HAFLA MAALUM YA SHUKRANI, UPENDO MEDIA DAR ES SALAAM
Пікірлер: 157
@jacklinemwita41733 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi ni kweli. Hata mimi nilishawahi kumtolea Mungu siku moja nilikuwa naenda kanisani nikajisikia nitoe hela zote nilizo kuwanazo. Sikubaki hata na nauli ila Muda wa kuombea sadaka niliona. Mkonge uliokauka unatoka unatembea harafu kikaona mtende umesitawi na pembeni yake vipo vidogo viwili na chini yake yale majani alikuwa yamesitawi sana. Yaani tangia siku hiyo sijawahi kukoswa hela na maisha yangu yalipanda
@suzanamunghamba79613 жыл бұрын
MUNGU mambo yake ya ajabu, anafanya tusio yawaza kabisa
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Amina
@catherinekashenge37043 жыл бұрын
Mungu tuone na sisi.
@hoglamumbee3446 ай бұрын
Amen amen
@patrickedson503 жыл бұрын
Faida ya 6. Mungu nakuomba umbariki zaidi Mtumishi wako Mwl. C Mwakasege. Amen
@elizabethjuma28373 жыл бұрын
Kupitia kwa mafundisho yako. Niliomba mniombee mamangu alikua akisumbuliwa n magoti. Alikua hawezi ata kutembea. Akaenda hospital akaambiwa ana shida ya moyo n Figo. Mwalimu Mwakasege alisema tuweke mikono kichwan kumuombea yule mgonjwa uko nae. Nikafanya ivo. Kwa sasa mama anatembea vizur sana. Japo bado hajapona kabisa, lakini nina iman atapona kabisa maana Mungu wetu n mkuu🙏🙏
@malilaizer1232 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@liliemonroe140611 ай бұрын
Mama Anaendeleaje ?
@livetlivet3913 жыл бұрын
Eeeh Mungu nataka nikujue zaidi,nikupendeze,nikuguse,niguse Moyo wa Mungu,nipe kutoa kunakokupendeza🙏🙏🙏
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Aminaa Mungu wa mbinguni akubariki sana mwalim Christopher Mwakasege pamoja na family yako 🙏🙏🙏🙏🙏
@peaceisrael81583 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana, nimekosa usingizi ikiwa bado ni usiku wa manane hspa Ujerumani so nikajikuta niko nawatch hapa na baraka hizi za kujua haya
@nabiiesterdonald42053 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu ww na family yako na huduma ya ufalne wa Mungu aliye hai iwe na ulinzi siku zite za maisha ya huduma yako
@vanessazbliss3 жыл бұрын
Hahaha I love the love between mama na baba mchungaji and I'm blessed by the word today.
@DeborahJustine-cq8hdАй бұрын
Ameni , Mtumishi wa Yesu akubariki.
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
mimi ushuhuda wangu Namshukuru Mungu amenipa kukuombea mwalim.nisipoomba kwa ajili yako na huduma ya mana kuna kitu namis ndani yangu na ninajua kabisa.so furaha yangu kukuombea mtumishi wa Mungu.Na ninabarikiwa na mengi mno kupitia huduma hii hapatoshi kuyataja hapa.Mungu awabariki sana mno.
@cantcan16443 жыл бұрын
Nawapenda sana nyie watumishi wa mungu wa Izrael,,,,,Napenda sana maubiri yenu Namwomba mungu asinipite Asipite watoto wangu ,,eeeh mungu Nazidi kukuomba unipe mwalim wa neno lako kwenye uzao wa tumbo langu,,,Amen
@janiffermueni32133 жыл бұрын
Woow mungu atakupa
@jamesmawenya4803 жыл бұрын
Mungu azidi kukufunika na kukulinda mwalimu Christopher mwakasege
@happinesstemu54143 жыл бұрын
Asante Yesu Kulisikia neno hili. Nisaidie Yesu kulitendea kazi. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@tulymlomo87063 жыл бұрын
Haya mafundisho mwalim yanarushwa sangapi naomba kujua
@olenjolai80953 жыл бұрын
Ahsante Bwana Yesu kwa Kuipenda Upendo Media
@norahndesanjomwanga86623 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
@ikupamwaisoba41183 жыл бұрын
Amina baba na mama Mungu azidi kuwainua viwango vingine visivyosemeka.
@maikomahanji94112 жыл бұрын
Wapendwa katika bwana mimi naomb mniombee nimekuwa mkame sana sana sisikii kuomba kabisa haya kusoma neno la mungu sielewi kitu naomba maombi mungu anisaidie nitoka huko kwenye ukame huu sipendi mimi jamani natamani sana kuomba Kwa kumanisha sitaki kuigiza. Na linguine naomba maombi ninauvimbi kwenye kizaza Dr amesema eti ni mkubwa sm 8 naomba maombi mungu anisaidie nipone mimi
@waelmsangi55033 жыл бұрын
Mungu aendelee kukuinua Mtumishi wa Mungu. Tunapona kupitia mafundisho yako
@livetlivet3913 жыл бұрын
Oooooooh thanks God Kuna nyumba nimepanda mbegu Mana niliiombea haina mtoto🙌🙌🙌
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
4.Mungu atakubariki zaidi 2Kor ......
@Nicaonlinetv73243 жыл бұрын
Baba Mwakasege tutakuchangia wala usikate tamaa tuombee moyo wa utoaji na huruma. Mimi sijawahi kutoa fungu la kumi lakini nimeahidi kwa Mungu nitakuwa natoa kwako ila cjui lini nitaanza. Mafundisho yako ni mazuri sana.Tuliokuwa wavivu kwenda kanisani na wale tuliokatishwa tamaa na wachungaji feki wafanyabiashara na wachumia tumbo ambao wanakatisha tamaa kondoo, sasa tunapata neno la Mungu lenye kiwango kupitia vyombo vya habari na sadaka tunatuma kwa hiyo tunashkuru Mungu ametugusa kwa namna nyingine.Sasa tunapata neno tukiwa kitandani kwa muda wowote You tube,Facebook, tv na redio.
@joycenganyule32313 жыл бұрын
Umenifarahisha haaa haaa eti hujui utaanza lini kutoa fungu la kumi
@davidbahati37482 жыл бұрын
Usiseme utamchangia Mwakasege sema utamtolea Mungu sadaka, na ukiona unasema hujui utaanza Lin kutoa ujue bado neno halijakugusa vzur
@janemalongo54173 жыл бұрын
Imani na Upendo vinaenda sambamba, utahubirije pasipo pelekwa? Maneno haya yamenibariki kwa jina la Yesu.Amina
@furbenj7405 Жыл бұрын
Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Watumishi Wa Mungu hadi sasa watuwengi tumefunguliwa sana nakubarikiwa Mungu azidi kuwapaka mafuta nakuwainua viwango vya juu pamoja na baraka tele za Mungu ziwafuate msipungukiwe kabisa
@MrSeniorprince353 жыл бұрын
Ahsamte sana Mtumishi. Am Your Number One fun watching from kenya.
@EnestFSoka2 жыл бұрын
Ninaponywa kila iitwapo leo kwa huduma yao mwalinu. Ubarikiwe ktka jina la Kristo Yesu. Ingependeza wachungaji kusimama kwa heshima ya Krisko aliye ndani yako wakati wote umwombapo Mungu.. Amen
@blessedtumaini5162 жыл бұрын
Asante Mungu Baba kunifundisha naomba Roho Mtakatifu anisaidie kutiii. Mbarikiwe watu wa Mungu kwa huduma hii njema. 1WAKORINTHO 15:57-58.
@sireddy20123 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@user-vv2xw6zu6k4 ай бұрын
Amina mtumishi naomba mungu na mm anime Imani kubwa ya kumjua zadi ye ye🙏🙏🙏
@neysmgeda4113 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi hill LA Dstv tunaomba kwakweli tunaomba saaana nasi pia
@benjaminpatrick63643 жыл бұрын
Amen baba mtumishiii Mungu akubarikii mnoooo
@peterjohn20993 жыл бұрын
Amen mtumishi wa bwana ubarikiwe sana
@neymermponde78103 жыл бұрын
Amen barikiwa baba
@tullyibrahim80983 жыл бұрын
Mungu nizidishie moyo wa kupenda
@lukembilinyi30392 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa MUNGU maana maneno yako yanaonyesha jinsi gani ulivyo muweka MUNGU moyoni mwako. Ubarikiwe
@hellendeus78093 жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu
@naserianmichael24113 жыл бұрын
I love you guys Mungu azidi kuwatunza.
@issayalewapi18343 жыл бұрын
Amina sn watumishi wa Mungu. Tunafaidi sana kupitia mafundisho yenu
@johnmasanjakengele15883 жыл бұрын
Asante Mungu kwa ujumbe hi
@LusekeloSamwely-xl6nm11 ай бұрын
Amenị barikiwa
@user-my6rm4gr5i8 ай бұрын
Mungu kwa kupitia mtumishi wako nipe na Mimi nikutumikie kwa nguvu zako
@QUEENJoseph-kh6cb2 ай бұрын
Amin na iwe hivyo pokeya kwa jina la Yesu
@vascosanga76153 жыл бұрын
Ameni.... From Mafinga
@dainakinyamagoha48152 жыл бұрын
Mungu awabarik
@furbenj7405 Жыл бұрын
Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Kwajalein mnatusaidia sana
@nururaphael99133 жыл бұрын
Amen najuingamanisha na neno hili
@neemamcharo37973 жыл бұрын
God bless Upendo media
@rizikipyuzza34113 жыл бұрын
Barikiwa Mwalimu
@emanuelmaleshi68497 ай бұрын
Amina mtumish wa munguu
@angelakalambo21883 жыл бұрын
Ameen baba Mungu awabariki mnoo .ss wa dstv watukumbuke na Mungu awatie nguvu
@ndeshukurwakaaya4385 Жыл бұрын
Nafarijika kwa kuwezeshwa kuishi ndani ya " UWEPO WA MUNGU " kila wakati nasikia hali ya kutokutoka nje ya nguvu ambayo imejidhihirisha kila wakati. Nikitoka nje tu, napata taarifa ndani yangu , na jinsi ya kutawa hali kwa wepesi mkubwa sana Jinsi ya kufanya kwa hali iliyo njema , na kupata furaha , nimevuka. Papo hapo napata hali ya kumweleza mtu mwingine katika hali yenye nguvu ya aina isiyoelezeka. HAKIKA YESU AMETUSHINDIA. HUCHOKI KWA YOTE UFANYAYO. ( EKA NNU DENNY NDUMM8 Y3SU. ) 🙏
@albinamarcel31173 жыл бұрын
Amen Mwl Mwakasege, nashkuru sana na Mungu akubariki pamoja na familia yako
@kijiwenikijiweni9118 Жыл бұрын
Asanteee mutimishi.wa Mungu hakika umenena Ameeeen Ameeeni
@jimmymberesero73503 жыл бұрын
AMEEN from Mtwara
@mchungajijesse45933 жыл бұрын
Amen mama na baba Mwakasege
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Amen !! ....amen !!?....Kenya....watamu.
@justicemollel49289 ай бұрын
Ahimidiwe Mungu na kutukuzwa sana milele yote kwa ajili ya upendo media
@doreenmasumai96613 жыл бұрын
Nimefunguka sana na nitatii zaidi kwa upande wa utoaji hasa kusindikiza neno la Mungu.niliahidi mtumishi ulivyokuja mbeya mwezi uliopita kuchagia seminar mwakani mbeya.nitatimiza
@michaelmalisa4943 жыл бұрын
Barikiwa mtumish
@paulotanaki9583 жыл бұрын
Barikiwa sanaa Mwl
@dinakyoma59773 жыл бұрын
Asante kwa ombi la DSTV kweli tunakosa hii Neema . Naamini mtatukumbuka. Ubarikiwe Elisha wa kizazi hiki
@floranyefwe34643 жыл бұрын
Mama sauti ako huwa unanipa nguvu ya kusonga mbele nakupenda Sanaa na ninakuombea piaaa
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
3.Imani unayoitumia Ktk kutoa sadaka inakupa sauti
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
🙏 salama rohoni ni salama rohoni mwangu IT IS INDEED . WELL IN MY SOUL. ASANTE YESU. 🙏
@luganomwaigomole88493 жыл бұрын
Amen baba
@jovitusregnald13263 жыл бұрын
Amen. From Dodoma Tanzania
@DeborahJustine-cq8hdАй бұрын
Utukufu kwa Yesu.
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Amina.Mungu anisaidie,peke yangu siwezi.
@happymatola9802 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba yetu,mwalimu wetu.
@godlistengipson72682 жыл бұрын
Aminaaa
@deborahdelly45323 жыл бұрын
Mungu azidi kuwapa mafunuo zaidi nabarikiwa sana nanyi mbarikiwe mno
@merymrema4203 жыл бұрын
Nakushukru MUNGU Kwa upendo wako kutupa mwalimu naomba uzidi kumpa afya njema yeye na family yake
@joycebuberwa7982 Жыл бұрын
Amina
@obadiafredy44993 жыл бұрын
Glory to God 🙌
@mariapaul17033 жыл бұрын
Amén Amen 🙏🏾
@TrynesDastanNyamaNyama9 ай бұрын
Amen Amen
@catherineminja54813 жыл бұрын
Jaman mm mwakasege ananibariki saana nataman nwe muhubiri kama yeye Mungu nisaidie
@lucasmsigala31793 жыл бұрын
Mungu akutendee sawasawa na haja ya moyo wako
@catherineminja54813 жыл бұрын
Ameeen
@albertsalota59513 жыл бұрын
Barikiwe baba mtumishi wa mungu
@heavenlight50843 жыл бұрын
Love you dady n mom very much.
@merymrema4203 жыл бұрын
Ameni
@godfreymsembe1692 жыл бұрын
Nashukuru sana Mwalimu umenisaidia
@lynelee58463 жыл бұрын
Jamani mnai deslike haya masomo MPONE KWA JINA LA YESU;
@RevivalTime_RT3 жыл бұрын
Hawajui maana ya like na dislike wasamehee
@lynelee58463 жыл бұрын
@@RevivalTime_RT haapo umemaliza dadangu
@catrachannel79353 жыл бұрын
Glory to God.
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Good respect
@marymrema60673 жыл бұрын
Mungu alietufilia pale msalaban azid kukulinda mwalimu...
@erickchuma8213 жыл бұрын
Napokea kwa jina la YESU
@deborambogoso1953 жыл бұрын
Amen mtumishi .Barikiwa
@francismfinanga25883 жыл бұрын
Thank you Jesus Amen
@mrslucasndoka29203 жыл бұрын
Asante Yesu kwa mafundisho haya, Mungu azidi kukulinda na kukubarki Mtumishi🙏🙏🙏
@bishoptvalbert41123 жыл бұрын
Salama moyoni mwangu
@happydorcasmollelmollel6114 Жыл бұрын
Amen
@anjelasaid60983 жыл бұрын
Always blessed dady
@beatricemayengo8631 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki hakika mafundisho yako ni mazuri.
@edinahmaganga27223 жыл бұрын
Baba na Mama ninawapenda sana Mungu azidi kuwatunza milele
@johnstonkayila57753 жыл бұрын
Amen from Dar city
@dasoemillian16803 жыл бұрын
Salama rohoni mwangu
@dorothymoshy19203 жыл бұрын
Ameeen
@catherinekashenge37043 жыл бұрын
Asante Muumba kwa ajili ya mtumishi wako
@bagumaeliaamoti69433 жыл бұрын
Aksante Mwalimu Wa habari ya Bwana Mungu akubariki
@barakamapasa29472 жыл бұрын
Hakika Neema ya Mungu isikupungukie Mwal. C Mwakasege.
@gideons52653 жыл бұрын
Nenda Kakae... Nimeipenda
@judygathoni58613 жыл бұрын
From Qatar tuko
@jamesmawenya4803 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana Mtumishi mwalimu wake Christopher mwakasege . Azidi kukutunza na kukulinda.. Mungu azidi kukutumia kulijenga kanisa zaidi na zaidi
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
2.upako ulio juu yao utakuja na juu yako pia Neh 2:8