijana wabunifu ndo tunaumia drone cameras tunalipia, KZbin tunalipia.. Daaaahhh😢😢 Hii ni Tanzania Tu..
@deogratiusndunguru7636
@deogratiusndunguru7636 4 жыл бұрын
Master you talk madiniii
@siamoye4549
@siamoye4549 3 жыл бұрын
Wanaume wa kichaga ni kaka zang na baba zangu wanajua kupenda sana especially familia zao sisem wengine hawajui sijui upande wa wengine lakin wanaume wa kichaga kweny familia zao
@amenyeandrew8833
@amenyeandrew8833 4 жыл бұрын
Nice interview
@pudencianamlewa6486
@pudencianamlewa6486 4 жыл бұрын
Master Jay
@carolineusiri477
@carolineusiri477 4 жыл бұрын
Best interview..master Jay ww ni mwanaume na nusu..hukupenda familia iteseke
@aminamuhozaa7090
@aminamuhozaa7090 4 жыл бұрын
Nakupenda dada zamarad
@josephphanueltv7846
@josephphanueltv7846 4 жыл бұрын
Master j na p funk ndo ma legendary wa huu mziki
@gladykidai5188
@gladykidai5188 3 жыл бұрын
Master
@sunrisekitchen1
@sunrisekitchen1 4 жыл бұрын
I just love this interview
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 2 жыл бұрын
Dah broh you just talking fact
@neemakaluwa2089
@neemakaluwa2089 4 жыл бұрын
Enterview km hizi ndo tunataka sio zakina harmorapa iseee.
@rehemalameck7014
@rehemalameck7014 4 жыл бұрын
Dada zama tunaomba , interview nyingine uongeze sauti yako ,ni ndogo Sana hatusikii
@joycebosire3434
@joycebosire3434 4 жыл бұрын
Yani hapo umeongea, na tushukuru hata ametoa ile back sound walokuwa wanapiga wakati wanaongea
@peninaancon1256
@peninaancon1256 4 жыл бұрын
Nampenda Master Jay sana na huyo Shaa. Anaongea vizuri, Interview iko poa sana. Fanya namna umhoji Salama na Lea Mwendamseke plse!.
@imanmarco4559
@imanmarco4559 4 жыл бұрын
Ľ
@vanilasanga4527
@vanilasanga4527 4 жыл бұрын
Master very Genius
@namsamson3443
@namsamson3443 4 жыл бұрын
Very honest man.
@sunrisekitchen1
@sunrisekitchen1 4 жыл бұрын
Zama asante kumleta master pia nakushauri utuletee na wajasiliamali walioanzia from scratch
@chitakostanford1831
@chitakostanford1831 4 жыл бұрын
Master nakubali sana
@riikostar5950
@riikostar5950 4 жыл бұрын
sijui kwanini, vipindi vyote vya TV afrika havina sauti ya kutosha, wamelogwa??
@grancebeuty2443
@grancebeuty2443 4 жыл бұрын
Zamaradi ongeza sauti kwenye interview zako
@ruthmoshi2620
@ruthmoshi2620 4 жыл бұрын
Interview tamu hii jamani
@vivianlucas6389
@vivianlucas6389 4 жыл бұрын
Kabsa,bora kumove on
@catyedokigutu7366
@catyedokigutu7366 4 жыл бұрын
Yani anaakili uyu interview hadi raha
@aishamukandanga272
@aishamukandanga272 4 жыл бұрын
Zama jitahidi kua unapandisha sauti yako kidogo
@noorkhamisi2490
@noorkhamisi2490 4 жыл бұрын
Kweli kabisa zama kwenye Sauti unaboa sana my jitahidi kwahilo ukitaka kumckia vizur uvae foni
@vivianrobert7136
@vivianrobert7136 4 жыл бұрын
Nikadhani labda simu yangu
@Randm-
@Randm- 4 жыл бұрын
Madai yake.. yuko sex and romantic.. mxiuuu
@julianamushi3392
@julianamushi3392 4 жыл бұрын
Zama watu kaa uchebe usituletee ten tunapenda watu wanaojielewa maan ya intev
@aysherkitoi1845
@aysherkitoi1845 4 жыл бұрын
Umeongea 100%hajui mana ya intv kma muhuni wa manzese mamae
@lisadovino748
@lisadovino748 4 жыл бұрын
Kabisa yaan umeongea point dear
@christinabageze3424
@christinabageze3424 4 жыл бұрын
Hahaha yan wewe
@deokidunda6278
@deokidunda6278 4 жыл бұрын
I think u have same history like me and wife
@shellamduba3066
@shellamduba3066 4 жыл бұрын
Katika watu niliowahi kuwaona wana rasta Master J pekee zilikuwa zinampendeza wengine naonaga vituko tu. Nimesikitika alivyozikata jamani
@hildadavid5000
@hildadavid5000 4 жыл бұрын
Uko juu baba
@mbwanamtessa8607
@mbwanamtessa8607 2 жыл бұрын
Safi
@jemaluganolugano6987
@jemaluganolugano6987 4 жыл бұрын
Nice interview..zamaradi solve sauti
@ksnjos001
@ksnjos001 4 жыл бұрын
Body language mikono imefungwa Zamaradi...` open yourself up watu wa nchi za nje wana angalia hii shoo sio wabongo tu
@kijeneema4527
@kijeneema4527 4 жыл бұрын
Nasubiri sehemu ya pili
@berthashoka6076
@berthashoka6076 4 жыл бұрын
Sauti yako Zama ipo chini sanaaaa
@nurujulius1920
@nurujulius1920 4 жыл бұрын
Sauti da zama,sauti ndogo sana
@alicethobias932
@alicethobias932 4 жыл бұрын
Zama una host vizuri Sana dia
@gracenanyaro4793
@gracenanyaro4793 4 жыл бұрын
Boresha kipindi chako sana, yaani najikuta nafoward Sauti,sijui na camera man wako...mara tunaona miguu tu...
@lalyilaoman5800
@lalyilaoman5800 4 жыл бұрын
Dd zama (dada wakazi vp mbona kimny
@itshaluastyle
@itshaluastyle 4 жыл бұрын
Mishono ya vitenge MAHARUSI nk Bonyeza link pia usisahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/jnvLeZmuedWFmrM
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 4 жыл бұрын
Kwa kweli Zama wewe husikikikabisa sauti ndogo
@DarKopo
@DarKopo 6 ай бұрын
Dread na Rasta wht is different?
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 жыл бұрын
Yani zama sikuizi interview zako ata siangalii kwajili ya sauti jaribu kurekebisha hilo jamani 😢
@hawajamal8987
@hawajamal8987 4 жыл бұрын
Inaonekana chumba anachofanyia interview hakina vitu vingi sauti inajirudi ndani
@rukiamohammed5494
@rukiamohammed5494 4 жыл бұрын
anaboa kweli sauti anabana
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 жыл бұрын
Master saut inasikika lkn huyo zama kam anatongozwa vile kisaut cha hiniiiiii
@nurujulius1920
@nurujulius1920 4 жыл бұрын
Sauti ya tangazo iko good ila ya kwako sasa hm?!
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 4 жыл бұрын
🔥😂😂🔥huyo mwanamke anakupenda bdo ndo maana alikuwa atak umpe talaka leo ndo nimepata jibu kwann mmekaa na shaaa mda mrefu kwenye mahusiano usingeweza kumuoq shaaa wakat hujampa talaka mke wako
@annamushi4587
@annamushi4587 4 жыл бұрын
Unajua kujibu maswali sana
@annanassari6384
@annanassari6384 4 жыл бұрын
Yn dd zama hatukuckii kbs improve mice zko plzzz
@worldlyricssongs6141
@worldlyricssongs6141 4 жыл бұрын
😁😁😁hes funny
@tumakassim6286
@tumakassim6286 4 жыл бұрын
Wajumbe wabaya sana 🤣🤣
@upendohalisi80
@upendohalisi80 4 жыл бұрын
Kosa sana kuachana, na MUNGU BABA hapendi na hajawahi kupenda, kunakutolea hesabu. Hakuna jambo lisilokuwa na toba au msamaha! Kuweni makini.
@rickykawacha9636
@rickykawacha9636 4 жыл бұрын
Imekuwa kubwa
@hekimagrison1296
@hekimagrison1296 4 жыл бұрын
Kweli kabisa watu wanaiga mambo ya dunia na kuona n kitu cha kawaida
@siamoye4549
@siamoye4549 3 жыл бұрын
Huwaambii kitu wanapenda sana
@moudymachimbo1396
@moudymachimbo1396 3 жыл бұрын
Duh Yan zamarad anaongea sauti ya mahaba Sana duh unazingua sister toa saut sister utasema kipind Cha mahaba.
@onesmoakwilini6254
@onesmoakwilini6254 4 жыл бұрын
Bora uliambulia kura 2., Unaonekana unazarau ETI CROWN sio gar.? Ni baiskeli au.?
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Furaha ya mtu ndio muhimu Leo hii nashangaa kina chuchu Hans wadhalilika kwaajili ya kitoto kimoja tu
@raziankwassa9221
@raziankwassa9221 4 жыл бұрын
Da zama fen pls,sio kwa kujifuta jasho
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 3 жыл бұрын
Wewe ni kweli ulitaka kumsapoti mwenyekiti wa Chama chako tunajuwa.!!
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
Послезавтра
Рет қаралды 2 МЛН
Hilarious FAKE TONGUE Prank by WEDNESDAY😏🖤
0:39
La La Life Shorts
Рет қаралды 44 МЛН
🎈🎈🎈😲 #tiktok #shorts
0:28
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 4,5 МЛН
Kuwa Makini Nani Unamuoa | Kuuweza Wakati Ujao | Pastor Tony Kapola
17:02
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 128 М.
RAIS WA BURUNDI AMESEMA KAGAME TUMUONDOE HARAKA ANAIHARIBU CONGO ATAKUJA BURUNDI
12:39
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
Послезавтра
Рет қаралды 2 МЛН