Рет қаралды 3,219
Sababu kumi (10) za kwanini mjasiriamali anahitaji kujenga tabia ya kusoma vitabu. Ifahamike kwanza mjasiriamali ni mtu anayehitaji sana kujifunza kila siku kwasababu ulimwengu wa biashara kila siku unakuwa mpya na maendeleo mbalimbali kwahiyo kutojifunza ni kukubali kuwa umeridhika kubaki nyuma.
.
Sasa kitabu ni kitu cha kwanza kinachoweza kumfanya yoyote akawa mstari wa mbele kiufahamu au kielimu kwa maana atakuwa na maarifa na taarifa sahihi nyakati zote. Basi ungana na Ezden Jumanne akichambua mambo mambo 10 yanaoonesha dhahiri umuhimu wa mjasiriamali kujenga urafiki na tabia ya kusoma vitabu, kama tabia yenye faida na manufaa makubwa.
.
Nini umejifunza katika episode hii? Tafadhali andika mawazo yako chini kwenye comments.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @footballskill01
.
TUWASILIANE ZAIDI HAPA:
Kwa mahitaji ya kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
Kama unahitaji Voice-over (English & Swahili).
Kujiunga na group la vitabu (Whatsapp & Telegram).
Kuwasiliana na Ezden Jumanne kwa huduma zaidi.
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#mjasiriamali #anahitaji #vitabu