Рет қаралды 11,042
FAIDA ZA KUJICHANGANYA :
Kwa wale ambao tayari wametambua faida za kujichanganya na wengine kwenye jamii wamepata faida kubwa sana kwa tabia yao hiyo, na wengine wamepata madhara kwa tabia za kupenda kujitenga peke yao. Sasa leo hii nataka nikuletee faida za kiafya za kujichanganya na wengine kwenye jamii mbali na zile faida za kawaida tu waweza zifikiria mara moja kama kuongeza ujuzi zaidi au kuongeza marafiki lakini zipo faida nyingi tu za kiafya ambazo leo hii nataka tuzifahamu kwa undani. Faida za kujichanganya na wengine:
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Faida #Kujichanganya #SPN