Рет қаралды 16,165
February 29 2016 misiba miwili imetokea kwenye familia ya marehemu Banza Stone aliyekua mwimbaji hodari wa muziki wa dance Tanzania tokea miaka hiyo, misiba hii miwili imetokea siku 227 toka kutokea kifo cha Banza Stone.
Msiba wa kwanza ni wa Mjukuu wa mama mzazi wa Banza Stone ambapo msemaji wa familia anasema msiba wa pili ni kifo cha Mama mzazi wa Banza, kilichotokea ni kwamba alifariki dakika 60 baada tu ya kifo cha mjukuu wake na inasemekana chanzo ni mshtuko alioupata.