Рет қаралды 2,797
Tabia ya kusoma vitabu ni moja kati ya tabia zenye kuleta mafanikio kwa wanadamu. Na faida huwa kubwa zaidi kama tabia hii itajengwa tangu utotoni. Sasa somo la leo mwalimu Justine Kakoko atafudisha zaidi juu tunawezaje kama wazazi kuwajengea tabia hii maalumu kabisa watoto wetu na wakawa watu wenye mafanikio sana pindi watakapokua.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / justine_kakoko
FACEBOOK: JUSTINE KAKOKO
.
For Business please contact
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Vitabu #Watoto #WatotoNaVitabu