Power Mangwana ni Noma sana huyu Mtu Safi sana Mwana Habari wetu John Ngollo kwa kutuletea huyu Mtu
@simonimajalimarco6604 Жыл бұрын
Pamoja Sana brother hongera kwa studio
@fredyfile6238 ай бұрын
Umenikumbushaa mbali huyu jamaa nilimjulia kwenye r free kipindi cha sito sahau anahistoria nzuri sana. Hongereni
@jamessamwel7172 Жыл бұрын
YESU walete na wengine safi kaka ngollo kwa kutuletea intavyu hii
@desdelboniphasdesdelboniphas Жыл бұрын
Naomba namba yako mtumishi Tafadhali mtumishi bado nakukumbuka niliacha uganga nikachoma vitu mizim mpaka sasa naendelea na wokovu
@user-ob9sl7rz7mАй бұрын
Tengeneza simulizi ya audio mtumishi italipa sana mtandaoni
@nehemiaphilemon4625 Жыл бұрын
Mambo vp jonh ngollo napenda sana kufatilia video unazoweka naomba muendelezo waushuhuda wa uyu pawa mang.ana
@johnngollo Жыл бұрын
Sawa hamna shida Mkuu Weekend hii itakuwa Tayari itapatikana kwenye youtube ya JohnNgollo
@elispiuselias133911 ай бұрын
Hiyo imeenda
@desdelboniphasdesdelboniphas Жыл бұрын
Du mtumishi upo wewe ulinifanya niokoke Buhogwa katika kanisa la baptisti Buhogwa kwa MCHUNGAJI edward misalaba
@tumainichanya32682 ай бұрын
Duniani hapa Mungu anawatu wengi khaa
@benjaminomondi3500 Жыл бұрын
Namba zake za simu
@jonathanmundeda9714 Жыл бұрын
Mbona hataji vyote namana jinsi walivotorka wenzake
@RajGan50 Жыл бұрын
Nice
@johnngollo Жыл бұрын
Thank you Brother but i need your help to share my link for others
@tumainichanya32682 ай бұрын
Kumbe kibogoyo duh!
@Mwaminihabarugira4 ай бұрын
Jamani muwe munatusaidia namba
@yaredndolosi1480 Жыл бұрын
🤣🤣🤣Alivyotoa meno kaka ulitaani kukimbia, yaani ule mshtuko wako tu umeonyesha uliogopa sana 😆😆😆😆 by the way, hongera sana bro.
@johnngollo Жыл бұрын
Mkuu hadi Macamera Man waliogopa😁😁
@yaredndolosi1480 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@TheBestPhone791811 ай бұрын
😂😂😂mtaji wa masikin
@Oman-nu2kc9 ай бұрын
Yn kama naangalia move maana adis ilivo tamu fu! Pole sana mu gu yupo pamoja nww
@abdullahmhina22079 ай бұрын
Hawa ndio waliwaimbisha watu tanga
@hamisiomaryi16998 ай бұрын
Kamahulifanya hayo Mambo hunasema humehokoka hujuwe Kuna familiha hulizizulumu jitokeze kwenye hayo maheneho na hikiwezekana Kama hitakupendeza huzipehata kifutajasho kamahumezifanyia marego haiza hulizijengea na iyonyumba bdo ipo hujuwe bdo siho haki yako zitoe hata kwa yatima
@consolatamedard65937 ай бұрын
Mhmm ndugu yangu Mungu hayupo hivo Kama hivo sasa waliokuwa makahaba alafu wameokoka waanze kwenda kwenye ndoa za watu ambazo walikuwa wanaiba waume zao Mungu akishakusamehe amekusamehe kikubwa usirudie tena dhambi.Alafu jitahidi kuandika kiswahili kizur pakuweka u usituwekee hu😅😅