Biblia haijawahi kuchakachuliwa.Huo ni upotoshaji wa neno la Mungu.Asante sana Mchungaji kwa kuisimamia kweli.
@obedimunguachiza843422 сағат бұрын
Bado Mungu anayo mabaki yake kunyoosha njia, giza haliwezi kuzima nuru. Neno la Jehovah Mungu ni nuru. Pole sana kwa manabii wa uongo hawataizima hii nuru. Be up man of God.
@MonicaMbapila21 сағат бұрын
Ubarikiwe mtumishi Kaisi
@PaulKaisi23 сағат бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe
@JoyceMkini16 сағат бұрын
Uko sawa mtumishi barikiwe
@francisjoseph10747 сағат бұрын
Maksi media naomba siku moja mumtafute bisho ngonyani , aje aelezee hili maana ni mtu makini sana , nashukuru na asante
@bishopgeorgemusapreacher7374Күн бұрын
Be blessed Man of God for good message
@obedimunguachiza843422 сағат бұрын
Amen! Manabii wa uongo wamekuwa wengi nahao manabii wanalitesa kanisa na unabii wa uongo kila leo, barikiwe mtumishi wa Mungu kuweka jambo hili sawa, wengi walikuwa wameanza kushakia biblia, barikiwe sana.
@maxmillanayo29795 сағат бұрын
👏👏👏👏👏👏pastor yuko vizur huyu
@florencemushi6561Күн бұрын
Umesema kweli mtumishi wa Mungu. Unabii wa matukio yanauotokea leo na yatakayotokea mpaka mwisho wa dahari uko ndani ya Biblia. Hata leo hii watu wana kimbilia Biblia kuangalia matukio yanayoashiria ujio wa Yesu. Wanascience pia wanarefer maarifa ndani ya Biblia
@nazarethally9509Күн бұрын
Hujui kitu
@AmusedClam-zo9nf13 сағат бұрын
🎉🎉🙏🙏🙏
@alzawahirabdallah229911 сағат бұрын
Biblia imesahau kusema ukristo dini
@WilliamMsungu3 сағат бұрын
Kwani Mungu ana dini
@alzawahirabdallah22992 сағат бұрын
@@WilliamMsungu dini ni mfumo mzima wa mwanadamu dini ndio inakufanya utambuwe uwepo wa mungu na ufate anacho taka mungu km huna dini we huwezi kuwa na imani ya ubinaadamu
@EmmaTembo-l7o2 сағат бұрын
@@WilliamMsungusio dini tu hata Dunia ni yake sio Dunia tu Hadi paradise anayo
@RewardsonKowero21 сағат бұрын
Wapinga kristo wanavutia kwao wakati wanatumia... Ya Musa
@habibuchakusaga7981Күн бұрын
Injili ndio iliochakachuliwa ndio ikapatikana biblia ndio maana kunamgongano mkubwa sana
@aliabdallah84568 сағат бұрын
Biblia kapewa nabii nani wa Mungu hacheni kudanganya watu soma dibaji ndiyo utajua biblia kweli siyo kitabu cha Mungu
@obedimunguachiza843422 сағат бұрын
Umemuweza kwenye mstari huyu aliye sema biblia imechakachuliwa.
@AmmarSadik-x5uКүн бұрын
Biblia haija chakachuliwa ila kitabu cha henoko ndio kilitolewa kwa sababu walijua watu wa sasa wataua nacho weng
@francisjoseph10747 сағат бұрын
We kitabu cha enoko unacho au unazungumza utumbo
@AmmarSadik-x5u2 сағат бұрын
@@francisjoseph1074 acha ugwara kitabu cha henoko kipo kwa maktaba ya roma
@francisjoseph10742 сағат бұрын
@@AmmarSadik-x5u Sawa kipo we umeshakisoma ?
@ramadhaningulinga2175 сағат бұрын
Tuambie biblia alipewa Nabie gani tusadie hilo kama kweli ww unajua biblis
@FannyLopez-q1r19 сағат бұрын
Quran niya majini siya mungu
@jacksonmwafongo191715 сағат бұрын
Nini kakuliza mambo ya qurani unscha yanayo ongelewa unaongea pumba muchungaji ansfundisha bibilia wewe unaongelea Quran
@Dominant97Күн бұрын
Haijachakachuliwa ktk maandiko ambayo yapo ktk vitabu vilivyowekwa ndani ya biblia ila kuna vitabu vitakatifu havijawekwa ndani ya biblia kwa sababu za kibinadamu.
@francisjoseph10747 сағат бұрын
Vitabu vipi ambavyo ambavyo havikuwekwa?
@florencemushi6561Күн бұрын
Hata Quran imetafuta historia ya uumbaji ktk Biblia. Imekopi na kukopi makosa sehemu nyingi. Biblia haijajitukuza il imetahadharisha atakayeongeza au kupunguza lolote ndani ya Biblia naye atatendewa hivyo. Waswahili husema Kizuri cha jiuza kibaya chajitembeza. Mungu wa kweli ni kweli milele.
@jacksonmwafongo191715 сағат бұрын
Wewe endelea na niblia yenu sio kuongelea qulan ni bahari ndefu kasome Jeremiah 8:8 imejieleza bibilia yenyewe ubishi wanini
@binseif221622 сағат бұрын
😂😂😂Hakuna kitu hapo bible hakuna ilobashiri na ikatokea tofaut na Quran pia acha ujinga bible haisomwi kama Quran sababu nyie mnasali jumapili tu
@babazungu31805 сағат бұрын
Ww muongo tu,waroman wana bibilia yenye vitabu 73 na king James version ina vitabu 66 hivyo vitabu vyengine viko wapi km unakila kitu ktk bibilia yako???
@salimsaid61492 сағат бұрын
Acha usenge ww walioindika wenyewe wanakubali kuna maandiko wameyachakachua
@georgesteven866754 минут бұрын
Usenge
@ernestbensonmwamengo16423 сағат бұрын
Wanasema BIBLIA imechakachuliwa wao ndiyo akili zao zimechakachuliwa na ibilisi... Na ni mitume na watumishi wa shetani. Walete ambayo haijachakachuliwa....eti na injli imechakachuliwa ila ya barnaba ndiyo ya kweli lakini hawatuonyeshi.....Wana wa ibilisi hao Tena Wachungaji wa matumbo...