KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 48
@fredrickipembe818810 күн бұрын
Hata mimi nipo tayari kuchangia fei toto asajiliwe simba bila kukosa
@AbisinaRashidi-c8d10 күн бұрын
Hata jamsini natoa
@lydiathomas290510 күн бұрын
Nipo tayari❤❤❤❤
@user-rf9vn7lz1n10 күн бұрын
Basi watuchangish sis tutachangia mashabik ambao tunauchung na timu yetu
@adamgwila339510 күн бұрын
Tupo tayari kwa hali na mali Fei atue simba
@WaziriSelemani2 күн бұрын
Nko tayali hata mmi pia maaana tumeumia sana miaka minne
@EmmanuelSaimonmulaga10 күн бұрын
Semaji la cuf tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia hamjuii namna tunavyo umia tunavyo fanya vibaya pia kufungwa na mtani.
@SuluG10 күн бұрын
Mimi nipo tayari
@Martingwau10 күн бұрын
Ata me pia natamani iwe ivo ntachangia
@EmmanuelSaimonmulaga10 күн бұрын
Mo Dewiji be serious tunamwihitaji Feitoto tupo tayari kuchangia .msikilize pia mawazo ya mashabiki tukimkosa Feitoto mtakuwa mmetuumiza sana mashabiki wa simba. Mara nyingi semaji la cuf unatupa moyo kwenye issue muhimu afu mambo yanakwenda kombo
@manyerejacobkapongo966310 күн бұрын
Waweke Mkeka tu tupo Tayari
@AllyHussein-qc3vm10 күн бұрын
Usajili mmefanya lkn feisal bado anahitajika kuongeza nguvu simba acheni upimbi changisheni arambee tutatoa2
@swigamwandumusya64999 күн бұрын
Kama tunahitaji kweli msimu huu kufanya vizuri swala la fei toto kuja simba ni muhimu sana SI Kwa ajili ya kucheza tu, hata ikiingia Kwa mawazo ya wapinzani ni mojawapo ya mapambano ya kuijenga timu, wekeni mkeka tumwage maji tumpate.
@AllyMakata9 күн бұрын
Atamm nko tayari kuchngia
@josephinesolomoni41502 күн бұрын
Nipo tayari kutoa laki mbili
@manyerejacobkapongo966310 күн бұрын
Ahmed Ally siyo kutugombanisha kweli fei tunamhitaji kuchangia mashabiki siyo dhambi hata Manzoki tulimkosa hivi hivi. Tupo Tayari kwa hiyari
@kassimntara690110 күн бұрын
Tupo tàyari kuchanga na apewe mkataba mrefu wa miaka mitatu,huu ndio utakuwavusajili mkubwa na Bora kwa wanasimbavna Tanzania kwa jumla
@LetasKomba-br1xh10 күн бұрын
Simba tuosheshe Ukubwa wetu Kwa kumleta Fei toto
@saidikumbi842010 күн бұрын
Pamoja nakua tunawachezaji wanje lakini kiukweli feisal nimuhimu sana kwani atakua mchezaji kiongizi tupeni Namba tuchangie Yuko tayari
@WilliamKaponya9 күн бұрын
ata mimi nipo tayali hata saiv
@LetasKomba-br1xh10 күн бұрын
Tuko tiari kuchangia Ili fei aje Simba
@WilliamKaponya9 күн бұрын
tuchange tu nipo tayali 6:28
@BADAWY57510 күн бұрын
Mimi ni Yanga damu damu .ukweli Fei toto ni wakati wake na ni muhimu kwa taifa na yeye mwenyewe kuweka maisha yake bora .napendelea acheze simba kwa mafanikio yake na historia ya mpira Tanzania nitafurahi lakini Fei mwenyewe tahira hajui kujiuza zumbukuku kama simba wenyewe mazumbukuku
@user-qw9zu3ly8m10 күн бұрын
Ata mimi nipo tayari kuchangia jamani SIMBA NGUNGU MOJA
@user-de5ph3rs6p10 күн бұрын
Ww unadhani kila mshabiki WA simba na wapenda simba wakiweka elfu moja tu kati ya watu milioni 20 mpaka hapo ni shingi ngapi misitwambie habari hizo mtatukwaza sana
@furika793110 күн бұрын
Hata mimi nitachangia huo usajili wa Feisal
@barakakiyalo39008 күн бұрын
Watupe utaratibu tuweke munga hapo tunamtaka feii
@SuluG10 күн бұрын
Tukoteari
@jumanamwasa-iw2zn10 күн бұрын
Tupo tyar tuchange
@PatrickGeraldi-wd1er10 күн бұрын
Wafanye haraka kutoa utaratibu tukachange.
@Vitasafari-hr6ub10 күн бұрын
Kwanza tusicheleweshane tupeni no ya Hela hewani
@LukindoMathias2 күн бұрын
Jaman wanasimba watuambie tuchange 2 fei toto aje simba jamaan nyie viongozi fanyeni kweli tuchange
@eliashagai792010 күн бұрын
Wekeni namba ya malipo tuanze asajiliwe Simba
@MohamediSaidi-hm1hl10 күн бұрын
Namimi nipo tayali
@JosephmwitaJosephmwita10 күн бұрын
Tupo tayari kuchangia
@ManyandaMisomado10 күн бұрын
Tukotayali kuchagia
@AllyMakata9 күн бұрын
Mbn wana tuchelwesha toa namba
@ezzepuritykamwene212110 күн бұрын
Tuchange tumchukue,,
@nassorseif4049 күн бұрын
Tupo tayari, tupeni account number tuchangie ili Fei toto aje simba
@kolosii435110 күн бұрын
Hiyo ni mihemuko tu. Mtachangia miezi mingapi??
@teddysanga184010 күн бұрын
simba wanaota ndoto wajinga tu hawana hela fei hamuwezi kumpata wamesema 13 bilioni
@AllyMakata9 күн бұрын
Ndio tuko tayari mkeka uanze
@athumanmnguruta33810 күн бұрын
KRAMO ABAKI TUONE UWEZO WAKE
@Khalidniya38010 күн бұрын
Tuchange bwana lazima Fei Toto akuje Simba
@SuluG10 күн бұрын
Tukoteari
@kassimntara690110 күн бұрын
Viongozi hususani mo mmesajili wachezaji wazuri kweli lkn kumbukeni akina okwa na okra,pia onana je tubahakika Hawa wataingia wengi kwenye timu na kuwa Bora kama walikotoka? Fei anaijua ligi yetu na timu kwa jumla Hana shida ya kuingia kwenye timu.kwa sasa pale mbele kweli kiongozi awe Kibu? Simbezi ila Fei anaweza kuwa mfalme wa timu tukawasahau chama na Luis mara Moja bila kusubiri
@Farida-vg5ry9 күн бұрын
Wekeni namba kwa haraka basi watu tuko tayari kuchangia