Рет қаралды 9,695
FEI TOTO AFUNGUKA - "SIWEZI KURUDISHA PESA"
Mchezaji mpya wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' amewasili visiwani Zanzibar muda mchache baada ya kusainiwa na timu ya Azam Fc ambapo amesema amekuja Zanzibar kwa mapumziko
Fei Toto ambae sasa ni mchezaji rasmi wa Timu hiyo mara baada ya kuwasili ametoa kauli juu ya utaratibu wa kurudisha fedha alizochangasha kwa watu wenye uhitaji
Amesema anaamini huo ndo utakua utaratibu mzuri juu ya fedha zilizochangishwa awali kwaajili ya kumsadia kufungua kesi CAS
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm